Cha kwanza sijui niseme unisamehe au vipi maan sikujua kabisa kuwa hii movie ni nzur kiasi hiki tena ina mafunzo makubwaaa sana ila nimesema unisameh maan nilikuwa naidharau sana na kuipita. Ila nimekubali kazi mzuri sana unajua mpaka unajua tena. Siku zote mimi ni shabiki yako ila leo nimekuwa shabiki yako rasmi 🎉🎉🎉🎉
Mim hata sija itazama acha nseme tu hivi Dubu huaga Hana kazi mbovu jaman, maana natoka kutazama Maiti yangu Movie Nzuri sn tena sn,acha sasa ni tazame REVENGE.
@@OfficialDubu_tz oyaaa kaka nilikua nauliza vep Kuna maandalizi gani ya movie mpya tume m.mc nyni ngwengwe dadeq 😂😂🖐️ na kazee kafupi e mdomo komaaa @dubu tafuta kikali kaka mkubwa
@@OfficialDubu_tzkak Naomba Namba zako Kuna Ishu Nataka Tuongee Mana mimi Ni msanii Kwasasaiv Nashut Kwenye Acount ya Zizzo punch SNAKE GIRL Sasaiv Stumii Acount yangu Lakini Acount yangu Ndo hii SAM BIGMondy
Jamaanii mkiwa mnaigiza msiwakose awa madogo maana wana chekesha sana ndo wanafanya movie. Iwe super hatalimno alafu kumbe hajira nawe jupo kwenye movie nilizani unaigiza nasteven + Ndarotuuu. Okey no problem God Bless You All
Film zuri sana I am giving you 99.09% But huyo mtoto asingejiuwa angelikuwa muwazi nakuomba radhi lakini huwenda kuna mafunzo fulani ambayo mulitaka kutufundisha na je! Film hii ina mafunzo gani ?
Kazi nzuri sana broo Dubu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
🙏🙏
Cha kwanza sijui niseme unisamehe au vipi maan sikujua kabisa kuwa hii movie ni nzur kiasi hiki tena ina mafunzo makubwaaa sana ila nimesema unisameh maan nilikuwa naidharau sana na kuipita. Ila nimekubali kazi mzuri sana unajua mpaka unajua tena. Siku zote mimi ni shabiki yako ila leo nimekuwa shabiki yako rasmi 🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🙏
Mim hata sija itazama acha nseme tu hivi Dubu huaga Hana kazi mbovu jaman, maana natoka kutazama Maiti yangu Movie Nzuri sn tena sn,acha sasa ni tazame REVENGE.
❤️
Wueh napenda sana hii filamu,kila wkt lzma niiangalie, mungu awabariki sana, nawapenda bure❤❤❤❤❤❤❤
❤️
Kwa kweli filam nzuri sana hadi inatoa machozi ya furaha ❤
❤️
Nimeielewa kiukweli hiimuvi nikali kinoma
Sio kali tuu ni noma
Ongera sana@@OfficialDubu_tz
😅😅😅😅😂😂😂😂nyanyi kwekwe yaaan nimecheka kinoma na nilikua na stress kinomaa😅😅😅❤❤❤kazi nzuri sana nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉🎉
🙏❤️
nimeinjoy sana kiukwli mungu awabriki sana kwa kazi nzuri
🙏🙏
😂😂😂😂😂😂mwachekesha Nyan ngwengwe na mtumishi moto
Ao watoto wameuwa ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Naomba usije ukawa kama diamond...chapa kazi yako vizuri baba..maana wapendwa na wengi
Hao wasodo nawakubali sana❤❤
Hongera sana kaka dubu mungu azidi kukupa nguvu kwenye kazi yako nakupenda sana ❤❤
🙏❤️❤️
Safi saana Yani ivi njo naelewa kazi nzuri kweli mnatisha ❤
🥰
Nimeishi nikicheka mwisho mumeniliza asanten sana wapenz❤leo ndio nimeangalia kwaumakin
🙏❤️
Filamu Safi sana hongereni na wapenda nyote ❤❤❤❤❤❤❤
Tunashukuru sana
Dube anajua Kua act kweli♥️♥️♥️
🙏🥰
Watot nmewapenda breeee
❤️
😂😂😂ak hii Khali Kwa kweli inachekesha kinoma
Oya mi nakukubali sana nko msumbiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
❤naipenda xana filamu hyi kinoma xana 😢😮😅😊
🙏❤️
Mzee anaroho mbaya sana
Hongereni ❤🎉😢😮😅😊😂😂😂😂
Filam nzuri sana yenye funzo kubwa
🙏🙏
mungu awa bariki watoto hawo wana fundisha sana
Mmmmmmh mmenifurahisha ila spendi mtu yeyote jamani mko poa ilie kinoma apo kibonge mwezangu unafanya vitu so poa hatare
Flamu nzuri sana bro dubu endelea na kazi yako pongezi sana kwa wana daresalam mimi natoka kenya 🇰🇪
🙏
Team diba kz nzr San aky hii nimeipenda ❤❤❤❤
🍎
khalisti midabanguro naye yuko ndani ya sinema noma kabisa
❤❤❤ safi bro🎉🎉
Muv nzur na imeish vzr hngera Sana Kaz iendlee
🙏🙏🥰
Oeee dubuwangu
Wazee nao noma dar 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮kazi nzuuuuuuur❤❤❤
Huyu dubu me nampenda sana tangia nimtazame kw maiti yangu na chifu good job my dear dubu
Jamani watu wanaingiza vp filamu nzuuuuuuuuuuuri xana dar
🙏🙏🙏
Dubu muna fanya vizuri kabisa ❤❤
🙏❤️
Hiyo safi san nimeinjoi
❤️
Waa😮😮😮 ..... achana n dubu n hatarii
Nani mwigne anawatch akicharge simu
Mko sawa guyz
🙏🙏
Hawa madgo wawili waokota makopo nmewaelewa sana,wanatembea na biti vzr sana
🙏🙏
Nime wakubali sana
Wako vizuri sanaa❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Move nzur ❤
🙏
Safi Sana ina mafunzo mazuri
🙏🙏
Ni chukueni hizi ndo napenda kuacrt movie nifunze kuiingiza
Unakataa mimba na ulikuwa unaenjoy😂
Ongera sana kazi yako nzuri❤❤❤
Hii kitu ilikua taaam sana jama, hongereni sanaaa wahusika🤞👏👏👏❤❤
Shukrani sana
Movie nzuri dubu ,dube ,diba.wmecheza vzr pmoja na mamayao hongereni
❤️
Vp hawa madgo mbn cwaelewi kabx ❤❤❤❤❤
❤️
Kazi safi ❤❤❤salute mumeweza sana.
🙏🙏
halafu ww udugu😅😅
watoto hawo wana kipaji sana hongeren sana
🙏
Jamani wasiojua achaa wajifinzee kwa dubu na nyaningwegwe😅😅😅😅 atakufaa na ukwiruuu
🥰
Nakubali
Pamoja sana tz apa
🙏🙏
😂😂😂watoto mwachekeshasana
Nikweli ni Suri sana maana inamafudisho mazuri😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ongelen mko vizur big up🎉❤😂
Dubu hao madogo nimewakubali waloekti kama chokoraa
🙏
Huyu Diba and Diba huwa yuko vizuri kwenye kazi yake❤
❤️
Kuna watu wananifurahisha humu ni NYANI NGWENGWE NA KIBONGE 😂😂😂😂 dah mbavu zangu
🙏
Nice 👍
Nawafatiliaa❤❤❤❤
Ongelen mko vizur big up
watching from 🇺🇲🇺🇲 keep pushing 🔥
🙏🥰
Ila bonge😂😂😂😂😂😂
Waaaa..dubu i love your content
Keep it up bro
🙏🥰
Nimependa sana
😂😂😂😂😂 ety Humu tuu
Jamanii nimependezwa sana na hao mapacha 3❤🤓
❤️
Jamani move tamu sana mm nilikua sio mpenzi na hizi move ongera sana
🙏❤️
keep it up mumeweza sanaa
Shukrani sana 🙏
@@OfficialDubu_tz oyaaa kaka nilikua nauliza vep Kuna maandalizi gani ya movie mpya tume m.mc nyni ngwengwe dadeq 😂😂🖐️ na kazee kafupi e mdomo komaaa @dubu tafuta kikali kaka mkubwa
It was lit🔥🔥🎉 keep it burning bro🔥🔥💪💪letea sisi ingine waiting 🤲❤️
Soon Inshaallah 🙏
@@OfficialDubu_tzkak Naomba Namba zako Kuna Ishu Nataka Tuongee Mana mimi Ni msanii Kwasasaiv Nashut Kwenye Acount ya Zizzo punch SNAKE GIRL Sasaiv Stumii Acount yangu Lakini Acount yangu Ndo hii SAM BIGMondy
Aisee nyani ngwengwe yupo vizur binafs mm na Familia yangu tuna enjoy uhusika wake unafurahisha
❤️
Awesome brother.... apo kwa kutokezea watatu❤❤ salute🫡🫡
🙏❤️
Good job
🙏🙏
nakubali
Kazi nzuri pokeen maua yenu🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
🙏🙏🙏
Daaah jaman mbona kama iyo movie Ina endelea aiwezi kuishia apoo bhanaaa me Cja pendaaaaa❤😂😂❤
❤️
Ivii location ni morogoroo au???
Good job keep going❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamaanii mkiwa mnaigiza msiwakose awa madogo maana wana chekesha sana ndo wanafanya movie. Iwe super hatalimno alafu kumbe hajira nawe jupo kwenye movie nilizani unaigiza nasteven + Ndarotuuu. Okey no problem God Bless You All
Maua nyenu 🎉😢😮😅❤
🙏❤️
Kwani dubu n mapacha watatu ama
@@user-sx2uj4xi2s 🤣hapana
@@OfficialDubu_tz 🤣🤣🤣sawa
Alafu wewe 😂😂😂😂
Oya mi nakukubali sana nko msumbiji
Shukrani sana
Nikishaitazama nitarejea Hapa na comments zangu, acha ni download kwanza
Tumezoe uchawi bana❤❤❤❤
Wonderful 😅😅😅
Wanatisha sana njamaa
❤️
Oyaa dubu namba nyingine kiukweli dubu n mwamba
🙏🙏🙏
Kazi safi👏👏👏👏
🙏🙏
jiandae uitazame
KAZI nzuri naikubali ❤❤
🙏🥰
Kazi sana hii
🙏🙏🙏
Kwr kabx dar
Film zuri sana I am giving you 99.09% But huyo mtoto asingejiuwa angelikuwa muwazi nakuomba radhi lakini huwenda kuna mafunzo fulani ambayo mulitaka kutufundisha na je! Film hii ina mafunzo gani ?
❤❤
Kuna dogo anaweka mdomo wa clam vevo
Hahahah
Hii ni damu ama tomato paste,,, otherwise keep it up bro
Asanteni madogo
🙏🙏
Naipenda Sana guys please like me