#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 46

  • @mrmbuyatv3727
    @mrmbuyatv3727 6 месяцев назад +3

    Sema wasaf mpogo vizuri sana mnaongea mpira hamna maneno ya chuki na husda Kama Efm ya kina jemedari,

  • @John-iv2sm
    @John-iv2sm 3 месяца назад

    Ambambingile ndio maana watu wanakupenda unajua kuchambua mpila sio wachambuz wengine

  • @AzizaHussein-wq8ql
    @AzizaHussein-wq8ql 5 месяцев назад +1

    Iyo pesa 😂😂😂😂😂😂

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 6 месяцев назад +1

    Mbn wao walimchanganya fei kubwa na tulibaki pale pale uchamazini!!!?? Tulijua kuwa Azam wako behind scandal lkn tulifunika kombe apite mwanaharamu😅😅

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 6 месяцев назад +1

    Kuna timu zinatumia pesa ya gvt take my words

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 6 месяцев назад +1

    Momo muongo sana 😂😂😂😂eti akienda yanga kha!!

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 6 месяцев назад +1

    Hebu tengenezeni hicho kiti wasafi ni media kibwa kiti kinalia kama mlango nywinywiiinywiiii

  • @mohamedsleyim-he7wd
    @mohamedsleyim-he7wd 3 месяца назад

    Ila haka kajamaa waga kaongo sana😂😂

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 5 месяцев назад

    Umetumwa Leo na umehongwa ili kuja kutupumbaza

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 6 месяцев назад +4

    Ni same situation na ile ya fei sema mnazuga tu, coz hata yanga walimwambia fei tim inayomtaka ije mezani

    • @ikramhizza4706
      @ikramhizza4706 6 месяцев назад

      Tofauti ipo fei hela ya kuvunja mkataba m150 alitoa ila yanga hawakutaka. Dube hajafikia hiyo hela

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 6 месяцев назад

      ​@@ikramhizza4706wengine ubishi manundu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 6 месяцев назад +1

    Za Ndaaaaaaaaaaaaani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @charzclassic3579
    @charzclassic3579 6 месяцев назад

    Young African club ya Vijana, Dube karibu Kwenye timu ya vijana

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 sasa si umesema leo hakuna kodi kila kitu wazi mzee

  • @ismailsalumu1112
    @ismailsalumu1112 6 месяцев назад

    Ngoja Azam nao kiwapate
    Malipo ni hapahapa

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 6 месяцев назад

    Mbn hukulimaliza haraka la fei kubwa????

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 6 месяцев назад +1

    Hizo fedha ni nyingi

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 6 месяцев назад

    Lile lipi? Haiitwi Lille inatamkwa Lil.

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 6 месяцев назад +1

    Uongo mtupu

  • @BertinaCharlie
    @BertinaCharlie 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂Boya kweli wewe Momo nimecheka kwa sauti sana aisee et badae akienda Yanga eeeeh jmn😂😂😂😂

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 6 месяцев назад

    Baada akienda Yanga 😂😂😂 Momo ameuponza.

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MohamedMachano
    @MohamedMachano 6 месяцев назад +1

    Kwan yanga haifungi

  • @FidelisDamiana
    @FidelisDamiana 3 месяца назад

    Ila hamonaiz

  • @stn4873
    @stn4873 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 6 месяцев назад

    Kumbe anaenda Yanga tumeshajua

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 6 месяцев назад

    ka momo et kamekasirika😂😂😂😂😂😂

  • @MunirDaniford
    @MunirDaniford 6 месяцев назад

    Gsm anasifa sana😂😂😂

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 6 месяцев назад

    Badae akienda Yanga hahaha

  • @benjaminsamson1145
    @benjaminsamson1145 6 месяцев назад

    😅😅😅😅😅 Momo akili huna

  • @UR.CRISTIANO.FANSBASE
    @UR.CRISTIANO.FANSBASE 6 месяцев назад

    Umeuponza momo😂😂😂😂

  • @Saikalyasi
    @Saikalyasi 6 месяцев назад

    😂😂😂😂 daaah

  • @emanuelwattai5777
    @emanuelwattai5777 6 месяцев назад

    Hawezi kee dat yanga maana yanga hawana uwanja wa kutumia wako chukua lazima kuwe na uhadui 😂 ila ni maoni yangu

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂