Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA KANISA LA TAG NCHINI-KUTOKA UWANJA WA UHURU DSM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • Maadhimisho ya Miaka 85 ya TAG Nchini kutoka Uwanja wa uhuru Dsm

Комментарии • 47

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 Месяц назад +5

    Hongereni sana ndugu zetu ktk BWANA YESU, mimi nabarikiwa sana kuona kundi la BWANA YESU likisonga mbele. I feel proud in JESUS name because of you TAG church. GOD bless you all abundantly
    By SARAH WAMBURA from EAGT KILOLENI TABORA

  • @user-un7gl4wk5i
    @user-un7gl4wk5i 28 дней назад

    Hongera sana mtumishi wa Mungu B Mtoka mbali kwa Kazi kubwa🎉

  • @SaramatundaNativo
    @SaramatundaNativo 20 дней назад

    Barikiwa sana tag kwa uwepo wako wa miaka 85 nchini hakika tumeuona mkono wa bwana Mungu ametutendea makuu❤

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh Месяц назад +1

    T.A.G Mungu yupo asee

  • @alphaxadndaki7080
    @alphaxadndaki7080 Месяц назад +1

    Safi sana hii. Utukufu kwa Bwana wa majeshi

  • @user-gg5cy1zt9v
    @user-gg5cy1zt9v 29 дней назад

    Mungu ainuliwe kwajil ya T,A, G 🙏🙏🙏

  • @lauthandondile
    @lauthandondile 28 дней назад

    Glory to God

  • @JESUS354
    @JESUS354 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤:: TUKIO LA BARAKA NYINGI MNOO HILI.

  • @bethuelkonyuniofficial7930
    @bethuelkonyuniofficial7930 Месяц назад +1

    Glory to the almighty God 🙏

  • @gasperjohn7895
    @gasperjohn7895 Месяц назад

    Amina...

  • @martinpatrice9936
    @martinpatrice9936 Месяц назад +1

    Waoooh good

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 Месяц назад

    Hongereni sana TAG kikubwa tuzidi kudumisha upendo wa Kristo na umoja.

  • @MwaminiMuumbaji
    @MwaminiMuumbaji 13 дней назад

    Ee YESU NIREHEMU

  • @paulomussa9140
    @paulomussa9140 Месяц назад

    Mungu awabariki na mkaze mwendo

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 Месяц назад

    Utukufu Kwa Yesu. Mungu mkuu

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Месяц назад +1

    Yaani kanisa la TAG TUMEKOSA TV YETU KWELI MAANA NY WANAFELI SANA

    • @sarahmaro215
      @sarahmaro215 Месяц назад

      Iko njiani inakuja, usihofu, kill jambo na wakati wake

  • @bungigemangana4171
    @bungigemangana4171 Месяц назад

    TAG Mmetisha kwa utukufu kwa Mungu

  • @SophiaZahoro-i1k
    @SophiaZahoro-i1k Месяц назад

    Sifa na utukufu kwa Mungu juu.

  • @LukaLazaro-ew7ei
    @LukaLazaro-ew7ei Месяц назад

    hongera sana baba yetu

  • @ester5542
    @ester5542 Месяц назад

    Ameeen

  • @alphaxadndaki7080
    @alphaxadndaki7080 Месяц назад +1

    Mpiga picha hajamfocus vizuri mheshimiwa waziri mkuu

  • @josephnyangusi516
    @josephnyangusi516 Месяц назад

    Amen

  • @venancemwakibete9763
    @venancemwakibete9763 Месяц назад

    Mozes kurora kama nani atajwe hapo hongera TAG songa mbele kurola arudishe majengo ya TAG hapo TAG itaanza kumtaja katika historia

  • @user-xs3vg6qy6k
    @user-xs3vg6qy6k Месяц назад

    Haleluya kwa Bwana

  • @AstiNyagawa
    @AstiNyagawa Месяц назад

    Mungu mwema kwetu siku zote.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Месяц назад +2

    hapo Shetani anaaibika Kabisaa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад

      Kama wapo manabii na mitume wale wanaouza mafuta,maji na udongo hapo shetani anainuliwa

  • @masweto
    @masweto Месяц назад

    Saafi kabisa

  • @SamMichael-v6t
    @SamMichael-v6t Месяц назад

    Inapendeza sana

  • @juliussimwinga8435
    @juliussimwinga8435 Месяц назад

    Sifa na utukufu vina yeye milele.

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Месяц назад

    Leo ilikuwa siku nzuri sana

  • @gugainukaentertainment85
    @gugainukaentertainment85 Месяц назад +1

    NY tv mnaferi pakubwa Badilikeni

    • @kalebishedrackmhawi4236
      @kalebishedrackmhawi4236 Месяц назад

      Bado wanahitaji elimu ya namna bora ya kupiga picha hasa matukio makubwa

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FanuelOmmyngaa
    @FanuelOmmyngaa Месяц назад

    Hakika Bwana Ni mwema

  • @PaulShija-o3y
    @PaulShija-o3y Месяц назад

    Tukio la maana kwelikweli katika Bwana

  • @bernadoadriano922
    @bernadoadriano922 Месяц назад

    YESU GUNTOOOOO!!!!
    TAG GUNTOOOOO!!!

  • @AbduliJuma-c1b
    @AbduliJuma-c1b Месяц назад

    Jaman MUNGU aendelee kukutunza kanisan letu

  • @praygodmanyanga4407
    @praygodmanyanga4407 Месяц назад

    hongereni ila Mlichokosea ni kushindwa kumtaja Dr Moses kulola mmekosea sana Hilo ni lazima tuwaambie ukweli hapo mmekosea huo uzuri uko wapi huku mna chuki

    • @evaristkobelo3936
      @evaristkobelo3936 Месяц назад +1

      Atatajwa kwenye maazimisho ya Eagt

    • @NoelKomba-bj4yr
      @NoelKomba-bj4yr Месяц назад

      Kulola ni miongoni mwa wachungaji wengi wa T.A.G na aliwahi kuwa makamu Askofu mkuu na waliotajwa ni Maaskofu wakuu tu....
      Wako wengi usijisikie vibaya

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Месяц назад

    Rusheni hata drone tuzione

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Месяц назад

    Mbona moses kulola hatajwi???