Media za bongo zina uhaba mkubwa wa watangazaji wenye weledi. Unaalika msanii, humuohoji kuhusu muziki unatumia saa zima kuulizia mahusiano, na umbea. Duuu😢
Hawa shake shake wameambukizana gono sana tu Temeke bila ubishi maana walikuwa wanawalala hd kwenye vyoo vile vya Lucury Pub na kule Imasco Taifa dah waliopona washukuru Mungu😂😂
A very wise guy, big-up to him. Great conversation right there
Sikuwah kujuaga huyu jamaa ana hekima sana..bless up biggie
Yaan masami wewe.mtu.mskini sana big up.nimependaa hupo na heshima unaongea safi..napenda enterview zako zoote safiii
Binti mtangazaji anacheka vizuri hatari🎉🎉
Msami, ni mkweli anasema kutoka moyoni sio mnafikii. God bless you 😂
Huyu ujue COMEDY sanaaaa n very Humble 😂😂😂
Akutane na Chris mziwanda, jux na calisa yani nimecheka hadi tumbo limecheza
@@giztony2009 Huyu jamaa MCHESHI sanaaaaa lazima Ucheke maana WATANGAZAJ wote wanacheka
Safi sana mdogo wangu
Kweli kabsaaa
Huyo jamaa muwongo sana muurize ana miaka mingapi
KICHWA SANA MSAMI
From 254
Mbona kama sauti inafanana na chino
Msami kumbe unajua kuongea point
Jamaa comedy sana😅😅
Sio Pouwa
Media za bongo zina uhaba mkubwa wa watangazaji wenye weledi. Unaalika msanii, humuohoji kuhusu muziki unatumia saa zima kuulizia mahusiano, na umbea. Duuu😢
Hawa shake shake wameambukizana gono sana tu Temeke bila ubishi maana walikuwa wanawalala hd kwenye vyoo vile vya Lucury Pub na kule Imasco Taifa dah waliopona washukuru Mungu😂😂
Nyie nao mnunue camera mpya Yan camera kama ya Tecno 😢😢😢😂😂
Komaaaaa ukomae wazaram ulipagawa mbwa weeee ndio wa mjini
Umenyoooka sana
Usitaje makabila ya watu ovyo
Kuna muda nlikua na mfananisha msami na dumi dansa wa mondi
Wanafanana
Wasanii wa bongo movie bana lol...
Da hiv uwoya katembea na wanaume wangap?
Nusu nzima ya mastaa wa bongo😄😀🤣
Ni kwel maan kila mtu anasema katembea nae huyu dada ni hatar
WEEENGI SANAA!!! We jua tu hivyo
Mulize wouya
@@athumanindyema2302sio kweri, wengine ni kuchafuana tu mitandaoni, ndo maana uoni akimjibu mtu. Wanaojulikana n. H bb, huyu msami, dogo janja