JINSI YA KUCHOCHEA MUUJIZA || PASTOR GEORGE MUKABWA || 17-08-2023
HTML-код
- Опубликовано: 16 авг 2023
- #jrctz #jrcchurch #Tanzania
#jrctz #Tanzania #jrcchurch
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz#youngministersconeference2023#
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa Кино
Nabarikiwa sana kwa neno na mafundisho ya kila mara najifunza kwako,barikiwa sana mtumishi Pst.
Mungu akuinue mtumishi..
Nabarikiwa kila iitwapo leo.
Hakika Mungu akutunze mtumishi wa Mungu,unatuinua mno kujifunza neno la Mungu.
Ameen ubarikiwe sana mtumishi, nimeponywa kiroho Na Neno lako🙏🙏🙏
Asante sana baba Mungu azidi kukubariki🙏
Nashukuru Mungu mtumishi wa Mungu kila nikikusikilisa nabadilishwa maisha yangu asante Mungu akutie nguvu za kuishi Maisha marefu wengi waponye
Aminaaa baba barikiwa sanaa
Amen mtu wa Mungu
Amen amen amen 🙏
Mungu amekuinua kielimu kwa Bilia Ili Sisi wanyonge tufunguliwe.endelea mbele katika jina la Yesu kristo .kupitiya wewe ndapata ufungulifu wangu
Amen kwa neno
Bwana yesu asifiwe sana Nina shukuru kwa neno la Mungu ambalo ameliweka ndani yako limenikomboa katika magumu niliyo nayo Mungu akubariki sana .
Pasta huwa nakusikiliza sana tena sana imeingia kwenye kichwa Asante sana
Umekuwa wa baraka sa kwangu.umenijenga Kwa neno lililondani yako.Mungu akubariki sana.
Amina
Alelluyah blessed
Amen 🙏
Emungu barik familia yangu
Here in Durban south Africa we are following your teachings we so blessed may God keep on using you as His instrument
Nakubali mchungaj mungu akupe miaka mingi sana utoe neno usaidie watuwake amen
Nakubali baba
Asante sana baba, Mungu akubariki sana. Nimepata uponyaji.
Shalom BABA,neno la mwenyezi MUNGU unalo hubiri ni kila kitu kwa mkristo.nimejifunza mengi kwa mda mchache.ninakufuatilia nikiwa Nairobi.Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu juuuu
Baba Mungu nimepe miujiza ya fedha na afya njema
Amen
Shalom pasta,mungu akbrk sana nipo kwenye changamoto ngumu sana ila kupitia maubili yako kilasiku kwakweli nahis Mimi nimshindi
Asante Kwa neno la Mungu! Kristu Yesu anisaidie,nimjue,niishi na yote juu ya maisha,Mungu awe nami, watoto wangu na familia yote.kwa Mungu lote yawezekana.Amina..Amina..Amina
Tunashukuru kwa mafundisho mwalimu wangu hakika tunajifunza mengi na kubarikiwa pia.
Ee Bwana unikumbike 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana mchungaji
Mungu asante kwaajili ya mtumishi wako
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi wa MUNGU kweli kabisa nilikuwa naumwa bt sahii siumwi Tena MUNGU wetu ni mwaminifu
Amen tunabarikiwa na mafundisho yako Pastor
Ubarikiwe sana baba wa wengi. You're a blessing ❤🙏🙏
Yan mungu akulinde pasta unatoaneno ya kwel namungu akuongezee
Mafundisho yanafungua ufahamu yaani kama unaniona aksante Mungu maana umenipa hatua kupitia mafundisho haya
Mungu akubariki mtumishi amen and Amen
Eee mwz mungu nikumbike na mimi bariki uzao wangu na uchumi wangu
Pastor this is true imefanyika hivyo kwangu kuwa bsy and am doing nothing
Pastor nashuukuru Mungu kwa mafundisho
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mungu akupe nguvu amen
Amina 🙏 Mtumishi wa Mungu
Tuned🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Oh God ipray for a miracle of prevention not cure
Namshukuru MUNGU kwa huyu mtumishi nainuliwa na hekima ya Neno analofundisha Kila cku
Umeagizwa mtumishi namungu
Amen Amen Amen
Hallelujah to the Lord
Ukweli kabisa tueleweze tujue kweli balikiweni sana
Pastor nakusomaga sanaaa
Mungu anifanye nifanye kazi yake km unanyofanya ww
Amina Mtumishi hakika wewe nimtumishi wa Bwana nani Mwalimu ulie simama kweli du nimekusikiliza hakika Mungu amekutuma utufungue ufaham watu kama mimi mm Mungu atukuzwe sana yaani sana
Pastor kwako Kuna kitu chema 🎉una uwezo wa ki MUNGU katika wewe nitajifunza hakika🎉
Amen 🇰🇪🇰🇪
Neema izidi kwako Mtumishi wa MUNGU aliye hai.
❤❤❤❤
Amen jina la mungu lisifiwe
Amina
Amina