Mafanikio yako yanategemea watu wanaokuzunguka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 янв 2022
  • Life Chapel International Church, Morogoro, Tanzania.
    Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
    Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
    Facebook: / pastortonykapola
    Instagram: / pastortonykapola
    Subscribe My RUclips: / @pastortonykapola
    Kwa mawasiliano zaidi: +255 659 085 731 au +255 713 702 187
    NAMBA YA SADAKA : +255 762 153 539 (NEEMA MASENGA)

Комментарии • 51

  • @worshipgodforever5847
    @worshipgodforever5847 Год назад +2

    Amen, mimi ni Mutumishi Josué Mulangaliro from Zambie

  • @user-ms4oq1dz8w
    @user-ms4oq1dz8w Год назад +1

    Amina mtumshi that's true

  • @ananiasgervase-cj2yi
    @ananiasgervase-cj2yi Год назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa BWANA.
    Kwa kweli nabarikiwa saaaaaana na huduma yakoo na kila nikisikikiza mafundisho yako lazima nipate kituu 🙏🙏🙏🙏

  • @djackishara-lj6zd
    @djackishara-lj6zd Год назад +1

    Mwenyezi Mungu aku bariki mchungaji

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Год назад +1

    Asante Mungu Nabalikiwa

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 2 года назад +2

    Amen Upo vizur Sana mtumish utukufu Kwa Mungu

  • @toyiclaude7271
    @toyiclaude7271 2 года назад +2

    Asante Mungu kwa ili neno. Nabarikiwa mara dufu ahiiii

  • @majed8488
    @majed8488 Год назад +1

    Hiyo ni ukweli pastor mungu anitenge na marafiki na anifanye kiumbe kipya in the name of Jesus Christ amen

  • @stellaramadhan4699
    @stellaramadhan4699 Год назад +1

    Mabaraka kutoka shy nabarikiwa na maubil nimejifunza vingi Mungu. akubrk

  • @mpopemilki5262
    @mpopemilki5262 Год назад +2

    Amen ni kweli

  • @user-mn6gh3ls3m
    @user-mn6gh3ls3m Год назад +2

    Amen

  • @rugakibate7732
    @rugakibate7732 Год назад +2

    Always i am learning from the words that you preach.nakupenda ubarikiwe

  • @gumisilizakellebu6722
    @gumisilizakellebu6722 11 месяцев назад

    Asante mchungaji mahubiri yako yananigusa sana nafikiri ulikuja duniani Kwa ajiri yangu dahh!!

  • @samivanjr4872
    @samivanjr4872 Год назад +1

    Amina mtumishi nimebarikiwa sana

  • @user-ti8pc5kt9o
    @user-ti8pc5kt9o Год назад +2

    It's true pastor

  • @ruthadam4309
    @ruthadam4309 10 месяцев назад

    God bless the womb that carry you

  • @annakamndejo7377
    @annakamndejo7377 Год назад +1

    U Rew my mind kwa haya mafundisho

  • @PaulOkoth-nz2jh
    @PaulOkoth-nz2jh Год назад +1

    Good words

  • @esthershaluah3770
    @esthershaluah3770 2 года назад +2

    Word Papa Thank you!! We have to choose and reallocate our prosperity team very well... Ooh Lord Jesus taught me a fresh!

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 2 года назад +1

    Amen 🙏 mtumishi wa Mungu 🙏

  • @elvismoses7893
    @elvismoses7893 8 месяцев назад

    Amen❤

  • @gib3888
    @gib3888 Год назад +1

    Amen papa 🙏

  • @jomsafirikajinaki8820
    @jomsafirikajinaki8820 5 месяцев назад

    Amém

  • @user-yw8pc8qx6y
    @user-yw8pc8qx6y 2 года назад +1

    Amen Amen

  • @jibunisimba415
    @jibunisimba415 2 года назад +2

    Ameen

  • @wilsonnjeru9840
    @wilsonnjeru9840 Год назад +1

    Kweli me ndiye coach wa maisha

  • @lifefighter7225
    @lifefighter7225 Год назад +1

    Ubarikiwe sanaa

  • @pamelamboma6725
    @pamelamboma6725 2 года назад +1

    Maarifa makubwa haya. Barikiwa pastor

  • @magekakanga8488
    @magekakanga8488 2 года назад +1

    Amina

  • @mentalawarenesstz8276
    @mentalawarenesstz8276 2 года назад +1

    Preach baba preach

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 2 года назад +1

    Very true pastor

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Год назад +1

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Год назад +1

    Hakika 🙏🙏

  • @jacinta_wangari
    @jacinta_wangari 2 года назад +1

    This is powerful

  • @godsdarling4070
    @godsdarling4070 2 года назад +1

    So true

  • @user-fb5pz7ix8g
    @user-fb5pz7ix8g Год назад +1

    Amen, sasa tunapanganga aje watu baba, mweny ameelewe anambiy . Plz

  • @latiphakiwelu8394
    @latiphakiwelu8394 2 года назад +1

    I recevie

  • @Jasili-tu6pq
    @Jasili-tu6pq Год назад +1

    Rg

  • @irenecharles6703
    @irenecharles6703 Год назад +1

    Nikweli mtumishi imenitokea, nikikutana na mwanaume Fulani kimwili na ndo mahusiano yalikuwa mapya, lkn kitendo chakukutana nae kimwili baada ya siku nne nikafukuzwa kazi, na nilisota sana kupata kazi nyingine na hata nilipoipata ni hasara kazini kila Leo uwezi amini nimekaa miaka miwili nae siendi mbele mpk roho ikaniambia hapa kuna shida, lkn yy baada tu ya miezi sita mambo yake yalianza kumwendea vzr sanasana, nimejaribu kuachana nae lkn anakuwa mkali sana na anatamka maneno ya ajabu sana, kuwa atafanya chini juu nisipate mwanaume mwingine na atahakikisha siendelei kwa lolote, aisee napitia wakati mgumu sana

    • @djackishara-lj6zd
      @djackishara-lj6zd Год назад

      Hakuna byenye Mungu ana shindwaka Mungu ni muweza yote omba Mungu alafu uamuwe kwa Imani yata wezekana sister

    • @FEBRONIADANIEL
      @FEBRONIADANIEL Год назад

      Jipe moyo utashinda

    • @ShukuruBarthazary
      @ShukuruBarthazary 11 месяцев назад

      Kemea izo laana anazokunenea

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 3 месяца назад

    Amen

  • @user-nl5xr5tk7m
    @user-nl5xr5tk7m Год назад

    Amen

  • @jackiemuhiri23
    @jackiemuhiri23 Год назад +1

    Amen

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 2 года назад +1

    Amen

  • @PierreEzra
    @PierreEzra 2 года назад +1

    Amen