MAULIDI NI BIDAA ? | SHEIKH ABOUD MUHAMMAD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 268

  • @AlIhsaanTv
    @AlIhsaanTv  4 года назад +8

    Kuna maswali yameulizwa. Yajibuni...

    • @muslimmassoud2673
      @muslimmassoud2673 3 года назад

      @@shamsijuma5050 swadaktaa

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 2 года назад

      @@shamsijuma5050 swahihi

    • @muhideennoor2458
      @muhideennoor2458 2 года назад +1

      @@shamsijuma5050 tuambie barzanji ina makosa gani

    • @shamsijuma5050
      @shamsijuma5050 2 года назад

      @@muhideennoor2458 hili swali nikuludishie ww km ni kweli unaielewa maulidi ebu niambie maulid inafundisha nn
      Nambie mashart ya maulid ni yap?
      Nambie hukum ya kuto kusoma maulidi ni ipi?
      UKINIJIBU NITAKUJIBU SWALI LAKO
      NA KM NI MKWELI UNATAKA KUELIMISHA JIBU HAYO NILO KUULIZA UHURU UNAO KAULIZE ILI UPATE MAJIBU NAKUSUBIR

    • @muhideennoor2458
      @muhideennoor2458 2 года назад

      @@shamsijuma5050 huna agenda nyinyi hamumpendi

  • @akhtarbegum1219
    @akhtarbegum1219 Год назад +4

    Jazakallah shk wengi wana fikra korogo. Vzri muwaeleze. In sha Allah ieleweke.
    Mapenzi ioi na mola alisha tabaruknkumsifu nasi twafwataaaa. Wasotaka dufu wamsifu bila dufu khalas.
    Tutasherekeaaaa mpaka qiyama in sha Allah.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 2 года назад +1

    Alhamdulillah sheikh hakika maneno au waadhi uliokuwa wakweli ysnapotolewa hata roho inafarijika ,kinyume Cha urongo wa mahawabi wanaopandikiza chuki kuyapinga mazazi ya bwana mtume s,a,w

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno5740 Месяц назад

    mashaAllah

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 года назад +1

    Alla akubarik Yaa Sheykh

  • @osmanmuhidin3563
    @osmanmuhidin3563 4 года назад +7

    Hhhh Ustad sauti yako si bovu ni zuri sana mash'allah

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 11 месяцев назад +1

    Angalia mtume amepitia katika migongo ya mababa walio twahara na amezaliwa na kizazi cha upande wa mamake walikuwa ni watu wasafi, leo mawahabi watuambia kwamba wazazi wa mtume wako motoni.
    Subhaanallah.

  • @jannatkassim7464
    @jannatkassim7464 4 года назад +3

    imam hajar asema katika Al amali al mutlaq hii Hadith ni Hasan.. hadithi imepokewa na wanazuoni karibu kumi wakiwemo...
    1. Ibn hajar
    2. Imam Hakim katika mustadrak
    3. Imam tabrany katika mujmail kabeer
    4. Imam addhahaby katika siyari ilami nubala
    5. Abuu nuaym katika hilya
    6. Imam suyuti katika khasaisul kubraa
    7. Imam qurtuby katika jaamil alquran ....

  • @JOHNOYUGI254
    @JOHNOYUGI254 Год назад

    Subhanallah

  • @khamisissa252
    @khamisissa252 4 года назад +4

    wasiojua asemalo wafurahia saana ila kwa hakika huyu shekhe ajua afanyalo.. uongo si kazi
    mche Allah....
    kustadilli na hekaya si hoja
    hata sisi tulitumia vihoja hivi lakini tulipojua haki tukawacha maulidi yaliozuliwa na mashia

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 3 года назад

    صَلواٌ عَلى مَن كآن وَجهُهُ گالقمِـر🌙
    ﷺ❤ #محمد ❤️((الُلُُهًـــّــٍمٌ.صّــــُِلُ.ْعًلٍُــــــى.مٌحُمٌــــــدِ.وَْعلُــــىًُ.الُُه.وَاصّحٌٍُـــــابُّه.الُطِيَبّيَنَ.الُطِــِْـــاُهرَيَن.))🌸
    عدد خلقك🎈ورضاءنفسك🎈وزنة عرشك🎈ومداد كلماتك🎈كلما ذكرك الذاكرون🎈وغفل عن ذكرك الغافلون

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 3 года назад

    اللهم صلي وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين ❤❤

  • @ramadhansheshunda1229
    @ramadhansheshunda1229 3 года назад

    Maaashaa allaaah ahsantu ya sheikh khabar kubwaa

  • @mohamedbadbess6230
    @mohamedbadbess6230 3 года назад

    WALIJUWALO MASHEKHE HAWA NI MIVUTANO TU. MAULIDI NA MWEZI MUANDAMA. KUONYESHANA UHODARI.

  • @abubakaralimohammed3388
    @abubakaralimohammed3388 3 года назад +3

    Uzushi wa mawlid 🔥🔥🔥

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 месяцев назад

      Ikiwa umepamba moto bas kaz yako ww ni kuumwagia maji ya baridi na siyo ya moto.

  • @abuumasuri424
    @abuumasuri424 4 года назад +2

    Jannat qasimu we we huna dalili kufunga cku ya ashura ni suna ya MTUME S-A-W- na hakuna atakayepinga lkn maulid ni bidaa na hakuna cku tutayakubali na insha Allah uislamu utakapotawala hamtayapiga Tena hayo maulidi LA sivyo vichwa vyenu vitakatwa

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 4 года назад +2

      Abuu Masuri na aliekupa hukmu ya kukata kichwa anaesoma maulid umeipata WAP?na hali yakua mtume kakatazwa kumwaga damu za muislm.....ixpokua kwa haki as a ameua au mtumzim.mzinifu...so wew hkmu hyo amekupa nani? Au muhammd Abdul wahhab?huna hoja kaaa kimya...mwnzo mlikua mkiwasumbua watu ila sahv wanaakili zao...maulid yanapanda chat na yatazidi so poleni

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      @@aliyomar9140 usipoteze wakati kujadiliana na zimwi. Kusoma hakusoma upumbavu ndio uliomjaa katika ubongo wake. Hana hoja hata moja .

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli7163 4 года назад +6

    KWA MAWAAIDHA KAMA HAYA NDIO UTAWAJUA MASALAFI(MAWAHAB) KUA SI KATIKA AHLU SUNNA WAL JAMAA BALI NI WAPOTOSHAJI KATIKA HII NDINI SHE TUMEKUWELEWA NA ALLAH KULIPE KHERI.

    • @abumusabmusab3771
      @abumusabmusab3771 4 года назад

      Daaa kipofu anamkosoa mwenye macho kuhusu njia ya kupita sheikh wako kaongea uongo nawewe unaunga mkono bila kujua

    • @jumamussa8308
      @jumamussa8308 3 года назад

      nyanya mbuli. ALLAH AKUFAHAMMUSHE INSALHALLAH

  • @ismailabdallah8263
    @ismailabdallah8263 2 года назад +2

    Kanzu fupi na ndevu ni sunnah,usije ukamuudhi Allah na mtume swalla Allahu alaihi wasallam.

  • @mwanakheri2880
    @mwanakheri2880 4 года назад +5

    Vitwa Koko. Nzuri hiyo
    Tutasoma Mawlid kila mwaka na kila tupatapo nafasi

  • @easypizie566
    @easypizie566 4 года назад +3

    Mwapoteza watu nyinyi Subhanallah

  • @maimunashaban9538
    @maimunashaban9538 2 года назад +1

    We kweli Jahili mulakab

    • @Dr-ubaida965
      @Dr-ubaida965 Месяц назад

      Siyo mulakab embu kasome huko acha migogoro

  • @rajabjuma6847
    @rajabjuma6847 4 года назад +6

    kufuga videvu visivyo mbele wala nyuma kuvaa nisfu saak. Huku ni kufanya mzaha na sunna

  • @tariqbaater
    @tariqbaater 4 года назад +2

    Hadithi dhaifu maraawi hawajulikani na pia watia shubhaat kuwa kumsifu ibn Abbaas kwa mtume ndio kusheherekea maulidi, hakuna alokatazwa kumsifu mtume lakini twab3aan katika mipaka yasiopelekea ghuluu’ kama ya buswiri katika burda.... na kumsifu sio msimu mpaka msimu kama manaswara hiyo ndio bid3a katika dini bali mtume mwenyewe alikifunga na wala hakuna aliyeweka hafalaat katika maswahaba wala taabi3een mpaka karne ya Saba ndio ittibaa3 nnaswaara zikaanza wal3iyaadhubilLah, madevu yakutisha na vikanzu vifupi twafanya ittibaa3an lihabibuuna Mohammadin swalla lLahu 3alayahi wasallam.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Jee hizo hadithi dhaifu hazitumiki katika mambo ya dini? Na hiyo qismu Tawhid si ilikuja karne ya 7 baada ya mtume ? Na kuwekwa mubaligh masjid haram iko wapi katika sunna? Lete hadithi japo ni dhaifu kuhusu mambo hayo.

    • @tariqbaater
      @tariqbaater 4 года назад

      Hii hadithi yathibitisha kuwa na tableegh nyuma ya imamu
      عن عائشة أم المؤمنين:] لَمّا ثَقُلَ رَسولُ اللَّهِ ﷺ جاءَ بلالٌ يُوذِنُهُ بالصَّلاةِ، فَقالَ: مُرُوا أبا بَكْرٍ أنْ يُصَلِّيَ بالنّاسِ، فَقُلتُ: يا رَسولَ اللَّهِ إنَّ أبا بَكْرٍ رَجُلٌ أسِيفٌ وإنَّه مَتى ما يَقُمْ مَقامَكَ لا يُسْمِعُ النّاسَ، فلوْ أمَرْتَ عُمَرَ، فَقالَ: مُرُوا أبا بَكْرٍ يُصَلِّي بالنّاسِ فَقُلتُ لِحَفْصَةَ: قُولِي له: إنَّ أبا بَكْرٍ رَجُلٌ أسِيفٌ، وإنَّه مَتى يَقُمْ مَقامَكَ لا يُسْمِعُ النّاسَ، فلوْ أمَرْتَ عُمَرَ، قالَ: إنَّكُنَّ لَأَنْتُنَّ صَواحِبُ يُوسُفَ، مُرُوا أبا بَكْرٍ أنْ يُصَلِّيَ بالنّاسِ فَلَمّا دَخَلَ في الصَّلاةِ وجَدَ رَسولُ اللَّهِ ﷺ في نَفْسِهِ خِفَّةً، فَقامَ يُهادى بيْنَ رَجُلَيْنِ، ورِجْلاهُ يَخُطّانِ في الأرْضِ، حتّى دَخَلَ المَسْجِدَ، فَلَمّا سَمِعَ أبو بَكْرٍ حِسَّهُ، ذَهَبَ أبو بَكْرٍ يَتَأَخَّرُ، فأوْمَأَ إلَيْهِ رَسولُ اللَّهِ ﷺ، فَجاءَ رَسولُ اللَّهِ ﷺ حتّى جَلَسَ عن يَسارِ أبِي بَكْرٍ، فَكانَ أبو بَكْرٍ يُصَلِّي قائِمًا، وكانَ رَسولُ اللَّهِ ﷺ يُصَلِّي قاعِدًا، يَقْتَدِي أبو بَكْرٍ بصَلاةِ رَسولِ اللَّهِ ﷺ والنّاسُ مُقْتَدُونَ بصَلاةِ أبِي بَكْرٍ رَضِيَ اللَّهُ عنْه.
      البخاري (٢٥٦ هـ)، صحيح البخاري ٧١٣ • [صحيح] • أخرجه البخاري (٧١٣) واللفظ له، ومسلم (٤١٨) • شرح الحديث
      Na pia Ibn Taymiyyah na Ibn baaz rahimahumulLhahu walitoa fatwa kuwa ni bid3a ikiwa hakuna sababu ya kuinua sauti, kama ilivyokuja katika hadithi mtume Mohammad swallaa lLahu 3alayhi wasallam alikuwa mgonjwa..mawahabi wanasoma sio kama makhurafi wafata shubuhaat tu.
      Ama kuhusu tawheed soma suratul hashr aya tatu za mwisho na pia challenge ilitolewa mujibu ikiwa mtu anjitokeZa akasema yeye yuamini aliyemuumba ni Allah na kwamba a nayo majina mazuri na yuwaayamini lakini ibada yake ataka msujudia sanamu ama mtu je huyo ni musilamu?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      @@tariqbaater Wacha kudanganya hapa. Hapa tuna zungumza kuhusu mubaligh sio tabligh. Lini mtume aliweka mubaligh. Fahamu kuwa mtume alipo ingia makka kutoka madina na jeshi la watu 10000 aliswalisha hapo makka jee aliweka mubaligh ? Nahiyo tauhidi tatu zilikuja na ibn Taimiyah katika karne ya 7 baada ya mtume. Wapi mtume alisema tauhid ni tatu ? Jibu usituzunguwe akili hapa.

    • @tariqbaater
      @tariqbaater 4 года назад

      Tofauti ya tableegh na mubaaligh ni ipi? Hehe sasa hizo aya tatu za suratul hashr kebu zisome uzieleze haya ni masaala ya aqeedah lazima uamini kama wewe kweli huamini nijibu suali nilokuuliza ni challenge hata magwiji wa kisufi hawajajibu.. ati niwache kudaganya hehe masufi nyie balaa. Abuu bakar aliswali kama mubaaligh wakati mtume alipokua mgonjwa soma hadeeth uielewe.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      @@tariqbaater Mubaligh ni yule mtu aliewekwa ambae anatowa sauti baada ya imamu. Kama vile maka. Wakati imamu alipo kuwa hasikikani na watu ni wengi kukawekwa mtu ambae husema Allah akbar baada ya imamu.Hiyo ndio nimekusudia mubaligh. Kwa hivyo nieleze wapi mtume aliweka mubaligh?

  • @fundikirotv
    @fundikirotv 2 года назад

    Mmmmmmh jamani na dalili eti anatoa kutetea. Bidaaaa hii dunia mtihani kwa kweli

  • @abdulmajid6033
    @abdulmajid6033 4 года назад +1

    Miongoni mwa sababu za kupata ladha ya imani ni kutotanguliza maneno au vitendo vya mtu yeyote mbele ya vitendo vya mtume(S.A.W)...hakuna uongo tu

  • @abdallahsera4532
    @abdallahsera4532 4 года назад

    Mche Allah ndugu nena kweli usidanganye umma.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 2 года назад

    Zubeda mpondo kwanini usitafute elimu ili uweze kuwa kauli iliyosahihi,kulikoni kusema maneno mabaya ya hatari ,uwahabi nihatari Sana ktk imani yko ,sheikh hapa ametoa ushahidi lkn hamtaki kuelewa chochote ,mnashikilia msimamo wenu wa kiwahabi na si kutafuta ukweli

  • @zuhuramohamed7306
    @zuhuramohamed7306 11 месяцев назад

    Uje pia utuelezee jinsi ya kutawasul na maiti je yafaa maana naona kuna kaburi la sharifu ubavuni wa nyumba yangu

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara6776 3 года назад

    wew bidaa zimekuzidiya paka saivi unamurisha watu waabudu makaburi wew mnyewe una abudu makaburi kwahiyo hayo unayo sema nii uongo kbx chizi mukubo wew

  • @osmanmuhidin3563
    @osmanmuhidin3563 4 года назад +4

    Kabisa sheikh hajuwi na hawaelewi maana ya bid3a wache wasema tuu

  • @isareje8579
    @isareje8579 3 года назад +1

    Maulid au Milad sio tatizo Kwa kila muislamu ila thwari na kivoti =Ngoma Kwa kumsifu mtume na kusoma Kuran je nisawa?

  • @hidayaramadhani1833
    @hidayaramadhani1833 2 месяца назад

    Bidaa niwewe naupumbavu wako mitandaoni mnapotoa fatuazenu cm mnazitumia mtume alitumia mtandao alitumia cm acheni umbea semeni ukweli maulid sibadaa mwayachukia maulid kwa umbea kwachukizenu Tu

  • @salimahmed4861
    @salimahmed4861 3 года назад +1

    Lakini hata siku moja sijaskia muki translate Barzanji sheikh tufahamishe barzanji tueze kujua manake kuna utatanishi

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 2 года назад

    Mkiambiwa someni kwa watu sawa hamtaki mwaona sasa maskin pole sana Allah akutoe huko ulipo unajifany aumeto achangamoto jumbe umezungumza porojo

  • @majaliwaking4500
    @majaliwaking4500 3 года назад

    shekh sema ukweli

  • @abdallahsera4532
    @abdallahsera4532 4 года назад +5

    Huu mseto wayale yatendwayo ndani ya maulid hayajawahipo kufanyika na wema waliotangulia.
    اللهم اهد قوم فإنهم لا يعلمون.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      Kama yapi ambayo haya jawahi kufanywa ?

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 2 года назад

      Hizo zote porojo achani upuzi fateni dini kwa ilmu sahihi uziri kiswahili mkitumiacho ulimwengu haukielewi ni baadhi ya wagunya ndio hukielewa tu so daawa yenu haifiki mbali yachezea hapohapo

    • @dusabearafatrwigema9248
      @dusabearafatrwigema9248 Год назад

      Nikweli, sasa Hawa watu wa bidha walijifunza kutokana na swahab yupi kama sio uzushi tu

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 месяцев назад

      Unaposema wema waliotangulia unawajua? au umenukuu maneno hayo ya kusema "wema waliotangulia"

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 месяцев назад

      ​@@dusabearafatrwigema9248 upo kwenye muangaza ila kila kwenye giza unataka kuingia.

  • @zubedampondo617
    @zubedampondo617 3 года назад

    IPO siku mtatuambia ngurue ni halali halafu mtatoa na sababu na hadith kama hivi, kwakias fulan MAULIDI yana udidimiza na kuugawa usilam wetu, yasiwepo tu, maana saiv kunawatu wanatunga kaswida kama singeli na wanawake wanacheza, sasa hiyo maana take nini,

  • @aliabdirage3003
    @aliabdirage3003 4 года назад +1

    Maulidi kule Tanzania wanacheza taarab wanawake na wanaume pamoja sasa siku karibu utaona watu wakifanya maulidi wakichapa. Mwili yao ikitoka damu. Kama washia

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +2

      Nenda kajadiliane na mashia sisi ni Sunni. Vifatani vya kiwahabi .Kazi yenu ni kuleta fitna baina ya waislamu

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 4 года назад +3

      Hassan Alhussein tena wanapoingia mawahabi basi lazima watu wagombane.....wanafitna kubwa tuuu..

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +2

      @@aliyomar9140 Ndio kazi yao kubwa ni kuleta fitna. Wanaona wao ndio watu wa peponi.

    • @aliabdirage3003
      @aliabdirage3003 4 года назад

      Ibadha sio kudance na kuchapa vinanda barabarani .iliyo suna ni kufunga saumi hiyo siku.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      @@aliabdirage3003 Alie kuzuia wewe kufunga ni nani ? Jee utahisabiwa yako au ya mwenzio siku ya kiama? Na jambo haswa linalo kukera wewe ni lipi hebu tueleze. Pia tueleze kama wale wenzetu waliotangulia mbele ya haki wako motoni ? Na hizo funguo za moto munazo nyinyi ? Na jambo gani lilo kuleta hapa uso sikiliza masheikh wenu wa kiwahabi ?

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 года назад

    acha kuwadanya watu wew

  • @binhamedalkharous9541
    @binhamedalkharous9541 4 года назад +3

    Shirki na uongo ulokuwemo kwenye ivo vitabu vya maulid waambieni watu pia wajuwe

  • @salimahmed4861
    @salimahmed4861 3 года назад

    Sheikh Tuelimishe Barazanji ukurasa ukurasa ifafanue ili tuelewe kama tuko sawa sisi sufi twaitikie kila siku hatujui tunasema nini maana yake nyengine imefichika na inasemekana ina kufru

  • @husseinmohamed6723
    @husseinmohamed6723 4 года назад +3

    Sheikh umeeleweka wale wenye chuki na mtume na wenye elimu ya kijiko wataendelea kupinga

  • @hamzaahmad4887
    @hamzaahmad4887 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂ywachekesha haswaaa

  • @saidahmed2081
    @saidahmed2081 4 года назад

    Shehena mwogope Allah
    Wacha urongo
    Hukuona wa kuwasingizia isipokuwa maswahaba

    • @fotobackup552
      @fotobackup552 4 года назад

      Wewe ni zuzu Sana... Tafuta hadithi uisome

    • @alwyalsaggaf8260
      @alwyalsaggaf8260 4 года назад

      ​ urahara kisuke Sisi watu wa Mawlid hatukufundishwa kutukana na kuuwa watu. Twajilazimisha kufuata mienendo ya Mtume (SAW) kuwa na amani na watu wote duniani. Hata wale ambao hatukubaliani na wao kwenye dini.

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf 3 года назад

      @@alwyalsaggaf8260 watu wamaulid mnafata mwenendo wa mtume??????

  • @habibuchipeka7934
    @habibuchipeka7934 3 года назад

    Hata Urongo weye
    Lini ibn Abbas kafanya hivyo

  • @kakakamanga7178
    @kakakamanga7178 4 года назад +1

    Duh!kusoma Qura’an ni bid’a? Loh!

  • @AshrafAKhan-ql1tb
    @AshrafAKhan-ql1tb 4 года назад

    1.Sheikh nini maana ya maulid?salaf swaaleh walitunga vitabu vya seerah sio za maulid.
    2.hadith ya ibn abbas ni hadithi ya ngapi kwenye kitabu gani cha tafsiri?
    3.Maswahaba na salaf swaaleh walikua na tareh maalum yakumswalia/kumsifia mtume (s.a.w)?
    4.wenzetu wanapinga maulid kwa kutumia quran na hadith sahih
    5.tunayajua yanayosomwa kwenye maulid kwa lugha ya kiarabu?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Maana ya maulid ni sifa za mtume.kujumuika pamoja kumsifu mtume ni jambo zuri.
      Wanazuoni wanao tegemewa waliandika vitabu vya sifa za mtume .Mmoja wao ni Ibn Hajar Alaskalani, mwengine imam Ghazal, na wengi katika hao. Lete hadithi ya kupinga maulidi unayo? Jee masahaba hawakumsifu mtume ?
      Nani alokuzuia usijifunze kiarabu ?
      Nataka hizo hadithi na ayah unazosema kuwa ni za kupinga maulidi ?

    • @abdullasalim279
      @abdullasalim279 4 года назад

      Nadhani wewe hufahamu nini maana ya kile kinacho semwa kwani uongo Kua Mtume S.A.W hakua na macho mazuri.. tafsiri ya macho mazuri 》Ni macho yalio kua hayaangalii dhulma wala maasia..

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 4 года назад +1

      @@hassanalhussein3982 Haahhaha kumbe nimegundua Una Matatizo ya kutokusoma.
      Mawlid maanake Ni Kuzaliwa.
      Na Nyie Mkisema Mawlid hamkusudii Kuzaliwa bali Mnakusudia Al-Ihtifaalil-Mawlid Nabiyy
      Yaan Sherehe za Mazazi ya Siku Aliyozaliwa Mtume nayo mkajipangia Kuwa ni Tarehe 12 ya Mfungo 6.Hukesha kwa kukusanyika pamoja Na Kufanya Mambo mbali mbali Kama Kuimba,kupiga Ngoma,Vinanda,Vinanda,Manyanga,Zeze na Ala zote za Mziki huki Mkisimuliana Visa,Na Pengine Husoma Quraan kwa njia Ya Mtetemo Ambayo nayo Ni Bidaa.
      Kana Kwamba Kuna Aya Au Hadithi inayosema Mtume Amezaliwa tarehe 12 Mfungo sita!!!???

    • @AshrafAKhan-ql1tb
      @AshrafAKhan-ql1tb 4 года назад

      @@hassanalhussein3982 sikatai tusimsifu.siku/saa yoyote tunafundishwa sifa za mtume(s.a.w) kwenye khutba kwenye darsa na ata mashuleni alhamdlillah.lkn mtume (s.a.w) au maswahaba au salaf swaaleh hawakutuambia siku maalum yakuongeza bidii au siku inayofaa zaidi kumsifu mtume (s.a.w)

    • @AshrafAKhan-ql1tb
      @AshrafAKhan-ql1tb 4 года назад

      @@hassanalhussein3982 hao maulamaa au maswahaba (ra) kwenye vitabu vyao waliandika/walikuwa na siku maalum yakumsifu na kukesha kumsifu mtume (s.a.w)?

  • @abumusabmusab3771
    @abumusabmusab3771 4 года назад +6

    Kweli bidaa inapendwa kuliko sunna ni mwanachuonai gani mkubwa katk ahlu sunna waljamaa alieandika kitabu cha maulidi na akasoma kuanzia Kwa maimamu paka hapa ulipo ebu tuambie km ukweli uhakika wa maulidi najua mashia ndo waanzilishi wa maulidi kwahyo wasitukanwa wasiosoma maulidi kwasbb hawataki kufuata ushia.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Год назад

      Kuonyesha kuwa swahaba kasoma maulidi haikutoshi.unataka mwanazuini gani zaidi ya swahaba

  • @muslimmassoud2673
    @muslimmassoud2673 3 года назад +1

    Yaan ivo anavoishadidia iyoo bidaa sheikh bidaa itbak kuwa bidaa tuh

  • @husseinyussuf8827
    @husseinyussuf8827 2 года назад

    Ndiyo hii ndombolo munayocheza.ni sawa kumsifu mtume na kueleza mazazi yake.hii ndombolo.na hilo twari halikufanyika.ni uzuushi.

  • @twalibhamza9059
    @twalibhamza9059 3 года назад

    Jibuni maswali

  • @NurdinKishik
    @NurdinKishik 4 года назад

    yaallaah

  • @kurashigesir8709
    @kurashigesir8709 Год назад

    Mawlid ni uzushi na itabakia kuwa hivyo....hakuna Swahaba aliyepiga dufu.

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 месяцев назад

      Ukisema wewe itabakia kuwa hivyo lkn ikiwa iko kwenye vitabu haitobakia kuwa hivyo.

  • @zaharahassan7873
    @zaharahassan7873 2 года назад

    Siutaje ivyo vitabu ww

  • @maimunashaban9538
    @maimunashaban9538 2 года назад

    انت الجهل جهلا مركبا. قال العلامة محمد الغيمين. البلاء كل البلاء من الجهل جهلا مركبا الذي يجادلك بغير علم ويتكلم بين العامة بغير علم ويتكلم مع العلماء بالمجادلة بغير علم.
    قال الشيخ ابن باز رحمه الله.
    ليس للمسلمين ان يقيموا احتفالا بمولد النبي صلى الله عليه وسلم.
    في ليلة ١٢من ربيع الاول ولا في غير
    لأن الاحتفال بالموالد من البدع المحدثة في الدين .
    واو كان خيرا لسبقنا إليه من هو احرص منا على الخير وهم السلف الصالح .
    قال ابن عثيمين رحمه الله.
    هل نحن اشد حبا اللرسول من هوالاء . لا.
    فإذا كان لك فإن الواجب علينا ان نحذو حذوهم والا نقيم عيد المولد النيي لانه بدعه.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 года назад

    Hayo kawaambie masheikh wakubwa wa makka na madina,ambao hawafanyi kabisa maulidi,wala hawana habari nayo,unakuja kuwababaisha na kuwapoteza wasiyoyafahamu,Allah anayaona,unayoyazua kwa kutumia hadaa na wasta wako,kupitisha,mambo ambayo mtume wetu Muhammad SAW,hakuyaelekeza,hili mnalolizua nyinyi,kulifanya kuwa ibada,halikubaliki,ibada alizotushurutisha kwa kuzifurahia ni eid mbili kwa kila mwaka ndio sikukuu kwa waislamu,na hizo katuelekeza namna ya kuzifanya,yeye ni mjumbe wa mwisho wa Allah,kaja kupiga mstari,quran na sunna zake ndio muongozo wa kumzuia shetani,kupenya na kupoteza,nyinyi mnamfungulia njia shetani,ya kwamba mnataka kutwambia Allah na mtume wake wa mwisho,hawajayajua hayo,na nyinyi mnaijua kadara na yanayokuja,jee unakubali kuchukua dhima kwa litalokuja,sheikh huna haki ya kuwatengenezea ibada,hilo ni la Allah ,kupitia mtume wake,umekaa ukatafakari,hizo sunna za ibn Abbasi,umezitoa katika kitabu gani,mnazusha hadithi za urongo na kweli,kwa kutaka kulazimisha yasikuwepo,hizo ni tabia za kishia za kuzusha mambo.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Alie kwambia masheikh wa saudia ndio wenye ilimu peke katika ulimwengu huu ni nani . Katika tarehe ya kiislamu masheikh wengi wenye ilimu hawatoki huko . Kama hujui wako masheikh ndani ya makka na madina wanao sherehekea maulid. Sio kila mtu ni wahabi huko . Wewe unataja hadithi dhaifu jee ukiletewa hizo hadithi dhaifu utazijuwa ?

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 4 года назад

      @@hassanalhussein3982wewe kwani muislamu au shia?.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      @@sabraham5308 kwani Shia si waislamu?

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 4 года назад

      @@hassanalhussein3982 kumbe wewe shia?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      @@sabraham5308 sasa kama ni Shia ndio nimekuwa kafiri ? Na huo ushia ndio wewe ulonibatiza ?

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 2 года назад

    Acha kuifanyia istihzai sunnah ya mtume sala na sala. Ziwe juu yake yeye ndo alofuga ngevu n aametuamrish atufuge wewe unafanya istihzai Allah atuongoze .

  • @kakakamanga7178
    @kakakamanga7178 4 года назад +1

    Biriii...hehehe

  • @abusalam7036
    @abusalam7036 3 года назад

    Vijwa koko ni nani bwana kishekhe ww hauna hoja nzri wala kauli una lazimisha tu watu wasome maulid ndio nyinyi munaosoma Quran makaburini halafu mukamimina maji ili maiti amshwe kweli unatetea ubatil kabisa ww

  • @scottuk3055
    @scottuk3055 3 года назад

    Ww babu wacha uongo wako huo.

  • @jannatkassim7464
    @jannatkassim7464 4 года назад +2

    Kama bidaa ni kitu ambacho mtume na maswahaba hawakufanya...hii Quran Basi imejaa bidaa tupu kulingana na mafhum zenu...
    1.kuandika number katika Aya
    2. Kuandika jina la sura mwanzo wa sura na kila page juu
    3. Kugawanya juzuu na makata
    4. Kutia vitone na fatha, kasri, dhumma
    5.kutia shedde ya kukaza na maddda za kuvuta
    6. Kuandika mwanzo wa sura ni makiyya ama madaniyya...
    7. Kusomwa ma tayassara Minal Quran katika vikao, meetings, darsa, nikah, etc alioanzisha hii bidaa ni Nani??
    8. Kueka channel isome Quran 24/7 ina ushahidi gani katika dini..
    Haya mwanzo futeni haya tufate Sunnah kamili ...Kama Quran imejaa bidaa kuna salama katika uislamu??? Bidaa kimafhum yenu

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 4 года назад

      Isitoshe Hata Elimu huna ya unachozungumza.Kwan Quraan ikisomwa Yasomwa Kwa Kutaja Namba???Bado hujafahamu Bidaa ni kitu gani weye,Bidaa Ni Uzushi katika Ibada yaan Kufundisha Namna Mpya ya Kumuabudu Allah au kufanya Ibada Kinyume na Mafundisho Ya Mtume.Mfano Mtu Kusali Sala ya Jeneza kwa Kurukuu na Kusujudu
      Au Kuanzisha Ibada Mpya Mfano,Mawlid,Khitima,

    • @shamsijuma5050
      @shamsijuma5050 3 года назад

      Umetanguliza ujinga ndoo Mana ukasema hvyo

  • @salimhassan1874
    @salimhassan1874 3 года назад +1

    Balagha risala, wa a dal amana, wanasahal ummah, wajjaahadal fillah haqqa jihadii, hattaa ataul yakin. Swali langu je mtume alisherekea maulid yake au ya wazazi wake au ya mitume kabla yake ? Je kuna swahaba aliyesherekea maulid, je matabiin walifnya maulid? huu ni uzushi wa wazi uache kupotosha watu.

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli7163 4 года назад +2

    KWELI MASALAFI (MAWAHABI)HAWAELEWI MAANA YA BIDAA .

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      Usiwaite masalafi hawa . Hawajawafikia masalafi hata kucha zao. Hawa ni mafatani wanaoleta Mizozo katika dini

    • @nyanyambuli7163
      @nyanyambuli7163 4 года назад +1

      NDIO MAANA KUNA MBELE KUNA MABANO.

  • @mahmoudmatran1686
    @mahmoudmatran1686 4 года назад

    Subhnaallah.....afdhali uketi na mtu anyezini na kunywa tembo kuliko kuketi na ww.....Allah a ku laani

    • @kingaweys
      @kingaweys 4 года назад

      Ustaaz usiseme hivo ni muislamu lakini akona ihitilafu kidogo

    • @alwyalsaggaf8260
      @alwyalsaggaf8260 4 года назад

      ​ urahara kisuke Sisi watu wa Mawlid hatukufundishwa kutukana na kuuwa watu. Twajilazimisha kufuata mienendo ya Mtume (SAW) kuwa na amani na watu wote duniani. Hata wale ambao hatukubaliani na wao kwenye dini.

    • @ibrahimabobakar2966
      @ibrahimabobakar2966 4 года назад

      Je na dhefe alifanaya imamu nani?

    • @mahmoudmatran1686
      @mahmoudmatran1686 4 года назад

      Mtu yyte mwenye kufanya uzushi ni ma ubadul kubur k wa tawahid ya kikwli...kwaivo hao wakiitwa washirikina hakuna neno kwa tawahid yakisawaaa

    • @fadhally6273
      @fadhally6273 4 года назад

      Unamwombea laana.uislamu gani?

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 4 года назад +3

    Tarehe 12 Rabiiul Awal ikiwa Siku ya Juma tatu.Ndio Siku aliokufa Mtume.Hilo lipo waz zaid
    Hahahahaha Shekhena wewe ni Muongo acha Kuwasingizia Wanachuoni,Ni Muongo sana..

    • @athmanmohamed8934
      @athmanmohamed8934 4 года назад +2

      Toa dalili na wewe.. sio uongee bila hoja wacheni kujifanya nyinyi ndio waongofu ilhali ni wapotofu. Na istoshe haujalazimwishwa ufuate... chuki ni za nini??

    • @mustaphamshiindorajab8066
      @mustaphamshiindorajab8066 4 года назад +2

      Baba Faisal kama huyu ni muongo basi ww unanafasi kubwa ya kupungukiwa uislamu wako kwasababu huna insaf katika kuchunga ndimi yako juu ya muislamu mwenzio

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 4 года назад +1

      @@mustaphamshiindorajab8066 Insaaf basi hata Allah hako nayo mana yeye Alishawasema watu wengi ambao wako na Tabia ya uongo,فلا تطع المكذبين
      na aya nyingine nyingi tu.
      Na Mtume pia Amekosa hiyo Insaafu Kwan Alisema Alama za Mtu mnafiki kuwa Akizungumza Huzungumza Urongo.
      Na Pia Khalifa Omar Alokosa Insaaf kwa Kumtandoka Swabiyy na Pia Ibn Abas Amekosa Inswaaf Kwa Kuwapiga Vita Qadariyyah.
      Na mim Nipo pamoja na Hao,kwa hiyo Sie Sote Hatuna Insaaf kwa Kumzuia Mpotoshaji.Kwel Wew Una Adabu Mbovu kabisaaa
      Nenda kasome Ktk Kitabu cha Hadith 40 Alizoandika Imaam Nawawi utaikuta Hii.من احدث في امرنا هذا ما ليس منه فهو رد

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 4 года назад +2

      @@athmanmohamed8934 Dalili ipi ilihali Mawlid yapo wazi kuwa Ni #Uzushi. na Kila uzushi ni Motoni asema Mtume hivo.
      Wew wataka Dalili ipi Ilihali Mawlid Ilianzishwa Misri ktk Dola Ya Kishia(Dolat fatwimiyyah).
      Haya Tupe wew Dalili kuwa Imam Shafi Kasherehekea haya Mawlid??Tena nakutajia na Kitabu chake kiitwacho Al-Ummu uwende ukanioneshe Mawlid yalipo.

    • @rashidhemed1212
      @rashidhemed1212 4 года назад +1

      Hawa wanaopinga kila kitu huwa nawashangaa sana mingine wanayakubali na bidaa na mingine wanapinga ambayo ni bidaa pia sasa sijui hili dhehebu jipya lao ka salafi wamelitoa wapi?wanapinga vidio ya kuonekana lakini wanarusha vidio na kueka picha lakini ukitaka kusema badaa basi jua yote ni bidaa sio nyama ya nguruwe haramu i na mchuzi halali ndio nini wakati vyote mtume hakufanya,hawa washaingia peponi kabla ya kufa!!!!!!!!

  • @ramadhanomar8093
    @ramadhanomar8093 2 года назад

    Hili jitu rongo kwelikweli

  • @abuumasuri424
    @abuumasuri424 4 года назад +1

    Mawlid yameanzishwa na mashia na mashia ni makafir

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      Mwenye kumuita muislamu kafiri basi yeye ndio kafiri.Haya ni maneno ya bwana mtume saw.

    • @jannatkassim7464
      @jannatkassim7464 4 года назад

      Kufunga siku ya ashura walianza kufunga ni mayahudi...sasa mtukane mtukane amewafuata mayahudi..uwanja ni wako sasa mtukane mtume amewafuata mayahudi kwa hili!!!!!!!!

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      @@jannatkassim7464 Hawa ni makoko ufidhuli ni kazi yao mawahabi.

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 4 года назад +1

    Yaonekana hata neno bidaa hujui nn maana yake

    • @hasanially9294
      @hasanially9294 4 года назад

      @Mohamed Abubakar kila jambo ambalo haku lifanya mtume wala swahaba hilo Lita kuwa ni bida

    • @hasanially9294
      @hasanially9294 4 года назад

      @Mohamed Abubakar je mauridi mtume alifanya

    • @hasanially9294
      @hasanially9294 4 года назад

      @Mohamed Abubakar na je ipi amri ya mtume siku aliyo zaliwa

    • @hasanially9294
      @hasanially9294 4 года назад

      @Mohamed Abubakar je nyinyi mna mapenzi zaidi kuliko mji alio zaliwa saudiyaa mambo hayo hayapo

    • @hasanially9294
      @hasanially9294 4 года назад

      @Mohamed Abubakar bida za mauridi waanzilishi ni mashia

  • @abuumasuri424
    @abuumasuri424 4 года назад

    HASAN alhusein mashia ni makafir hawaruhusiwi kuhiji macca na hata wakihij mashia huko macca lkn hija yao haiswii kwa kuwa haji ya kafir haiswii

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 4 года назад +1

    Wacheni uzushi mtume alikua akifunga saum

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +2

      Kilicho kuleta hapa ni nini kifaranga we. Nenda kwenye chanel zenu za mawahabi

  • @AshrafAKhan-ql1tb
    @AshrafAKhan-ql1tb 4 года назад

    Allahu Akbar.uislam hauhitaji ushabiki kama wa mpira au siasa.yenyewe inajieleza na imekamilika.tusiongeze wala kupunguza ibadah bila ya ushahidi wa quran au hadith za mtume (s.a.w).tunafanya ushabiki leo, kesho tuko pekeyetu hakuna wakumdanganya wala kubishana nae ila nafsi zetu wenyewe.
    Tupo tiari?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Ukipinga pinga kwa hoja za kutokana na Quran na hadithi kama huna ni Bora unyamae kimya.maana ilimu chache ni hatari.

    • @AshrafAKhan-ql1tb
      @AshrafAKhan-ql1tb 4 года назад

      @@hassanalhussein3982 kwanini tunafanya mawlid tar.12 mwezi6?kwanini hatufanyi miezi mingine?

  • @user-gd3es3ee5o
    @user-gd3es3ee5o 2 года назад

    هذا مبتدع غير طبيعي.. انتم اخوان الرافضة لا شك... الكذب عندكم عادي .. الله لا بارك فيكم

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama6099 4 года назад

    Hio ndio shirki sasa. Kabla kuumbwa Adam, Mtume Mohammad saw alikuweko? Sasa mtu wa kwanza ni mtume Mohammad saw au ni Adam?

  • @masoudmohamed2230
    @masoudmohamed2230 4 года назад

    Kumsifu mtume Mohammed s.a.w
    sio Lazima use ni maulidi.
    Musilete confusion kusudi.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Lile jambo linalo kukera wewe ni lipi? Kama funguo za moto unazo wewe basi tuchome .Tuta soma .maulidi mupende musipende.

  • @abuumasuri424
    @abuumasuri424 4 года назад +1

    Sheikh watetea mawlid utakuwa ukilipwa na mashia

  • @abuumasuri424
    @abuumasuri424 4 года назад

    Ally omari ukileta uzushi katka dini na ukinasiiwa hutaki hukumu yake ni kichwa kikatwe na kama unabisha nenda kayaimbe hayo mawlid sehemu wanayoitawala mujahidin WA allshababu somalia uone watachokufanya

  • @abuumasuri424
    @abuumasuri424 4 года назад

    Hassan alhusein kama we ni shia ni kafir we we na ujue mwanachuoni mohamad bin Abdul wahab asema asiemkufurusha KAFIRI nae ni kafiri pia

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад +1

      Sasa tumfuate mtume saw ama tumfuate sheitwan aitwae Muhammad abduwahab ?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Jee kafiri aruhusiwa kuingia makka? Maana mashia wanaruhusiwa kufanya hajj. Hebu tueleze wewe mwenye kuita watu makafiri.

  • @abuomar4929
    @abuomar4929 4 года назад

    Kadhaab, hakuna hakika ya kuwa Mtume Sallallahu calayhi wassallama alizaliwa katika mwezi wa RABI UL AWAL wala Mtume hakuamrisha sherehe ya maulidi na masahaba hawakusherehekea. Je, mabidia ndio wanamoenda Mtume kuliko masahaba.

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 4 года назад

    Bidaaa yoyote makazi yake ni motoni

    • @fotobackup552
      @fotobackup552 4 года назад +1

      Mpaka msabaqal Qur'an?

    • @saidshariff9600
      @saidshariff9600 4 года назад +1

      Rudi ukasome wacha kufata masheikh wakulipwa tafuta mtu akusomesha dini kwa inswaf

    • @saidshariff9600
      @saidshariff9600 4 года назад

      Alie kupatia idhni uakupeleka watu motoni na peponi ninani ukiniambia nimtume wewe mrongo

    • @mustaphamshiindorajab8066
      @mustaphamshiindorajab8066 4 года назад +2

      Hasani Ally maulid sio bidaa bali ni sunna kwa mujibu wa dalili aloitoa shekhe coz jambo lililofanywa mbele ya mtume nae akaliliridhia huwa haliitwi bidaa bali ni sunnah sasa ww tafuta dalili ya kupinga maulidi kwa aya au hadithi na sio maneno matupu

    • @alwyalsaggaf8260
      @alwyalsaggaf8260 4 года назад +1

      ​ Sisi watu wa Mawlid hatukufundishwa kutukana na kuuwa watu ama kutia watu motoni. Twajilazimisha kufuata mienendo ya Mtume (SAW) kuwa na amani na watu wote duniani. Hata wale ambao hatukubaliani na wao kwenye dini.

  • @abdullasalim279
    @abdullasalim279 4 года назад

    Badala ya nyie masheikh kuwalingania waislamu waache kuwadhulumu waislamu wenzao kuwatesa kuwauwa ambalo lafanywa kila siku mwashuhulikia jambo la muda tuu linalo pita ambalo lina faida kwa wenye kutafakari kile kinacho somwa...

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 4 года назад

    Ujinga nao bado hauja kuisha ndugu ni wapi mtume alifanya uwozo huo na nini amri ya mtume

    • @alwyalsaggaf8260
      @alwyalsaggaf8260 4 года назад +1

      ​ urahara kisuke Sisi watu wa Mawlid hatukufundishwa kutukana na kuuwa watu. Twajilazimisha kufuata mienendo ya Mtume (SAW) kuwa na amani na watu wote duniani. Hata wale ambao hatukubaliani na wao kwenye dini.

  • @zubedampondo617
    @zubedampondo617 3 года назад +1

    IPO siku mtatuambia ngurue ni halali halafu mtatoa na sababu na hadith kama hivi, kwakias fulan MAULIDI yana udidimiza na kuugawa usilam wetu, yasiwepo tu, maana saiv kunawatu wanatunga kaswida kama singeli na wanawake wanacheza, sasa hiyo maana take nini,