Wali wa mandi | Mapishi rahisi ya wali wa mandi na nyama laini yakuchambuka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #waliwamandi #muttonmandi #rukiaskitchen
    Website:rukiaskitchen.com
    Instagram: rukias _kitchen
    Facebook: Rukias kitchen
    Cookpad: Rukias kitchen.
    English recipe press the link ➡️ Mutton mandi rice | How to make tasty mutton meat mandi rice | #Muttonmandi #Mandi. • Mutton mandi rice | Ho...
    Mahitaji ya nyama:
    Miguu wa kondoo
    Kitunguusaumu na tangawizi vijiko 2
    Limau 1
    Mafuta vijiko 3-4vya kula
    Garamasala kijiko chakula
    Paprika kijiko chakula
    Chumvi
    Pilipilimanga kijiko kidogo
    Manjano kijiko kidogo
    Meat masala kijiko chakula
    Mahitaji ya wali :
    Mchele vikombe 2
    Mdalasini
    Karafuu
    Pilipilimanga nzima
    Iliki
    Bayleaves
    Zabibu
    Kitunguusaumu punje 2
    Lozi
    Mafuta
    Maji
    Zafran /rangi ya machungwa
    Vitunguu maji 2

Комментарии • 105

  • @RukiaLaltia
    @RukiaLaltia  3 года назад +9

    If you would like to watch this video in English language press the link ➡️ ruclips.net/video/-_UR0jZWf50/видео.html

  • @nuryslam6544
    @nuryslam6544 Год назад +7

    Bibie nyama inachemshwa kwanza kisha supu yake inatumiwa kupika wali kisha utaweka nyama iliyoiva kwa oven....😅😅😅

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 3 года назад +9

    Rukia nakupenda Sana dadangu..huna choyo ma sha Allah Asante Kwa somo zuriiii Allah barik fiki ❤️❤️❤️❤️

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад +1

      Awwww Nakupendaaaaaaa Zaidiii my darling 🥰🥰🥰Shukran sana

  • @munnykara4649
    @munnykara4649 Год назад +1

    Masha allah umenivutia insha allah ntajaribu

  • @ashayummy2299
    @ashayummy2299 3 года назад +4

    mashaallah mashaallah rukia huu wali inshaallah utakuwa wa kuku mzuri sana nimeipenda sana
    😋😋😋🙏

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Shukran sana habibty 😘 next tym ntafanya na kuku inshallah 😋😋👌

  • @dydahskitchen6907
    @dydahskitchen6907 3 года назад +4

    Ma shaa Allah mate yanitoka hii mpaka niipike in shaa Allah

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Ameeen inshallah my darling Shukran 🥰

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Месяц назад

    Mashaallah

  • @vumiliahamisi7046
    @vumiliahamisi7046 3 года назад +4

    Maashaallah

  • @NabahanySwahabah
    @NabahanySwahabah Месяц назад

    Mashallah

  • @Husna_laltia
    @Husna_laltia 3 года назад +5

    MashaAllah hilo nofu si kwa style hio 🤤😋👌😂

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      😂😂😂😂😂na Unavyopenda kulaa mamaa si utamaliza pekee yako

    • @Husna_laltia
      @Husna_laltia 3 года назад

      @@RukiaLaltia bila masihara yaani 😂😂😂

  • @mapishiyazanzibar
    @mapishiyazanzibar 3 года назад +3

    Masha'ALLAH 😋😋 yaonesha tamu saaana

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад +1

      Yaaaani utamu hadi raha 😋 😋 😋👌

  • @amrahschannel5599
    @amrahschannel5599 3 года назад +1

    Nimerudi tena MashaAllah....eid loading perfect timing kabsaa

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Kabsa love 😋😋😋👌 nshakupatia menu tayari 😂😂🙈

  • @salmaalhumy4848
    @salmaalhumy4848 3 года назад +1

    Mandi yako okey nzury basi ulitowa mafuta ya nyama nyingi mandi itakuwa nzury zaidi na tamu ikiwa haolewi mafuta ya nyama itakuwa ina ladha tamu zaidi na shukran sana kwa mandi nzuri

  • @suhanaali1270
    @suhanaali1270 3 года назад +2

    masha'Allah JazakaAllah khair habibty love you napenda mapishi yko❣️❣️

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Awww Shukran Sanaa habibty 😘 love you too 🥰

  • @Sadedimples
    @Sadedimples 3 года назад +3

    Mashaallah !shukran yummy😋

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +2

    Ahsante sana madam

  • @tajiriskitchenswahiliflavo1723
    @tajiriskitchenswahiliflavo1723 3 года назад +1

    Masha'Allah Mandi imetokea vizuri had i imenitia Swaum na asubui 🙈

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      😂😂😂nakupakiya kwa dhl ule na my Shem 😋😋👌Shukran sista sista

  • @zayanaamour4882
    @zayanaamour4882 3 года назад +3

    Shukran saana
    Naomba kuuliza hiyo nyama kwenye oven unawasha moto wa chini tu
    Ao chini na juu ?

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Moto wa oven wa surrounding eco mode

  • @nabilaabdul2820
    @nabilaabdul2820 3 года назад +1

    😋

  • @violakabare7885
    @violakabare7885 3 года назад +1

    Wooh looks very delicious

  • @lulufnns5468
    @lulufnns5468 3 года назад +1

    Mashallah yammy 👌

  • @safiahashim1799
    @safiahashim1799 3 года назад +2

    mashaAllah

  • @amrahschannel5599
    @amrahschannel5599 3 года назад +3

    MashaAllah MashaAllah hbbty....perfect kabsaaa....nyama imeiva vizuri sanaa..i fry my nuts and raisins as well haha...I love how fluffy the rice turned out MashaAllah...my eid is sorted in shaa Allah.. nimefanya pilipili ya sambaro nakuletea ushukishie haha ..yummm

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      😂😂😂😂naingoja na dhl mm nataka hyo pilipili ya ndimu 😋😋👌Shukran sana my boo boo ❤️

  • @marthafredy429
    @marthafredy429 2 года назад

    Mashalaa uko vizuri my Mungu akubariki sana

  • @bintomarsiri8981
    @bintomarsiri8981 3 года назад +2

    Shukran Jazila

  • @zuhurarajabu6379
    @zuhurarajabu6379 2 месяца назад

    Uko vizuri dada

  • @eshakhalifa1089
    @eshakhalifa1089 3 года назад

    Allah akupe nguvu jaza yko iko kwa allah dadangu

  • @MaulidAli-ih9lf
    @MaulidAli-ih9lf 3 месяца назад

    Video Nzuri Sana Asante Kwa Mapishi Ya Mandi Shida Hatuna Oven Tunapikaje Nyama ?

  • @zuhurarajabu6379
    @zuhurarajabu6379 2 месяца назад

    Bby naomba utuleleteee recipe hiyo hiyo ya nyama lakini kwa air fryer

  • @nagmynamahin2463
    @nagmynamahin2463 3 года назад +2

    Nakupenda mamy😍😍😍😍

  • @zubbedatt2771
    @zubbedatt2771 2 года назад

    Masha, Alaah wali mutamu

  • @zulekharamadhan2016
    @zulekharamadhan2016 2 года назад

    Allah akuzidishie umri uzidi kutufundisha mashallah ❤️

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  2 года назад +1

      Ameeen yarabi inshallah 🙏

  • @thehonesty6765
    @thehonesty6765 3 года назад

    Ma shaa Allah chakula hiki nakipenda sana 😋

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Asante sana 🥰😋yaani utamu hadi raha

  • @namnanamna3615
    @namnanamna3615 2 года назад

    Wow my dear

  • @zainabubakari4156
    @zainabubakari4156 2 года назад

    Mash Allah

  • @magdalenewakio6876
    @magdalenewakio6876 3 года назад

    Mapishi ya hali ya juu..thanks Rukia

  • @NduwimanaZena
    @NduwimanaZena 4 месяца назад

    Naomba dada uniandiye ivyo viungo ili ni viandike Allah atakulipa kheri

    • @shamzone388
      @shamzone388 4 месяца назад

      Vipimo vitu vyote vipo hapo kwenye description box

  • @fatumahassan8425
    @fatumahassan8425 Год назад

    Maashaallwaa Dada

  • @jokharymkongo3926
    @jokharymkongo3926 3 года назад

    Mashaallah somo zuri

  • @zuhurarajabu6379
    @zuhurarajabu6379 2 месяца назад

    Dada Angu me nina shida ya wali
    Wali wangu unatota misaada plz nifanyeje????

  • @fatmamatuma4073
    @fatmamatuma4073 3 года назад +2

    Shukran Allah akubarik

  • @asmahkassim5892
    @asmahkassim5892 3 года назад +2

    😘😘

  • @asimwekaiza5848
    @asimwekaiza5848 3 года назад +2

    Yaani huwa nakuelewa sana kuliko wote

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Awwww jamanii asante sana 🥰

  • @hafidhally9779
    @hafidhally9779 Год назад

    mashaallah

  • @shuweykhaally3894
    @shuweykhaally3894 3 года назад

    Masha allah, Nakupenda rukia❤❤
    Naomba utuletee na pishi la mkate wa kiarabu na bokoboko.

    • @ngorweurongo8276
      @ngorweurongo8276 2 года назад

      Maashallah naomba kuuliza izo flaps hazipitishi Maj maana nilikuwa nazita k a

  • @salmaalhumy4848
    @salmaalhumy4848 3 года назад

    Mashaallah tabaraka alrahman

  • @mwanamimihamisi7789
    @mwanamimihamisi7789 3 года назад

    Ahsante Rukia's kitchen kwa somo zuri, nauliza mbadala wa rozi unaweza weka nn

  • @yakubuabdallah8052
    @yakubuabdallah8052 Год назад

    Very nice food

  • @yakubuabdallah8052
    @yakubuabdallah8052 Год назад

    Good

  • @miriamachieng6253
    @miriamachieng6253 Год назад

    napenda sana mapishi

  • @farhiyahussein6184
    @farhiyahussein6184 3 года назад

    Ma shall ah ila una tongeee dadangu

  • @swifatsukimtuliaswifatsuki3730
    @swifatsukimtuliaswifatsuki3730 3 года назад

    Asante sana nimeipenda

  • @mariangala4185
    @mariangala4185 3 года назад +2

    Nyama inakuwa tayari after how long?

  • @aishahussein3682
    @aishahussein3682 3 года назад

    M/mungu akubariki

  • @Peresian12
    @Peresian12 2 года назад

    Napenda video vyako. Naweza kutumia mchele wa pishori kwa hii recipe?

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Год назад

    Masikini Sisi tutaishia kuangalia Tu maana huo uwezo wa kununua mahitaji xx

  • @ozykay4349
    @ozykay4349 Год назад

    Do you have this video in English?

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  Год назад

      Yes kindly check on the description box

  • @eliasbujinji7118
    @eliasbujinji7118 2 года назад

    Mtalamu wa mapishi dada rukia naomba kuuliza hivi manjano ndo binzari?

  • @mkuusereyeh2350
    @mkuusereyeh2350 2 года назад

    Iwapo mtu hana oven atumie nini kupikia nyama yake??

  • @allymuntu4643
    @allymuntu4643 7 месяцев назад

    Umetumia mchele gani

  • @badawyhaji9288
    @badawyhaji9288 3 года назад

    😋😋😋😋😋

  • @khadijaswaleh8895
    @khadijaswaleh8895 2 года назад

    Kama huna oven utafanyaje?

  • @sabrinamsangi3116
    @sabrinamsangi3116 3 года назад

    MashaAllah do u have teachering classes

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      Yes I do contact ➡️ +254 740 797748

  • @marthafredy429
    @marthafredy429 2 года назад

    Me nauliza hiyo uliyokoroga sijui rangi ya machungwa umeweka kwenye nini sojaona

  • @daytoday3914
    @daytoday3914 2 года назад

    Hii nyama ni kilo ngapi ?

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232 2 года назад

    Afadhali utaje garam masaala uliotumia ina viungo vipi ikiwa watu wataka kuchanganya yao

  • @samirakiango957
    @samirakiango957 2 года назад

    Sauti mbayaa

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  2 года назад

      Hahahaha 😂 😂 😂 😂 weka ya kwako

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  2 года назад

      Kuboeka kubaya kumbe 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @asmaomar1471
    @asmaomar1471 3 года назад

    sante mtoto mzur

  • @alicemuigei8381
    @alicemuigei8381 3 года назад

    Using English when mentioning the spices

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  3 года назад

      All my videos are in English and swahili

    • @joycenoah9929
      @joycenoah9929 3 года назад

      Sor mchele unaotumia n mchele wa kawaida au upo special ?

  • @user-fn9nf8ym5m
    @user-fn9nf8ym5m 9 месяцев назад

    MashaAllah

  • @NernuMariam
    @NernuMariam 3 года назад

    MashaAllah