CHRISTINA SHUSHO APEWA MILLIONI 10 NA NABII MKUU - GeorDavie TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Комментарии • 220

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 Год назад +15

    Tuendelee tu kusikiliza nyimbo za kisabatho, na za ambassadors of Christ Choir😅😅😅

  • @suleimanismail8414
    @suleimanismail8414 Год назад +13

    Mungu aendelee kumtia nguvu huyu mwamba hana taabu na watu maskini ni anatoa tu hata hawaziii na am sure kila anapotoa anajaziwa mala mbili zaidi

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Год назад +50

    laiti mzee kolola angeamka umwone Christina binti yake aliko fikia. labda angemrejesha . Christina rudi kwa Yesu.siku za mwisho izi

    • @ebenezermachange1073
      @ebenezermachange1073 Год назад +3

      Mzee kulola angeamka angempongeza sana nabii mkuu kwakua anahubiri kwa vitendo kwamba Yesu alikufa maskini ili sisi tuwe matajiri.

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 Год назад +1

      @@ebenezermachange1073 Hapo hapahubiriwi Yesu. kwahiyo washirika wote hapo ni matajiri?

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      EEEEE hela zimetuteka aaaa Basi MUNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU

    • @manassehswale
      @manassehswale Год назад +1

      Kwani hapo yuko wapi??

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 Год назад +1

      @@manassehswale mlango wa kuingia Jehanam

  • @marianguli7994
    @marianguli7994 Год назад +5

    Dada Christina sijui amepatwa na nini? me nalia jamaniiii!!! Unajua shetani anazopesa na anatenda miujiza, mteule usipokuwa macho lazima pesa zikudanganye

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Год назад +5

    Open your eyes Christian Shusho 😥😢😥😢😢😢

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Год назад +6

    God have mercy upon this generation 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Christian Shusho 😥😢😥😢

  • @deuscosmas793
    @deuscosmas793 Год назад +6

    Kidogo kidogo from dark to darker then into darkness until get lost forever usidanganyike ubillionare ni kuwa na Roho Mt utaenjoy milele sio pesa

    • @irinechemutai6788
      @irinechemutai6788 5 месяцев назад

      Amen kakangu ukiwa na roho mtakatifu umapata yote.sio nguvu kutoka kwa mtumishi

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 Год назад +9

    Oooh Jesus Christ....Jamani ..tumeshampoteza Dada😓😓

  • @mimijj-nr2cb
    @mimijj-nr2cb Год назад +8

    Mungu awafungue hawa watu macho waone ukweli jaman siku ZA mwisho hizi

  • @saxisarinah7425
    @saxisarinah7425 Год назад

    Alafu tuu style yenye nabii amekaaa kwa kanisaa😢Jesus himself is humble he can’t even sit like that😅😂mguu kwa ingine jamani😅sihukumu but is a bad example kaa mtumishi wa mungu..The God i know he humbles his children😢huyu hata muniwekee bunduki kwa kichwa😂😂hakunaa cha unabii hapa😢

  • @justinjunior5352
    @justinjunior5352 Год назад +2

    Mnafiki ww utadanganya watu wa MUNGU mpaka lini achilia watu wa MUNGU wakamtumikie MUNGU wakweri

  • @michaelkarisa5270
    @michaelkarisa5270 Год назад +2

    Aki shusho walai, skua naamini unaeza ingia mahali kama hapa, sai imba kwa ajili ya ufalme wa Giza xasa, I will not listen your music anymore from today

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Год назад +2

    Romans 12:2
    2 And do not be conformed to this world, but be transformed by the renewing of your mind, that you may prove what is that good and acceptable and perfect will of God.

  • @paulwainaina8761
    @paulwainaina8761 Год назад +1

    Mungu. Mwabie haya christiiiina 🤔🤔🤔sio hao😳😳😳😳pesa twaiacha ulimwenguni lkini neno halitaisha 😟😟😯tumepoteza mwenzetu 😮😮may you be redeemed once again by lord

  • @ReginaMolleli-dh1qy
    @ReginaMolleli-dh1qy Год назад +2

    Laiti mngejua mazabau mnayoikandamiza ni madhabau ya tofauti Sana na jinsi mnavyozani kazi yenu mmebaki kusema siku za mwisho embu jaribuni kutafakari mnayoyaongea kwenye vinywa vyenu mnajinenea mabaya wenyewe mungu was geordavie azidi kuinuliwa

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 5 месяцев назад

      Ndio anaweza miguu namna hiyo mbele za Mungu kweli au kwakua utukufu anachukua mwenyewe

    • @pandendele9458
      @pandendele9458 5 месяцев назад

      Kwa jina la yesu Ulegee kabisa unatumiwa na Ibilisi pasipo kujitambua

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Год назад +3

    One thing nimegundua Hapa Christina na huyu Jamaa wanajua Siku nyingi.

  • @lawrencengarega5440
    @lawrencengarega5440 Год назад

    Sasa mbona akampigia magoti huyu mhubiri?? Mbona tunaabudu binadamu? Wakristo tumeanza kuinamia wanadamu,

  • @athanasyohana8720
    @athanasyohana8720 Год назад +1

    Huu ni muendelezo wa maporomoko ya dini.wehu kabisa

  • @MarthaDevid-rr1or
    @MarthaDevid-rr1or Год назад

    Shida binadam ufahm wenu nimfupi Ila Hy baba Yuko vzr nyie

  • @florencerono7150
    @florencerono7150 9 месяцев назад

    I don't understand what are security men for at the Alter just make me understand are these the end times signs?

  • @cliffdenis144
    @cliffdenis144 5 месяцев назад

    Eti anasema amamwacha mume wake kwa ajili ya huduma kweli nilifikiri msada mkubwa aliopaswa kupewa hapo ni kutokewa mapepo na kurejezwa kwa ndoa yake

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Год назад +2

    Christina Shetani👿👿👿Hana Cha Bure.

  • @JonathanTave-zt9qf
    @JonathanTave-zt9qf Год назад +1

    Hivi nyie mnao paniki mnatoka wapi na wakati hawa wanajuana mda mrefu ko acheni kupaniki ,....Mungu awabariki sana

  • @livingstonekiptoo6541
    @livingstonekiptoo6541 Год назад

    kwani mziki haulipa Gospel Msanii mkubwa bado kuomba pesaa

  • @mbegumwikwabe1583
    @mbegumwikwabe1583 Год назад +1

    Geo devi WEWE SIO MUNGU NAKUPINGA KATIKA JINA LA YESU YAANI WEWE NI MPUMBAVU ETI NABII MKUU NA YESU UMWITE NANI

  • @victornzowa5138
    @victornzowa5138 Год назад +2

    Ni nguvu gani ambayo Christina anaomba hapa

  • @douglasochieno3358
    @douglasochieno3358 9 месяцев назад

    Wacha kuabudu mwanadamu wewe unasujudia mwanadamu mungu anakuona

  • @godlywaziri335
    @godlywaziri335 Год назад +2

    Mbona kila anaekuja mbele lazima apewe pesa hakuna kingine cha kumpa zaidi ya hela jaman,

    • @rachaelmbindyo6349
      @rachaelmbindyo6349 Год назад +2

      Nguvu za ngiza🤣🤣🤣Acha yesu arudi ,,waaah !!!
      Na wahurumia

  • @marianguli7994
    @marianguli7994 Год назад +1

    Huyu mzee anachofanya ni kuwateka walioamini ili maandiko yatimie, wateule tuwe macho shetani yupo kazini tena waziwazi

  • @ElishaPanga-l7t
    @ElishaPanga-l7t 25 дней назад

    joedev ni mmoj wa wapotoshaji wa kubwa

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Год назад +1

    1 Timothy 6:9-10
    9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.

  • @ruthnzilani4295
    @ruthnzilani4295 Год назад +2

    Mtumishi WA Mungu Christina chenye umepokea may God help you

  • @labanitobkala620
    @labanitobkala620 5 месяцев назад

    Gospel of properity alone 😅😅

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 Год назад

    Daaaaah! Dada Christina huo wimbo WA NIPE MACHO NIONE uliwahi kuimba,SAA unaouhitaji wimbo huo sio kuwatumbuiza wengine Bali kuuimba Kwa machozi mbele za Mungu wako ilikuwa ni Sasa! Omba macho ya roho,upate kurejea ktk njia ielekeayo Sayuni Zb84:11

  • @gaudiosamweha1792
    @gaudiosamweha1792 Год назад

    Kosa kubwa kumfata huyo nabii.Jamani Mungu Muokoe Christina.Msimfate huyo nabii mkuu.Pesa zake mnajua chanzo chake? Mtu anajiinua kuliko Mungu.Jmn tumuombee tu Christina kavamiwa tatar rohon.

  • @frsophonieofficial
    @frsophonieofficial Год назад +2

    Tunasoma matendo Yako mpaka hapa Mjini Kongo, acha Bwana akuongezee mamlaka Juu ya wote wenye kukutakiya Mabaya

  • @carolnjeri8773
    @carolnjeri8773 5 месяцев назад

    Nimeskia ampe nguvu,mungu Tu ndiye hupeana nguvu dadangu.when Esther get money establish pesa wewe😢

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 Год назад

    From 254 kile kimenishangaza zaidi ni kwamba baba nipe nguvu shusho ameomba support apeshapewa hela ni nguvu gani hizi??? Je mwenye kupeana nguvu si YESU CHRISTO au Joe Davie mimi sielewi sihukumu ila wachristo tuwe macho maamuzi yangu music ya shusho sitasikiza tena hadi huyu dada atumbu hatuombi nguvu kwa wanadamu bali kwa YESU CHRISTO ndio sababu 🇰🇪🙏

  • @francismaina8652
    @francismaina8652 Год назад

    Daaah, nabii mkuu ampe nguvu Christina tena kamwimbia nipe macho nione. Kipaji hiki si zaidi ya support ya milioni kumi? Rudi kwa MUNGU Christina

  • @monalisahenry2625
    @monalisahenry2625 Год назад +6

    Unapotea dada Christina 😢

  • @FrenkmarcoKabushi
    @FrenkmarcoKabushi 3 месяца назад

    Hongera baba yetu nabii mukuu

  • @samwelilulandala2384
    @samwelilulandala2384 Год назад +2

    Watu wanapenda ubahasha

  • @JosphatKasoloj-k
    @JosphatKasoloj-k 9 месяцев назад +1

    Woooowe 🎉🎉

  • @apaikundambise1244
    @apaikundambise1244 Год назад +1

    Duh mmmh Hela Hela Hela shkamoo hela

  • @glorymartins7036
    @glorymartins7036 3 месяца назад

    Nipe nguvu baba😂😂😂😂😂yupi???

  • @vickymeikasi1628
    @vickymeikasi1628 Год назад

    Nyie watu mnaocomment upumbavu, mim naona hamjielewi kwani hapo shusho kafanya kosa Gani, ni kupewa million 10, acheni wivu, dhen mbona manabii wa zamani Wana pesa sana, tukimuangalia mfalme Suleiman , mfalme Daudi, Mungu wetu ni Tajiri acheni ushamba

  • @jovinmwesige8520
    @jovinmwesige8520 Год назад +6

    Christina,Christina,Christina........Dada yangu umepotea.Kristo hana ushirika na beriali

    • @adamfundikila
      @adamfundikila Год назад +1

      Beriali ni baba yako

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Год назад +1

      Kwan kipi kibaya amekifanya?

    • @emmanuelmtonyole9958
      @emmanuelmtonyole9958 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @annasilayo1405
      @annasilayo1405 Год назад

      Amtegemeaye mwana damu amelaniwa sasaivi anaishia vyamwilini

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Год назад

      @@annasilayo1405 saw ni binadamu na sis tunamtegemea kwa sababu ni mtumishi wa mungu

  • @revocatuskato9474
    @revocatuskato9474 Год назад

    hapo ndo panamstahili haswaa,ukiona mwanamke anaolewa alafu anajitenga na ndoa kwasababu yeye ni maarufu ujue ibilisi ameisha mchukua na ni vigumu kumrejesha tena kwa Mungu

  • @paskalimaneno1684
    @paskalimaneno1684 Год назад +1

    Aheli wawili mmoja akiaguka mwigine atamwinua olewake aliye pekeyake

  • @pr.aaronlimo1807
    @pr.aaronlimo1807 Год назад

    A horizontal life has destroyed the children of God remember this is a serious crisis

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Год назад +2

    Sijawahii. Kuoana mtumishi kama wewe

  • @ibenembassy
    @ibenembassy Год назад

    Tulikutegemea sana Shusho lakini Unahitaji maombi umepotea uko kwa dira ya kuzimu

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Год назад

    1 John 2:15-17
    15 Do not love the world or the things in the world. If anyone loves the world, the love of the Father is not in him. 16 For all that is in the world-the lust of the flesh, the lust of the eyes, and the pride of life-is not of the Father but is of the world. 17 And the world is passing away, and the lust of it; but he who does the will of God abides forever.

  • @obadiayusuph7096
    @obadiayusuph7096 Год назад

    Watu wengi tusishambulie bila kuangalia Hali unapoingia ktk utumishi omba na Nyota ya utajiri la sivyo utalamba makombo kama LAZARO WA BIBLIA.

  • @jenifaqoqona
    @jenifaqoqona Год назад

    Mmelaaniwa mnaoteta watumishi wa Mungu! Ole wake amsemaye vibaya mpakwa mafuta wa Mungu! Wewe ni Nani unayehukumu! Hukumu ni ya Mungu

  • @GeoffryKoech-y9q
    @GeoffryKoech-y9q 19 дней назад

    Eti mfalme dah

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 Год назад

    Itamfaa nini mtu akaujaza ulimwengu kisha akaukosa ufalme wa mbinguni. Mafundisho na yatuelekeze kufikia mbinguni (our destiny) na siyo kuongeza mapambo duniani (huyu ndiye babeli) katika kitabu cha ufunuo wa yohana

  • @lizelizabeth6467
    @lizelizabeth6467 Год назад

    Shusho I was thinking you are a women of integrity but I be come to realise that uwepo wa Mungu umekutoka, unaita mwanaume mwa mtu mwingine Baba na ukiongea na babako more than 10 seconds na you can call him baba mara mbili ndani ya 10 seconds, fungua macho shusho

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Год назад +2

    Pesa haimuachi mtu salama huyu dada kwa sasa ni jitu la kuzimu

  • @dorianemanirakiza5482
    @dorianemanirakiza5482 Год назад

    Mimi naumiya tena sana kiki vrm kwanini umekamatwa na nini kiwukweri mungu wangu anaguceka ngoyimba impe maco nione sawasawa yesu baba naomba yesu agupe maco tena uwone sawasawa kiristine ni bara sana kiwukweri

  • @enizetv5196
    @enizetv5196 Год назад +2

    Asante Sana Baba yangu barikiwa sana

  • @elikimaronionlinetv31
    @elikimaronionlinetv31 Год назад

    Pigakazi

  • @inamahoroyvette3057
    @inamahoroyvette3057 Год назад +4

    Shusho...you have backslidden😭😭😭😭woe unto you

    • @rachaelmbindyo6349
      @rachaelmbindyo6349 Год назад +1

      I see the prophecy of darkness here in this church😪😪,,,uku ni wasanii wanaitwa kuzibwa macho aki....

    • @carolinewanjiru8361
      @carolinewanjiru8361 4 месяца назад

      One year later...

  • @townkeyz
    @townkeyz Год назад +1

    Wrong turn

  • @zengotanal-wb7xw
    @zengotanal-wb7xw Год назад +1

    Tuache kujaji turia Kama unakura con au mtori bg baba

  • @sylviaphilipofficial
    @sylviaphilipofficial Год назад

    Nilikuwa nimependa sana shusho but hili amemwangusha Mungu wake

  • @glorymartins7036
    @glorymartins7036 3 месяца назад

    Shusho 😅😅😅😅

  • @hannajoseph645
    @hannajoseph645 Год назад +1

    Mungu ametuonyesha waimbaji wanaowategemea kwa wanadamu ooii pole Dada mmmmhhh naendelea kusoma Biblia kuhusu kuwanabii mkuu.Mungu tusaidie kuendelea kuzitambua roho hiz

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 Год назад

      Ndio unaona injili ya kutubu dhambi na kuishi maisha matakatifu mbele za Mungu, haiwezi kunenwa hapa

  • @mbegumwikwabe1583
    @mbegumwikwabe1583 Год назад +2

    NILIKUA NASIKILIZA NYIMBO ZAKO ILA KWA UPUMBAVU HUU SITAWEZA MUNGU AKUSAIDIE

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Год назад

      Sikiliza maneno yake na ujumbe ola achana na tabia yake

  • @OtienoAdigo-jg8iw
    @OtienoAdigo-jg8iw Год назад

    Mteule uwe macho hizi ni siku za mwisho Christina be careful with your faith do not call a man your father your is high that created you only

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Год назад

    1 Timothy 6:9-10
    9 But they that will be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and hurtful lusts, which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is the root of all evil: which while some coveted after, they have erred from the faith, and pierced themselves through with many sorrows.

  • @ebenezermachange1073
    @ebenezermachange1073 Год назад +2

    Amen Amen Glory to God

  • @ezekielkandonga9238
    @ezekielkandonga9238 Год назад +2

    Huyu Dada nilimuona Muda mrefu tangu Kipindi Cha Corona sio yule Christina Shusho wa zamani,Dada siwezi kuhukumu hila rejea kwa Mungu Wa Kweli sio atua uliyofikia

  • @mwanadigital1
    @mwanadigital1 Год назад

    Mbona Fedha??? Duh apo sijawahi kuelewa, comment nyingi umu ni kwa sababu ya fedha, inaonesha udhaifu wenu. Maeneo ya ibada mafundisho ya jinsi hela utaipataje ndo nilitarajia

  • @EmmanuelKipwasa-hv1lq
    @EmmanuelKipwasa-hv1lq Год назад

    Kutoa ni Moyo Wenye mioyo yakutoa Mungu awabariki nakuwazidishia kwenye hazina zao zilipo mbinguni

  • @dorianemanirakiza5482
    @dorianemanirakiza5482 Год назад

    Choucho wee hangaroya vizuri yakwamba unashimama na mungu miye Dada yako gutoka rwanda

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 Год назад

    Mh! Wapendwa tuombe Mungu atupe mwsho mzr zaid ya mwanzo uliotukuka! Maana n Yeye amesema" ANGALIENI MSIJE MKAYAPOTEZA YALE MEMA MLOYATENDA KWA MIAKA MINGI,Tena n htr mtu kuasi Kwa sababa ya KIPANDE Cha mkate!

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 Год назад

    Mimi ni caroline Gakii from Kenya nitapata njia ya kufika kwa pastor davi

  • @Pihansmo
    @Pihansmo Год назад +3

    Pole sana Christina😥😪😢🙉

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 Год назад

    Wengi wanakimbilia mahalo watashiba kwa maskini kupeleka ujumbe Ni mgumu.

  • @elia5475
    @elia5475 5 месяцев назад

    MUNGU atusaidie sana kwa mazebu sahihi ya dunia

  • @danielimalaki
    @danielimalaki Год назад +1

    Pole sana pesa hizi hatari sana

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 Год назад

    You are a wonderful prophet no one can catch you wonderful amazing fantastic

  • @emmanuelbanda9964
    @emmanuelbanda9964 Год назад +2

    Huyu mama mjinga😂 kabisa

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 Год назад +4

    Mimi najiulia swali kuna tatizo gani shusho kuenda hapo na kuomba support ?? na kuna shida gani huyu mtumishi kumpa pesa huyu mtumishi wa Mungu ?? Kupiga magoti nikuonyesha unyenyekevu ni mila na desturi za mwafrika, na tazana kwa biblia watumishi walipiga magoti kupata baraka kwa wakuu . YESU ALinyenyekea akajishusha akabatizwa na yohana, jamani jamani Mbona mawazo yetu nimabaya sana kuliko kumuombea na kumsupport huyu Mwimbaji wa nyimbo za injili zinazotubariki??

    • @josephemmanuel388
      @josephemmanuel388 Год назад

      anasema baba ampenguvu gan alafu anasema mfalme uyo nabii nimfalme au mungu ndio mfalme

    • @victornzowa5138
      @victornzowa5138 Год назад

      Nguvu anayoomba ni nguvu gani hapo maana ameomba support pamoja na nguvu sasa nguvu ni ya nni anayoomba.... Maaa yake huyo mhubiri ana nguvu gani ambayo anaweza kumpa shusho

    • @musaliaeugene7975
      @musaliaeugene7975 Год назад

      Ukweli kabisaa wanadamu Wana vinywa lazima waongee

    • @wachimara
      @wachimara Год назад

      Uyo mbwa mchawi ..manabii wote walikua waarabu

  • @praykyara2604
    @praykyara2604 Год назад +2

    Mh yani sitaki ata kusikiliza nyimbo zako tena ufay yani unamuacha mungu wako kisa pesa

  • @justinendondi
    @justinendondi Год назад

    Sasa hu mwimbaji amekoseya Nini?

  • @NeemaKawogo-dp8dj
    @NeemaKawogo-dp8dj Год назад +2

    UMEISHAAAAAAAAAA

  • @josephmaduka468
    @josephmaduka468 Год назад +4

    Kamsaliti yesu kwa vipande 30 vya pesa

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Год назад

    Yaani yesu rudi jamani tunaenda wapi huyu nyoko naye kaenda uwiiii mungu fanya jambo kama Brazili

  • @eyezarc1239
    @eyezarc1239 Год назад

    Pesa tamu dada kasujudu mbele za binaadamu….shame…

  • @giftm314
    @giftm314 Год назад +2

    Mungu akupe maisha tele Baba yangu , ninakuekewa mno 🙏❤️Yesu ni Mwaminifu

    • @clarisbanza6066
      @clarisbanza6066 Год назад

      Wajinga kujielewa inaomba sana ole wako

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Год назад +1

      Mentioning of Yesu to a devil worshipper.. lets repent Jesus is coming.... everything we see was prophesied

    • @angelvii113
      @angelvii113 Год назад

      Baba yenu wa kuzimu

  • @ebenezermachange1073
    @ebenezermachange1073 Год назад +1

    Amen Amen Glory to God

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Год назад +3

    Nilikua nahisi shusho anaongozwa na Roho wa Mungu lakn kwa hili ni kipofu tu

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Год назад +1

      Wwe unamacho ya mwilini tu mwenzako anayo macho ya rohoni ndio mana amefika hapo

  • @edinachuwa3701
    @edinachuwa3701 Год назад

    Kwani huyu nabii anashida ganii mbna kama s elewiii

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 Год назад +2

    Nabii mkuu Mungu akupe maisha marefuuuuuuu zaidi baba yangu.
    Wanaosema vibaya tumeona maisha yakiwapiga nakuja kutubu wenyewe kwa hiyo hawatusumbui na comments zao sisi tunasonga mbele pamoja na wewe baba yetu.🙏🙏🙏🙏

  • @FrancineTuzotunga
    @FrancineTuzotunga 6 месяцев назад

    Nakupenda sana shusho ❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @janethjohn7053
    @janethjohn7053 Год назад

    Alitakiwa kuelezea uzinduzi wa album yake na kuomba kanisa limsaidie na yoyote atakae guswa na mfalme ni Yesu katika kanisa na shukrani ziende kwake binadamu hupitisha Baraka Amen

  • @sifasikubalikiponda3472
    @sifasikubalikiponda3472 Год назад

    NAMNA YA KUTHIBITISHWA

  • @SAMIELESEMIRE
    @SAMIELESEMIRE Год назад

    Nîme furai sana kuona TV yanabi