JEMEDARI SAID AMVAA RAIS WA YANGA HERSI ALLY SAID BAADA YA KUSIKIA AMESAINI MKATABA MPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #kitengetv #yangasc #jemedarisaid

Комментарии • 137

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 Год назад +7

    Sasa hapo kosa la jemedari nini"”

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 16 дней назад

    Ila hii mbuzi. Yeye Yanga inamuuma nini?? Anaelewa maana ya conflict of interest huyu?? Yeye kuwa CEO wa JKT na kazi ya uchambuzi hazina conflict of interest kwa mujibu wa tafsiri yake??😂😂😂

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 Год назад

    Oruma na Jemedari ni wachambaji si wachambuzi, they are always negative, wachambuzi akina Mwaduke na wenzake, statistics nyingi na always taking on the positive side of things, hawa they are always negative.

  • @amriamraan2612
    @amriamraan2612 Год назад +4

    Utopolo hebu msijitoe fahamu. Timu yenu imeboronga ktk mkataba halafu mnamtukana jemedari? Watukaneni sportpesa waliotoa taarifa kwa umma. Timu lina viongozi wa hovyo na washabiki wa hovyo

    • @mfaumekasuku8876
      @mfaumekasuku8876 Год назад

      Jemedari elimu ndogo,bro akasome kwanza

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 Год назад

      @@mfaumekasuku8876 mwenye elimu ndogo alienukuu taarifa ya sportpesa au aliesaini mkataba juu ya mkataba ? Utopolo siku mtakayokuja kujielewa basi na dunia itakua imefika mwisho

    • @mfaumekasuku8876
      @mfaumekasuku8876 Год назад

      Mkataba juu ya mkataba ndio nini,anajua mkataba wa Yanga na Sportpesa unasemaje? Anataka kujua wakati hajui hadi huruma. Yanga kubwa nyie hamuiwezi

    • @mfaumekasuku8876
      @mfaumekasuku8876 Год назад

      Huyo alishiriki kutudanganya mkataba wa Simba na Mbet,tumefuatilia mkutano wenu tumejua kila kitu. Jemedari ni muongo promax

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 Год назад

      @@mfaumekasuku8876 sportpesa ndie mdhamini mkuu na ndie mwenye haki ya kukaa kifuani ktk jezi. Michuano ya caf hatua za awali timu zinaruhusiwa kutumia wadhamini wao ila ikifika hatua ya makundi mmiliki ni caf sababu anazilipa timu so kama mdhamini wa caf anafanya biashara inayofanana na mdhamini wako basi club inabidi usimtumie huyo mdhamini. Sasa caf inadhaminiwa na kampuni ya ku bet. Yanga nayo inadhaminiwa na kampuni ya ku bet hivyo hawatovaa sportpesa kifuani. Sasa simba walivaa visit tanzania kwa issue kama hiyo. Nyie mataahira mlishauriwa na mdhamini wenu mkajitia ujuaji kuingia mkataba na mdhamini mwengine. Sasa subirini mzae nao sportpesa

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 месяца назад

    Usingizi mzito umelala wewe ---- ulitoa macho na mishipa wakati ule --- mwisho was siku umepata nini " kila kitu kinakwenda biyeee " Nongwa tuuu!

  • @hamidulingamba9252
    @hamidulingamba9252 Год назад

    Kumbe mmekosa chakula Muna njaa unabwatabwata Ili mupate kula amekukaribisha nani kwenye taratibu na mipango ya yanga kumbe nyinyi wahuni

  • @FaroukBaduwel-jm2dr
    @FaroukBaduwel-jm2dr Месяц назад

    Jemedari kila kukicha ni yanga yanga, huna lingine kwenye fani yako, kuwa mstaarabu bro

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Год назад +3

    Sisi yanga tuna viongozi wanywa gongo kweli,sasa kiongozi gani anaweza kufanya utopolo huu

  • @georgemwakamele4281
    @georgemwakamele4281 Год назад

    Yanga timu Yangu ila kwenye hili tumekosa akili kabisa yaani TUNALAZIMISHA MPANGAJI MWINGINE AINGIE KWENYE CHUMBA WAKATI MPANGAJI WA AWALI KODI HAIJAISHA

    • @julianajeremiah4353
      @julianajeremiah4353 2 месяца назад

      Jemedari amaakili sana huyu ila mambulura hawataki kumuelew

  • @litimbamahmoud4791
    @litimbamahmoud4791 Год назад

    Hata ufanye nini jemedari wenye akili tunajuwa wewe unaendeleaje tu ya wakina makona yanga itasonga mbele hata ufanyeje.

  • @litimbamahmoud4791
    @litimbamahmoud4791 Год назад

    Jemedari said amvaa heris said. Mara amvaa manara. Mara aivaa hangs. Mara auvaa uongozi wa yanga. Mara amvaa msemaji wa yanga hii no taswira inayojieleza bayana kuwa huyu mtu ni msemaji wa aina gani

  • @allenmkongwa4084
    @allenmkongwa4084 Год назад +4

    Manyokanyoka FC jersey 🤪🤪🤪🤪

  • @AyubuRamadhani-ci8ds
    @AyubuRamadhani-ci8ds 2 месяца назад

    Kuna yanga watamuelewa mzee magoma japo mnamuona anaisaliti yanga

  • @MathiasLima-b7v
    @MathiasLima-b7v 2 месяца назад

    Wewe jemedarii utahangaika buri unajusumbua

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Год назад +5

    Jemedari kichwa hiki

    • @255kessy5
      @255kessy5 Год назад +1

      Labda kichwa Cha chini ni mtu mjuaji mshamba Fulani anayejikweza kwenye roho ya kimasikini kwahiyo amesubiri nafasi hii ili amtukane au amdhalilishe injinia Kama wewe mtu wa Mpira alichokifanya injinia ni kuinufaisha yanga au kuibomoa yanga?hivi ungekua injinia ndio kiongozi wa Simba na matatizo yaliyojitokeza sijui angemuongeleaje najua kinachomuuma atafute chka jinginia aachane na yanga

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Год назад +2

    Sasa Jemedari Apo kosa lake Ni lipi? Kwel wanayanga Ni hamnazo kuanzia mashabiki adi viongoz, mtu mwenye akil timamu huwez kumchukia anaechambua kosa ukamwacha aliefanya kosa, kosa limefanywa na viongoz wa Yanga Sasa kosa la Jemedari Ni lipi? Kuchambua kosa au

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 месяца назад

    Magoma na mwaipopo wanaakili sana wanajua wanapigwa

  • @wazirimahamudu3878
    @wazirimahamudu3878 Год назад +1

    Halafu wachambuzi bongo hatuna,wako kiushwabiki tu ivi mnajua sport pesa walikubaliana nini na yanga.mnatakiwa mjiulize kabda hamjaanza kuichafua club kwasababu viongozi wa yanga sio wajinga mpaka wameamua kufanya ivyo.wanajielewa na kitu wanachokifanya.yanga ooooooye.viongozi pigeni kazi.

    • @alexandernyimbi8186
      @alexandernyimbi8186 Год назад

      Ushajibiwa kuwa Sportpesa walikubaliana na Yanga kuwa wavae Visit Tanzania kwa kuwa wao ndio main sponsors. Lakini wakati yanga anaambiwa hilo tayari Wao walishakiuka kwa kuingua mkataba na Haier

  • @sureking7488
    @sureking7488 Год назад +5

    Yanga nikikundi cha wahuni tu

    • @emanuelkilinga9196
      @emanuelkilinga9196 Год назад

      Ni watu wa taarabu kuimba imba mipasho tu muda wa ni mdogo sana watavurugikiwa kila kitu

    • @hamisimussa5238
      @hamisimussa5238 Год назад +1

      Sio waliwaleta wakina manxoki

    • @feisalsalum5560
      @feisalsalum5560 Год назад

      Wahuni niwale Wanao sajiri Mchezaji Apige Kura badara yakusajiri Wachezaji wacheze Mpira

  • @HemedmusoTz
    @HemedmusoTz 3 месяца назад

    Jemedali una wivu wa kijinga na yanga

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Год назад

    Mwezi mchanga huyu jamaa

  • @mishikombowato1457
    @mishikombowato1457 Год назад +3

    Kwahiyo yanga angeingia visit tanzania yy sport pesa angeekwa miguuni kwahiyo kwakua yy Ana mkataba so waipangie yanga kuingia mkataba na kampuni waitakayo wao washenzi sana

  • @rajabually8894
    @rajabually8894 2 месяца назад

    Hampendi kuambiwa ukweli

  • @vedanismtv1892
    @vedanismtv1892 Год назад +1

    HUYU MWAMBA KAMA VILE ANA VICHWA VIWILI deep thinking ... KWELI SISI YANGA NI ZAZAMWA KAMA SI UTOPOLO......

    • @patrickngalya5884
      @patrickngalya5884 Год назад

      You have to think twice Kwa hiyo spot pesa anampangia yanga kumbuka kuwa mwaka Jana yanga iliomba kutumia visit Tanzania wakakaliiwa msikilize jemedal vizuri Iko hivi Kila kitu inachokifanya yanga ni negative but mpira wa Leo ni pesa Mzee huwez kutangaza MTU for free uliona wapi msikilize hersi alivyoelezea kuwa sports pesa atabaki kuwa main sponsor wa club ya yanga ndo maana yanga imetengeneza jesy chache Kwa ajili ya mechi 6 TU only cuf kwenye ligi atabaki yey

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 Год назад +1

    Hilo ni tatixo la nchi.Mmlaka wanaacha husika za kisheria kwa maana ya baraza la michezo wanatakiwa kuwajibishwa kwa kumwacha huyu bwana anakiuka sheria hata nafasi yake ndani ya yanga ni batili.

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Год назад

    Hawa jamaa ni wahuni tu

  • @lucashaule4255
    @lucashaule4255 Год назад +2

    Kama ww ni yanga kitu cha kujiuliza kwanini migongano ya kimkataba mara kwa mara inatokea yangaa bila shaka kwenye uongozi wa yanga kuna sehemu wanatuangusha

    • @mshua337
      @mshua337 Год назад +1

      Kwann isiwe makampuni yanaziburuza timu nyingine lkn Yanga wanakomaa nao?

    • @nkoydavid9658
      @nkoydavid9658 Год назад

      Rais anaonekana anafanya maamuzi peke yake bila kushirikisha wenzake maana naamini mwanasheria wa Yanga Simon hawezi kushauri hivi..

    • @mshua337
      @mshua337 Год назад

      @@nkoydavid9658 endelea kuamini 😁😁

  • @Lulaboytz
    @Lulaboytz 2 месяца назад

    Uyo ndie jemedari

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Год назад +1

    Mko vizuri sana lakini shida ya washabiki na wanachama wa yanga wote hawana akili isipokuwa ni wale wawili tu(mstaafu na mzee manara)

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 Год назад

    Mi najiulizaga sana mmiliki wa hii radio huwa hajitambui au na yeye ni mnufaika wa hiki kikundi cha wahuni...?

    • @johnmapunda99
      @johnmapunda99 Год назад

      Watu wanapigania uhuru wa habari,wewe unataka uondolewe!Unadhalilisha joho

    • @johnmapunda99
      @johnmapunda99 Год назад

      Watu wanapigania uhuru wa habari,wewe unataka uondolewe!Unadhalilisha joho

  • @badrumbaruku
    @badrumbaruku Год назад +1

    Mm kila siku huwa nawambia yanga mazuzu ila ipo siku mtanielewa kua yanga mazuzu

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Год назад

    Kama Ukwel Ndio Huo Basi GSM na HERSI wanafeli Maana Kama SPORTPESA ndio Wadhamin Wakuu Inabd Hyo Pesa Wapokee Wao Bil1.5

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Год назад +1

    Hoja ni patina au sport pesa hawaruhusiwi caf

  • @stenobway3602
    @stenobway3602 Год назад

    Shida ya jemedari yupo negative Lisa alinyimwa kazi

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Год назад +2

    Haire wangezamini eneo la Yanga upande wa vifaa vya mazoezi

  • @blastermkama7579
    @blastermkama7579 Год назад

    Jemedar kasome hujasoma bali ushabiki pia hujawahi kuisema yanga vibaya

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka7091 Год назад

    Umeeleweka jemedari nadhani Maulid kakuelewa nae mmiliki ni ya sportpesa inakuweje mtu mwingine aje kuweka biashara kwenye kizimba Cha sportpesa

  • @paullwangili2235
    @paullwangili2235 Год назад +7

    Mmeongea facts lakn Cha ajabu Kuna watu wana comment negative,so sad.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      Unfortunately wengi wetu ni watu wenye cheap mind waoga na wenye hofu kujua mambo au kutaka kujulishwa

    • @riyaakther1851
      @riyaakther1851 Год назад

      @@fahadfaraj6474 ফপপপপপপপফফ

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      @@riyaakther1851 what is that

    • @litimbamahmoud4791
      @litimbamahmoud4791 Год назад

      Duh wewe ndio kabsaa kivuruge

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Год назад

    Sportpesa waende mahakamani km ynga imekiuka mkataba coz mkatabana upo kisheria

  • @rajabuhaji6425
    @rajabuhaji6425 Год назад +2

    Facts

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Год назад +1

    Ni vizuri unachofanya kwani unawazindua yanga lkn isiwe yanga tu hata kwa madunduka wenzio iwe ukiwachungulia pia,ili uwahi ofisini ukawatumbue,juzi hapa makolo wamemuingiza manzoki ktk uchaguzi kufanya nini.y hawakuwaita wakina mogela na wengine Kuja kuzungumza Hao ndio wenye timu,si uhuni na ushkaji umefanyika ule? Mbona huwatumbui masaa yote km kwa yanga,bro nakuomba kosoa lkn Kotekote,utakua fair.

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 Год назад

      Hivi unachokiongea unakijua? Kwan kosa manzoki kuwepo kweny uchaguzi wa simba ni lipi??? Mbna mnapenda kuchukua maneno ya mtandaoni lile swala sio kosa ndo mana hakuna mchambuzi ale liongelea kwan kuna sheria ina guide lile swala ..... manzoki sio mchezaj wa simba alikuja kama mgeni mualikwa kipi usichokielewa ? Mbna mnakua na akili ndogo kiasi hicho.

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 Год назад

      Yan unaongea kitu ambacho ni pumba tu🤣🤣🤣 kuna sheria inasema kua lazma hao ulio wataja ndo waongee??? Yule alikuja kama mgeni tu kua kiakil acha ushabikiiii .... wat wanazungumzia maswala ya kisheria ww unaleta hbr za manzoki

    • @mussaayubu1167
      @mussaayubu1167 Год назад

      Yan iyo jamaa ilibidi kumchapa na makofi kdg akili ndogo xana

  • @shamounali6970
    @shamounali6970 Год назад

    Nyinyi wachambuzi sio viongozi wa timu na ikiwa mna maoni ya kujenga nendeni mawazo yenu yapate baraka, mbona kule Ulaya waandishi wana tabia tofauti na zenu...nyie mumejifinza wapi kzi hii.

  • @zawadikigwa7344
    @zawadikigwa7344 Год назад

    Fanyeni ya kwenu achaneni na Yanga, mbona MO alikuwa mwenyekiti wa Simba at the same time mwekezaji mwenye hisa kwa Simba mbona hamkusema chochote

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Год назад

    Nakwataalifayenu ndiomaana hatuvai jezi kwasababu hatutaki kutangazakamali kamavipi huyo mchezakamali ajitoe wazaminiwapo

  • @mushimadege
    @mushimadege Год назад +2

    Kwa style hii soka la bongo mgongowazi.. Yani kweli club iache hela ya udhamini kisha ivae nembo ya bure

  • @jerichomwandenje3657
    @jerichomwandenje3657 Год назад

    alafu wanakuwa wanaongea kuwa fei toto kakosea nimejua kumbe fei is a real man

  • @iddijuma7124
    @iddijuma7124 Год назад

    Yanga wanataka wakienda kwenye uchaguzi nao wanataka waseme kwenye uongozi wake amekusanya fetha nyingi

  • @juliusmwiburi8117
    @juliusmwiburi8117 Год назад

    Jemedal huwa anaropoka tu kama anataka usemaj simba aseme bwege tu hyo

  • @hajiabeid993
    @hajiabeid993 Год назад

    Mzee wajambia upo sawa sana, hiyo ni dharau ya ukiukwaji wa kimkataba..

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 Год назад +1

    jemedari 🔥🔥

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 Год назад +1

    Well said Jemedari

  • @drvaxminja2133
    @drvaxminja2133 Год назад

    Sasa hapo ni wachambuzi wa mpira au nini? Kwani ninyi mmeletewa malalamiko na nani? Ninyi wajinga wa kutupwa, kila siku mnaangaika na Yanga. Jemedari na Oruma ninyi mashabiki wa Simba hamna lolote. Kama sport pesa wanalalamika ninyi ndio mahakama ya kutatua mgogoro kati ya Yanga na Sport Pesa? Mmedhihirisha chuki yenu dhidi ya Yanga

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Год назад +1

    Visit tz wangekuwa wapi

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 Год назад

      Donald oyaoya kweli. Watu wanazungumzia mkataba

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 Год назад

    Ukurugenzi wa Uwekezaji wa GSM una nini na Haier kuwa kwenye jezi? Mgogoro gani!
    SportsPesa bado ni mfadhili katika ligi na kwa kuwa nembo yao haiwezi kuonyeshwa ktk mashindano ya CAF, basi Yanga hawajavunja mkataba kuingia mkataba na Haier. Mimi nadhani ni jambo la kuzungumza tuu, tena ukizingatia biashara zao sio moja, hazikinzani. Halafu "Visit Tanzania" inaitangaza vipi SportsPesa?
    Katika CAF hata wafanyeje SportsPesa haiwezi kuwekwa pale. Hamna mgogoro wowote zaidi ya unaoundwa na Jemedari na akina Wilson Oruma!!

    • @suleimanbadru819
      @suleimanbadru819 Год назад

      Tatizo ni yanga kuondoa sportspesa bila makubaliano ilipaswa waamue pamoja nani wa kumueka mfano feitoto kavunja mkataba bila kushauriana na yanga

    • @suleimanbadru819
      @suleimanbadru819 Год назад

      Walizungumza lkn hawakuafikiana

  • @jameskomba8503
    @jameskomba8503 Год назад

    Sijaona kosa sport pesa angeka.wap i

  • @thomasitembe6836
    @thomasitembe6836 Год назад

    Jemedari unatafuta kiki na pesa kwa tabu iache Yanga we mbwa

  • @litimbamahmoud4791
    @litimbamahmoud4791 Год назад

    Bilioni 20 ziko benji gani?

  • @thomasitembe6836
    @thomasitembe6836 Год назад +3

    Jemedari wewe ni simba tu hueleweki siku zote hakuna anayekuzingatia

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Год назад

      Tuyape muda haya mambo always time tells the truth

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 Год назад

      Jemedari na mzee wa jambia wote hawa ni yanga lia lia yaani ni yanga wa kutupwa

    • @kidravanmsodoki9946
      @kidravanmsodoki9946 Год назад

      @@videozaaj1069 makuma tyu hao

  • @wazirimahamudu3878
    @wazirimahamudu3878 Год назад

    Mpira ni biashara na sikuzote wachambuzi wanasemana ili mpira wetu huendelee unaitaji pesa.sasa kama sport pesa hawatakiwi kimataifa na kajitokeza mtu yanga iache hela iweke nembo visit tanzania bure bure.iyo ni hasara kwa club. choten mpunga fanyeni lolote.mashabiki tunataka burudani tu

    • @damaspmtz1018
      @damaspmtz1018 Год назад

      Ambacho haujaelewa hapo ni Nini!!

    • @issashabanihusseniwewe9024
      @issashabanihusseniwewe9024 Год назад

      Wewe jemedary nani asie kujuwa kama huipendi yanga na tatizo kubwa ambalo nyinyi wachambuzi wa mchongo kinacho fanya msiipende yanga kama akina nyinyi jemedaruky ni kuwa yanga hawakupeni chochote ata mukiwasema kwa wema yanga inajitosheleza kaka hutofii maneno yako mchambuz wa mchongo to wewe kwaiyo kelele zako tushazizowea mbwa wewe

  • @abdulrajabu9817
    @abdulrajabu9817 Год назад

    Nyie ni makenge msiejielewa

  • @severinsaid9770
    @severinsaid9770 Год назад

    Wewe shogatu

  • @blastermkama7579
    @blastermkama7579 Год назад

    Wewe ninani ndani ya yanga

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Год назад +1

    Tatizo la jemedari ni moja,unapenda kuyavalia njuga masuala ya yanga zaidi kuliko ya makolo,yaani jemedari sijui km huwa unalala usingizi,nadhani hamka hata saa 8 usiku kuichungulia yanga wapi wanakosea ili uwahi saa 10 alfajiri njiani kwenda ofisini ukaitumbue yanga

  • @jerichomwandenje3657
    @jerichomwandenje3657 Год назад

    great jmdry

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 Год назад

    Uchambuzi mzuri

  • @didaskissaro7337
    @didaskissaro7337 Год назад +2

    Kinawawasha nn na udhamini wa yanga?

  • @feisalsalum5560
    @feisalsalum5560 Год назад +1

    Mambo Mengine Nikuongeza Kelele Tanzania huyo JEMEDALI WE HUWA NIMPUMBAVU KABISA ..watu wanaandaa Studio Zao kwa Ajiri yakutoa Habar lakini EFM nikwa ajiri ya kujadili Yanga inapoonekana Kuwa na mambo binafsi ....Jemedari Unachotaka kufanya Nchi Uwe Maalufu lakini mengine Hakuna Unachokijua japo wewe Umesoma

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Год назад +1

      Kwani hapo kuna kosa gani. Msifuge ujinga kila alichokisema Jemedari kina Mantiki kabisa.

  • @neelamhaji8800
    @neelamhaji8800 Год назад

    Ondoen unafiki

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 Год назад

    Pumba tupu.

  • @christianrukurugu4341
    @christianrukurugu4341 Год назад

    Eti hawa ndiyo wachambuzi wa mpira

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Год назад

    Hahahahahaha

  • @edyi9187
    @edyi9187 Год назад

    Jemedar 🔥🔥🔥🔥

  • @godifalsafa
    @godifalsafa Год назад

    This man ni hatari

  • @mokajoli4928
    @mokajoli4928 Год назад +1

    Jemedar acha ujuaji

    • @fredyerisha5738
      @fredyerisha5738 Год назад

      Jemedar muhun2 wewe unajifanya unajuuuuuuuuaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    • @mohamediomary8439
      @mohamediomary8439 Год назад +1

      Unavyoonekana hujuwi kitu jemedar anakuelimisheni nyie hamuelewi

    • @saidmasoud2200
      @saidmasoud2200 Год назад

      Manyau Nyau FC.

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 Год назад +1

      Kuna kitu kasema cha uongo???jibu tu hilo swali;??

  • @husseinkhamis3475
    @husseinkhamis3475 Год назад +1

    Kwani mnaongeleaga nni

  • @stephanomtweve5293
    @stephanomtweve5293 Год назад

    Kwan we Jemedar YANGA Imekukosea nin we ni kuiponda tu na viongozi wake acha zako

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 Год назад

    pekeke malalamiko FIFA KAZUMARI 🤣🤣

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 Год назад

    Huyu nikama chizi tu yani wewe utapiga kelele lakini wanaume hawana shobo wewe ndio unapenda kushobokea watu ungekua demu wana yanga wange zaa na wewe

  • @jovinmbalikila15
    @jovinmbalikila15 Год назад +1

    KWA FEISALI ANASEMA ANA HAKO ,JEMEDARI ANA CHUKI

  • @mfaumekasuku8876
    @mfaumekasuku8876 Год назад

    Wanafiki wakubwa hamjawahi kuiombea mazuri Yanga.Anachokifanya Rais ni kutekeleza ahadi yao ya kuifanya Yanga kuwa Club yenye uchumi mkubwa Africa. Makolo tumewashinda Akili pamoja na Wachambuzi wao uchwara.

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 Год назад

      Ww kweli kilaza sasa hapo hao spot pesa wanakuja hiyo bilion Yote na fine extra kama hujui mwarabu anakaa sehemu yenye maslahi siku akiona kashiba deni ni la club sio Hersi ni Sawa na madeni alokuta YY ya Mzee

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 Год назад

      Ww kweli kilaza sasa hapo hao spot pesa wanakuja hiyo bilion Yote na fine extra kama hujui mwarabu anakaa sehemu yenye maslahi siku akiona kashiba deni ni la club sio Hersi ni Sawa na madeni alokuta YY ya Mzee

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 Год назад +1

      Kweli we ni kasuku!!!unafata mtu anachosema hata kama ni tusi

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 Год назад +1

      Kwahiyo kitenge pia simba? Watu hawataki ukweli Hilo ndio ttz kubwa timu inaendeshwa kishkaji

    • @shabanimarima6127
      @shabanimarima6127 Год назад

      Timu zinaendeshwa kwa pesa kwahiyo Dili limekuja la b.1.5 ndani ya miezi 6 halafu kampuni yenyewe sio ya ubashiri ( Betting ) viongozi wa Timu waiachie hiyo pesa si utakuwa ujinga huo yaani B 1.5 ndani ya miezi 6 😄 🤣 😂 Feisal Salumu Abdallah katugomea wakati bado ana mkataba sababu ya pesa anataka kuongezewa mshahara za ndaani kabisa tunazo kwamba spotrpesa waliandikiwa Barua na Yanga na walikubali kilicho washtua ni thamani ya ule mkataba yaani B.1.5 ndani ya miezi 6