CHRISTINA SHUSHO APEWA MILLIONI 10 NA NABII MKUU - GeorDavie TV
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Tuendelee tu kusikiliza nyimbo za kisabatho, na za ambassadors of Christ Choir😅😅😅
Hawa wetu washapotea🚮🚮
😅😅😅
Ushasema 🤝
Mungu aendelee kumtia nguvu huyu mwamba hana taabu na watu maskini ni anatoa tu hata hawaziii na am sure kila anapotoa anajaziwa mala mbili zaidi
laiti mzee kolola angeamka umwone Christina binti yake aliko fikia. labda angemrejesha . Christina rudi kwa Yesu.siku za mwisho izi
Mzee kulola angeamka angempongeza sana nabii mkuu kwakua anahubiri kwa vitendo kwamba Yesu alikufa maskini ili sisi tuwe matajiri.
@@ebenezermachange1073 Hapo hapahubiriwi Yesu. kwahiyo washirika wote hapo ni matajiri?
EEEEE hela zimetuteka aaaa Basi MUNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU
Kwani hapo yuko wapi??
@@manassehswale mlango wa kuingia Jehanam
Dada Christina sijui amepatwa na nini? me nalia jamaniiii!!! Unajua shetani anazopesa na anatenda miujiza, mteule usipokuwa macho lazima pesa zikudanganye
Kweli kabisa
Open your eyes Christian Shusho 😥😢😥😢😢😢
God have mercy upon this generation 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Christian Shusho 😥😢😥😢
Nilisema mimi jmn. Christina mh
Kidogo kidogo from dark to darker then into darkness until get lost forever usidanganyike ubillionare ni kuwa na Roho Mt utaenjoy milele sio pesa
Amen kakangu ukiwa na roho mtakatifu umapata yote.sio nguvu kutoka kwa mtumishi
Oooh Jesus Christ....Jamani ..tumeshampoteza Dada😓😓
Kabisa huyu tayr
Mungu awafungue hawa watu macho waone ukweli jaman siku ZA mwisho hizi
Alafu tuu style yenye nabii amekaaa kwa kanisaa😢Jesus himself is humble he can’t even sit like that😅😂mguu kwa ingine jamani😅sihukumu but is a bad example kaa mtumishi wa mungu..The God i know he humbles his children😢huyu hata muniwekee bunduki kwa kichwa😂😂hakunaa cha unabii hapa😢
Mnafiki ww utadanganya watu wa MUNGU mpaka lini achilia watu wa MUNGU wakamtumikie MUNGU wakweri
Aki shusho walai, skua naamini unaeza ingia mahali kama hapa, sai imba kwa ajili ya ufalme wa Giza xasa, I will not listen your music anymore from today
Romans 12:2
2 And do not be conformed to this world, but be transformed by the renewing of your mind, that you may prove what is that good and acceptable and perfect will of God.
Mungu. Mwabie haya christiiiina 🤔🤔🤔sio hao😳😳😳😳pesa twaiacha ulimwenguni lkini neno halitaisha 😟😟😯tumepoteza mwenzetu 😮😮may you be redeemed once again by lord
Laiti mngejua mazabau mnayoikandamiza ni madhabau ya tofauti Sana na jinsi mnavyozani kazi yenu mmebaki kusema siku za mwisho embu jaribuni kutafakari mnayoyaongea kwenye vinywa vyenu mnajinenea mabaya wenyewe mungu was geordavie azidi kuinuliwa
Ndio anaweza miguu namna hiyo mbele za Mungu kweli au kwakua utukufu anachukua mwenyewe
Kwa jina la yesu Ulegee kabisa unatumiwa na Ibilisi pasipo kujitambua
One thing nimegundua Hapa Christina na huyu Jamaa wanajua Siku nyingi.
Sasa mbona akampigia magoti huyu mhubiri?? Mbona tunaabudu binadamu? Wakristo tumeanza kuinamia wanadamu,
Huu ni muendelezo wa maporomoko ya dini.wehu kabisa
Shida binadam ufahm wenu nimfupi Ila Hy baba Yuko vzr nyie
I don't understand what are security men for at the Alter just make me understand are these the end times signs?
Eti anasema amamwacha mume wake kwa ajili ya huduma kweli nilifikiri msada mkubwa aliopaswa kupewa hapo ni kutokewa mapepo na kurejezwa kwa ndoa yake
Christina Shetani👿👿👿Hana Cha Bure.
Hivi nyie mnao paniki mnatoka wapi na wakati hawa wanajuana mda mrefu ko acheni kupaniki ,....Mungu awabariki sana
kwani mziki haulipa Gospel Msanii mkubwa bado kuomba pesaa
Geo devi WEWE SIO MUNGU NAKUPINGA KATIKA JINA LA YESU YAANI WEWE NI MPUMBAVU ETI NABII MKUU NA YESU UMWITE NANI
Ni nguvu gani ambayo Christina anaomba hapa
Wacha kuabudu mwanadamu wewe unasujudia mwanadamu mungu anakuona
Mbona kila anaekuja mbele lazima apewe pesa hakuna kingine cha kumpa zaidi ya hela jaman,
Nguvu za ngiza🤣🤣🤣Acha yesu arudi ,,waaah !!!
Na wahurumia
Huyu mzee anachofanya ni kuwateka walioamini ili maandiko yatimie, wateule tuwe macho shetani yupo kazini tena waziwazi
joedev ni mmoj wa wapotoshaji wa kubwa
1 Timothy 6:9-10
9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.
Mtumishi WA Mungu Christina chenye umepokea may God help you
Gospel of properity alone 😅😅
Daaaaah! Dada Christina huo wimbo WA NIPE MACHO NIONE uliwahi kuimba,SAA unaouhitaji wimbo huo sio kuwatumbuiza wengine Bali kuuimba Kwa machozi mbele za Mungu wako ilikuwa ni Sasa! Omba macho ya roho,upate kurejea ktk njia ielekeayo Sayuni Zb84:11
Kosa kubwa kumfata huyo nabii.Jamani Mungu Muokoe Christina.Msimfate huyo nabii mkuu.Pesa zake mnajua chanzo chake? Mtu anajiinua kuliko Mungu.Jmn tumuombee tu Christina kavamiwa tatar rohon.
Tunasoma matendo Yako mpaka hapa Mjini Kongo, acha Bwana akuongezee mamlaka Juu ya wote wenye kukutakiya Mabaya
Acha kutuaibisha wewe mjinga kweli
Nimeskia ampe nguvu,mungu Tu ndiye hupeana nguvu dadangu.when Esther get money establish pesa wewe😢
From 254 kile kimenishangaza zaidi ni kwamba baba nipe nguvu shusho ameomba support apeshapewa hela ni nguvu gani hizi??? Je mwenye kupeana nguvu si YESU CHRISTO au Joe Davie mimi sielewi sihukumu ila wachristo tuwe macho maamuzi yangu music ya shusho sitasikiza tena hadi huyu dada atumbu hatuombi nguvu kwa wanadamu bali kwa YESU CHRISTO ndio sababu 🇰🇪🙏
Daaah, nabii mkuu ampe nguvu Christina tena kamwimbia nipe macho nione. Kipaji hiki si zaidi ya support ya milioni kumi? Rudi kwa MUNGU Christina
Unapotea dada Christina 😢
ayA maisha jamn so powa
Hongera baba yetu nabii mukuu
Watu wanapenda ubahasha
Woooowe 🎉🎉
Duh mmmh Hela Hela Hela shkamoo hela
Nipe nguvu baba😂😂😂😂😂yupi???
Nyie watu mnaocomment upumbavu, mim naona hamjielewi kwani hapo shusho kafanya kosa Gani, ni kupewa million 10, acheni wivu, dhen mbona manabii wa zamani Wana pesa sana, tukimuangalia mfalme Suleiman , mfalme Daudi, Mungu wetu ni Tajiri acheni ushamba
Christina,Christina,Christina........Dada yangu umepotea.Kristo hana ushirika na beriali
Beriali ni baba yako
Kwan kipi kibaya amekifanya?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amtegemeaye mwana damu amelaniwa sasaivi anaishia vyamwilini
@@annasilayo1405 saw ni binadamu na sis tunamtegemea kwa sababu ni mtumishi wa mungu
hapo ndo panamstahili haswaa,ukiona mwanamke anaolewa alafu anajitenga na ndoa kwasababu yeye ni maarufu ujue ibilisi ameisha mchukua na ni vigumu kumrejesha tena kwa Mungu
Aheli wawili mmoja akiaguka mwigine atamwinua olewake aliye pekeyake
A horizontal life has destroyed the children of God remember this is a serious crisis
Sijawahii. Kuoana mtumishi kama wewe
Tulikutegemea sana Shusho lakini Unahitaji maombi umepotea uko kwa dira ya kuzimu
1 John 2:15-17
15 Do not love the world or the things in the world. If anyone loves the world, the love of the Father is not in him. 16 For all that is in the world-the lust of the flesh, the lust of the eyes, and the pride of life-is not of the Father but is of the world. 17 And the world is passing away, and the lust of it; but he who does the will of God abides forever.
Watu wengi tusishambulie bila kuangalia Hali unapoingia ktk utumishi omba na Nyota ya utajiri la sivyo utalamba makombo kama LAZARO WA BIBLIA.
Mmelaaniwa mnaoteta watumishi wa Mungu! Ole wake amsemaye vibaya mpakwa mafuta wa Mungu! Wewe ni Nani unayehukumu! Hukumu ni ya Mungu
Eti mfalme dah
Itamfaa nini mtu akaujaza ulimwengu kisha akaukosa ufalme wa mbinguni. Mafundisho na yatuelekeze kufikia mbinguni (our destiny) na siyo kuongeza mapambo duniani (huyu ndiye babeli) katika kitabu cha ufunuo wa yohana
Shusho I was thinking you are a women of integrity but I be come to realise that uwepo wa Mungu umekutoka, unaita mwanaume mwa mtu mwingine Baba na ukiongea na babako more than 10 seconds na you can call him baba mara mbili ndani ya 10 seconds, fungua macho shusho
Pesa haimuachi mtu salama huyu dada kwa sasa ni jitu la kuzimu
Kabisa
Wewe unamuhukumu vipi mwenzio wakato umejaa chale mwili mzima mbona ujihukumu?
@@mrlongrichlongrichagent1929 pga kilele ili uponye roho za watu
Mimi naumiya tena sana kiki vrm kwanini umekamatwa na nini kiwukweri mungu wangu anaguceka ngoyimba impe maco nione sawasawa yesu baba naomba yesu agupe maco tena uwone sawasawa kiristine ni bara sana kiwukweri
Asante Sana Baba yangu barikiwa sana
Pigakazi
Shusho...you have backslidden😭😭😭😭woe unto you
I see the prophecy of darkness here in this church😪😪,,,uku ni wasanii wanaitwa kuzibwa macho aki....
One year later...
Wrong turn
Tuache kujaji turia Kama unakura con au mtori bg baba
Nilikuwa nimependa sana shusho but hili amemwangusha Mungu wake
Shusho 😅😅😅😅
Mungu ametuonyesha waimbaji wanaowategemea kwa wanadamu ooii pole Dada mmmmhhh naendelea kusoma Biblia kuhusu kuwanabii mkuu.Mungu tusaidie kuendelea kuzitambua roho hiz
Ndio unaona injili ya kutubu dhambi na kuishi maisha matakatifu mbele za Mungu, haiwezi kunenwa hapa
NILIKUA NASIKILIZA NYIMBO ZAKO ILA KWA UPUMBAVU HUU SITAWEZA MUNGU AKUSAIDIE
Sikiliza maneno yake na ujumbe ola achana na tabia yake
Mteule uwe macho hizi ni siku za mwisho Christina be careful with your faith do not call a man your father your is high that created you only
1 Timothy 6:9-10
9 But they that will be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and hurtful lusts, which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is the root of all evil: which while some coveted after, they have erred from the faith, and pierced themselves through with many sorrows.
Amen Amen Glory to God
Huyu Dada nilimuona Muda mrefu tangu Kipindi Cha Corona sio yule Christina Shusho wa zamani,Dada siwezi kuhukumu hila rejea kwa Mungu Wa Kweli sio atua uliyofikia
Mbona Fedha??? Duh apo sijawahi kuelewa, comment nyingi umu ni kwa sababu ya fedha, inaonesha udhaifu wenu. Maeneo ya ibada mafundisho ya jinsi hela utaipataje ndo nilitarajia
Kutoa ni Moyo Wenye mioyo yakutoa Mungu awabariki nakuwazidishia kwenye hazina zao zilipo mbinguni
Choucho wee hangaroya vizuri yakwamba unashimama na mungu miye Dada yako gutoka rwanda
Mh! Wapendwa tuombe Mungu atupe mwsho mzr zaid ya mwanzo uliotukuka! Maana n Yeye amesema" ANGALIENI MSIJE MKAYAPOTEZA YALE MEMA MLOYATENDA KWA MIAKA MINGI,Tena n htr mtu kuasi Kwa sababa ya KIPANDE Cha mkate!
Kweli kabisa
Mimi ni caroline Gakii from Kenya nitapata njia ya kufika kwa pastor davi
Pole sana Christina😥😪😢🙉
Ni uruma sana 😢
Umeonaeee shida IPO hela
Wengi wanakimbilia mahalo watashiba kwa maskini kupeleka ujumbe Ni mgumu.
MUNGU atusaidie sana kwa mazebu sahihi ya dunia
Pole sana pesa hizi hatari sana
You are a wonderful prophet no one can catch you wonderful amazing fantastic
Huyu mama mjinga😂 kabisa
Ujinga wake ni upi?
Mimi najiulia swali kuna tatizo gani shusho kuenda hapo na kuomba support ?? na kuna shida gani huyu mtumishi kumpa pesa huyu mtumishi wa Mungu ?? Kupiga magoti nikuonyesha unyenyekevu ni mila na desturi za mwafrika, na tazana kwa biblia watumishi walipiga magoti kupata baraka kwa wakuu . YESU ALinyenyekea akajishusha akabatizwa na yohana, jamani jamani Mbona mawazo yetu nimabaya sana kuliko kumuombea na kumsupport huyu Mwimbaji wa nyimbo za injili zinazotubariki??
anasema baba ampenguvu gan alafu anasema mfalme uyo nabii nimfalme au mungu ndio mfalme
Nguvu anayoomba ni nguvu gani hapo maana ameomba support pamoja na nguvu sasa nguvu ni ya nni anayoomba.... Maaa yake huyo mhubiri ana nguvu gani ambayo anaweza kumpa shusho
Ukweli kabisaa wanadamu Wana vinywa lazima waongee
Uyo mbwa mchawi ..manabii wote walikua waarabu
Mh yani sitaki ata kusikiliza nyimbo zako tena ufay yani unamuacha mungu wako kisa pesa
Sasa hu mwimbaji amekoseya Nini?
UMEISHAAAAAAAAAA
Kamsaliti yesu kwa vipande 30 vya pesa
😂😂😂
Yaani yesu rudi jamani tunaenda wapi huyu nyoko naye kaenda uwiiii mungu fanya jambo kama Brazili
Pesa tamu dada kasujudu mbele za binaadamu….shame…
Mungu akupe maisha tele Baba yangu , ninakuekewa mno 🙏❤️Yesu ni Mwaminifu
Wajinga kujielewa inaomba sana ole wako
Mentioning of Yesu to a devil worshipper.. lets repent Jesus is coming.... everything we see was prophesied
Baba yenu wa kuzimu
Amen Amen Glory to God
Nilikua nahisi shusho anaongozwa na Roho wa Mungu lakn kwa hili ni kipofu tu
Wwe unamacho ya mwilini tu mwenzako anayo macho ya rohoni ndio mana amefika hapo
Kwani huyu nabii anashida ganii mbna kama s elewiii
Nabii mkuu Mungu akupe maisha marefuuuuuuu zaidi baba yangu.
Wanaosema vibaya tumeona maisha yakiwapiga nakuja kutubu wenyewe kwa hiyo hawatusumbui na comments zao sisi tunasonga mbele pamoja na wewe baba yetu.🙏🙏🙏🙏
Nenda katubu hahahha
Nakupenda sana shusho ❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Alitakiwa kuelezea uzinduzi wa album yake na kuomba kanisa limsaidie na yoyote atakae guswa na mfalme ni Yesu katika kanisa na shukrani ziende kwake binadamu hupitisha Baraka Amen
Hakuna ambaye hupewa
NAMNA YA KUTHIBITISHWA
Nîme furai sana kuona TV yanabi