Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Ni Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege. Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0678496912
Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini
Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
Maprosoo is a very good person jamani 😀
Safi sana kaka najua jitihada zako pambana ipo siku utafika achana na maneno ya watu
Kazi ya ualimu ni nzuri sana wanamaliza masomo mapema sana wengine wanaishia bar hongera kaka mungu aibariki kazi ya mikono yako
Powerful story millard hii stori nzito basi tu people bora ziangalie bongo kiki big up Mr maporoso hustle zako zitusue amen
Tukiwa na waalim aina hii ya mwl maprosoo zahiri tutamaliza tatizo la utoro mashuleni na watoto wetu watapata elimu bora big up teacher maprosoo
Na hata kuhamasisha vijana kuwa kwenye Biashara pia
Safi sana Millardayo. Naomba serikali ukutumie una kipaji sana cha ubunifu. Na hauna elimu kubwa sana lakini unatukosha kwa vipindi vyajo
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
Namkumbuka mwalimu maproso shule ya chikongora,iliyopo Kata ya chikongora Hakika alikuwa mwalimu mzuri Sana, 😀😀😀nimekumbuka mbali sana
Safii sanaa maprosoo 👏👏👏 hii ni zaidi ya ujasili wengi awawezi hiii
Masha'allah Allah abariki kazi ya mikono yako
Hongera sana teacher , mshahara pekee hauwexikidhi mahitaji .
Hongera sana mwalimu, Mungu abariki kazi ya mikono yako
Mate yamenidondoka kwakweli, big up mwalimu
Sawa sawa mzee maprosoo upo juu👍👍👍 nimekuelewa sn na wamekuelewa vizur,big up sn gwa kukaja
Kazi nzuri Mungu azidi kukuinua zaidi kuwa penda watoto
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
Safi san napenda mwanaume mweny uthubutu hajali wala nin big up sanaaa💪
Kakangu mpiganaji toka kyela
@@itikamwakanyamale2690 unamfahamu???
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
Waoooo daah Mwenyezi Mungu akubaliki milele Sir maprosso
Na Mungu atakubariki usikate tamaaaa na kumwomba Mungu
huku kwetu mtu akiajiriwa sio size yenu tena, nampa hongera maprosoo
Dah Hongera sana Mwalimu, kiukweli umepambana
Hongera mwalimu. Barikiwa pia.
Nimependa namna mwl mkuu alivyo appreciate kazi na uwezo wa mwenzie
Utulivu wa Mwl humsaidia MwlMkuu kufanya Majukumu yake ya kiuongozi vizuri. Huyu Mlw Mkuu Yuko vizuri.
Well done mr.
Mungu mwema
kazi nzuru ticha,,,Mungu akusimamie
Congratulations mwalim sisi waalimu tunapaswa tuige mfano kutoka kwa maprosso...mshahara hautoshi hii mwenyew nafaham!
ruclips.net/video/LP5JJ876psw/видео.html
Iᒪᙓ ᐯIᗪᙓO Yᗩ *ᑎᗩSᕼᙓᙓᗪ* YᙓTᙀ ᑭᙓᑎᗪᙎᗩ *SᗩSᗩ IᙏᙓTOKᗩ*
𝐔𝐧𝐚𝐧𝐠𝐨𝐣𝐚 𝐧𝐢𝐧𝐢? 𝐮𝐬𝐢𝐜𝐡𝐞𝐫𝐞𝐰𝐞 𝐛𝐨𝐧𝐲𝐞𝐳𝐚 𝐋𝐢𝐧𝐤 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐣𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐢𝐭𝐚𝐳𝐚𝐦𝐚
ɴᴀsᴜʙɪʀɪ ᴍʀᴇᴊᴇsʜᴏ ᴋᴜᴛᴏᴋᴀ ᴋᴡᴇɴᴜ ɪʟɪ ɴɪᴡᴀʟᴇᴛᴇᴇ ᴄʜᴇɴɢɪɴᴇ ᴋɪʟɪᴄʜᴏ ʙᴏʀᴀ ᴋᴡᴀ ᴜᴡᴇᴢᴏ ᴡᴀᴋᴇ ᴀʟʟᴀʜ.( *SIDHARAU MAONI* )
Video ya uchebe kumpiga shilole hii apa ruclips.net/video/BAKUvuVXpaY/видео.html
Amekuwa rafiki wa watoto hajimwambafai nimekubali
Big up mwalimuu maisha ni plan B
Hongera Sana kaka I like for skills of your knowledge
Watu Wa mbeya hawalembi kwenye biashar, katengeneza kijiko chake kzr, kisafi, InshaAllah Allah atakujalia utafika mbali kwa biashar yko
big up mwalimu...
Walozoea vya kuomba wanasema hatalaki5 siwezi kufanya biashara😕
Hongera babangu
Daaah. Maprosoo. Nakukumbuka., Nilifanya field Chikongola nikiwa nasoma Mtwara Ufundi
Nakupongeza sanasana mwl maprosoo kaza buti broo utatoka namkuu wako anajielewa sana anajua namna unavyopambana
HII NDIO NCHI YA UCHUMI WA KATI
unaingiza elfu 80 kwa siku kisha unasubiri mfadhili kuboresha biashara yako? tuache tabia ya kuomba omba
Hapana nilivyowelewa anahitaji apate mtaalamu wakuli boresha jiko lake liwelakisasa.na siyo hela.
Anahitaji utaalamu namna gani ya kuboresha biashara yake
@@siaammo1104 tumeelewa pamoja kaka
@@siaammo1104 No anataka misaada yote ya kuboreshewa jiko na kuinua biashara. Binadamu hatosheki na pesa.
@@siaammo1104 kweli kbs na amesema mishikaki isipate vumbi..anahitaji jiko zuri..
Hongera sana teacher
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
Huyu teacher Yuko vizur sanaaaaaaaaa
Aseeee ameniinspire
Jamaa ana inspire sana
Safi sana Mwl Maprosoo
MashAllah
Mungu akucmamie teacher hongera sn
ongera Sana mwalimu
BILLNAS AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA NANDY gusa link kwa full story ruclips.net/video/4Nxz4ZTes0M/видео.html
Nyie mko kweny kutombana tu watu tuna waza maisha
napenda watu wanao pambana wananipa amasha yakuto kata tamaaa
Mungu ni mwema kila wakatai
Mwalimu umesema ukweli kabisa siku1 ukitudanganya utakuwa umetuangusha sana Milady ♥
Fanya kazi ticha..big up
Hongera xana mwalim umethubutu
Presenter upo sawa
Maprosoo chikongola hapo duh huyu ni mwalimu wa mfano namkumbuja milele
Hongera mwalimu nimeipenda hii
Hatariiii
YANI WEWE KAKA UKOSAFI SANA HOGERA SANA
Awesome 🔥🔥🔥🔥
Sir wangu keep it up
KUIBA NDIYO ZAMBI , KUCHOMA MISHIKAKI SIO ZAMBI KABISA
Dhambi
Mambo
Vp
Hongera kwa jitihada zako.
Usikate tamaa Kaka, Kaza moyo!
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
Big up teacher maprosso
Very good
Hongera sana mwl maprosoo
Nimejifunza kupitia mwanlimu maprossoo
Big up my brother mpambanaji tangu tupo school.
Naomba nikutanishwe nahuyu
Safi teacher 👨🏫
Dah safu sanaa
wanao kufatilia washtak kwa Mungu kk
Hongera
Una nipa moyo mkubwa baba. Hongera
Safi sana mwalimu
Vizur xan
Big up mwalimu
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
Big up sana...
Safi Sana bro
Nimemuona munga ticha
Nakupenda bure
Kila LA kheri mwl maprosoo
Huyu mimi kabisa
Waooo mwalimu wangu umenchapa ww
😆😆😆
Milard. Kasema. Mishikaki
Ongera sana,usijari walimwengu ndio walivyo
Mashallah jama ana bidii.
Kaka walimu ndowako hivo wakiona unafanikiwa tuuu shida inaanza mchawi wamwalimu mwalimu mwenyewe
Kwa hapa umenena,adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe
Kanipiga viboko sana uyu ticha😂😂
Nilijua tu lazima nikutane nao watu waliochapwa hapa 😂😂
Kampige sasa kwa kununua mishikaki mzigo wote wa siku
🔥🔥
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Ni Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.
Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0678496912
ametumia akili kubwa MWENYEZIMUNG akamuezesha.
Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini
😂😂😂 nice
Piga kz Mwalim
Natamani ningeolewa na mtu Kama huyu jamani tungekuwa milionea! Dah😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
, 😝😝😝
Ni kwel huwa wanafuatiliwa sana watumisho hasa walimu wakijiongeza kwa kipato wanasema eti hawafundishi
Huyo mwalimu agechekesha tu anakipaji cha kuiingiza haki 😃😃😃😃