Jamani sisi hatujasema wala hatusemi nyumbani ni kubaya mazingira ya nyumbani kijografia n sehemu nzuri sana ina potential nying lakin mifumo yetu ndo shida kubwa sana hivyo vyote ndio vipo lakin mifumo ya utafutaji sio rafiki na hatutakiwi kudebate on that kama nyumbani ni kuzuri njoo tuish huku kuzuri why unaish sehemu mbaya na nzuri ipo af ndo kwenu Kaongea ukweri how were blessed lakin kadanganya et wanatamani walio kwenye hizo nchi wengi kutaman kwao huku kuja vacation sio kuish wachache wenye mitaji mikubwa wanaona fursa wanakuja kuwekeza japo kila siku nao wana laumu sheria zetu haziko stable
Jamani sisi hatujasema wala hatusemi nyumbani ni kubaya mazingira ya nyumbani kijografia n sehemu nzuri sana ina potential nying lakin mifumo yetu ndo shida kubwa sana hivyo vyote ndio vipo lakin mifumo ya utafutaji sio rafiki na hatutakiwi kudebate on that kama nyumbani ni kuzuri njoo tuish huku kuzuri why unaish sehemu mbaya na nzuri ipo af ndo kwenu
Kaongea ukweri how were blessed lakin kadanganya et wanatamani walio kwenye hizo nchi wengi kutaman kwao huku kuja vacation sio kuish wachache wenye mitaji mikubwa wanaona fursa wanakuja kuwekeza japo kila siku nao wana laumu sheria zetu haziko stable
Comment nzuri sana kwakweli
Asanteh kwa taarifa
Amen Amen,na wengine tupo tunafikuja huko kama Mungu atapenda,tujekuona kwa macho😂😂😂
Karibuni . Ni kitu kizuri sana ku experience utofauti huu
Hak hata mm nimejifunza huku niliko hayaelezeki tumshukuru Mungu tu😂😂😂😂
😅🙌🏾🙌🏾 wee usinambie
Acha kutudanganya mbona kama pagumu mbona wengi hamrudi bongo sasa.
Hehehe kasheshe 😂🙌🏾
Hajui 😂😂😂😂@@Witnessvlog
Sasa si urudi mbona unang'ang'ania huko
😂wabongo🙌🏾🙌🏾. Swali zuri lakini