Wafilipi 4:6-7 [6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God. [7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu. And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.
well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri. Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...
Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia
kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much
Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment
Wafilipi 4:6-7
[6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God.
[7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
I love listening to pastor tony
Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.
Mwanaume wa wanaume Yesu anainua
well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri.
Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...
Ahsante Pastor ninajifunza vingi kupitia wewe all in God bless you
Asante pastor tony napokeaq mbegu yangu bora iliyopandwa ndani yani yanu iman chanzo chake kuskiaa
Preach Preach Preach Man of God,your in the right place sir.
The Best Interview ever! He GOATED IT!!
God bless u pastor tony kapola nakuelewa sana
Barikiwa sana pastor tony kapola
Nakupenda pastor Tony kapola❤
What an interview... asanteni sana
Asante sana mtumishi watu umewajibu vizuri sana Mungu akubariki
Be blessed pastor Tony
Thanks Tony, kila nikifuatilia mafundisho yako napata kitu kwenye maisha yangu na familia yangu
Bigap kwa pastor Ton kapola🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️❣️
Hongr pastar Mungu ataotesha mbegu ambazo umepanda no matter what Hakika Mungu anakusikia
Mungu si tegemezi ujue pia
Thanks
Asanteni
Nimebarikiwa na Mafundisho japo muda mchache Barikiwa mtu wa Mungu
Hii ni Bonge la interview, nimependa @xxl mlivyokuwa creative. Ur the best media with bright presenters.
Wooou
Amen mchungani Kapola
God bless you ...
Well done Tony
Adam bhn anaharibu interview aambiwe anaboa
Amen
So sweet
Emeeen
Namkubali sana huyu Pr
Unanipa radha ya neno la Mungu paster ubalikiwe
🙌🙌🙌🔥🔥
XXL good 👍 pastor yuko goooooood
Sisi ndo wale tunaosaidiwa na mungu
This was very powerful let man of God blessed
Eee MUNGU anisaidie namimi
Ameen kiongozi
Good sana wanangu
Good 👍
Dah pastor katulisha madini ya maana sana
Pastor ana sauti kama Barnaba fulani
Jamani kodi nyingi sana nchi hii, zinakatisha tamaa
Bangi anazovuta Adam ukijaribu unawezq kuvua nguo ukahc bd umevaa 🤣 ila huyu pastor ni next level 💥
Adam plzzzz iga mfano wa milad akihoji watu kahhh
Master maind
Bonge la kipindi na hongera kwenu.....next time Tena japo hjamliza kiu yetu leo
Adam unauliza maswali mazuri Mungu akubariki
Daah. Adamu chizi kweli eti Kumoka
Good
Huyu pastor kapola ni balaa, kiukweli sijawahi ona
Anadanganya
Mungu ni Mungu
A nafanya kazi pekeyake na
Au na watu
Adam bangi mbaya saana na anakaribia kuzimaa haisee
Please Adam, let the Pastor explain him self.
Nmba ya pastar please
Aje Tena tunahitaji madini siku nyingne
Nitakuwepo tena hichi kipindi
Uyu kak ana maswali ya ajabu😅😅😅
Ahaaaa mmetukatisha
You blessed mi
Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia
Yaniii anakera
Akuwe najikaza muache mtu amalize maneno kwenye kuongea
God enjoy to be in the middle of Men🙌🙌🙌🙌🙌
Hakuna nchi isio na uhalifu mtu wa mungu 😅😅
Mungu akutunze sana baba mchungaji aisee unajua kufundisha neno la mungu
Watangazaj wana makelele hawatoi mda kwa mchungaj
2023 ukwendeee zakee
Jumatano akija muulize kwanini Yesu amezaliwa tarehe ya mfanano na miungu wengi
Tarehe ipi
kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much
Kwakweli kher umeongea🎉🎉
hat mm napenda Sana uyu mchungaji
Mwanadamu ameumbiwa roho chaguzi Kisha akaonyeshwa kutambua mema na mabaya na mwisho wake akaambiwa
Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment
Ww nawe hujaelewa ww ndo uache kulopoka hpo vyote anavyoongea vipo kweny biblia kwahy kasome biblia ndo uje kukoment
Betrayal is painful sin😔😔😔
Kanisa lako lipo wapi mchngaji
Una kitu,utafika mbali
Walikula Bangi 😂😂😂
Macho ya rohoni adamu vipi wewe mkristo gani jamani tunaimba kwenye kipaimari
Sank you
❤❤❤