MWIJAKU Amtolea Maneno Mazito DIAMOND "Watoto wake HARAMU/Anachezea WANAWAKE"
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2023
- DC wa Instagram na Mtangazaji wa Clouds Fm Mwijaku amemjia juu mwanamuziki Diamond Platnumz baada ya kutangaza nia ya kupata mtoto wanne licha ya kutokuwa kwenye ndoa
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Mwijaku #DiamondPlatnumz - Развлечения
Rick huna hakili kila siku na kwambia unamuogopa diamond..unaweza kutamani kuzaa na huna ndowa ..we mjinga Rick
Ni kweli kabisa Wambie MashaAllah, Wambie nimekupenda kwa hayo Wambie ukweli diamond acha Hizo auowe aza mtoto wa halali
Sawa ili kuamini kuwa wew unaushawishi zaidi Africa mashabiki hacha kumuongelea diamond Platnumz
ww matako ya nyuma
@@antonywilliama2868 kwani kuna matako Ya Mbele
@@antonywilliama2868 wew Sawa matako ya mwijaku
Mwijaku apo nimekupongeza✌✌
Saf sana rick hilo linatrend kwa sababu ya mondi mbona husemi watoto wa ali kiba wengine fala ww
Mbona valentine unashrrehekea na kiislamu haifai MBWIGA WEWE
duru hii mwijaku umeongea point👍👍🔥🔥
Ila Mwijaku dah
King kiba ana watoto wangapi wa nje jaman naomba jibu.
Mwijaku nakukubali sana 🤣🤣
Mwambie DC afungue RUclips channel yake sisi wakenya tunampenda sana
Wakenya tunampenda babalevo
@@derrickwekesa4604 kabisaa💯💯😂😁
@@derrickwekesa4604 kabisa
WaZimbabwe hatumuelewi
Mtoto wa kiislamu eti anashehekea Valentina kweli dunia imekwisha alafu anamkosowa DAIMOND
Dc uko sahihi sana
mwijaku Na aya zooote hizo, hujui kama valentines haramu.
Valentines ni sikuu ya makafi na manaswara na mayahud.
Mwijaku leo wewe leo umesema ukweli kabisaa mbona ameongopa kuoa basi anandanga sanaaa diamond mbona diamond anamutesa zari tarehe moja 2023 akawa Tanzania tena jana tarehe 14/2023 hakwenda sauzi alienda kudanga diamond ni malaya mukubwa sanaaa
Mwijaku uko sawa kabisaa eti anasema anampenda tiffah dangote muongo kama anamupenda tiffah dangote muongo zari amevumilia sanaaa hake
Bongo kuna vituko
Yani hayumo uyo achana naye anatafuta ugali tu
Sahihi mwijaku mtt wa nje ya ndoa ni wa mama arusiwi kumuozesha
Nimeamini huyu jamaa choko
Mwijaku wewe ni mwanamke mwanadada
Mwijaku mwijaku mwijaku unasema ukweli kabisaa
Mwijaku bhana
Mwijaku, jina lenyew kama miti shamba ng"ombe huyo
Wewe mwijaku apimwe akili kwanza mana aujielewi
Na kidini ya kiislam ikiwa baba wa mtoto wa haram kafariki mtoto haruhusiwi kurithi chochote haijuzu.
Wewe mwijaku kwanini aujielewi
Huyo mtangazaji mpuuzi sana. Kweli Mwijaku umemfunika huyo mjinga aibu imemshika. Katika hilo uko sahihi Mwijaku
apo umesema point kuza nje ni mtoto wa haram hata ukienda kushtaki mahakamani mtoto Hana haki yoyote zaid ya mwanamke mwenye ndoa ndo mwenye haki anae julikana kidini na family na serilikali
hehe hapa naona mwijaku kafika mbali eti watoto wa diamond wote ni wanaharamu , alafu anatafuta diamnond ampe kazi , huyu afutwe kazi mara moja kama diamond ako na damu
Salute sana Mwijaku lol very wise
Mwijaku DC nakukubali sana umbwa wewe 😂
Halina ubishi hilo kwenye kufuatiliwa
Mwijaku anamabaya mengi ayaoni
Media zina sapoti namn mwijaku anavyo muongelea Diamond mna hakuna Interviews 2 bila Mwijaku ajaulizw kuhsu Mondi.
Leo nimeona kama mwijaku sio mtu ni ibilisi. Huwezi chafuwa mtu ambae anakupa riziki, hebu wa Tanzania jamani saminisheni huyu diamond bado yupo hai. Warundi 🇧🇮 hatupendi anachokifanya huyu mbwa mwijaku
Tuache sisi waislam kuambiana ni wajibu pesa ni jambo la mpito tuu
Bro uyo na diamond hawana shida wanachangamsha Sanaa tu
Hakuna msafi ktk hii dunia alieondoka msafi no mtume na waliobashiriwa pepo ☺️
Mwijaku unasema ukweli
Kazi yake kuleta matoto ya haramu tuu
Kumbe hata lenyewe lina mtoto wa haramu nyani haoni kundule
Mwijaku tutoleye fujo
Diamond ngeuka tunakushanga sanaaa Africa yote mbona utaki kuoa unaogopa nani mungu ndio mambo yote ama unangopa wanawake wako ama unaogopa utakuwa utakuwa unadanga diamond umetusinya sanaaa
😁😁😆😆😆😅😅
Hao watoto ote ni wandan ya dowa Bada ya apo ndowa imevunjika akiwa kasha zaa
Ludi shule ukajifunze kuandika
SOMA VIZURI DINI USIPOTOSHE WATU MAMA ULOLALA NAE AKAPA MTOTO UYO MTOTO NI HARRAM KUMUOA USIJIZIME DATA HAPO
DC lazma uwe ndani ya ndoa ndo uowe ??? 🤣🤣🤣 Sjaelewa hapo bana 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Rick wewe uliza maswali sio kubishana..
Rick humuwez mpaka B levo baa😂
Apo kwenye dini kweli Yule mond haruhusiwi ata kugusa coz ni halali kwakwe sio mtoto wake
Yani shanga watu wanapo jesifia kubeba na kubebesha mimba kharam!!!!!!!
Ninachokijuwa shehe Mwijaku kitanda hakizai haramu ila tendo ndio haram.. point noted maalim
Kwenye Islam kitanda kinazaa haram vizuri tuu ao maneno ya wazinifu baada ya kufanya machafu
Rick huyu museng usiw unamuogi nakam utamuoj usiwe unatuletea
Nwijaku kwaleo nipo pamoja nawe
Mwija kwa kusawazsha haujambo
Hauna jipya ww Ng'ombe
Ila huyu jamaa ni kichaa Saiz naamini huyu zimepungua
baba
Kwa mwenye akili timamu akimsikiliza mwijaku atajua kua anaongea maneno ya maana ila wazinifu hawatamkubali Big up mwijaku
Diamond Platinumz ni diamond kabisa kama uyu pumbavu mwijaku alisha anza kujipandisha ni kwasababu ya simba
Hapo kwenye mtoto ameongea kweli kabisa hakuna piga mizi hapo
HUYO ANGEKUWA NCHI YA WATU WANAOJIELEWA ANGEKUWA ALISHAGA ULIWA MAANA AKUNA MAISHA YA IVO YA KILA SIKU KUCHAFUA WATU
😄😄😄yan huyu hawez kumaliza maneno bila kumtaja mond
Nimependa mwishoni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jee muulize Alikiba hana watoto wainjee.yani daimonde alikufanya nini Yani namb moja ni moja tuu
Jinga Hilo,linaisha bila jasho
Mtume ana sema tufiche ndoa tutangaze walima uyo mwijaku mu ongo sana
Kuficha ni posa si ndoa
Mwinyijaku jibu suwala " ili ndoa ikamilike inatakiwa watu wangapi wahusike
Yeye mwenyew mwijaku ni haramu awaulize wazazi wake
Wewe mwijaku kwenye sheria ya dini ya kiislam, hakuna mtoto wa haramu. Kitendo njo kinakuwa haramu.
Diamoo anataka kuwa na wamama na watoi wengi inje ya ndoa,tebu waambie
Mwijaku na diamond ni Pete na kidole wasiwaumize vichwa wanajuana.
HUYU JAMAA UTANGAZAJI WAKE NI WAKUPENDELEA HUYU NI WCB KABISA
Unatumika kisiasa mi huniwezi😂
Hamjaelewa alichoanfika diamond platnumz. Mondi anatambulisha msanii mwingine
ficheni uchumba tangazeni ndoa
Basi sawa haina shida . . . . 😆😆😆😆😆
Anatembelea upepo wa diamond
Hilo koti baba levo kalisha livaa kama sikosei😂
Rick upo juuu umempa makavu huyu Pumbu. 🙄😏🤔
Eti sina mabaya
P
Mbon uchafu alomfanyia MENINA hazungumzi.atuachie mond we2 kwendraaaaa
Muongo hakuna sheria ya kumuoa mtoto ambaye ni damu yako acha kutukana watu
Bila Diamond huli Maliza mwezi Bila kumtaja Tutakupa Tuzo. 🙄😏🤔
Una hakiri ww una mtoto haramu nawee chizii ww
ye wakwake wa halali huyo malipaka?
Nalichukia hili lijitu😏😏
Lkini mtoto sio haramu tendo hilo ndilo haramu mtoto haezi kuwa haramu hio sheria Illa umuhimu ni kuoa
Ivi kwanini usiseme yako wewe mwijaku
mwijaku uislam hukuacha kituu so ongeleya yote vp unakaziya upande umoja tuuhh nawewe una mambo kibao machafu sana tuu usafi siyo inje jichunguze wewe mwijaku
Presenter anamuogopa simba n hiyo iko wazi.....alafu unapobishana ili mwingine kuonekana mwongo,hapo ndipo unatuboa Kaka.
Hii Ni entertainment so hoji mtu Wala usibishe unatoa utamu akh!
CHOTI uyo
Hapo muna danganywa eti mwijaku ana nushawishi wauongo
Aseme watoto wa king kiba wa nje ni haramu
CHOTI uyo
We mbwa acha kusema mtoto wa nje haramu tena ukome
Nikweli