LIVE: Mungu Hafanyi Kazi Peke Yake |Pastor Tony Kapola Anazungumza na Vijana Chamani XXL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 дек 2022
  • #CloudsDigital ipo mubashara kutoka Stusio ya Clouds FM kwenye kipindi cha #xxl
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 84

  • @kongs.9595
    @kongs.9595 Год назад +10

    Wafilipi 4:6-7
    [6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
    Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God.
    [7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
    And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.

  • @janetmbambazi6865
    @janetmbambazi6865 Год назад +10

    I love listening to pastor tony

  • @rehemasimsamba1788
    @rehemasimsamba1788 4 месяца назад

    Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.

  • @user-lp8mu7ri2u
    @user-lp8mu7ri2u 6 месяцев назад +2

    Mwanaume wa wanaume Yesu anainua

  • @kennethkelvin7225
    @kennethkelvin7225 Год назад +2

    well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri.
    Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...

  • @yohanadaniel7030
    @yohanadaniel7030 Год назад +2

    Ahsante Pastor ninajifunza vingi kupitia wewe all in God bless you

  • @paulinedavid2524
    @paulinedavid2524 Год назад

    Asante pastor tony napokeaq mbegu yangu bora iliyopandwa ndani yani yanu iman chanzo chake kuskiaa

  • @gracesilas1971
    @gracesilas1971 Год назад +1

    Preach Preach Preach Man of God,your in the right place sir.

  • @TheRealTemidayo
    @TheRealTemidayo Год назад

    The Best Interview ever! He GOATED IT!!

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim4057 Год назад

    God bless u pastor tony kapola nakuelewa sana

  • @user-vd9gi8ik4n
    @user-vd9gi8ik4n 5 месяцев назад +1

    Barikiwa sana pastor tony kapola

  • @veronicamahenge7256
    @veronicamahenge7256 6 месяцев назад +1

    Nakupenda pastor Tony kapola❤

  • @victodeussiriwa3919
    @victodeussiriwa3919 Год назад +3

    What an interview... asanteni sana

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Asante sana mtumishi watu umewajibu vizuri sana Mungu akubariki

  • @clemence3493
    @clemence3493 Год назад

    Be blessed pastor Tony

  • @benomeya797
    @benomeya797 Год назад +3

    Thanks Tony, kila nikifuatilia mafundisho yako napata kitu kwenye maisha yangu na familia yangu

  • @jonathanthomas7606
    @jonathanthomas7606 Год назад +1

    Bigap kwa pastor Ton kapola🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️❣️

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 Год назад

    Hongr pastar Mungu ataotesha mbegu ambazo umepanda no matter what Hakika Mungu anakusikia

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Год назад +3

    Mungu si tegemezi ujue pia

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 Год назад +2

    Thanks

  • @priscillamwashigadi1271
    @priscillamwashigadi1271 Год назад

    Asanteni

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 Год назад

    Nimebarikiwa na Mafundisho japo muda mchache Barikiwa mtu wa Mungu

  • @godlisenservice9555
    @godlisenservice9555 Год назад +1

    Hii ni Bonge la interview, nimependa @xxl mlivyokuwa creative. Ur the best media with bright presenters.

  • @barakaandrea8271
    @barakaandrea8271 Год назад

    Amen mchungani Kapola

  • @user-op8rq3xr1w
    @user-op8rq3xr1w 6 месяцев назад

    God bless you ...

  • @bettybusumba1478
    @bettybusumba1478 Год назад +1

    Well done Tony

  • @giftmbogela2435
    @giftmbogela2435 Год назад +1

    Adam bhn anaharibu interview aambiwe anaboa

  • @InsideTanzania
    @InsideTanzania Год назад

    Amen

  • @atanasicosmas6678
    @atanasicosmas6678 Год назад

    So sweet

  • @clemence3493
    @clemence3493 Год назад

    Emeeen

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 Год назад

    Namkubali sana huyu Pr

  • @saimonmizingo7485
    @saimonmizingo7485 Год назад

    Unanipa radha ya neno la Mungu paster ubalikiwe

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 Год назад

    🙌🙌🙌🔥🔥

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 Год назад

    XXL good 👍 pastor yuko goooooood

  • @sinaichristian8365
    @sinaichristian8365 Год назад +2

    Sisi ndo wale tunaosaidiwa na mungu

  • @josinahmukoya3311
    @josinahmukoya3311 Год назад

    This was very powerful let man of God blessed

    • @merrykisu
      @merrykisu Год назад

      Eee MUNGU anisaidie namimi

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад

    Ameen kiongozi

  • @mulidjuma6095
    @mulidjuma6095 Год назад +2

    Good sana wanangu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Год назад

    Good 👍

  • @benjaminilutakala9254
    @benjaminilutakala9254 Год назад

    Dah pastor katulisha madini ya maana sana

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Год назад +1

    Pastor ana sauti kama Barnaba fulani

  • @user-qq5rp9qn5t
    @user-qq5rp9qn5t Год назад

    Jamani kodi nyingi sana nchi hii, zinakatisha tamaa

  • @Hshshhsi1222
    @Hshshhsi1222 Год назад +1

    Bangi anazovuta Adam ukijaribu unawezq kuvua nguo ukahc bd umevaa 🤣 ila huyu pastor ni next level 💥

  • @dianamchami2720
    @dianamchami2720 7 месяцев назад +1

    Adam plzzzz iga mfano wa milad akihoji watu kahhh

  • @Paplick9
    @Paplick9 Год назад

    Master maind

  • @nathanielshayo6306
    @nathanielshayo6306 Год назад +2

    Bonge la kipindi na hongera kwenu.....next time Tena japo hjamliza kiu yetu leo

  • @barakabenoni857
    @barakabenoni857 Год назад +1

    Adam unauliza maswali mazuri Mungu akubariki

  • @clemence3493
    @clemence3493 Год назад +1

    Daah. Adamu chizi kweli eti Kumoka

  • @MarcoAbel-rj5kv
    @MarcoAbel-rj5kv Год назад

    Good

  • @enockadam8509
    @enockadam8509 Год назад +2

    Huyu pastor kapola ni balaa, kiukweli sijawahi ona

    • @maryaika9645
      @maryaika9645 Год назад

      Anadanganya
      Mungu ni Mungu
      A nafanya kazi pekeyake na
      Au na watu

  • @koburungomubahasha2207
    @koburungomubahasha2207 Год назад +4

    Adam bangi mbaya saana na anakaribia kuzimaa haisee

  • @dankonkwibe2032
    @dankonkwibe2032 Год назад +1

    Please Adam, let the Pastor explain him self.

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 Год назад

    Nmba ya pastar please

  • @jonathancosmas8131
    @jonathancosmas8131 Год назад +3

    Aje Tena tunahitaji madini siku nyingne

  • @hanslikecha4786
    @hanslikecha4786 Год назад

    Nitakuwepo tena hichi kipindi

  • @nancynkya4462
    @nancynkya4462 8 месяцев назад +1

    Uyu kak ana maswali ya ajabu😅😅😅

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 Год назад

    Ahaaaa mmetukatisha

  • @O11CEreview
    @O11CEreview Год назад +6

    Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 Год назад

    God enjoy to be in the middle of Men🙌🙌🙌🙌🙌

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 7 месяцев назад

    Hakuna nchi isio na uhalifu mtu wa mungu 😅😅

  • @mariethaschoolofbeauty
    @mariethaschoolofbeauty Год назад

    Mungu akutunze sana baba mchungaji aisee unajua kufundisha neno la mungu

  • @safiahassan6121
    @safiahassan6121 Год назад +2

    Watangazaj wana makelele hawatoi mda kwa mchungaj

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 Год назад

    2023 ukwendeee zakee

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Год назад

    Jumatano akija muulize kwanini Yesu amezaliwa tarehe ya mfanano na miungu wengi

  • @Gtunewaves
    @Gtunewaves Год назад +4

    kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much

  • @goldprocessplant5893
    @goldprocessplant5893 Год назад +6

    Mwanadamu ameumbiwa roho chaguzi Kisha akaonyeshwa kutambua mema na mabaya na mwisho wake akaambiwa

    • @barakachaula7055
      @barakachaula7055 Год назад

      Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment

    • @jacklinechaula
      @jacklinechaula Год назад +2

      Ww nawe hujaelewa ww ndo uache kulopoka hpo vyote anavyoongea vipo kweny biblia kwahy kasome biblia ndo uje kukoment

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 Год назад

    Betrayal is painful sin😔😔😔

  • @tugwemshana8825
    @tugwemshana8825 Год назад

    Kanisa lako lipo wapi mchngaji

  • @laurianpima2528
    @laurianpima2528 2 месяца назад

    Una kitu,utafika mbali

  • @rubyring100
    @rubyring100 Год назад +1

    Walikula Bangi 😂😂😂

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 2 месяца назад

    Macho ya rohoni adamu vipi wewe mkristo gani jamani tunaimba kwenye kipaimari

  • @habibaissa3641
    @habibaissa3641 Год назад +2

    Sank you