Kisa cha mzee ambaye akikwambia siku mbili haziishi unakufa unakufa kweli - Sheikh Othman

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 115

  • @AlimaSadiki
    @AlimaSadiki 2 месяца назад

    Allah akuongoze shekhe wang

  • @mwnab1697
    @mwnab1697 Год назад +7

    Inalilah wainal rajiun Allah tujalie mwisho mwema inshallah
    😭😭😭😭😭

  • @mtalesophia3830
    @mtalesophia3830 Год назад +2

    Inna lillahi waaina ilahi rajiuna Allah atujalie mwisho mwema sote tunaokufuatili shekhe

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 Год назад +3

    Inna lillah wa inna ilaih raaji'u. Allah amrehem marehemu na Aturuzuku sisi mwisho mwema

  • @abdulzakaria4588
    @abdulzakaria4588 Год назад +3

    Subhana Allah. Mwenyezi Mungu atujalie na mwisho mema. Amin. Amin. Amin.

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Год назад +11

    Inna lillah wa inna ilaihi radjiun, Allah amsamee na atuongoze tulio baki

    • @layleyla
      @layleyla Год назад

      Alikua Ashamsamehe hio kutamka shahada ukiondoka duniani ni kheir kubwa mno maana Allah Ashasema Mwisho mwema ni kwa wale wamchao Allah Subhanahu wa ta ala kheir ambazo mja ametenda, ajuae ni Allah pekee

  • @AhmedHassan-zh8dd
    @AhmedHassan-zh8dd Год назад +2

    😢 Alhamdilillahi Allah atupe mwisho mema

  • @HafsaShaban-mg3ti
    @HafsaShaban-mg3ti Год назад +2

    Allah atupe mwisho mwema ndo pale unasikia pepon utaingia kwa rehma za mwenyezi Mungu subhan Allah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +12

    Subhana ALLAH! Allah Atupe Mwisho Mwema, Tufe Na Kalma La Illaha Illah ALLAH, Muhammadu Rassulu ALLAH. Allahumma Amiin

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 Год назад +2

    Allahu Akbar!Allah atujalie sisi waja wake wepesi wa kutamka kalma,na atupe mwisho mwema InshaAllah

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Год назад +2

    Subhanna allah Allah atujalie mwisho mwema
    Innalillahi wainalillah rajiun

  • @AsmahMakunge
    @AsmahMakunge Год назад +2

    Allah akuongoze akusamehe na makosa yako

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990
    @shekhabbasisharifuonlinetv5990 Год назад +3

    Shekh Allah akuthibishe na akuweke katika waja wake wema daima tunakupenda shekh wetu nafaidika sana na maawaidha YAKO,

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Год назад +2

    Innalillah Wa Inna Illah Rajiun
    Allah ampe kauli thabiti

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Год назад

    Allah atupe mwisho mwema

  • @rukaiyalema7966
    @rukaiyalema7966 Год назад +1

    Subhana llah 😭😭😭😭😭😭 allah atujalie mwisho mwemaa🤲🤲

  • @florencekawira2212
    @florencekawira2212 Год назад

    Yesu alisema tusiogope, shetani Hana nguvu yeyote. Bora kuwa shupavu. Mwamini mwenyezi Mungu atakujalia mema

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Год назад +1

    Yaallha tujalie mwisho mwema waja wako Alahumma amin

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Год назад +2

    Innalilahy wainnaillahy rajun Allah atuongoxe yarrabh

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 Год назад +1

    وإلى الله ترجع الأمور !
    Ahsante Shiekh kwa darsi Allah akulipen Ameen!

  • @hadrandege
    @hadrandege Год назад +1

    Yallah tunakuomb utupe mwisho mwema

  • @allymashaka3471
    @allymashaka3471 Год назад +1

    Allah Atujaalie Mwisho mwema, Atusamehe pale tulipoteleza hasa kuingia ktk shirki tutafutapo suluhu za shida na matakwa yetu, Hakika nikutapatapa kibiinadamu tu

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Год назад

      Aaamin kabisa, Allah atupe mitihani ya kiasi chetu, isije kutupeleka kwenye shirki

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 Год назад +1

    Subhannallah Ya Allah tusameh waja wako

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Год назад +1

    Allah atujalie mwish mwem inshallah

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 Год назад +1

    Allah akbar Allah amrehem 😢😢 Allah amempa mwisho mwema mashallah

  • @zaituni-im6yk
    @zaituni-im6yk Год назад +1

    Mungu atujalie mwisho mwema

  • @diyembarak5506
    @diyembarak5506 Год назад +1

    Allah atujaalie kaul thabit

  • @tambwefatuuma5378
    @tambwefatuuma5378 Год назад +1

    Subuhanallah Mungu atupe mwisho mwema

  • @susans4490
    @susans4490 Год назад +10

    Ustadh sivizuri kusema mtu alikuwa hana kheri ,hilo ni yy na Allah

    • @naslee1010
      @naslee1010 Год назад

      Shekhe ana maanisha hakua mtu anaye swali sio mtu wa madrassa ispokua alikua na jina la kiislamu na alikuwa na imani juu ya uislamu hivyo imemfanya kua na mwisho mwema.

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 Год назад

      Tatizo husikilizi vizuri,, kasema hana kheri yoyote iliyo kithirika sio hana kheri

  • @allykidundo4508
    @allykidundo4508 Год назад +3

    inshaallah mungu atujaalie mwisho mwema

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад +1

    Innalillah wainnailaih rajiun Yarab mola wetu tupe Mwisho mwema😰😭😭🤲🤲🤲

  • @nasermeme80
    @nasermeme80 Год назад

    Yaan nashangaaga sehemu moja ikiwa tunafundishwa kuwa utakiwi kumuukum MTU kwa matendo yake VP wewe sheikh unasema alikua ana kher ata moja unajuaje hatima yake na mungu

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад +1

    Allhuma frllahu warhmahu

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 Год назад +1

    Allah akbar

  • @akbarston5344
    @akbarston5344 Год назад +2

    Allahuakbar allah tupemwisho mwema

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 6 месяцев назад

    Allahu Akbar 😢

  • @darusinganziulenge9363
    @darusinganziulenge9363 Год назад

    Tumpe Mungu baadhi ya wanaadamu wenzetu awajui wayatendayo

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад +2

    Innalilah wainnailah rajiun

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Год назад +1

    Innalillahi wainnaillaihi rajiuun Subhaana llah

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Год назад

    🙏🙏🙏

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Год назад +2

    Kisa kizuri lkn kina usanii ndani yake

  • @ladymoretaboraprincess6190
    @ladymoretaboraprincess6190 Год назад +1

    Innalilah waina ilaih irrajiun

  • @mussahaji905
    @mussahaji905 Год назад

    Susan Wacha kuangalia kasoro angalia mantiki ya mada

  • @ZainabuMohamed-rf9dd
    @ZainabuMohamed-rf9dd Год назад

    Wallahi siwezi kukuamini hata kidogo kwn umesahau kuhusu zile video zako za udhalilishaji kwa wanawake wa kiislam hadi ukaitwa bakwata

    • @farajarrifai1505
      @farajarrifai1505 6 месяцев назад

      Kam haumuamin mbn watizama video zake??

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 Год назад

    Allah akbari

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 Год назад +1

    Subhanallah

  • @ZainabuMohamed-rf9dd
    @ZainabuMohamed-rf9dd Год назад

    Jamani huyu ni msani hua anatnunga ili apate likes

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 3 месяца назад +1

      zainabu acha maneno machafu muamini mungu

    • @MuslimuAbdukahari
      @MuslimuAbdukahari 3 месяца назад

      Unaonaje naww ukitunga ili upate likes

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Год назад

    Sitii neno maana na ww unatakiwa uchunguzwe

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Год назад +1

    Allah humuingiza peponi amtakaye ndo kama hivi

    • @mornasaidtindwa3622
      @mornasaidtindwa3622 Год назад +2

      Kwakweli Allah atufanyie wepes tuu

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +2

      Ndio tunapoambiwa wkt ww ni muisilam si kafiri ima wa kuzaliwa au wakuritadi basi dhambi zote Allah anaweza kukuswamehe lkn si ushirikina.

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 Год назад +1

      SubhanaAllah. Yarabi tupe mwisho mwema amin

    • @ISAALMASIHI9823
      @ISAALMASIHI9823 Год назад

      KACHUKULIWA MSUKULE, ALLAH HAUSIKI HAPO! YESU NI MOTO KWA WACHAWI WOTE.

  • @SumeimanAli-rd2qk
    @SumeimanAli-rd2qk Год назад +1

    Allahu Akbar

  • @Zafaabutterfly
    @Zafaabutterfly 5 месяцев назад

    Tuombeni mwisho mwema

  • @SHININGFILMTV
    @SHININGFILMTV Год назад

    Inasikitisha kwakweli

  • @kabese6810
    @kabese6810 Год назад

    Kwani yeye ni Mungu?

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Год назад

    As alykm, lakini sheikh hakuna anae jua lini kifo chatu

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 Год назад

    Tafadhali shekhe vipi napata number yako,I have personal issues please!!

  • @seharjan8523
    @seharjan8523 Год назад

    Mbna mumeeka picha ya huyu mzee ndio huyu kweli

  • @ghaniaame9895
    @ghaniaame9895 Год назад

    Mm npo zanzibar nshapģa simu sana tuu spati mawasiliano nielekeze nije ulipo plz

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Год назад

      Zanzibar matabibu wamejaa tele kwa nini upate tabu nenda mwera duka kubwa ipo dua nzuri tu Masha Allah kila jumamosi na jumapili asubuhi

  • @MaryamSalim-q2k
    @MaryamSalim-q2k Год назад

    Naomba namba yako shekhe othiman

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 Год назад

    Kwahiyo yeye ataishi milele hatakufa

  • @rizikinassor5618
    @rizikinassor5618 Год назад

    😭😭😭😭😭🇰🇪

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester2368 Год назад

    Ila sheikh haimaanishi kila tiba ya kienyeji ni ushirikina na haimaanishi si kila tiba ya Sheikh ni halali. Maana kuna tiba za masheikh wengi zinakuwa za kishirikina.

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 Год назад

    Nimtihani wallahi.
    Allah atuhidi aote.
    Maana mchawi hudhania yeye hatokufa, kumbe ni muda tu unamgojea ukifika nae huyooo...
    Allah amuongoze mchawi huyo arudi kwa mola wake na ATUBIE.
    AAAMIIIN

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Год назад

    HUYU SHEKHE HUYU BANA UOVU UNAKITHIRI UMMA UNANGAMIA USHOGA UNAZIDI KUJAA KILA KUKICHA BAADA UONGELEE MAJANGA HAYO WEE WAPIGANIA KISOMO ILI UPATE PESA HUU SASA NDO MSIBA

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Год назад

      Hata matatizo ya kishirikina yamekuwa mengi mno Kwa sasa, hasadi ni nyingi. Watu wana mitihani humu wee acha tu mdogo wangu

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Год назад

      Hawaelewi hawa Kama shirki pia ni janga kubwa mno

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Год назад

    Muandaa makala hii umekosea sana kuweka picha ya huyo mzee wawatu nikumkosea sana ondoa picha ya mzee wawatu haraka.

  • @AbuuBakar1
    @AbuuBakar1 Год назад

    Sheikh kua makini maana dunia ukweli haufichiki maana ghaibu ni allah peke yake mwenye elimu

  • @thomasa.kimwaga4161
    @thomasa.kimwaga4161 Год назад +1

    Yesu anaokoa na kuponya,Mwaminini Yesu anyi watu mpate kuokolewa,hiyo dini yenu inawapoteza

    • @9119-r4t
      @9119-r4t Год назад +2

      Kwavile wewe nizuzu ambaye unamuabudu yesu utabaki kuwa mshirikina.sisi twamuabudu mungu naye ni Allah

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Год назад +2

      Ndio maana mnafunga hadi mnakufa kwa kukosa elimu

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Год назад +2

      Mwenye uwezo wa kufisha na kuhuwisha ni Allah peke yake, Nabii Issa Alayhi Ssalaam alikuwa akihuisha na kufisha Kwa idhni ya Allah Subhaanu Wataa'la

    • @thomasa.kimwaga4161
      @thomasa.kimwaga4161 Год назад +1

      @@hawamashauri1218 hakuna kitu kama hicho,huyo Allah ni Mungu wenu Wala sio Mungu wetu,sisi tuna Mungu mmoja Tu ana Jina lipitalo Kila Jina na ni Jina la Yesu Kristo Tu...huyo Issa hata sio Yesu wetu wala usimfananishe...tatizo lenu nyie waislamu mnataka kutufanya kama vile Mungu wenu na wetu ni mmoja,haiwezekani tukawa na Mungu mmoja afu tutofautiane kiasi hiki,huyo wa kwenu aliyemtuma Muhammad kuja kupinga Ukristo uliokuwapo miaka karibia 600 kabla yeye hajazaliwa sio Mungu wa kweli na nyie sio chochote ila waabudu miungu ya mwezi na nyota pamoja na jiwe la Macca mnaliita Kaaba,Kila siku mnafanya ibada kuabudu uelekeo Hilo jiwe lilipo,pia mnashirikiana na majini na unvyozidi kuwa mwislamu ndipo unazidi zaidi kuwa mgumi,katili,mbagua watu,chuki,kujitoa mhanga na kuanza kuua wengine,na waislamu wengi wenye dini ni washirikina wa kutumia majini na Kila namna ya uganga wa kisomo.Sisi Yesu tunayemjua ni tofauti kabisa na huyo Issa wenu Wala huyo Issa sisi hatumtambui pamoja na Muhammad wenu

    • @hujatswai5798
      @hujatswai5798 Год назад

      Na unakubali kuwa alilaaniwa maana amelaaniwa aangikwaye juu ya mti? Hivi una akili kweli kukubali kuwa Mungu wako alitandikwa viboko?? Mwenyezi Mungu akuongoze.

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Год назад

    Niharamu kuamini hiyo kitu sheikh kwa mujibu wa Quran hakuna anaweza kujua muda wa kufa mtu wala saa

  • @irenekaluse3213
    @irenekaluse3213 Год назад +1

    Sasa hapo umeongea nn ?make hicho kisomo hakijamsaidia umekuja umusomee asiuliwe na huyo mzee km ndugu zk na umesoma na kafa Yesu ni uzima na ni njia yakweli na uzima

    • @hujatswai5798
      @hujatswai5798 Год назад

      Binti, hakuna kisomo kinazuia mauti, na hajasema amemsomea kuzuia mauti bali kuponya maradhi na kama umeskiliza vizuri kijana alipona, mauti hayazuiliki binti, ukifika muda kila nafsi itaonja mauti hata umtaje yesu kwa sauti zako zote.

    • @thomasa.kimwaga4161
      @thomasa.kimwaga4161 Год назад

      Amen amen...waje kwa YESU waachane na upuuzi huo usio na maana

  • @ISAALMASIHI9823
    @ISAALMASIHI9823 Год назад +1

    ENDELEENI KUFA TU, MAJINI SI NDUGU ZENU, YESU NI DAWA, EPUKA KUFA KISHIRIKINA

    • @choggysly3541
      @choggysly3541 Год назад +2

      Kwani nyinyi hamfi?juzi kenya mmekufa 73 kwa kumuabudu mchungaji?kibwetere aliwachoma moto kwa kukosa akili, kwa mwamposa mlikufu kibao kisa kukanyaga mafuta,yule mchungaji wenu marehemu jengo lake lilianguka mkafa kibao

    • @abuuhafsin2224
      @abuuhafsin2224 Год назад

      Kwani nyinyi majini sio Ndugu zenu?😅

    • @tendatanzania8358
      @tendatanzania8358 Год назад

      @@choggysly3541 soma hapa zaburi 102:19-20 utaelewa nini maana ya kubatilisha roho ya mauti na yesu kristo anawafungua walio andikiwa kufa wasife kwa damu ya yesu ni damu ya ukombozi

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Год назад +1

    Allah atupe mwisho mwema

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Год назад +1

    Inalillah waina ilaihi rajiun

  • @tukaeomary9485
    @tukaeomary9485 Год назад +1

    Allah Akbar

  • @ZainabuMohamed-rf9dd
    @ZainabuMohamed-rf9dd Год назад

    Jamani huyu ni msani hua anatnunga ili apate likes

  • @jamilaallysaid-if1jf
    @jamilaallysaid-if1jf Год назад

    Allah akbar

  • @daudimlapilwa0689
    @daudimlapilwa0689 Год назад

    Allah Akbar