Ila hii mbuzi. Yeye Yanga inamuuma nini?? Anaelewa maana ya conflict of interest huyu?? Yeye kuwa CEO wa JKT na kazi ya uchambuzi hazina conflict of interest kwa mujibu wa tafsiri yake??😂😂😂
Oruma na Jemedari ni wachambaji si wachambuzi, they are always negative, wachambuzi akina Mwaduke na wenzake, statistics nyingi na always taking on the positive side of things, hawa they are always negative.
Utopolo hebu msijitoe fahamu. Timu yenu imeboronga ktk mkataba halafu mnamtukana jemedari? Watukaneni sportpesa waliotoa taarifa kwa umma. Timu lina viongozi wa hovyo na washabiki wa hovyo
@@mfaumekasuku8876 mwenye elimu ndogo alienukuu taarifa ya sportpesa au aliesaini mkataba juu ya mkataba ? Utopolo siku mtakayokuja kujielewa basi na dunia itakua imefika mwisho
@@mfaumekasuku8876 sportpesa ndie mdhamini mkuu na ndie mwenye haki ya kukaa kifuani ktk jezi. Michuano ya caf hatua za awali timu zinaruhusiwa kutumia wadhamini wao ila ikifika hatua ya makundi mmiliki ni caf sababu anazilipa timu so kama mdhamini wa caf anafanya biashara inayofanana na mdhamini wako basi club inabidi usimtumie huyo mdhamini. Sasa caf inadhaminiwa na kampuni ya ku bet. Yanga nayo inadhaminiwa na kampuni ya ku bet hivyo hawatovaa sportpesa kifuani. Sasa simba walivaa visit tanzania kwa issue kama hiyo. Nyie mataahira mlishauriwa na mdhamini wenu mkajitia ujuaji kuingia mkataba na mdhamini mwengine. Sasa subirini mzae nao sportpesa
Yanga timu Yangu ila kwenye hili tumekosa akili kabisa yaani TUNALAZIMISHA MPANGAJI MWINGINE AINGIE KWENYE CHUMBA WAKATI MPANGAJI WA AWALI KODI HAIJAISHA
Jemedari said amvaa heris said. Mara amvaa manara. Mara aivaa hangs. Mara auvaa uongozi wa yanga. Mara amvaa msemaji wa yanga hii no taswira inayojieleza bayana kuwa huyu mtu ni msemaji wa aina gani
Labda kichwa Cha chini ni mtu mjuaji mshamba Fulani anayejikweza kwenye roho ya kimasikini kwahiyo amesubiri nafasi hii ili amtukane au amdhalilishe injinia Kama wewe mtu wa Mpira alichokifanya injinia ni kuinufaisha yanga au kuibomoa yanga?hivi ungekua injinia ndio kiongozi wa Simba na matatizo yaliyojitokeza sijui angemuongeleaje najua kinachomuuma atafute chka jinginia aachane na yanga
Sasa Jemedari Apo kosa lake Ni lipi? Kwel wanayanga Ni hamnazo kuanzia mashabiki adi viongoz, mtu mwenye akil timamu huwez kumchukia anaechambua kosa ukamwacha aliefanya kosa, kosa limefanywa na viongoz wa Yanga Sasa kosa la Jemedari Ni lipi? Kuchambua kosa au
Halafu wachambuzi bongo hatuna,wako kiushwabiki tu ivi mnajua sport pesa walikubaliana nini na yanga.mnatakiwa mjiulize kabda hamjaanza kuichafua club kwasababu viongozi wa yanga sio wajinga mpaka wameamua kufanya ivyo.wanajielewa na kitu wanachokifanya.yanga ooooooye.viongozi pigeni kazi.
Ushajibiwa kuwa Sportpesa walikubaliana na Yanga kuwa wavae Visit Tanzania kwa kuwa wao ndio main sponsors. Lakini wakati yanga anaambiwa hilo tayari Wao walishakiuka kwa kuingua mkataba na Haier
Kwahiyo yanga angeingia visit tanzania yy sport pesa angeekwa miguuni kwahiyo kwakua yy Ana mkataba so waipangie yanga kuingia mkataba na kampuni waitakayo wao washenzi sana
You have to think twice Kwa hiyo spot pesa anampangia yanga kumbuka kuwa mwaka Jana yanga iliomba kutumia visit Tanzania wakakaliiwa msikilize jemedal vizuri Iko hivi Kila kitu inachokifanya yanga ni negative but mpira wa Leo ni pesa Mzee huwez kutangaza MTU for free uliona wapi msikilize hersi alivyoelezea kuwa sports pesa atabaki kuwa main sponsor wa club ya yanga ndo maana yanga imetengeneza jesy chache Kwa ajili ya mechi 6 TU only cuf kwenye ligi atabaki yey
Hilo ni tatixo la nchi.Mmlaka wanaacha husika za kisheria kwa maana ya baraza la michezo wanatakiwa kuwajibishwa kwa kumwacha huyu bwana anakiuka sheria hata nafasi yake ndani ya yanga ni batili.
Kama ww ni yanga kitu cha kujiuliza kwanini migongano ya kimkataba mara kwa mara inatokea yangaa bila shaka kwenye uongozi wa yanga kuna sehemu wanatuangusha
Ni vizuri unachofanya kwani unawazindua yanga lkn isiwe yanga tu hata kwa madunduka wenzio iwe ukiwachungulia pia,ili uwahi ofisini ukawatumbue,juzi hapa makolo wamemuingiza manzoki ktk uchaguzi kufanya nini.y hawakuwaita wakina mogela na wengine Kuja kuzungumza Hao ndio wenye timu,si uhuni na ushkaji umefanyika ule? Mbona huwatumbui masaa yote km kwa yanga,bro nakuomba kosoa lkn Kotekote,utakua fair.
Hivi unachokiongea unakijua? Kwan kosa manzoki kuwepo kweny uchaguzi wa simba ni lipi??? Mbna mnapenda kuchukua maneno ya mtandaoni lile swala sio kosa ndo mana hakuna mchambuzi ale liongelea kwan kuna sheria ina guide lile swala ..... manzoki sio mchezaj wa simba alikuja kama mgeni mualikwa kipi usichokielewa ? Mbna mnakua na akili ndogo kiasi hicho.
Yan unaongea kitu ambacho ni pumba tu🤣🤣🤣 kuna sheria inasema kua lazma hao ulio wataja ndo waongee??? Yule alikuja kama mgeni tu kua kiakil acha ushabikiiii .... wat wanazungumzia maswala ya kisheria ww unaleta hbr za manzoki
Nyinyi wachambuzi sio viongozi wa timu na ikiwa mna maoni ya kujenga nendeni mawazo yenu yapate baraka, mbona kule Ulaya waandishi wana tabia tofauti na zenu...nyie mumejifinza wapi kzi hii.
Sasa hapo ni wachambuzi wa mpira au nini? Kwani ninyi mmeletewa malalamiko na nani? Ninyi wajinga wa kutupwa, kila siku mnaangaika na Yanga. Jemedari na Oruma ninyi mashabiki wa Simba hamna lolote. Kama sport pesa wanalalamika ninyi ndio mahakama ya kutatua mgogoro kati ya Yanga na Sport Pesa? Mmedhihirisha chuki yenu dhidi ya Yanga
Ukurugenzi wa Uwekezaji wa GSM una nini na Haier kuwa kwenye jezi? Mgogoro gani! SportsPesa bado ni mfadhili katika ligi na kwa kuwa nembo yao haiwezi kuonyeshwa ktk mashindano ya CAF, basi Yanga hawajavunja mkataba kuingia mkataba na Haier. Mimi nadhani ni jambo la kuzungumza tuu, tena ukizingatia biashara zao sio moja, hazikinzani. Halafu "Visit Tanzania" inaitangaza vipi SportsPesa? Katika CAF hata wafanyeje SportsPesa haiwezi kuwekwa pale. Hamna mgogoro wowote zaidi ya unaoundwa na Jemedari na akina Wilson Oruma!!
Mpira ni biashara na sikuzote wachambuzi wanasemana ili mpira wetu huendelee unaitaji pesa.sasa kama sport pesa hawatakiwi kimataifa na kajitokeza mtu yanga iache hela iweke nembo visit tanzania bure bure.iyo ni hasara kwa club. choten mpunga fanyeni lolote.mashabiki tunataka burudani tu
Wewe jemedary nani asie kujuwa kama huipendi yanga na tatizo kubwa ambalo nyinyi wachambuzi wa mchongo kinacho fanya msiipende yanga kama akina nyinyi jemedaruky ni kuwa yanga hawakupeni chochote ata mukiwasema kwa wema yanga inajitosheleza kaka hutofii maneno yako mchambuz wa mchongo to wewe kwaiyo kelele zako tushazizowea mbwa wewe
Tatizo la jemedari ni moja,unapenda kuyavalia njuga masuala ya yanga zaidi kuliko ya makolo,yaani jemedari sijui km huwa unalala usingizi,nadhani hamka hata saa 8 usiku kuichungulia yanga wapi wanakosea ili uwahi saa 10 alfajiri njiani kwenda ofisini ukaitumbue yanga
Mambo Mengine Nikuongeza Kelele Tanzania huyo JEMEDALI WE HUWA NIMPUMBAVU KABISA ..watu wanaandaa Studio Zao kwa Ajiri yakutoa Habar lakini EFM nikwa ajiri ya kujadili Yanga inapoonekana Kuwa na mambo binafsi ....Jemedari Unachotaka kufanya Nchi Uwe Maalufu lakini mengine Hakuna Unachokijua japo wewe Umesoma
Wanafiki wakubwa hamjawahi kuiombea mazuri Yanga.Anachokifanya Rais ni kutekeleza ahadi yao ya kuifanya Yanga kuwa Club yenye uchumi mkubwa Africa. Makolo tumewashinda Akili pamoja na Wachambuzi wao uchwara.
Ww kweli kilaza sasa hapo hao spot pesa wanakuja hiyo bilion Yote na fine extra kama hujui mwarabu anakaa sehemu yenye maslahi siku akiona kashiba deni ni la club sio Hersi ni Sawa na madeni alokuta YY ya Mzee
Ww kweli kilaza sasa hapo hao spot pesa wanakuja hiyo bilion Yote na fine extra kama hujui mwarabu anakaa sehemu yenye maslahi siku akiona kashiba deni ni la club sio Hersi ni Sawa na madeni alokuta YY ya Mzee
Timu zinaendeshwa kwa pesa kwahiyo Dili limekuja la b.1.5 ndani ya miezi 6 halafu kampuni yenyewe sio ya ubashiri ( Betting ) viongozi wa Timu waiachie hiyo pesa si utakuwa ujinga huo yaani B 1.5 ndani ya miezi 6 😄 🤣 😂 Feisal Salumu Abdallah katugomea wakati bado ana mkataba sababu ya pesa anataka kuongezewa mshahara za ndaani kabisa tunazo kwamba spotrpesa waliandikiwa Barua na Yanga na walikubali kilicho washtua ni thamani ya ule mkataba yaani B.1.5 ndani ya miezi 6
Sasa hapo kosa la jemedari nini"”
Ila hii mbuzi. Yeye Yanga inamuuma nini?? Anaelewa maana ya conflict of interest huyu?? Yeye kuwa CEO wa JKT na kazi ya uchambuzi hazina conflict of interest kwa mujibu wa tafsiri yake??😂😂😂
Oruma na Jemedari ni wachambaji si wachambuzi, they are always negative, wachambuzi akina Mwaduke na wenzake, statistics nyingi na always taking on the positive side of things, hawa they are always negative.
Utopolo hebu msijitoe fahamu. Timu yenu imeboronga ktk mkataba halafu mnamtukana jemedari? Watukaneni sportpesa waliotoa taarifa kwa umma. Timu lina viongozi wa hovyo na washabiki wa hovyo
Jemedari elimu ndogo,bro akasome kwanza
@@mfaumekasuku8876 mwenye elimu ndogo alienukuu taarifa ya sportpesa au aliesaini mkataba juu ya mkataba ? Utopolo siku mtakayokuja kujielewa basi na dunia itakua imefika mwisho
Mkataba juu ya mkataba ndio nini,anajua mkataba wa Yanga na Sportpesa unasemaje? Anataka kujua wakati hajui hadi huruma. Yanga kubwa nyie hamuiwezi
Huyo alishiriki kutudanganya mkataba wa Simba na Mbet,tumefuatilia mkutano wenu tumejua kila kitu. Jemedari ni muongo promax
@@mfaumekasuku8876 sportpesa ndie mdhamini mkuu na ndie mwenye haki ya kukaa kifuani ktk jezi. Michuano ya caf hatua za awali timu zinaruhusiwa kutumia wadhamini wao ila ikifika hatua ya makundi mmiliki ni caf sababu anazilipa timu so kama mdhamini wa caf anafanya biashara inayofanana na mdhamini wako basi club inabidi usimtumie huyo mdhamini. Sasa caf inadhaminiwa na kampuni ya ku bet. Yanga nayo inadhaminiwa na kampuni ya ku bet hivyo hawatovaa sportpesa kifuani. Sasa simba walivaa visit tanzania kwa issue kama hiyo. Nyie mataahira mlishauriwa na mdhamini wenu mkajitia ujuaji kuingia mkataba na mdhamini mwengine. Sasa subirini mzae nao sportpesa
Usingizi mzito umelala wewe ---- ulitoa macho na mishipa wakati ule --- mwisho was siku umepata nini " kila kitu kinakwenda biyeee " Nongwa tuuu!
Kumbe mmekosa chakula Muna njaa unabwatabwata Ili mupate kula amekukaribisha nani kwenye taratibu na mipango ya yanga kumbe nyinyi wahuni
Jemedari kila kukicha ni yanga yanga, huna lingine kwenye fani yako, kuwa mstaarabu bro
Sisi yanga tuna viongozi wanywa gongo kweli,sasa kiongozi gani anaweza kufanya utopolo huu
Yanga timu Yangu ila kwenye hili tumekosa akili kabisa yaani TUNALAZIMISHA MPANGAJI MWINGINE AINGIE KWENYE CHUMBA WAKATI MPANGAJI WA AWALI KODI HAIJAISHA
Jemedari amaakili sana huyu ila mambulura hawataki kumuelew
Hata ufanye nini jemedari wenye akili tunajuwa wewe unaendeleaje tu ya wakina makona yanga itasonga mbele hata ufanyeje.
Jemedari said amvaa heris said. Mara amvaa manara. Mara aivaa hangs. Mara auvaa uongozi wa yanga. Mara amvaa msemaji wa yanga hii no taswira inayojieleza bayana kuwa huyu mtu ni msemaji wa aina gani
Manyokanyoka FC jersey 🤪🤪🤪🤪
Kuna yanga watamuelewa mzee magoma japo mnamuona anaisaliti yanga
Wewe jemedarii utahangaika buri unajusumbua
Jemedari kichwa hiki
Labda kichwa Cha chini ni mtu mjuaji mshamba Fulani anayejikweza kwenye roho ya kimasikini kwahiyo amesubiri nafasi hii ili amtukane au amdhalilishe injinia Kama wewe mtu wa Mpira alichokifanya injinia ni kuinufaisha yanga au kuibomoa yanga?hivi ungekua injinia ndio kiongozi wa Simba na matatizo yaliyojitokeza sijui angemuongeleaje najua kinachomuuma atafute chka jinginia aachane na yanga
Sasa Jemedari Apo kosa lake Ni lipi? Kwel wanayanga Ni hamnazo kuanzia mashabiki adi viongoz, mtu mwenye akil timamu huwez kumchukia anaechambua kosa ukamwacha aliefanya kosa, kosa limefanywa na viongoz wa Yanga Sasa kosa la Jemedari Ni lipi? Kuchambua kosa au
Yanga ni kikundi cha wahuni
Swadakta swadakta swadakta yaaan utopolo ni kikundi cha wahuni
Magoma na mwaipopo wanaakili sana wanajua wanapigwa
Halafu wachambuzi bongo hatuna,wako kiushwabiki tu ivi mnajua sport pesa walikubaliana nini na yanga.mnatakiwa mjiulize kabda hamjaanza kuichafua club kwasababu viongozi wa yanga sio wajinga mpaka wameamua kufanya ivyo.wanajielewa na kitu wanachokifanya.yanga ooooooye.viongozi pigeni kazi.
Ushajibiwa kuwa Sportpesa walikubaliana na Yanga kuwa wavae Visit Tanzania kwa kuwa wao ndio main sponsors. Lakini wakati yanga anaambiwa hilo tayari Wao walishakiuka kwa kuingua mkataba na Haier
Yanga nikikundi cha wahuni tu
Ni watu wa taarabu kuimba imba mipasho tu muda wa ni mdogo sana watavurugikiwa kila kitu
Sio waliwaleta wakina manxoki
Wahuni niwale Wanao sajiri Mchezaji Apige Kura badara yakusajiri Wachezaji wacheze Mpira
Jemedali una wivu wa kijinga na yanga
Mwezi mchanga huyu jamaa
Kwahiyo yanga angeingia visit tanzania yy sport pesa angeekwa miguuni kwahiyo kwakua yy Ana mkataba so waipangie yanga kuingia mkataba na kampuni waitakayo wao washenzi sana
Huna ufaham nyamaza
Hampendi kuambiwa ukweli
HUYU MWAMBA KAMA VILE ANA VICHWA VIWILI deep thinking ... KWELI SISI YANGA NI ZAZAMWA KAMA SI UTOPOLO......
You have to think twice Kwa hiyo spot pesa anampangia yanga kumbuka kuwa mwaka Jana yanga iliomba kutumia visit Tanzania wakakaliiwa msikilize jemedal vizuri Iko hivi Kila kitu inachokifanya yanga ni negative but mpira wa Leo ni pesa Mzee huwez kutangaza MTU for free uliona wapi msikilize hersi alivyoelezea kuwa sports pesa atabaki kuwa main sponsor wa club ya yanga ndo maana yanga imetengeneza jesy chache Kwa ajili ya mechi 6 TU only cuf kwenye ligi atabaki yey
Hilo ni tatixo la nchi.Mmlaka wanaacha husika za kisheria kwa maana ya baraza la michezo wanatakiwa kuwajibishwa kwa kumwacha huyu bwana anakiuka sheria hata nafasi yake ndani ya yanga ni batili.
Hawa jamaa ni wahuni tu
Kama ww ni yanga kitu cha kujiuliza kwanini migongano ya kimkataba mara kwa mara inatokea yangaa bila shaka kwenye uongozi wa yanga kuna sehemu wanatuangusha
Kwann isiwe makampuni yanaziburuza timu nyingine lkn Yanga wanakomaa nao?
Rais anaonekana anafanya maamuzi peke yake bila kushirikisha wenzake maana naamini mwanasheria wa Yanga Simon hawezi kushauri hivi..
@@nkoydavid9658 endelea kuamini 😁😁
Uyo ndie jemedari
Mko vizuri sana lakini shida ya washabiki na wanachama wa yanga wote hawana akili isipokuwa ni wale wawili tu(mstaafu na mzee manara)
Mi najiulizaga sana mmiliki wa hii radio huwa hajitambui au na yeye ni mnufaika wa hiki kikundi cha wahuni...?
Watu wanapigania uhuru wa habari,wewe unataka uondolewe!Unadhalilisha joho
Watu wanapigania uhuru wa habari,wewe unataka uondolewe!Unadhalilisha joho
Mm kila siku huwa nawambia yanga mazuzu ila ipo siku mtanielewa kua yanga mazuzu
Yanga bingwa
Hivi yanga na makolo nani mazuzu😂
Kama Ukwel Ndio Huo Basi GSM na HERSI wanafeli Maana Kama SPORTPESA ndio Wadhamin Wakuu Inabd Hyo Pesa Wapokee Wao Bil1.5
Hoja ni patina au sport pesa hawaruhusiwi caf
Shida ya jemedari yupo negative Lisa alinyimwa kazi
Haire wangezamini eneo la Yanga upande wa vifaa vya mazoezi
ঠঠঠঠঠঠডঠঠঠঠ
ডডফ
Jemedar kasome hujasoma bali ushabiki pia hujawahi kuisema yanga vibaya
Umeeleweka jemedari nadhani Maulid kakuelewa nae mmiliki ni ya sportpesa inakuweje mtu mwingine aje kuweka biashara kwenye kizimba Cha sportpesa
Mmeongea facts lakn Cha ajabu Kuna watu wana comment negative,so sad.
Unfortunately wengi wetu ni watu wenye cheap mind waoga na wenye hofu kujua mambo au kutaka kujulishwa
@@fahadfaraj6474 ফপপপপপপপফফ
@@riyaakther1851 what is that
Duh wewe ndio kabsaa kivuruge
Sportpesa waende mahakamani km ynga imekiuka mkataba coz mkatabana upo kisheria
Facts
Ni vizuri unachofanya kwani unawazindua yanga lkn isiwe yanga tu hata kwa madunduka wenzio iwe ukiwachungulia pia,ili uwahi ofisini ukawatumbue,juzi hapa makolo wamemuingiza manzoki ktk uchaguzi kufanya nini.y hawakuwaita wakina mogela na wengine Kuja kuzungumza Hao ndio wenye timu,si uhuni na ushkaji umefanyika ule? Mbona huwatumbui masaa yote km kwa yanga,bro nakuomba kosoa lkn Kotekote,utakua fair.
Hivi unachokiongea unakijua? Kwan kosa manzoki kuwepo kweny uchaguzi wa simba ni lipi??? Mbna mnapenda kuchukua maneno ya mtandaoni lile swala sio kosa ndo mana hakuna mchambuzi ale liongelea kwan kuna sheria ina guide lile swala ..... manzoki sio mchezaj wa simba alikuja kama mgeni mualikwa kipi usichokielewa ? Mbna mnakua na akili ndogo kiasi hicho.
Yan unaongea kitu ambacho ni pumba tu🤣🤣🤣 kuna sheria inasema kua lazma hao ulio wataja ndo waongee??? Yule alikuja kama mgeni tu kua kiakil acha ushabikiiii .... wat wanazungumzia maswala ya kisheria ww unaleta hbr za manzoki
Yan iyo jamaa ilibidi kumchapa na makofi kdg akili ndogo xana
Nyinyi wachambuzi sio viongozi wa timu na ikiwa mna maoni ya kujenga nendeni mawazo yenu yapate baraka, mbona kule Ulaya waandishi wana tabia tofauti na zenu...nyie mumejifinza wapi kzi hii.
Fanyeni ya kwenu achaneni na Yanga, mbona MO alikuwa mwenyekiti wa Simba at the same time mwekezaji mwenye hisa kwa Simba mbona hamkusema chochote
Nakwataalifayenu ndiomaana hatuvai jezi kwasababu hatutaki kutangazakamali kamavipi huyo mchezakamali ajitoe wazaminiwapo
Kwa style hii soka la bongo mgongowazi.. Yani kweli club iache hela ya udhamini kisha ivae nembo ya bure
alafu wanakuwa wanaongea kuwa fei toto kakosea nimejua kumbe fei is a real man
Yanga wanataka wakienda kwenye uchaguzi nao wanataka waseme kwenye uongozi wake amekusanya fetha nyingi
Jemedal huwa anaropoka tu kama anataka usemaj simba aseme bwege tu hyo
Mzee wajambia upo sawa sana, hiyo ni dharau ya ukiukwaji wa kimkataba..
jemedari 🔥🔥
Well said Jemedari
Sasa hapo ni wachambuzi wa mpira au nini? Kwani ninyi mmeletewa malalamiko na nani? Ninyi wajinga wa kutupwa, kila siku mnaangaika na Yanga. Jemedari na Oruma ninyi mashabiki wa Simba hamna lolote. Kama sport pesa wanalalamika ninyi ndio mahakama ya kutatua mgogoro kati ya Yanga na Sport Pesa? Mmedhihirisha chuki yenu dhidi ya Yanga
Kwani hao watangazaji wamekosea wapi? Nadhani wanahabarisha uma kinachoendelea
Visit tz wangekuwa wapi
Donald oyaoya kweli. Watu wanazungumzia mkataba
Ukurugenzi wa Uwekezaji wa GSM una nini na Haier kuwa kwenye jezi? Mgogoro gani!
SportsPesa bado ni mfadhili katika ligi na kwa kuwa nembo yao haiwezi kuonyeshwa ktk mashindano ya CAF, basi Yanga hawajavunja mkataba kuingia mkataba na Haier. Mimi nadhani ni jambo la kuzungumza tuu, tena ukizingatia biashara zao sio moja, hazikinzani. Halafu "Visit Tanzania" inaitangaza vipi SportsPesa?
Katika CAF hata wafanyeje SportsPesa haiwezi kuwekwa pale. Hamna mgogoro wowote zaidi ya unaoundwa na Jemedari na akina Wilson Oruma!!
Tatizo ni yanga kuondoa sportspesa bila makubaliano ilipaswa waamue pamoja nani wa kumueka mfano feitoto kavunja mkataba bila kushauriana na yanga
Walizungumza lkn hawakuafikiana
Sijaona kosa sport pesa angeka.wap i
Jemedari unatafuta kiki na pesa kwa tabu iache Yanga we mbwa
Bilioni 20 ziko benji gani?
Jemedari wewe ni simba tu hueleweki siku zote hakuna anayekuzingatia
Tuyape muda haya mambo always time tells the truth
Jemedari na mzee wa jambia wote hawa ni yanga lia lia yaani ni yanga wa kutupwa
@@videozaaj1069 makuma tyu hao
Mpira ni biashara na sikuzote wachambuzi wanasemana ili mpira wetu huendelee unaitaji pesa.sasa kama sport pesa hawatakiwi kimataifa na kajitokeza mtu yanga iache hela iweke nembo visit tanzania bure bure.iyo ni hasara kwa club. choten mpunga fanyeni lolote.mashabiki tunataka burudani tu
Ambacho haujaelewa hapo ni Nini!!
Wewe jemedary nani asie kujuwa kama huipendi yanga na tatizo kubwa ambalo nyinyi wachambuzi wa mchongo kinacho fanya msiipende yanga kama akina nyinyi jemedaruky ni kuwa yanga hawakupeni chochote ata mukiwasema kwa wema yanga inajitosheleza kaka hutofii maneno yako mchambuz wa mchongo to wewe kwaiyo kelele zako tushazizowea mbwa wewe
Nyie ni makenge msiejielewa
Wewe shogatu
Wewe ninani ndani ya yanga
Tatizo la jemedari ni moja,unapenda kuyavalia njuga masuala ya yanga zaidi kuliko ya makolo,yaani jemedari sijui km huwa unalala usingizi,nadhani hamka hata saa 8 usiku kuichungulia yanga wapi wanakosea ili uwahi saa 10 alfajiri njiani kwenda ofisini ukaitumbue yanga
Sasa Simba ataongea Nini au wamekosea wapi
great jmdry
Uchambuzi mzuri
Kinawawasha nn na udhamini wa yanga?
Mambo Mengine Nikuongeza Kelele Tanzania huyo JEMEDALI WE HUWA NIMPUMBAVU KABISA ..watu wanaandaa Studio Zao kwa Ajiri yakutoa Habar lakini EFM nikwa ajiri ya kujadili Yanga inapoonekana Kuwa na mambo binafsi ....Jemedari Unachotaka kufanya Nchi Uwe Maalufu lakini mengine Hakuna Unachokijua japo wewe Umesoma
Kwani hapo kuna kosa gani. Msifuge ujinga kila alichokisema Jemedari kina Mantiki kabisa.
Ondoen unafiki
Pumba tupu.
Eti hawa ndiyo wachambuzi wa mpira
ফবফবববববফবফ
Hahahahahaha
Jemedar 🔥🔥🔥🔥
This man ni hatari
Jemedar acha ujuaji
Jemedar muhun2 wewe unajifanya unajuuuuuuuuaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unavyoonekana hujuwi kitu jemedar anakuelimisheni nyie hamuelewi
Manyau Nyau FC.
Kuna kitu kasema cha uongo???jibu tu hilo swali;??
Kwani mnaongeleaga nni
Ujasikia
Kwan we Jemedar YANGA Imekukosea nin we ni kuiponda tu na viongozi wake acha zako
pekeke malalamiko FIFA KAZUMARI 🤣🤣
Huyu nikama chizi tu yani wewe utapiga kelele lakini wanaume hawana shobo wewe ndio unapenda kushobokea watu ungekua demu wana yanga wange zaa na wewe
Migongo wazi viongozi wake machizi
KWA FEISALI ANASEMA ANA HAKO ,JEMEDARI ANA CHUKI
Wanafiki wakubwa hamjawahi kuiombea mazuri Yanga.Anachokifanya Rais ni kutekeleza ahadi yao ya kuifanya Yanga kuwa Club yenye uchumi mkubwa Africa. Makolo tumewashinda Akili pamoja na Wachambuzi wao uchwara.
Ww kweli kilaza sasa hapo hao spot pesa wanakuja hiyo bilion Yote na fine extra kama hujui mwarabu anakaa sehemu yenye maslahi siku akiona kashiba deni ni la club sio Hersi ni Sawa na madeni alokuta YY ya Mzee
Ww kweli kilaza sasa hapo hao spot pesa wanakuja hiyo bilion Yote na fine extra kama hujui mwarabu anakaa sehemu yenye maslahi siku akiona kashiba deni ni la club sio Hersi ni Sawa na madeni alokuta YY ya Mzee
Kweli we ni kasuku!!!unafata mtu anachosema hata kama ni tusi
Kwahiyo kitenge pia simba? Watu hawataki ukweli Hilo ndio ttz kubwa timu inaendeshwa kishkaji
Timu zinaendeshwa kwa pesa kwahiyo Dili limekuja la b.1.5 ndani ya miezi 6 halafu kampuni yenyewe sio ya ubashiri ( Betting ) viongozi wa Timu waiachie hiyo pesa si utakuwa ujinga huo yaani B 1.5 ndani ya miezi 6 😄 🤣 😂 Feisal Salumu Abdallah katugomea wakati bado ana mkataba sababu ya pesa anataka kuongezewa mshahara za ndaani kabisa tunazo kwamba spotrpesa waliandikiwa Barua na Yanga na walikubali kilicho washtua ni thamani ya ule mkataba yaani B.1.5 ndani ya miezi 6