REVENGE (FULL MOVIE)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 198

  • @yonzyonz7343
    @yonzyonz7343 17 дней назад +3

    Kazi nzuri sana broo Dubu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 3 месяца назад +6

    Cha kwanza sijui niseme unisamehe au vipi maan sikujua kabisa kuwa hii movie ni nzur kiasi hiki tena ina mafunzo makubwaaa sana ila nimesema unisameh maan nilikuwa naidharau sana na kuipita. Ila nimekubali kazi mzuri sana unajua mpaka unajua tena. Siku zote mimi ni shabiki yako ila leo nimekuwa shabiki yako rasmi 🎉🎉🎉🎉

  • @UkhtyFatmah-he8vg
    @UkhtyFatmah-he8vg 2 месяца назад +4

    Mim hata sija itazama acha nseme tu hivi Dubu huaga Hana kazi mbovu jaman, maana natoka kutazama Maiti yangu Movie Nzuri sn tena sn,acha sasa ni tazame REVENGE.

  • @JanadevanOnsinini
    @JanadevanOnsinini Месяц назад +2

    Wueh napenda sana hii filamu,kila wkt lzma niiangalie, mungu awabariki sana, nawapenda bure❤❤❤❤❤❤❤

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 4 месяца назад +9

    Kwa kweli filam nzuri sana hadi inatoa machozi ya furaha ❤

  • @yonzyonz7343
    @yonzyonz7343 16 дней назад +2

    😅😅😅😅😂😂😂😂nyanyi kwekwe yaaan nimecheka kinoma na nilikua na stress kinomaa😅😅😅❤❤❤kazi nzuri sana nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-rl4cf6tc5n
    @user-rl4cf6tc5n 4 месяца назад +12

    nimeinjoy sana kiukwli mungu awabriki sana kwa kazi nzuri

  • @AmaniChari
    @AmaniChari Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂😂mwachekesha Nyan ngwengwe na mtumishi moto

  • @kadilida8070
    @kadilida8070 Месяц назад +3

    Ao watoto wameuwa ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-im4rf8dz7h
    @user-im4rf8dz7h 4 месяца назад +7

    Naomba usije ukawa kama diamond...chapa kazi yako vizuri baba..maana wapendwa na wengi

  • @NestorNiyonkuru-t3v
    @NestorNiyonkuru-t3v 27 дней назад +3

    Hao wasodo nawakubali sana❤❤

  • @MariumJuma-yo2hu
    @MariumJuma-yo2hu 4 месяца назад +6

    Hongera sana kaka dubu mungu azidi kukupa nguvu kwenye kazi yako nakupenda sana ❤❤

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 3 месяца назад +4

    Safi saana Yani ivi njo naelewa kazi nzuri kweli mnatisha ❤

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p 4 месяца назад +6

    Nimeishi nikicheka mwisho mumeniliza asanten sana wapenz❤leo ndio nimeangalia kwaumakin

  • @ayshanani
    @ayshanani 4 месяца назад +5

    Filamu Safi sana hongereni na wapenda nyote ❤❤❤❤❤❤❤

  • @SalomeMideva
    @SalomeMideva 3 дня назад +1

    Dube anajua Kua act kweli♥️♥️♥️

  • @MariaHussein-f5w
    @MariaHussein-f5w 15 дней назад +1

    Watot nmewapenda breeee

  • @AmaniChari
    @AmaniChari Месяц назад +2

    😂😂😂ak hii Khali Kwa kweli inachekesha kinoma

  • @Fedda258
    @Fedda258 4 месяца назад +7

    Oya mi nakukubali sana nko msumbiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MaSuzy-zf8ol
    @MaSuzy-zf8ol 4 месяца назад +5

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉

  • @BarackaManyanza
    @BarackaManyanza 16 дней назад +1

    ❤naipenda xana filamu hyi kinoma xana 😢😮😅😊

  • @BahatiArbogast
    @BahatiArbogast 2 месяца назад +3

    Mzee anaroho mbaya sana

  • @nzoisabazephania854
    @nzoisabazephania854 Месяц назад +2

    Hongereni ❤🎉😢😮😅😊😂😂😂😂

  • @Lauresonline
    @Lauresonline 3 месяца назад +4

    Filam nzuri sana yenye funzo kubwa

  • @AbdulisaBongole
    @AbdulisaBongole 6 дней назад

    mungu awa bariki watoto hawo wana fundisha sana

  • @mamymarua
    @mamymarua Месяц назад +2

    Mmmmmmh mmenifurahisha ila spendi mtu yeyote jamani mko poa ilie kinoma apo kibonge mwezangu unafanya vitu so poa hatare

  • @PaulNyamweya-gp9xi
    @PaulNyamweya-gp9xi Месяц назад +2

    Flamu nzuri sana bro dubu endelea na kazi yako pongezi sana kwa wana daresalam mimi natoka kenya 🇰🇪

  • @user-ok9oq3rg5m
    @user-ok9oq3rg5m 2 месяца назад +1

    Team diba kz nzr San aky hii nimeipenda ❤❤❤❤

  • @AbdulisaBongole
    @AbdulisaBongole 6 дней назад

    khalisti midabanguro naye yuko ndani ya sinema noma kabisa

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 3 месяца назад +3

    ❤❤❤ safi bro🎉🎉

  • @MariaHussein-f5w
    @MariaHussein-f5w 15 дней назад +1

    Muv nzur na imeish vzr hngera Sana Kaz iendlee

  • @BarackaManyanza
    @BarackaManyanza 16 дней назад +1

    Wazee nao noma dar 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮kazi nzuuuuuuur❤❤❤

  • @user-sx2uj4xi2s
    @user-sx2uj4xi2s Месяц назад +1

    Huyu dubu me nampenda sana tangia nimtazame kw maiti yangu na chifu good job my dear dubu

  • @BarackaManyanza
    @BarackaManyanza 16 дней назад +1

    Jamani watu wanaingiza vp filamu nzuuuuuuuuuuuri xana dar

  • @procefaofficial
    @procefaofficial 4 месяца назад +4

    Dubu muna fanya vizuri kabisa ❤❤

  • @MwanahamisKassim-n1u
    @MwanahamisKassim-n1u 2 месяца назад +2

    Hiyo safi san nimeinjoi

  • @Felix-q5w5q
    @Felix-q5w5q 8 дней назад

    Waa😮😮😮 ..... achana n dubu n hatarii

  • @GloriahMwende-tl9qu
    @GloriahMwende-tl9qu 7 дней назад +1

    Nani mwigne anawatch akicharge simu

  • @DennisMwenda-p3m
    @DennisMwenda-p3m 17 дней назад +2

    Mko sawa guyz

  • @shinjengasa3574
    @shinjengasa3574 4 месяца назад +17

    Hawa madgo wawili waokota makopo nmewaelewa sana,wanatembea na biti vzr sana

  • @merryshayo9819
    @merryshayo9819 5 дней назад +1

    Move nzur ❤

  • @SalomeMideva
    @SalomeMideva 3 дня назад +1

    Safi Sana ina mafunzo mazuri

  • @princemutiso4971
    @princemutiso4971 2 месяца назад +2

    Ni chukueni hizi ndo napenda kuacrt movie nifunze kuiingiza

  • @IssayaMollel-xl2lq
    @IssayaMollel-xl2lq 3 месяца назад +3

    Unakataa mimba na ulikuwa unaenjoy😂

  • @CaserineDaniel
    @CaserineDaniel Месяц назад +1

    Ongera sana kazi yako nzuri❤❤❤

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 4 месяца назад +2

    Hii kitu ilikua taaam sana jama, hongereni sanaaa wahusika🤞👏👏👏❤❤

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 2 месяца назад +1

    Movie nzuri dubu ,dube ,diba.wmecheza vzr pmoja na mamayao hongereni

  • @BarackaManyanza
    @BarackaManyanza 16 дней назад +1

    Vp hawa madgo mbn cwaelewi kabx ❤❤❤❤❤

  • @MaryNdinda-pe8do
    @MaryNdinda-pe8do 3 месяца назад +2

    Kazi safi ❤❤❤salute mumeweza sana.

  • @MaicoAsensio
    @MaicoAsensio 4 месяца назад +6

    halafu ww udugu😅😅

  • @AbdulisaBongole
    @AbdulisaBongole 6 дней назад

    watoto hawo wana kipaji sana hongeren sana

  • @Felix-q5w5q
    @Felix-q5w5q 8 дней назад

    Jamani wasiojua achaa wajifinzee kwa dubu na nyaningwegwe😅😅😅😅 atakufaa na ukwiruuu

  • @NikomedFocus
    @NikomedFocus 2 месяца назад +1

    Nakubali

  • @AlphonceKamata
    @AlphonceKamata 4 месяца назад +3

    Pamoja sana tz apa

  • @AmaniChari
    @AmaniChari Месяц назад +1

    😂😂😂watoto mwachekeshasana

  • @RacheleMitima
    @RacheleMitima 2 месяца назад +1

    Nikweli ni Suri sana maana inamafudisho mazuri😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MwanahamisKassim-n1u
    @MwanahamisKassim-n1u 2 месяца назад +1

    Ongelen mko vizur big up🎉❤😂

  • @MosesMachenja-p5y
    @MosesMachenja-p5y 20 дней назад +1

    Dubu hao madogo nimewakubali waloekti kama chokoraa

  • @RahmafocusMarindi
    @RahmafocusMarindi 2 месяца назад +1

    Huyu Diba and Diba huwa yuko vizuri kwenye kazi yake❤

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 3 месяца назад +2

    Kuna watu wananifurahisha humu ni NYANI NGWENGWE NA KIBONGE 😂😂😂😂 dah mbavu zangu

  • @IssayaMollel-xl2lq
    @IssayaMollel-xl2lq 3 месяца назад +2

    Nice 👍

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 2 месяца назад +1

    Nawafatiliaa❤❤❤❤

  • @MwanahamisKassim-n1u
    @MwanahamisKassim-n1u 2 месяца назад +1

    Ongelen mko vizur big up

  • @SaidiAbraham
    @SaidiAbraham 4 месяца назад +2

    watching from 🇺🇲🇺🇲 keep pushing 🔥

  • @JoriJori-es2re
    @JoriJori-es2re Месяц назад +2

    Ila bonge😂😂😂😂😂😂

  • @user-im4rf8dz7h
    @user-im4rf8dz7h 4 месяца назад +3

    Waaaa..dubu i love your content
    Keep it up bro

  • @jimmyjeyo7255
    @jimmyjeyo7255 3 месяца назад +2

    Nimependa sana

  • @JanethSifaelilunyungu
    @JanethSifaelilunyungu 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂 ety Humu tuu

  • @Caroline-qu6tx
    @Caroline-qu6tx 3 месяца назад +2

    Jamanii nimependezwa sana na hao mapacha 3❤🤓

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 3 месяца назад

    Jamani move tamu sana mm nilikua sio mpenzi na hizi move ongera sana

  • @user-mw8oc5bn9q
    @user-mw8oc5bn9q 4 месяца назад +2

    keep it up mumeweza sanaa

    • @OfficialDubu_tz
      @OfficialDubu_tz  4 месяца назад

      Shukrani sana 🙏

    • @amidukasimu4964
      @amidukasimu4964 4 месяца назад

      ​@@OfficialDubu_tz oyaaa kaka nilikua nauliza vep Kuna maandalizi gani ya movie mpya tume m.mc nyni ngwengwe dadeq 😂😂🖐️ na kazee kafupi e mdomo komaaa @dubu tafuta kikali kaka mkubwa

  • @lizchepkorir2000
    @lizchepkorir2000 4 месяца назад +2

    It was lit🔥🔥🎉 keep it burning bro🔥🔥💪💪letea sisi ingine waiting 🤲❤️

    • @OfficialDubu_tz
      @OfficialDubu_tz  4 месяца назад

      Soon Inshaallah 🙏

    • @Sambigmondy6558
      @Sambigmondy6558 4 месяца назад +1

      ​@@OfficialDubu_tzkak Naomba Namba zako Kuna Ishu Nataka Tuongee Mana mimi Ni msanii Kwasasaiv Nashut Kwenye Acount ya Zizzo punch SNAKE GIRL Sasaiv Stumii Acount yangu Lakini Acount yangu Ndo hii SAM BIGMondy

  • @CathelnGerlad
    @CathelnGerlad Месяц назад +1

    Aisee nyani ngwengwe yupo vizur binafs mm na Familia yangu tuna enjoy uhusika wake unafurahisha

  • @user-rj2hy4bz3f
    @user-rj2hy4bz3f 4 месяца назад +4

    Awesome brother.... apo kwa kutokezea watatu❤❤ salute🫡🫡

  • @Kenyangal966
    @Kenyangal966 4 месяца назад +3

    Good job

  • @SaidKidevu-gz8ds
    @SaidKidevu-gz8ds 25 дней назад +1

    nakubali

  • @CuthbethfrenkMunisi
    @CuthbethfrenkMunisi 2 месяца назад

    Kazi nzuri pokeen maua yenu🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @reylahCastory
    @reylahCastory 3 месяца назад +1

    Daaah jaman mbona kama iyo movie Ina endelea aiwezi kuishia apoo bhanaaa me Cja pendaaaaa❤😂😂❤

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 2 месяца назад

    Good job keep going❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Unic-ni2io
    @Unic-ni2io 3 месяца назад +1

    Jamaanii mkiwa mnaigiza msiwakose awa madogo maana wana chekesha sana ndo wanafanya movie. Iwe super hatalimno alafu kumbe hajira nawe jupo kwenye movie nilizani unaigiza nasteven + Ndarotuuu. Okey no problem God Bless You All

  • @BarackaManyanza
    @BarackaManyanza 16 дней назад +1

    Maua nyenu 🎉😢😮😅❤

  • @user-sx2uj4xi2s
    @user-sx2uj4xi2s Месяц назад +1

    Kwani dubu n mapacha watatu ama

  • @SaidiAbraham
    @SaidiAbraham 4 месяца назад +3

    Alafu wewe 😂😂😂😂

  • @Fedda258
    @Fedda258 4 месяца назад +2

    Oya mi nakukubali sana nko msumbiji

  • @humphreywmusungu
    @humphreywmusungu 2 месяца назад +1

    Nikishaitazama nitarejea Hapa na comments zangu, acha ni download kwanza

  • @Phatoush
    @Phatoush 3 месяца назад +1

    Tumezoe uchawi bana❤❤❤❤

  • @VincentOmbele
    @VincentOmbele 3 месяца назад +1

    Wonderful 😅😅😅

  • @user-no4re2pk9z
    @user-no4re2pk9z 3 месяца назад +1

    Wanatisha sana njamaa

  • @KingMohaliyy
    @KingMohaliyy 4 месяца назад +3

    Oyaa dubu namba nyingine kiukweli dubu n mwamba

  • @mwanashemwanashe
    @mwanashemwanashe 4 месяца назад +1

    Kazi safi👏👏👏👏

  • @SaidKidevu-gz8ds
    @SaidKidevu-gz8ds 25 дней назад +1

    jiandae uitazame

  • @bonventuresengo2464
    @bonventuresengo2464 4 месяца назад +2

    KAZI nzuri naikubali ❤❤

  • @gamavevo123
    @gamavevo123 4 месяца назад +2

    Kazi sana hii

  • @BarackaManyanza
    @BarackaManyanza 16 дней назад +1

    Kwr kabx dar

  • @user-es4nn5nb9b
    @user-es4nn5nb9b 3 месяца назад +1

    Film zuri sana I am giving you 99.09% But huyo mtoto asingejiuwa angelikuwa muwazi nakuomba radhi lakini huwenda kuna mafunzo fulani ambayo mulitaka kutufundisha na je! Film hii ina mafunzo gani ?

  • @KALI_MULI
    @KALI_MULI 26 дней назад +2

    ❤❤

  • @TeddyRobert-mx9qp
    @TeddyRobert-mx9qp 4 месяца назад +4

    Kuna dogo anaweka mdomo wa clam vevo

  • @patrickjilani1538
    @patrickjilani1538 4 месяца назад +2

    Hii ni damu ama tomato paste,,, otherwise keep it up bro

  • @badrusimba1267
    @badrusimba1267 4 месяца назад +2

    Asanteni madogo

  • @JamesNyandwi
    @JamesNyandwi Месяц назад +2

    Naipenda Sana guys please like me