MAKJUICE: KAANZA NA MTAJI WA ELFU 7 MPAKA DALADALA YA KUUZA JUICE MTAANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Mjasiriamali Mak maarufu kama Mak Juice amezungumza jinsi alivyoanza biashara yake kwa mtaji mdogo lakini sasa imemsadia kuajiri vijana wengine na hata kubadili maisha yake kiuchumi, pamoja na hilo ameelezea jinsi alivyojipanga kuanza kusambaza juice yake mtaa kwa mtaa kwa bei hiyo hiyo ya elfu mbili.

Комментарии • 199

  • @aloycempandana1336
    @aloycempandana1336 6 лет назад +109

    story kama izi hazina views kabisa kama video za diamond na ally kiba pia hata izi views zilizopo zipo negative then usipoona maendeleo unaisema ccm...jamaa kaongea points nyingi nzuri kuliko hiyo ishu ya 7000.. God have a mercy on Tanzania

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 6 лет назад +16

    Hakuna Mambo Magumu Kama Unajitumaaaa.. I like it

    • @jumaelias1019
      @jumaelias1019 6 лет назад

      Yuko bomba sana huyu jamaa,maamuz magumu na yenye busara

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 6 лет назад +16

    Uthubutu na juhudi ndio vitu muhimu zaidi katika ujasiriamali...Kuna Dada anauza uji anaitwa Porridge point amethubutu na ameweza ,kwanini sisi tushindwe....Vijana tuache kulalamika tupige kazi...

  • @CatherineMrema-st8iq
    @CatherineMrema-st8iq 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu akakuinue viwango na viwango..nimejifunza kitu ahsante 🙏

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid769 5 лет назад +4

    Fun juice soon In Sha Allh ndn ya tz more delicious

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 6 лет назад +2

    Nakuamini kwa kuanza na mtaji wa 7000 watu wanazani biashara lazima uanzie milioni no, tena mtaji mdogo ndio unakufanya uwe milionea well done 👍🏾

  • @suzanlyamuya4442
    @suzanlyamuya4442 6 лет назад +2

    Safi sana kaka!!! MUNGU akazidi kukuongoza ktk kazi yako na sisi utuombee tufikie salama malengo yetu.

  • @angelamhina3010
    @angelamhina3010 6 лет назад +4

    nimejifunza kitu hongera sana MAKJUICE

    • @hudsson75
      @hudsson75 6 лет назад

      angela mhina sasa ashakufundisha kununua, blender, fridge, matunda, glass, na kujenga kibanda kwa elfu saba

  • @sakarimomoi7040
    @sakarimomoi7040 6 лет назад +6

    He is fuc**ing genius! Im inspired big up bro 👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @iddatysupergirl6581
    @iddatysupergirl6581 6 лет назад +7

    Hongera sana wengi watajifunza ila kwa mtaji wa 7000 binafsi siamin ila kiukwel juice inalipa sana kma ukiithamin

    • @tcbthemarket9317
      @tcbthemarket9317 5 лет назад

      Elfu saba alienda nunulia matunda

    • @dianamgani69
      @dianamgani69 Год назад

      Ni kweli mana apo hajaongelea gharama za kununua Brenda cjui ma fridge hzo glass za take away, ujenzi wa kibanda sawa hajatumia mtaji mkubwa ila sio 7000 mana hzo gharama zote za awali zinahesabika kama mtaji pia

  • @leoniakalimanzira5090
    @leoniakalimanzira5090 6 лет назад +11

    Tatzo hana sehem za watu kukaa ,,,kazdiwa Kingdom juice pale kuna pakukaa projector inaonesha mzik mkubwa Yan unaenjoy

    • @allyathumani119
      @allyathumani119 5 лет назад

      Jamani!!! Ndiyo mwanzo, hata hao walianza kama yeye...

    • @HappyEliud-tk6bd
      @HappyEliud-tk6bd 4 дня назад

      Juice watu weng wanachukua takeaway my frend

  • @annawinstone9426
    @annawinstone9426 6 лет назад +6

    zanana aliongea kwa uwazi, but mskikaji aficha kidogo mtaji.....but still ameninspire sanaa

  • @GovernorNkhulu
    @GovernorNkhulu 6 лет назад +12

    👊He is doing something with his life,It's inspiring

  • @williumhelbert6644
    @williumhelbert6644 6 лет назад +1

    mac nakubali sana mzazi nakumbuka kazi yako yakwanza ya chps lakini umekoma salul broo

  • @husnatgamaah1335
    @husnatgamaah1335 6 лет назад +14

    Jamani amesema mtaji wa kwanza kwenda nao sokoni ni 7000 hajasemea vifaa🙄🙄 mnakua wagumu kuelewa jmn, hiyo fridge na blender si pengine alikua navyo tangu zaman kwa matumizi yake ya nyumbani??

    • @francemlwilo1586
      @francemlwilo1586 5 лет назад +1

      husnat gamaah safiiii unauelewaaa sanaaaa

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 2 года назад

      Kwa uelewa wangu mtaji nikuanzia banda, blendar na matunda hivyo bhac ameeleza kitu kidogo sana

  • @andrewmalisa1893
    @andrewmalisa1893 6 лет назад +11

    daah jamaa anarekodi nzito sana juice glass 11
    mteja wakwanza alikua mdada 😂😂😂
    big up bro

  • @HusseinYusuph-sz8lu
    @HusseinYusuph-sz8lu 4 месяца назад

    Nakubal

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric4822 5 лет назад +1

    I like it

  • @petromtakati2975
    @petromtakati2975 6 лет назад +5

    Comment zotw zimepingana na kaul ya mtaji wa 7000, mm naona kweli, kwasababu huenda Alivo kuwa ataanza labda hakuanza hivo hivo alianzia chini kabisa mpaka Sasa yupo hapo alipo

  • @willyjulius7740
    @willyjulius7740 6 лет назад +8

    mtaji wa elfu 7000 sio kweli,afu umeanza ndani ya banda zuri.

    • @aloycempandana1336
      @aloycempandana1336 6 лет назад

      Willy Julius ni mitaji wa kununua matunda ajaweka mtaji wa ofisi ambayo ni zaid ya iyo 7000

    • @raphaelnkwabi9676
      @raphaelnkwabi9676 6 лет назад +1

      Katudanganya hapo hahahaahaha

    • @shaabanmusa5127
      @shaabanmusa5127 6 лет назад +1

      Willy Julius
      Hakuanza hapo hujamfatilia hapo Awwal nvp alianzaa Amini hilo

    • @theresiathomas3917
      @theresiathomas3917 6 лет назад +1

      Willy Julius K

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 5 лет назад

      Willy Julius huo n mtaji alioenda nao sokon sheh

  • @jenivavedasto636
    @jenivavedasto636 6 лет назад +2

    hongera sana bro! big up

  • @franbar4913
    @franbar4913 6 лет назад +2

    Nice!!! You are smart!

  • @BarakaSanane
    @BarakaSanane 6 лет назад +1

    hongeraa watu wanatokwa mapovu biashara ni ubunifu ni kitu mhimu hyo 7000 kaitaja general pengine hzo juice kumi na moja ndo ziligharimu 7000 me nakupa hongeraa kwanza kwa uamuzi mgumu wa kuacha ajira sio kila mtu anaweza move foward

  • @marypartson8409
    @marypartson8409 Год назад

    Hongera mtoto wa Sayuna Shekalaghe

  • @daudm1558
    @daudm1558 6 лет назад +3

    Hizo mak juice Hazifiki mikoani...

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад

    Hongera sana

  • @real_a0794
    @real_a0794 6 лет назад +2

    Ume plan gud and still u have gud plan and also from ur talk u have also gud system
    But 4 pple around he can't explain wat u want to hear means he is growing in business... kama umeelewa

  • @kassimpashua5020
    @kassimpashua5020 5 лет назад +1

    Jamani tuwe waelewa Siku ya kwanza aliuza glasi kumi na moja kwa mtaji wa sh.7000/=inawezekana Siku hiyo hakuwa na vifungashio/glass zinazoonekana.Mtanzania thubutu utaweza.

  • @33-synchronized
    @33-synchronized 6 лет назад +6

    Sio mwenzako auze juice na ww uuze juice fkiria tafta chako

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 6 лет назад +17

    MTU kafanya kazi benk unasema mtaji buku 7000

    • @nyotaamadi8389
      @nyotaamadi8389 6 лет назад +1

      Armani Frey ww unahonekana una wivu

    • @zanubaahmed49
      @zanubaahmed49 6 лет назад

      Mtaji sio pesa alonunulia matunda tu, gharama zote alizotumia biashara ikaanza ndio mtaji, sio kweli 7,000

    • @armanichicandow1225
      @armanichicandow1225 6 лет назад +1

      hapo nimewaelewa

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 6 лет назад

      Armani Frey What a Lie...
      ila labda anaongelea mali ghafi alizonunua kwa mara ya kwanza..
      labda hivyo

    • @verenabenjamin2495
      @verenabenjamin2495 6 лет назад

      Mie mwenyewe aijaniingia kichwani

  • @franciscaaugustino1733
    @franciscaaugustino1733 6 лет назад +3

    Hongera ila jitahid na huku mkoan tuzipate

    • @saidysaleh7421
      @saidysaleh7421 5 лет назад

      Hahahaaaaa buaaana weee ,embu fanya wewe ushike huko kwenu naimani umejifunza kitu hapo ko watakiwa kuitumia fursa hyo kufungua yako hapo mkoani kwako

  • @kitimethegreat52
    @kitimethegreat52 6 лет назад +4

    Yaani kote nimekuelewa ila umenichefua kwenye mark kondom

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад

    Hongera xana brother ###

  • @raphaelnkwabi9676
    @raphaelnkwabi9676 6 лет назад +4

    Sawa makoye upo sawa brother lakini please kuwa open bwana achakupindisha ukweli... Unasema ulianza mtaji wa 7000 na Hapo hapo unasema ulianza na banda Moja kwa moja je Banda ulijenga kwa shingapi... Au Mimi sijaelewa.... Pia hyo kutembelea wateja ebu naomba tupe strategic ways ili tuamin maaana daaaah nikweli umefanikiwa lakin it seems Kama unaficha ukweli flani ivi.....but anyways sawa huenda ndo Siri zako... Hongera bhna boss

    • @abra2620
      @abra2620 6 лет назад +1

      Amesema aleinda sokoni kwa 7000 hyo inamaanisha ni ile variable cost sio fixed cost maana ukiangalia kiivo kuna blender za kusaga, glass,mirija, fridge, kodi na vingne

    • @bone102
      @bone102 6 лет назад

      abra 26 safi kijana angu

    • @abra2620
      @abra2620 6 лет назад

      bone pamoja sana kaka

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 5 лет назад

      Raphael Nkwabi amesema buku Saba ndo alienda nayo sokon afu unawez ukaaanzisha biashara watu wakawekeza biashara ikakuwa

    • @rickyshabudin4066
      @rickyshabudin4066 4 года назад

      Uwongo 7000 sio kweli

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 6 лет назад +3

    Tatizo watanzania wako na Complement sana....kusema mtaji wa 7000 mimi naamini....natambua mazingira ya kuajiriwa wengi hatuna desturi ya kuweka akiba na ndio mana kila ikifika mwisho wa mwezi kila mtu analia mshahara....Kujiajir kunakufanya mtu usibweteke...Hongera sana kaka

    • @erickmsallenge3724
      @erickmsallenge3724 6 лет назад +1

      Julius URONU ni kweli aisee watanzania kila kitu tupo negative sana bila kuangalia kipi tujifunze

    • @hudsson75
      @hudsson75 6 лет назад +1

      Bro ebu jaribu kuichanganua iyo elfu mpaka kuanza biashara

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 6 лет назад

      Yeye alimaanisha katumia 7000 kununua material za kutengenezea juice yani matunda, sukari na vitu vingine muhimu kwenye juice..kuweni makini kwenye kusikiliza jambo alisema banda alishatengeneza Before

    • @alhabibunjuu715
      @alhabibunjuu715 6 лет назад

      Julius URONU elfu 7 unaeza anza biashara ila huyo muongo

    • @manernest5902
      @manernest5902 6 лет назад

      nmependa ushaur wako

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 4 года назад

    hongera man kaza

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 5 лет назад +1

    Hongera Mark though nlikuwa sijaonaga upo wapi nimezoea kingdom juice

  • @abasiomary9609
    @abasiomary9609 5 лет назад +2

    Jifunze yenye maana,kijana mbali tazama,kusanya mawazo ya jana,pambana japo yanabana

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 5 лет назад

    hongera

  • @foteliberty4080
    @foteliberty4080 6 лет назад

    Gracius Makoi

  • @anzakuishi9469
    @anzakuishi9469 5 лет назад +3

    Hatukuelewi....unaposema mtaji buku7 wakati ushatengeneza banda..na kununua vifaa..kwani hilo nanda hukutumia gharama za kulitengeneza??kwani hyo hela uliyotengenezea banda cyo mtaji??au mtaji maana yake nn??tueleweshane...insipired story ila muwe wakweli mnapotoa success story zenu....

    • @ibengweboaz4327
      @ibengweboaz4327 5 лет назад

      chacha itinde hapo kweli kazuga, ila muuliza maswali nae hajashtuka, maana haiwezekani gharama za kutengeneza banda usizijumuishe kwenye mtaji, never!

    • @vincentrajjat8890
      @vincentrajjat8890 5 лет назад

      ruclips.net/video/RFHnaJUf5zk/видео.html

  • @stephenmateo8677
    @stephenmateo8677 4 года назад

    Safi

  • @hosseamelikioli9410
    @hosseamelikioli9410 5 лет назад +3

    Hhhhh mark condom tena kaka umetisha saana mzee . God bless you 💪💪

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 6 лет назад +1

    Umeniinspire upo creative sanaa bro..ntakucheki kwa email.

  • @musanjama2211
    @musanjama2211 6 лет назад +7

    Suala la mtaji wa elfu saba sio kweli

  • @ChumaCoin
    @ChumaCoin 5 лет назад +2

    Hyo elf 7 ndio alijenga na hcho kibanda alicho anza nacho au kibanda sio mtaji

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Год назад

    Uwe Na Mtaji Mkubwa Au Mdogo Kufanikiwa Ni Kujituma Na Kujiwekea Malengo Ila Tofauti Na Ivyo Ata Uanzie Na Mamilion Yanaisha Tu

  • @yusuphjaphari154
    @yusuphjaphari154 6 лет назад +20

    Siku zijazo namimi nitakuwa mtu Mkubwa Sana

    • @erickmsallenge3724
      @erickmsallenge3724 6 лет назад +1

      Yusuph Japhari ni vizuri kujiambia utakuwa mkubwa lkn uwe unachukua HATUA kwa haraka

    • @ZawadiZawadi-if2sv
      @ZawadiZawadi-if2sv 6 лет назад

      Yusuph Japhari 👏 mungu. Akufanyee. wepesi

    • @yusuphjaphari154
      @yusuphjaphari154 6 лет назад

      +erick Msallenge asante Kaka na Nimekuelewa Sana

    • @yusuphjaphari154
      @yusuphjaphari154 6 лет назад

      +Zawadi Zawadi 92575167 Nashkuru Sana

    • @bajukul6952
      @bajukul6952 6 лет назад

      Yusuph Japhari wewe ni mtu mkubwa teari

  • @ramadhanwiliam6477
    @ramadhanwiliam6477 5 лет назад +2

    pendeni kuongea ukweli maaana hamjikubaligi kwann

  • @inallahitrust1888
    @inallahitrust1888 6 лет назад +2

    Nice na inatia moyo kila kitu kinawezekana nikujipanga tu nakutokubali kukata tamaaa

    • @shabanmohamed1545
      @shabanmohamed1545 5 лет назад

      Kila kitu kinawezekana ,kikubwa ni subira tu na uvumilivu .

  • @minaziparasu8748
    @minaziparasu8748 6 лет назад +5

    Jee TRA unalipialakiniiii

  • @vailetjoseph6438
    @vailetjoseph6438 6 лет назад

    Hongeraa saaanaa

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 5 лет назад

    Elfu saba sio kweli ila mtaji sema ulikua mdogo ila nimependa kua umethubutu kila kijana anatakiwa kuthubutu

  • @stanleyjacob6744
    @stanleyjacob6744 5 лет назад +3

    Sukari kilo 1800/= Matunda assuming 2000/=take away glass 5000/= 😎

    • @juhudihardware3883
      @juhudihardware3883 5 лет назад

      Hahah

    • @murtazantimba4270
      @murtazantimba4270 Год назад

      Machine ya kusagia bei gani wabogo walishatuonaga kama watu wengi hatuna akili au hatujui kufikilia vzr

  • @marypartson8409
    @marypartson8409 Год назад

    Yaan nmefunga ofc yangu y juice sbabu ya usimamizi.

  • @gg-fq4mf
    @gg-fq4mf 5 лет назад

    Hongera sana, ila kweny buku 7 umetudanganya

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 5 лет назад

      Jina langu wewe la nini blenda tu bei Ni zaidi ya laki

  • @chriskalega3855
    @chriskalega3855 6 лет назад +2

    wanatuchoresha hawa

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 6 лет назад +6

    njoo uchukue million tuone kama utaweza kufikia hapo, kesho wakiitwa na makonda mnasema wwanaonewa

    • @najmabajun1739
      @najmabajun1739 6 лет назад +1

      una onekana una ongea sana alafu vyoooooooooooooote pumba tu

    • @najmabajun1739
      @najmabajun1739 6 лет назад +1

      sio kila mtu ana weza kuamin ulilazimishayo kukiaminisha

    • @inodeculture2759
      @inodeculture2759 6 лет назад

      uyu dada kama alikataliwa na uyu jamaa

    • @najmabajun1739
      @najmabajun1739 6 лет назад +3

      +INO DE CULTURE inavo onesha au kashezea alafu kutoka kapa tofauti alivo tarajia ndio maan ana mkandiiiia ana miasila yake ila nn siku zote ukiwa una plan una ishi ishi tu lazima udondokee pua kwa sisi tunao jitambua na nita pambanaji wala atushangai iki alicho kifanya jamaa kufanya kaz benk sio kua tajili ila watu wengi wana jitoa tu ufaham ndio madem wengi mwisho wa picha kutoa povu mtandaon 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @inodeculture2759
      @inodeculture2759 6 лет назад

      +Najma Bajun
      kweli Najma Bajun alaf cc watanzania wengi tunaanzia Story ya hapo hapo mtu alipo ila autaki kujua ya nyuma zaid uyu jamaa mm nimeanza kumfwatiliaga ckunyingi na anani inspire kuzid kusonga mbele bila kukata tamaa japo wengine wanamponda

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f 8 месяцев назад

    Brother naomba kuwa supplier wako

  • @aishaaisha2957
    @aishaaisha2957 6 лет назад

    Hongera kaka

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 6 лет назад +2

    Mie napenda kufahamu ingridients za juice zako boss

  • @kizaabwe726
    @kizaabwe726 6 лет назад +1

    Safi sana bro God bless u

  • @bashirikimamula6643
    @bashirikimamula6643 6 лет назад

    Safi boy

  • @calenmichael6853
    @calenmichael6853 Год назад

    ✨🔥

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 лет назад

    Mmmmmh, huyu muhongo sana adi macho

  • @davidone4705
    @davidone4705 6 лет назад

    Ongela

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад

    hatari

  • @patrickemmanuelemmanuel9354
    @patrickemmanuelemmanuel9354 5 лет назад

    nzur

  • @stellahmosha9517
    @stellahmosha9517 5 лет назад

    Nimekuelewa

  • @ambaryahayapopo6729
    @ambaryahayapopo6729 6 лет назад

    ongera sn maisha kujituma

  • @alhabibunjuu715
    @alhabibunjuu715 6 лет назад +5

    Kwani ukitaja kiasi sahihi cha mtaji utaharibu nini mtaji wa elfu 7 ni uongo bhn implicit cost + explicit cost ndo iwe elfu 7 ...???

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f 8 месяцев назад

    Mikoani

  • @africangirls482
    @africangirls482 5 лет назад

    Elf 7 sio kweli ase

  • @issashomary8711
    @issashomary8711 5 лет назад

    Aache kupotosha watu bhana mtaji wa 7000 sio kweli

  • @endruhussen4425
    @endruhussen4425 5 лет назад +1

    kuusumtajiwash 7000 kiukweliamedanganya

  • @mohammadmpinga7404
    @mohammadmpinga7404 6 лет назад +3

    Mtaj Wa 7000 Mhh😎😎

    • @josephtula5525
      @josephtula5525 6 лет назад

      Mohammad Mpinga hiyo ni hela aliyonunulia matunda kwa siku ya kwanza, alikuwa anajaribu

    • @mohammadmpinga7404
      @mohammadmpinga7404 6 лет назад

      Joseph Tula Boy Kumbuka Alishaajiriw Then Angalia Hyo Location Analipa Tsh Ngap Hzo Resources Anazotumia Tshngap Zote Hzo Ni Mtaj...

  • @juliusshaban2443
    @juliusshaban2443 6 лет назад +2

    watu mnashindwa kuelewa yeye kasema alienda sokoni Na elfu 7 sio mtaji elfu saba

    • @safaritourstv1909
      @safaritourstv1909 5 лет назад

      7000 contena kanunua bei gani, na bado kuna friji na brenda ya kusagia matunda ebu acha uongo au jaribu kufafanua kati ya pesa ya kununuria matunda na ya kuanzishia biashara

  • @salehgoldberg7237
    @salehgoldberg7237 5 лет назад

    Lipa hayo mafriji ya jamaa aliekupa hapo mana hku hongkong anahangaika kila siku unamgaia elf50 tu ...

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 года назад

      We pumbavu unatoa siri za watu.yanakuhusu? Atalipa tu mdogo mdogo. Makjuice tuwasiliane nikusupply sambusa

  • @finahenly64
    @finahenly64 5 лет назад

    Aliqnza kujenga kibanda kwa elfu 7 au kununua blenda au alikua akisaga na meno 😂

    • @chwabizobk8160
      @chwabizobk8160 5 лет назад

      Ila kwel.. maelezo Co kwel hayajajitoshelezaaA

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 6 лет назад +4

    Broo mm ndo mmliki wa G juice sasa unavy sema mtaji wa elfu saba yan brenda elfu mbili chumba elfu na mia tano yan kila mwez mia tano na matunda bado frig na hiz cup unaz uzia juice be serious wakt una encourage vijana wafany biashara

    • @hudsson75
      @hudsson75 6 лет назад +1

      Godcom peter asante

    • @jac9495
      @jac9495 6 лет назад

      Godcom peter no hajaamanisha hivo amesema kwamba mtaji wake wa kwenda sokoni kununua matunda ni matunda ya elfu 7 sidhani kama amemaanisha gharama za ofisi na vitendea kazi

    • @manselectorgway8580
      @manselectorgway8580 6 лет назад

      Kasema alienda sokoni na mtaji wa 7000 ina mana alienda kununua matunda kwa mtaji huo

    • @theresiathomas3917
      @theresiathomas3917 6 лет назад

      Godcom peter 6

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 5 лет назад

      Bro daaah sikiliza tena upya

  • @roi2554
    @roi2554 5 лет назад +1

    Big up sanaaa bro una zaid ya kipaji

  • @lulumahungo6442
    @lulumahungo6442 6 лет назад

    Sasa hakuanza na elfu Saba

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 5 лет назад

    Aliacha kazi bank akaanzisha biashara ya sh 7,000? Hmmmm hii ndio Tanzania ya Viwanda 😁😁🤣🤣😃😄😄

  • @fibolychifunda6639
    @fibolychifunda6639 6 лет назад +1

    Acha uongo wewe,huwezi kusema ushafanya kazi benki na kampuni ya simu halafu useme umeanza na mtaji wa 7000,kwa hiyo walikuwa wakikulipa mshahara 7000,UMEWEZEZESHWA or there's something behind the gam3

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 5 лет назад

      Fiboly Chifunda mtaji alienda kununulia matunda .......elewa alienda kununulia matunda ya buku sab Hilo swala la office hajataja gharama ya office n sh ngap

  • @yusuphikaku6728
    @yusuphikaku6728 5 лет назад

    pumbavu wapo wengine so huyo mpaka kuajiriwa kwenye makampuni

  • @joycejohn7754
    @joycejohn7754 6 лет назад

    waongo wakubwa wanadanganya watu hawa

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma1595 5 лет назад

    Kwenye mtaji umedanganya

  • @kbjuomaly8466
    @kbjuomaly8466 5 лет назад

    Dah:inavutia mno

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 6 лет назад +5

    huyu alitimuliwa bank kwa wizi wa pesa

    • @nyotaamadi8389
      @nyotaamadi8389 6 лет назад +1

      Armani Frey acha wivu ww

    • @GovernorNkhulu
      @GovernorNkhulu 6 лет назад

      Armani Frey 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @KhadijaKhadija-mk6jf
      @KhadijaKhadija-mk6jf 6 лет назад +1

      jaman we dad kila coment yko unamponda huyo kaka kwann?wivu unakusumbua ww alfu humtakii mema Allaaaa

    • @danielmtui139
      @danielmtui139 6 лет назад +1

      ww, hujinyaki ww

    • @mariamunightiness4776
      @mariamunightiness4776 5 лет назад +1

      Armani Chicandow ila sa hz kapiga bingo

  • @deevon3364
    @deevon3364 5 лет назад

    7000 uo ndo mtaji wa matunda

  • @fredyjohnwaifakaratz2473
    @fredyjohnwaifakaratz2473 6 лет назад +2

    WABONGO BWANA SO SO SO SO SO KIBAAAAAAAAAO... PUMBAVU

  • @daudm1558
    @daudm1558 6 лет назад

    Kama mwanza

  • @daudm1558
    @daudm1558 6 лет назад

    Tunazikosa hafanye utaratibu

  • @justinemutahaba5431
    @justinemutahaba5431 6 лет назад

    daah!...

  • @suzanmangi9316
    @suzanmangi9316 6 лет назад +2

    unaonekana unaubinafisi ww hutaki wengine wapate

    • @bone102
      @bone102 6 лет назад +4

      Suzan Mangi kwan lazima upate kupitia mgongo wake pambana na hali yako

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 6 лет назад +3

    ndo wanavyoongea kumbe unga ndo biashara

    • @entertainmentplace3460
      @entertainmentplace3460 6 лет назад +1

      Armani Frey if yua lazy husizingizie unga na ww uza unga ufike hapo kwanini binadamu tunakuwa wapesi wa kuukumu wenzetu haraka wakifanikiwa na kua na fikra ovyooooo!!!we jipige kando wacha wenye bidii wapambane watafikia malengo yao ww unaonekana mtu ambae huwezi endelea juu umejawa na negativity in yu my dear husiwe ivo na unafunza nn wadogo zetu wamelemewa kweli aeza kua ni unga but kumbuka kuna vijana wadogo wanatamani kua kama yy so ukisema ivo unawavunja moyo wacha kua mtu mbinafsi

    • @erickmsallenge3724
      @erickmsallenge3724 6 лет назад +1

      Negativity mind....kamwe huwezi kusonga mbele kwa kuamini kila aliefanikiwa anafanya mambo haramu.....change ur mindset......

    • @entertainmentplace3460
      @entertainmentplace3460 6 лет назад

      erick Msallenge i support you 100%but cant blame her koz africans we r full of negativity minded kuamini uchawi n bla bla ukisikia uchawi ni pale mtu ataki mwenzake afanikiwe surely wen will we come out from this negativity !!mostly tunajifikiria wenyewe tunakua wabinafsi fikirieni na kizazi kinachotufuata!!

    • @pancrasmassawe3416
      @pancrasmassawe3416 6 лет назад +1

      Armani Frey aimaniisha kwamba hakuwa na pesa nyingine alikuwa nazo but si unajua uwezi ukaanza kutengeneza labda juice nyingine wakati ujajua unawateja wangapi au itapokelewa vizuri

  • @ramadhanwiliam6477
    @ramadhanwiliam6477 5 лет назад

    wewee acha uongo maaana hilo banda lakwako ama

  • @paulokilenga8025
    @paulokilenga8025 6 лет назад

    wacha ujinga millard na wewe umelpwa

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 6 лет назад

    V I D O ❌

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 5 лет назад

    mbona mak condom it's coming soon