Wali wa mandi | Mapishi rahisi ya wali wa mandi na nyama laini yakuchambuka
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- #waliwamandi #muttonmandi #rukiaskitchen
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen.
English recipe press the link ➡️ Mutton mandi rice | How to make tasty mutton meat mandi rice | #Muttonmandi #Mandi. • Mutton mandi rice | Ho...
Mahitaji ya nyama:
Miguu wa kondoo
Kitunguusaumu na tangawizi vijiko 2
Limau 1
Mafuta vijiko 3-4vya kula
Garamasala kijiko chakula
Paprika kijiko chakula
Chumvi
Pilipilimanga kijiko kidogo
Manjano kijiko kidogo
Meat masala kijiko chakula
Mahitaji ya wali :
Mchele vikombe 2
Mdalasini
Karafuu
Pilipilimanga nzima
Iliki
Bayleaves
Zabibu
Kitunguusaumu punje 2
Lozi
Mafuta
Maji
Zafran /rangi ya machungwa
Vitunguu maji 2
If you would like to watch this video in English language press the link ➡️ ruclips.net/video/-_UR0jZWf50/видео.html
Asalamualykum siz shukran sana..ntapikakaje bila oven.
@@rahmahassan8574 0
Bibie nyama inachemshwa kwanza kisha supu yake inatumiwa kupika wali kisha utaweka nyama iliyoiva kwa oven....😅😅😅
Rukia nakupenda Sana dadangu..huna choyo ma sha Allah Asante Kwa somo zuriiii Allah barik fiki ❤️❤️❤️❤️
Awwww Nakupendaaaaaaa Zaidiii my darling 🥰🥰🥰Shukran sana
Masha allah umenivutia insha allah ntajaribu
mashaallah mashaallah rukia huu wali inshaallah utakuwa wa kuku mzuri sana nimeipenda sana
😋😋😋🙏
Shukran sana habibty 😘 next tym ntafanya na kuku inshallah 😋😋👌
Ma shaa Allah mate yanitoka hii mpaka niipike in shaa Allah
Ameeen inshallah my darling Shukran 🥰
Mashaallah
Maashaallah
Mashallah
MashaAllah hilo nofu si kwa style hio 🤤😋👌😂
😂😂😂😂😂na Unavyopenda kulaa mamaa si utamaliza pekee yako
@@RukiaLaltia bila masihara yaani 😂😂😂
Masha'ALLAH 😋😋 yaonesha tamu saaana
Yaaaani utamu hadi raha 😋 😋 😋👌
Nimerudi tena MashaAllah....eid loading perfect timing kabsaa
Kabsa love 😋😋😋👌 nshakupatia menu tayari 😂😂🙈
Mandi yako okey nzury basi ulitowa mafuta ya nyama nyingi mandi itakuwa nzury zaidi na tamu ikiwa haolewi mafuta ya nyama itakuwa ina ladha tamu zaidi na shukran sana kwa mandi nzuri
masha'Allah JazakaAllah khair habibty love you napenda mapishi yko❣️❣️
Awww Shukran Sanaa habibty 😘 love you too 🥰
Mashaallah !shukran yummy😋
Thank you 🥰
Ahsante sana madam
Masha'Allah Mandi imetokea vizuri had i imenitia Swaum na asubui 🙈
😂😂😂nakupakiya kwa dhl ule na my Shem 😋😋👌Shukran sista sista
Shukran saana
Naomba kuuliza hiyo nyama kwenye oven unawasha moto wa chini tu
Ao chini na juu ?
Moto wa oven wa surrounding eco mode
😋
Wooh looks very delicious
Mashallah yammy 👌
mashaAllah
MashaAllah MashaAllah hbbty....perfect kabsaaa....nyama imeiva vizuri sanaa..i fry my nuts and raisins as well haha...I love how fluffy the rice turned out MashaAllah...my eid is sorted in shaa Allah.. nimefanya pilipili ya sambaro nakuletea ushukishie haha ..yummm
😂😂😂😂naingoja na dhl mm nataka hyo pilipili ya ndimu 😋😋👌Shukran sana my boo boo ❤️
Mashalaa uko vizuri my Mungu akubariki sana
Shukran Jazila
Uko vizuri dada
Allah akupe nguvu jaza yko iko kwa allah dadangu
Video Nzuri Sana Asante Kwa Mapishi Ya Mandi Shida Hatuna Oven Tunapikaje Nyama ?
Bby naomba utuleleteee recipe hiyo hiyo ya nyama lakini kwa air fryer
Nakupenda mamy😍😍😍😍
Mm pia 🥰🥰
Masha, Alaah wali mutamu
Allah akuzidishie umri uzidi kutufundisha mashallah ❤️
Ameeen yarabi inshallah 🙏
Ma shaa Allah chakula hiki nakipenda sana 😋
Asante sana 🥰😋yaani utamu hadi raha
Wow my dear
Mash Allah
Mapishi ya hali ya juu..thanks Rukia
Naomba dada uniandiye ivyo viungo ili ni viandike Allah atakulipa kheri
Vipimo vitu vyote vipo hapo kwenye description box
Maashaallwaa Dada
Mashaallah somo zuri
Dada Angu me nina shida ya wali
Wali wangu unatota misaada plz nifanyeje????
Shukran Allah akubarik
Ameen 🤲🤲
@@RukiaLaltia Ameen
😘😘
Yaani huwa nakuelewa sana kuliko wote
Awwww jamanii asante sana 🥰
mashaallah
Masha allah, Nakupenda rukia❤❤
Naomba utuletee na pishi la mkate wa kiarabu na bokoboko.
Maashallah naomba kuuliza izo flaps hazipitishi Maj maana nilikuwa nazita k a
Mashaallah tabaraka alrahman
Ahsante Rukia's kitchen kwa somo zuri, nauliza mbadala wa rozi unaweza weka nn
Korosho
Very nice food
Good
napenda sana mapishi
Ma shall ah ila una tongeee dadangu
Asante sana nimeipenda
Nyama inakuwa tayari after how long?
M/mungu akubariki
Ameen
Napenda video vyako. Naweza kutumia mchele wa pishori kwa hii recipe?
Ndio waeza
Masikini Sisi tutaishia kuangalia Tu maana huo uwezo wa kununua mahitaji xx
Do you have this video in English?
Yes kindly check on the description box
Mtalamu wa mapishi dada rukia naomba kuuliza hivi manjano ndo binzari?
Manjano ni tumeric
Iwapo mtu hana oven atumie nini kupikia nyama yake??
Umetumia mchele gani
😋😋😋😋😋
Kama huna oven utafanyaje?
MashaAllah do u have teachering classes
Yes I do contact ➡️ +254 740 797748
Me nauliza hiyo uliyokoroga sijui rangi ya machungwa umeweka kwenye nini sojaona
Hii nyama ni kilo ngapi ?
Afadhali utaje garam masaala uliotumia ina viungo vipi ikiwa watu wataka kuchanganya yao
Sauti mbayaa
Hahahaha 😂 😂 😂 😂 weka ya kwako
Kuboeka kubaya kumbe 🤣🤣🤣🤣🤣
sante mtoto mzur
Using English when mentioning the spices
All my videos are in English and swahili
Sor mchele unaotumia n mchele wa kawaida au upo special ?
MashaAllah
MashaAllah