MWIJAKU AONESHA MASSAGE ZOTE MANARA ALIZOMTUMIA MO DEWJI MATUSI MAZITO/ BABRA UNATOKANAE KIMAPENZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 авг 2021
  • #TOPLEVELTZ

Комментарии • 518

  • @manenoanthonymachaku698
    @manenoanthonymachaku698 2 года назад +11

    Wanaompenda Manara badala yakuipenda Simba tunaomba mtuachie Simba yetu,,, ONDOKENI NAE WANAFKI.

  • @tulia_tz2947
    @tulia_tz2947 2 года назад +1

    Unajikomba komba tu bwege Mmoja wew😎😎😎😎

  • @tesenimasige6414
    @tesenimasige6414 2 года назад +1

    Uko vizuri kaka manara ni motto

  • @yasirihamisi4090
    @yasirihamisi4090 2 года назад +1

    Safi sana mwijaku tuko wote SIMBA nguvu
    moja 👍👍👍👍👍

  • @hamisimaliseri8872
    @hamisimaliseri8872 2 года назад +5

    Bora ulivyomjibu big up, Mwijaku

  • @tamimtours6934
    @tamimtours6934 2 года назад +11

    MBONA UNAPENDA KUJPENDEKEZA NAWW KLA SEHEM MWANAUME MZMA.!!!!!

    • @makwaya7668
      @makwaya7668 2 года назад

      Kama shoga vile lishapewa hela hilo

    • @mamboleotv255
      @mamboleotv255 2 года назад

      NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE}

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 года назад

      Atakuja wamle tigo huyu jamaa we ngoja tu

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 2 года назад

      Shoga wewe nahuyo nguluwe Poli wako

  • @gracetanyungu4727
    @gracetanyungu4727 2 года назад +2

    Mwijaku.mjinga saana

  • @aliabass9392
    @aliabass9392 2 года назад

    Uko vizuri tu bro.mwjk!

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 2 года назад +2

    Upo sawa Sana unajielewa bradha bigap sana

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 2 года назад

    Kweli kabisa mwijaku na kukubali / 100 Kwa mia umeonges vitu bus Maana Sana tunakusikiza kutoka omani mascati

  • @athumanimwamedi3300
    @athumanimwamedi3300 2 года назад +1

    swadakta uko vizuri mwijaku bora usaidie kuwaelimisha wa tanzania zaid wanasimba

  • @mahewamahewa6461
    @mahewamahewa6461 2 года назад +1

    We mrundi vp

  • @muhammedally2838
    @muhammedally2838 2 года назад +2

    Uko saw kak mwijaku haji nichizitu ambae hafkirii kama anajiaribia uaminifu

  • @korekalukumay7197
    @korekalukumay7197 2 года назад +3

    Digital kweli, hongera xn

  • @samlisili7032
    @samlisili7032 2 года назад +1

    🤝🤝🤝🤝🤝SARUTI SANA SANA .......💣💥🔥🔥🔥NIMEKUPATA NA NIMEKUEREWA SANA ......MUNGU HAENDEREE KKUPA KHEMA MY BRADHA

  • @rhamahmwinyijr4220
    @rhamahmwinyijr4220 2 года назад +3

    Dah big up brother

  • @yusufufikiri5005
    @yusufufikiri5005 2 года назад +2

    Msenge tuuu. Mbone juzi timu imeenda morocco, imeenda kwa mchango wa nani? Kama si MO mwenyew ndiye alieipeleka. Ndiyo maana Nugaz anamuita msukule

  • @mdangadaniel2185
    @mdangadaniel2185 2 года назад

    Mwijaku nakuchukia sana sijawahi kukupenda unanikera

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 года назад +8

    Disco limeingia Masai we na mpira wapi wapi kabishane na baba levo mipira waachie wenyewe

    • @mamboleotv255
      @mamboleotv255 2 года назад

      NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE}

  • @muzneali1164
    @muzneali1164 2 года назад +1

    MOOOOO MWIJAKU HUYO ANAJIPIGIA PROMO 😂😂😂😂 MSEMAJI KAPATIKANA😂😂😂

  • @muzneali1164
    @muzneali1164 2 года назад +2

    Wewe Mwijaku 😂😂😂 kazi umeipata hongeraaaaa

  • @abdulyjamal1529
    @abdulyjamal1529 2 года назад

    Hili mwijaku fala sana kwn ww ndo unayoyajua khs manara alokuwa anafanyiwaa ww fala sanaa

  • @muhammedally2838
    @muhammedally2838 2 года назад +2

    Haji manara mpumbavu tu mwehuu kabisa

  • @ibrahimlema.3600
    @ibrahimlema.3600 2 года назад +1

    Yan kaka mwinjakuu uko vzr sana ndio maan una chetii mungu azid kupa upeo mkubwa ulio wa kher kk na uzidii kutuelimis weng zaid.

  • @godfreychitanda127
    @godfreychitanda127 2 года назад +1

    Sawa Asante saana

  • @maammudmohammad4306
    @maammudmohammad4306 2 года назад

    naomba na sanamu moja ya kibwengo manara mtengeneze pia

  • @ombenimalisa4499
    @ombenimalisa4499 2 года назад +2

    Manara anapaswa kuwa na hekima Sanaa atajichafuliya hata nafasi zingine kwa makampuni na taasisi mbali mbali

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 2 года назад +5

    Huyu jamaa angekua wakati wa mkoloni angekua mnoko kweli kibaraka

  • @zuberimohamedi7913
    @zuberimohamedi7913 2 года назад +1

    Mke wa boss

  • @mussaajalimnyasa1042
    @mussaajalimnyasa1042 2 года назад +1

    Safi sana brother

  • @samsunggalax8258
    @samsunggalax8258 2 года назад +1

    Lol kweli huyu baba mnafik sana roho mbaya

  • @charlesking8252
    @charlesking8252 2 года назад +3

    Jamaa katoka kigoma kaibukia mbagara... saivi analazimisha umaarufu... mavi tu hili ... ulimi mzito kama nanihiii...

  • @sebastianmboya6702
    @sebastianmboya6702 2 года назад +1

    Huyu kaka ni mjinga sana hana fact, hoja nzito anajibu kiwepesi

  • @shebbykweli6399
    @shebbykweli6399 2 года назад +9

    Fact brother nguvu moja 💪

  • @richardmakene7780
    @richardmakene7780 2 года назад

    Mwijaku usjali huko sahih bhn yey manara syo mwanzilish wa smba kwahyo aende zake tuuuu ss tnataka pessa syo upuuuz wake na akakope kama atakopeshwa

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 2 года назад +1

    Manara Yuko vzur

  • @huseinkudrat2052
    @huseinkudrat2052 2 года назад +2

    SIMBA nkubwa kuliko mtyu yoyote wanaofuatiwa ni mashabiki wasimba manara tupac kule

  • @abdulyjamal1529
    @abdulyjamal1529 2 года назад

    Anaenda mbele mara arud nyuma km mlevi. Inshort hana akijuachooo

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 2 года назад +1

    Mo hawezi kukupa kazi we ni lopolopo..huna jipya mwijaku tulisha kuzoea huna madhara.

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 года назад +4

    Mgogoro umepoteza hata furaha ya ubingwa na ushindi wa Kigoma. Na bado

  • @chasonboy
    @chasonboy 2 года назад

    Mwijaku nimekuelewa. Lazima tubadilike

  • @mahewamahewa6461
    @mahewamahewa6461 2 года назад +1

    Mwijaku chawa

  • @rajabujohn4573
    @rajabujohn4573 2 года назад +4

    Kisha tajili mtoto mwambie atuliye ofisini kwake sisituta pambana kwajiliyake tukokwajili ya Simba atakae igeuka Simba hatumuachi hivihivi kikubwa kwetu nisimbakwisha kauli ya wanasimbatu dadeki sisisimbaaa

  • @geofreymsigala9181
    @geofreymsigala9181 2 года назад +2

    Sikupenda kuandika, lakini daaaahhhh hili jamaa linaongea pumba saaaaaana

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam4029 2 года назад +2

    Mwijaku we ndio msemaji WA mabingwa WA inch simba saiv tunakuelewa bro uko safi

  • @abrahamrubeni5905
    @abrahamrubeni5905 2 года назад +2

    Safi Sana mwijaku

  • @richardmecha8166
    @richardmecha8166 2 года назад

    Utaolewa una kiherehere sana mjinga mmoja

  • @mbogofrank1154
    @mbogofrank1154 2 года назад +1

    Asante babra kwa kuliona hili maana tulifungwa akili na hii ngulue msukule

  • @kisindeathumani8269
    @kisindeathumani8269 2 года назад +1

    Safi sana mwanbie huyooo

  • @feisalabdallah7753
    @feisalabdallah7753 2 года назад +1

    Mpaka anamshambulifu haji ktk simu na wewe kaa tayari kyna siku utafukuzwa inataka kutoka ktk yutube ndungu yangu

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 Год назад

    Bigup kaka

  • @sharifahamad2442
    @sharifahamad2442 2 года назад +2

    Uyu jama Ni muha mwenzangu lakini akili zake chafu. Ndo maana baba levo alimwambia kichwa chake kimeshonwashonwa.

  • @abdallahmasaga9011
    @abdallahmasaga9011 2 года назад

    Bro mwijaku big up ,boss mo impendeze akupe nafasi kama msemaji WA simba uko vzuri sana sana.

  • @fredkiula7219
    @fredkiula7219 2 года назад +1

    Yes

  • @jabililitinji5193
    @jabililitinji5193 2 года назад +2

    Uko Safi Sana brother

  • @ahmedabdirasaq6645
    @ahmedabdirasaq6645 2 года назад +1

    Wewe kuma sna mwijaku acha kuwatetea watu ambao wana roho mbaya manara kaongea ukweli

    • @ramsomarusu4507
      @ramsomarusu4507 2 года назад

      Huna unacho kijuw ww bhn bora usikilize tu ukalale uko

  • @yusraaally8760
    @yusraaally8760 2 года назад

    Mwijaku ana ongea pwenty sana

  • @alhaji8546
    @alhaji8546 2 года назад +4

    Msimseme Manara kwa sababu kasema, ni haki yake kusema kwa aliyonayo. Hata ww unasema ambayo unaona ni sawa kwako wakati sio yote ni sawa.

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 2 года назад

      Haji kakosea uleniushamba alichokikusudia kakikosa msukule yule. GSM yeye siyo mwekezaji Utopolo? Au unafikilia sie matashira kama yeye ndondocha nguruwe yule mfanaji

  • @joshuakibale1371
    @joshuakibale1371 2 года назад +1

    Mwijakuuu oyeeeeee, POINT nzuri kabisa

    • @allyshaibu254
      @allyshaibu254 2 года назад

      Anatafuta kiki pia ataki kukubali mapungufu yake

  • @alfredmapile5784
    @alfredmapile5784 2 года назад +1

    Manara hovyo aisee

  • @josephmahubemaro7406
    @josephmahubemaro7406 2 года назад +1

    Mimi Joseph Mahube nili shaongea huku nyuma huyo manara haji sasa hivi ame sha changanyikiwa na nili toa tahadhari kwa wanayanga lazima ata wauza haji manara sio mtu mzuri mimi nili sema

  • @muzneali1164
    @muzneali1164 2 года назад +3

    Kesho Insha Allah nenda ofisini Kwa Babra ukachukue contract yako seriously??😂😂😂😂🤣🤣🤣

    • @bensimoni8149
      @bensimoni8149 2 года назад

      Points sana muelewa ata get point

  • @massoudomar3575
    @massoudomar3575 2 года назад +1

    Www Simba na mke ni vitu 2 tofauti hujui kuongea lwanza

  • @collinyusuph9725
    @collinyusuph9725 2 года назад +1

    Mwijaku unazeeka vbya umetoka Kwa wasaf umehamia Kwa Haj nenda kacheze unakochezaga

  • @magangaumeme
    @magangaumeme 2 года назад +4

    Lengo la manara ni kutufanya wana simba tumwamini sisi tuna imani na MO

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 2 года назад

      Halafu yy haji kibaka tu tumuache mtu ambaye anatoa pesa zake tufate mtu pangu pakavu tia mchuzi..!

  • @mshalihamisi2231
    @mshalihamisi2231 2 года назад

    Unatosha kaka mwijaku kua msemaji wetu omba Nazi ikijitokeza . hakimu mshali Mombasa kenya

  • @feisalabdallah7753
    @feisalabdallah7753 2 года назад +1

    Sikia ndugu yangu wazi.wewe hujui chochote na ni mnafik umesahau mo kamdhulumu haji manara hiyo kwanza

  • @ernestakili874
    @ernestakili874 2 года назад +1

    Kabisa broooo aiache Simba akwendreee

  • @massoudomar3575
    @massoudomar3575 2 года назад +1

    Ww kazi yako kumsifia mooo sawa njaaa inakusumbua pole yako

  • @hulukaiddy9881
    @hulukaiddy9881 2 года назад +1

    Xaf xana brother upo sahihi

  • @brunompolle1404
    @brunompolle1404 2 года назад +3

    Ili linaonekana Lina matatizo ya ubongo kama anavyosemaga baba levo ajari imemwasili ubongo kila sehemu yoyote anajipendekeza kila kitu kwake furusa hata akiambiwa kujamba fursa ataanza kesho kujamba sana

  • @mbinonyoso7501
    @mbinonyoso7501 2 года назад +1

    UYU MWIJAKU IZO MSG AMEZITOWA WAPI FARA MWIJAKU HANAHAKIRI

  • @hulilodonard5524
    @hulilodonard5524 2 года назад +1

    Big up mwijaku dc Kama dc

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 года назад +4

    Huyu yupo tayari kupokea laki 7 kwa miezi mitatu

  • @erastochristophertv3151
    @erastochristophertv3151 2 года назад +1

    Manara aisilete chokocko kasha ondoka kaondoka atuache na mo wetu akope asikope ye inamhusunini?

  • @muhdsseif9620
    @muhdsseif9620 2 года назад +1

    MSIHANGAIKE, MANARA YUKO KATIKA KAZI ANAYOLIPWA YA KUIHUJUMU SIMBA. SASA ANATAPATAPA MAANA HAIPATI FURSA HIYO TEENA.

  • @hamadshembago7647
    @hamadshembago7647 2 года назад +2

    Nice talk bro kumbe sometime unajifyatuaga tu,hapa Leo nimekuelewa vizur Sana pia unastahili kuwa msemaj😀😀

    • @mamboleotv255
      @mamboleotv255 2 года назад

      NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE}

    • @wimkoenterprises2871
      @wimkoenterprises2871 2 года назад +1

      Mwijaku hiyo nafasi wengi tuliitaka ili tumjibu ndg,yetu haji manara kwanza kapoteza dira na hana fadhira wala shukrani yeye anadhan anaivua nguo simba kumbe anajivua nguo mwenyewe huyo hata nyumbani kwake hana subira ya kauli wala hekima nashukuru sana kaka kwa kumjibu kwa niaba yetu, SIMBA IS NEXT LEVEL

    • @samirakhamis9982
      @samirakhamis9982 2 года назад +1

      Sio vzr kumpoda manara tena ana ulemavu wa ngozi amejitahidi juu ya kuwa anamapunguvu mwafrica mwenzuni mnamponda hamna umoja kabisa tunampenda sana manara wetu

  • @didakauli1374
    @didakauli1374 2 года назад +7

    wew unatundanganya taaluma, kuna vitu vingine haviitaji Taaluma? Acha uongo?

    • @rashadymuhamad6293
      @rashadymuhamad6293 2 года назад

      Ni kweli dida, umeongea point kabisa "performance" ni kitu cha msingi zaidi kuliko vyeti. Wakati mwengine vyeti huwa haviendani na uwezo binafsi wa mtu. Mtu kujifia kuwa "Mimi ni msomi" huwa anani vuruga sana kichwani, humuona kama ana "superiority complex" na kutafuta Kiki. Simkingii kifua Manara, hakuna mkamilifu, lakini kila mmoja ni muhim kwa nafasi yake.

    • @rashadymuhamad6293
      @rashadymuhamad6293 2 года назад

      Mtu kujisifia "Mimi ni Msomi au nina taaluma kubwa" Soo sahihi

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 2 года назад +1

    Mwijaku umeongea sana na nimependa maoni yako kwa ndugu yangu Haji, lakini Sanamu ya MO msiitengeneze kwani waisilamu hatuna mila ya zawadi za sanamu, isije kuabudiwa na watakao kuja miaka ijayo.Wabillah tawfiq

    • @rashadymuhamad6293
      @rashadymuhamad6293 2 года назад

      Asante Sana brother Ni kumbusho kubwa Sanaa kwa Mwinjaku very very big point and observation. Ushabiki wake wa mambo ya kidunia yasimtoe katika imani yake, yakavuruga maisha ya khatima yake ya milele.

    • @rashadymuhamad6293
      @rashadymuhamad6293 2 года назад

      Hapaswi kushabikia kutengeza Sanam na kubandika sehem Kama kumbukumbu za baadae

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 2 года назад +2

    Mropokoji mwijaku huezi ifikia elimu na busara ya manara hata unavyoongea unafoka kma unarap sijui au unatufokea kutuforce tukuelewe🤭

  • @marafikibungalows.kiwengwa7844
    @marafikibungalows.kiwengwa7844 2 года назад +1

    Mbona unapenda kuingilia mambo ya watu, yani shogaaa diamond na alikiba upo, diamond na harmonize upo, hamorapa akijibizana na nandy utakuwepo Fata yako Acha ushoga unajipendekeza Sanaa mpe tako huyo mo

  • @paulojoseph3019
    @paulojoseph3019 2 года назад +1

    Kwe ndo maana mwajili wako always yuko right hata kama kakosea but sio babako unaweza pata ajira sehemu nyingne but usiharibu pale ulipotoka kisa ufukuzwa nimekupata Mzee baba

  • @ismailhassan5662
    @ismailhassan5662 2 года назад +3

    Ivi ili nipunda lawapi hoja hauna unaleta ngonjera jibu kwahoja mbwa ww taira

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 года назад +1

    Mwijako sikupendi.lkn umeongea point.simba oyeeeeeeeeeee

  • @allykiwembo3043
    @allykiwembo3043 2 года назад +1

    yan alichokifanya manara ingekuwa kama ndo jeshini manara angepigwa risasi kwa kutowa siri za jeshi

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 2 года назад +4

    Manaraaaaa💪✔

    • @joelyphinias4700
      @joelyphinias4700 2 года назад

      Uxiponge mtu anae toka kwetaswira yakuixhi nawatu

  • @aboubakariddy8323
    @aboubakariddy8323 2 года назад +1

    huyo MO DEWJI nae wafanyakaz wake wote wanalia njaa tu anajifanya ametoa m 20 we mfanyakaz unampa mshahara laki moja halaf unanifanya tajir MANARA yupo AZAM mkataba 3 milion kwa .mwez

  • @korekalukumay7197
    @korekalukumay7197 2 года назад +1

    Manara alikosea sn,engejitambua angeomba tu radhi wanasimba

  • @francismwakajongolo6454
    @francismwakajongolo6454 2 года назад

    mwijaku kweli we jamaa ni mzalendo ubalikiwe sana kiongozi

  • @muzneali1164
    @muzneali1164 2 года назад +1

    MANARAAAAA rudiiiii Mwijaku anakuuuwa huku😂😂😂😂😂😂

    • @abdulrahmanmussa4479
      @abdulrahmanmussa4479 2 года назад

      Hahaha Bugatti yupo safari subiri arudi inshaallah lofa huyu anaropoka tu Baba levo anasema huyu mgonjwa wa akili

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 2 года назад

      @@abdulrahmanmussa4479 manara ndo Hana akili

  • @aboubakariddy8323
    @aboubakariddy8323 2 года назад +1

    babu we baki kwenye mambo yako yakimbea tu yakina mobeto huku kwenye mpira tuache bhn asee ushoga wako huko huko

  • @silvanussilva4184
    @silvanussilva4184 2 года назад +1

    Umetumwa Fala wew !!?? Unajidai unajuaaa sura kama idd amin !!??

  • @habibamhamod1149
    @habibamhamod1149 2 года назад +1

    Sema mwijaku na huyu manara leo anaizarau simba ndio ili mfungulia milango ya liziki kwakwe kuna watu hana shukulni na wala awafadhiliki

  • @venancebayasabe3797
    @venancebayasabe3797 2 года назад

    Good boy.

  • @abdulyjamal1529
    @abdulyjamal1529 2 года назад

    Njaaa mbaya sanaa

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 2 года назад +5

    Aliyeingia Simba kumfata Manara, Manara hayupo, kama vipi na wewe ondoka mfate huko aliko, asituchanganye mpita njia Haji

  • @ayouallymfinanga28
    @ayouallymfinanga28 2 года назад

    safi sana bro mchane huyo

  • @rashidijuma5925
    @rashidijuma5925 2 года назад +2

    Umeshakula mkubwa wacha Mambo ya kinfki umemshindwa mondii Leo umeamuwa kurud kwa haji

  • @muzneali1164
    @muzneali1164 2 года назад +1

    Duuuh Mwijaku ukiikosa nafasi hiyo nitawa laani Simba

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 2 года назад +4

    Hahaha njaa bhana dahh anyway wanaume wamekuwa kama mademu bro change