Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kkkkkkk, Barabara inasura ya kutengenezwa!!!!! Hapo unasema yote ndugu mtangazaji!!
Sambaza kwa wengine
Jambo ndugu journaliste Roger,Nafurai sana kukuona Mazina yangu! Je unanikumbuka?Kazi njema Ndugu
Asante kwa kufwata tv yako. Kuusu Roger ukitaka kuwasiliana naye basi namba hiizi+243 973 472 269
Courage nikokigali Rwanda nigabriel
Mambo yote ya RDC ni kinyume kila kitu. Siajabu hapo ni usanii tuu hakutafanyika kitu hapo. Sasa kwanini wasilipe watu Hela kama wanavyo fanyaga inchi zingine!???
Asante na pia sambaza
Tuli ngodja barabara muda murefu watu wanatakiwa kubomowa barabara bila conditions yoyote
Nawafata Nikiwa sange DRC
Asante ndugu. Ambiiya wwtu wa Sange waji abonner
Distraction toujour distraction
Tuwape mdaaa
Miye ni emily Munyindu nazaliwa uvira kwa sasa niko sud afrique kwa sasa batengeneze ngambo moya kwanza jobabomowe mulongwe.
Sambaza kwa wengine huko afrika kusini
Namuona Kuku Boy Tu Sijaona Mtu Mwegine Apo 😂
Kwani serikali imetowa fidiya kwa wamiliki wanyumba zilizo bomolewa?
Tutawauliza tukipita
Kkkkkkk, Barabara inasura ya kutengenezwa!!!!! Hapo unasema yote ndugu mtangazaji!!
Sambaza kwa wengine
Jambo ndugu journaliste Roger,
Nafurai sana kukuona Mazina yangu! Je unanikumbuka?
Kazi njema Ndugu
Asante kwa kufwata tv yako. Kuusu Roger ukitaka kuwasiliana naye basi namba hiizi
+243 973 472 269
Courage nikokigali Rwanda nigabriel
Sambaza kwa wengine
Mambo yote ya RDC ni kinyume kila kitu. Siajabu hapo ni usanii tuu hakutafanyika kitu hapo. Sasa kwanini wasilipe watu Hela kama wanavyo fanyaga inchi zingine!???
Asante na pia sambaza
Tuli ngodja barabara muda murefu watu wanatakiwa kubomowa barabara bila conditions yoyote
Sambaza kwa wengine
Nawafata Nikiwa sange DRC
Asante ndugu. Ambiiya wwtu wa Sange waji abonner
Distraction toujour distraction
Tuwape mdaaa
Miye ni emily Munyindu nazaliwa uvira kwa sasa niko sud afrique kwa sasa batengeneze ngambo moya kwanza jobabomowe mulongwe.
Sambaza kwa wengine huko afrika kusini
Namuona Kuku Boy Tu Sijaona Mtu Mwegine Apo 😂
Kwani serikali imetowa fidiya kwa wamiliki wanyumba zilizo bomolewa?
Tutawauliza tukipita