Majaliwa aagiza makandarasi MV Mwanza kunyang'anywa 'Passport' Mwanza
HTML-код
- Опубликовано: 6 май 2022
- Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameliagiza Jeshi la Uhamiaji mkoani Mwanza kuchukua hati za kusafiria za wakandarasi wanaojenga meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu kutokana na kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba.
Majaliwa ametoa agizo hilo leo Jumamosi Mei 7, 2022 alipotembelea na kukagua ujenzi wa meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo unaotekelezwa kwa gharama ya Sh97.5 bilioni.
Hakika tunapata imani kubwa maana tangu baba jpm atutoke tulianza kuona giza kumbe bado mungu anatuonekania, kassim endelea kufuta machozi watanzania kwa uzarendo huo.
Kweli.
Huyu waziri ananishawixhi niwe nacheki taarifa ya habari ,safi sana mkuu🙏🙏🙏🙏
Allah akulinde na akupe afya bora mzee wetu kassim majaliwa😭😭kwan namuona jpm ndani yako
Ameen.
Maajaliwa Mungu akulinde sana kazi unayoifanya ni kubwa sana, ndio kiongozi pekee mzalendo uliobaki madarakani kwa uchungu mkubwa wa jasho ka Watanzania. Mungu akulinde sana Kassim Majaaliwa kwa roho yako nzuri na Uzalendo uliotukuka 🙏🏽🇹🇿
Asante Sana Mh waziri mkuu. Tunakuomba utembelee na miradi mingine
Majariwa upo nyuma ya hayati jpm bibi sura nzito timu msoga walamba asali wamerudi miradi yote bwawa la umeme trein mwendo kasi daraja la magufuli kigongo busisi kiujumla miladi imesimama apo kwenyewe unaangaliwa tu mhe'majaliwa kassim na mcheza sinema msoga timu watakuangusha kimchongo wake mungu akujaarie utuvushe mzalendo majaliwa
Big up Sana Waziri Mkuu.. I still have faith in you. Najua unatamani jembe mwenzio JPM lingekuwepo mpaka wakati huu! I'm sure Nchi hii by now mgekua mmeifikisha kwenye standard za Singapore au Dubai. Huko sahii kabisa Meli ingekua imeshaingia kwenye maji coz ni muda mrefu sasa umepita! Mama anazunguka tu kutengeneza movie🤣 🎥 mambo muhimu kama hayo kwakwe nikama usiku wa Giza. Sad Sana!! Hongera Sana Majariwa Wewe ni Jembe kama Mpendwa wetu John Pombe Magufuli. 💪 I am sure mama will not like that!😂😂 Hataki kufunikwa nawewe mpaka hapo umemfunika vibaya Sana.
Na ndio maana akawateua hao wasaidizi wamsaidie sio kila eneo awepo yeye sio lazima!!
Ni ukweli kabisa 💯🙏🏽
@@reubenkissinga5802 Mh.Kasim hakuteuliwa na mama. Mr. Kasim ni remnant wa JPM. Mh.kasim ni Jeshi la Mtu mmoja.
Hata Samia Suluhu alikuwa kwenye uongozi wa Magufuli pia,,, kwa hiyo hakuna shida kuona wakiendelea kufanya kazi pamoja na utaratibu ni ule ule mmoja bado anaendelea kuwa boss wa mwenzake kuanzia awamu ya late Jpm hadi sasa awamu SSH!!!na hizo ndio kazi za waziri mkuu kwa kuwa yeye ndio mtendaji mkuu wa serikali,,,kwa hiyo ulitaka Raisi akakague kivuko???Sasa hao watendaji wake walioteuliwa na kuchaguliwa kwa kufanya kazi zipi kama ukitaka kila kazi afanye Raisi??wakati kuna watendaji wake wengi wa kuchaguliwa na kuteuliwa ambao ndio wanatakiwa kufanya hizo kazi,,,Raisi ni Taasisi dogo haifanyi kazi kama unavyofikiri au utakavyo wewe,,,,ni kwa utaratibu wa kimantinki na protokali!!
Mwache acheze movies za kukunana vizuri , Watanzania tunataka kazi kazi.
We need this kind of boldness from all of our leaders
Yeeees yeeees yeeeees kazi iendeleeee saaafi saaaana Mh.
Mungu ni mwema wapo tu watakaosimama na watanzania kuwatetea asante waziri mkuu wetu
Nakupenda sana Majaliwa. Mungu akubariki sana. Tunafarijika na kazi zako
100%
Mungu akulinde sana waziri mkuu, akupe ujasiri zaidi, tuna imani na wewe! Unajitahidi sana,
Safi sana waziri mkuu tunahitaji viongozi wa namna hii God bless you
Waziri mkuuu tunakukubali Sana sema mama ndo shida
Ila nakuonea huruma sana waziri mkuu huenda ukafukuzwa maana wezio wa awamu ya 4 hawapendi miradi ya mpendwa wetu MAGUFULI ikamilike au iishe ndio maana kila kukicha wanamchafua ila wewe komaa nao hivyo hivyo na wakikufukuza MAGUFULI UMOJA PATI itakufaa tena sana na nakupa pongezi kwa uwamuzi huo mgumu unao uchukuwa huo ndio uzalendo kuipenda Tanzania 🇹🇿 yetu na watu wake sio ombi bali ni lazima 👍👍🙏🙏💪💪💪
Congratrations Mr kasim
Safi sana Wazir wetu uko sahihi Mungu akupe nguvu, endelea kufuatilia na bado kuna madudu mengi tu yanaendelea mfano kiwanda cha nyama mkoa wa Geita kimetelekezwa na kubaki gofu la nyasi na majoka ....marehem aliacha mradi huo uko mwishoni kukamilika lakin alipotutoka tu ndo kikaachwa kama kilivyo
Dahh!! Hivi ndivyo tunavyofanyiwa waafrika,unawapa kazi halafu wakishachukua pesa wanauza kampuni hata mradi wa mwendokasi na Barbara ya kilwa walitufanyia hivihivi,,, Hongera WM kutusimamia
Safi sana hii ndio watanzania tunataka
Wallahi kweli Nchi imepata wajengaji, alisema mtanikumbuka ndio haya tunayaona. Wazir husika naona hana habar watu wemeshapiga mipesa yao. Masikini waziri mku nakuonea huruma maana upo kwenye serikal ya wapigaji pole sana mzee wangu.
Waziri Mkuu unatufuta machozi. Maana wasimamizi wa karibu wamelala au wamezikwa pamoja na Magu. Piga kazi usiogope tuna kuunga mkono
😂😂🤣🤣
😂😂😂
Nakushauri Dogo Karim,,,,kunywa maji ya kutosha vuta pumzi na kuishusha taratibu,,,ule ukojoe,,,alafu ukalale,,,Hiyo Nyongo isije ikakuua bure!!!
@@reubenkissinga5802 😂😂😂dah
Mungu akubariki.kwa.kazi.nzr.unayofanya.na.wa.nchi.tunakupenda.sana.na.uendelee.kukumbuka.mameno.mpendwa.wako.mangu.mlivyokuwa.mnachapa.kazi.kwa.ajili.ya.wanyoge
Mungu akulinde 🙏 maana wasije wakakuua na ww bure😭😭 maana had leo ukweli haueleweki JPM kafaje kwa moyo au korona. Dah. 😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Never stop crying 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭
Tunaomba wazir ufuatilie mradi wa kiwanda cha Nyama mkoa wa Geita kimetelekezwa na kubaki godown la nyasi ...wananchi wa mkoa huu wanakutegemea na Mungu akulinde ktk kaz nzr unayoifanya kufuatilia miradi ambayo haitekelezwi na viongoz wala pesa za wananchi, wakat huo wananchi hatuna hata unafuu maisha magum kila kona...
Machozi ya kufiwa na baba mdogo wetu wa Taifa magufuli,anatufuta majaliwa,maana mrithi anacheza muvi
Kwakwer n 😭😭 sjui tumemkosea nn mungu 😭😭
🤣🤣🤣🤣
@@hussenmishamo1963 hamjui mmesahau mlisali mlifunga mliomba mkapewe na yoote mliyoyaomba Mungu aliwapa mkajifanya wana wa Israel matusi kejeli Dharau mara mwizi kwa kweli mlimkosea saana yule Baba Mwenyeezimungu amrehemu subirini Mwenyeezimungu ametuacha twende kwa akili zetu na bado bila toba maji tutaita mma
Magufuli Jamani kila kitu hakiendi mbele Giza Nene 😥😥😥
Kwa utendaji huu wa waziri mkuu hafla utasikia Katengenezewa zengwe na wasaliti wanaojifanya washauri wa karibu wa chifu hengaya. watanzania tunatakiwa kufahamu kuwa maadui wa ndani na nje ambao wanapambana kuuwa maendeleo ya nchi yetu.
Kongole Sana Kasaim Majaliwa mama playing the movie
Mungu akutunze na akupandishe daraja kwa ajil yetu watanzania🇹🇿
Anafaa kua raisi wa nchi atakama umri hauruhusu achukue fomu atapata urais anafaa asilimia 110
Cheki hao wakolea wanavyomuangalia wazili mkuu Kwa kutia huluma walifikili JPM kafa...JPM hajafa......😂😂😂😂🤔🇹🇿🙏
Mzee wangu. The most country man! The big man in the house! No bullshitt.
Nampenda sana huyu kiongozi
Inatakiwa watanzania tuchukue na passport ya mama ili asiwe anasafiri asimamie miradi hii
😂😂🤣 wee! Mtanzania gani sasa anathubutu!
Haa haaaa haaaa wewe ni kiboko...
Woyooo Asante mweshimiwa walijuwa tz shamba la bibi
Nakupongeza Waziri Mkuu kwa hili🇹🇿
Sio kwa hili tu!....mbona yapo mengi?.....huna habari wewe!?...... Hicho kidume Babu!! 🤪
Daah siamin kama bado kunawazalendo nchi hii maana tokea jpm atuache sijawahi kusikia kauli hizi,. HONGERA SANA WAZIRI MKUU
majaliwa safi sana hakuna kuchekeana . bila kuwa mkali tanznia itachezewa sana.
Waziri mchapa kazi mzalendo wa kweli, Mwenyezi mungu akulinde Maana awakawii kukuletea figisu, Rais 2025 watanzania tuna imani kubwa na ww
Hakika unakayaga kwa mshuwa saluti mkuu
Safi sana mzee wakizingua sukuma ndani😎😎😎
Safi Sana waziri 👍
Safi sana Mh Waziri Mkuu ila kuwa makini Mh Waziri unapowafosi wafanye kazi wasije wakatutegea kitu kwa hasira kitakacho reta maafa siku za usoni chonde chonde🙏
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu taifa rangu kubwa la TANZANIA ripo mikononi mwako ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kumuongoza kumsimamia kumlinda na kuzidi kuimalisha afya yake waziri wangu mkuu ewe mwenyezi MUNGU
Muda ufike haraka Mama akapumzike zanzibar, amuachie huyu mwamba amalizie safari ya JPM
😁umesema neno tamu,.
@ Saxan njo ndugu umeupiga mwingi 🤣🤣🤣😍🏃🏃🏃🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Asante majaliwa🙏🙏.
Nauliza tu uyu makamo yupo wapi jamani maana sioni pilika zake😀
Ndicho kilichofanyika kwa Tanzaniteone, kampuni iliuzwa juu kwa juu bila STAMICO kujua
Sometimes I wish I could be born in Tz when it comes in National Projects Resolutions. Tz has big part of perfect leaders
Magufuli namba 2
Majaliwa mungu akulinde, unatufuta machozi,
Huyu ndie kiongozi anae takiwa Tz. God bless you PM
Jicho la wanyonge lililo baki tz kasim majaliwa kazikazi . Mama anatengeneza move
asante majaliwa tumekuelewa sana baba
Pongezi kwako w.mkuu,Hapa kazi tu kazi iendelee
We we ndo Rais wangu ulie baki Mungu akupe afya njema
Bora magu angemfanya huyu mtu makamu wake saiv angekuwa rais na nchi ingekuwa salama...
Mchezesha mchezo wote anawachora tu katulia
Ubarikiwe prime
Safi sana Waziri Mkuu
Waziri mkuu ww ndo umebaki mtetezi wa wanyonge tunakuombea ututetee wanachi maana hili taifa linaangamia kwa kuwa na viongozi wengi wenye njaa na wenye kuchumia matumbo yao maana haya maisha tunayoishi hayafai kwa mtanzania
2025 usipo pitishwa na chama chako upinzani wanachukua nchi,
Unapiga kazi kuliko mama mweshimiwa kasim piga kazi jembeeeeeeee
Jamaa kaona mama anasemea wanaume wanabusina hadharani kwa hiyo yeye asemee hili..la mradi wa Meli.Safi Sana!🙏
Hongera sana Majaliwa kwa kazi nzuri
Safiiiiiiiiiiii boss
Waziri mkuu wewe kwa Sasa ndo tengemeo la watanzania..
Majaliwa atakuja kuwa rais wa muungano wa jamhuri ya Tanzania inshallah
Amen pendekezo lako Mungu akipendezwa alipatie kibali
😂😂😂😂😂 Uko sahihi sana.. ILa nimecheka jinsi ulivyoyachanganya hayo maneno..
Watu wamevurugwa ndugu yangu kachanganya maneno hana hata habari haa haa.. Ila namuunga mkono..
Tenaaa pambana Mh. Yaani kuna Majitu mazimaa hayana hata Uzalendo wa nchi yao Inasikitisha saaana Big up PM
Duh ...mungu wangu...
Mheshimiwa waziri mkuu tunakutegemea sabana simamia. Mambo haya. Tunakuombea kwa Mungu akulinde kimwili na kiroho
Ameeeen.
Mungu akutie nguvu mtumishi usile gee mlitumia Sela ya kazi iendelee ata wafanya kazi walofukuzwa wachunguzwe
Nakukubali sana wababaishaji wapigaji awo 💯💯
axnte laisi wetu wewe ndio uliobaki tusaidie halimbaya baba mungu akutangulie
Dah huyu waziri mkuu bwana nampa ongera sana anajuwa uchungu wa taifa Lake
Peleka jeshi na usalama wa taifa mara moja.asitoke mkorea hata mmoja.pia tuwasiliane na ubalozi wao
Hongera Mhe. Majaliwa. Nenda na pale rufiji ukatumbue majizi yanayozingua kukamilisha bwawa ili wauze mafuta na majenereta yao. Hatuwezi kuchezewa kiasi hiki.
kabsa natamani hata awe rais
watanzania kwaumojawetu tumuombee majariwa sikumoja apewe zamana yakuiongoza Tanzania 🇹🇿 ♥ ❤
Hongera waziri mkuu safi sana
Asante sana mwakilishi wetu mh waziri mkuu
Huyu ndie angefaa awe Rais wa nchi hii nibasi tu
Nakupenda Sana khasimu nataman hata nikuone moyo wangu usuzike
Nakukubali sana WAZIRI MKUU, copy ya JPM unajua kazi baba, huna baya...Big up
Nikimuona majaliwa najuwa tutakuwa salamatu, mungu akupe nguvu🙏🙏🙏
Jembe la jpm tunawapenda sana tumsaidie mama haowezi wanazani ukali umeisha
Safi kabisa . Wanataka kutupiga kidole asee. Wanajisemea TZ JINGA SANA. sasa hapo wamekutana na kali yao . Ukinyang'anywa passport ni kama umekatwa miguu asee. dwu!
Asante sana kaka Kissinga kwa ushaur wakoko lakin tayari umeonyesha jinsi gani hekima yako ilivyo kuwa ndogo na watu kama wewe hamfai kuongoza hata families . Haya maswala ndio hatuyataki kwenye Nchi yetu, mambo ya mim im somebody and you are nothing
Kazi iendelee
Angekuwepo Magufuli ahiiiiiii wangekiona cha moto
...mzee ina2pa moyo sana unafaa kua rais
I'm proud of this Man,Ni Mkali kuliko hata Jpm,
Tutamkumbuka JPM madudu yanaendelea MSD na Leo meli,keshotutaona mengine
Safi kabisa umefata nyayo za magu tz tungekuwa na watu kama ww tungekuwa mbali sana kimaendeleo
Eeh safi sana baharia Wang
Kwani waziri wa ujenzi yuko wapi na naibu wake siku zote mauzo ya kampuni yamefanyika....katibu mkuu, mkurugenzi, OCD, Takukuru , na RC, DC n.k wako wapi hadi waziri mkuu ndio afike mmelala tu
Warioba nakuelewa Sana....hivi hawa viongozi wa chini hawajui kuwa Kuna kazi ya serikali inaendelea hapo. Assume waziri Mkuu asingekuja. Hao viongozi uliowataja wore are they sleeping?
Kuna viumbe vya ajabu SANA yaani havina woga na PESA za serikali ☹️☹️☹️☹️🙌🙌🙌
tunakuombea sana hawa mashetani washindwe
Leo kwa Mara ya Kwanza nakupa hongera sana kwa hili
Ulitakiwa kuwa rais sema tu god bless you
Safi sana majaliwa!!!! Hapa kazi tu!!
R.i.p Jpm😭😭😭😭😭🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Rest in hell 😭
safisana raisi mtarajiwa
I miss JPM😭😭
Duh ni uhuni wa hali ya juu sana tena sana
Mama akiweza kukutumia ipasavyo naamini mambo yataenda hawo wengine wanampotosha mama
Mungu akulinde waziri mkuu
Majaliwa anatukumbusha JPM