MWIJAKU Amtolea Maneno Mazito DIAMOND "Watoto wake HARAMU/Anachezea WANAWAKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2023
  • DC wa Instagram na Mtangazaji wa Clouds Fm Mwijaku amemjia juu mwanamuziki Diamond Platnumz baada ya kutangaza nia ya kupata mtoto wanne licha ya kutokuwa kwenye ndoa
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Mwijaku #DiamondPlatnumz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 118

  • @agonysmartboy9775
    @agonysmartboy9775 Год назад +14

    Rick huna hakili kila siku na kwambia unamuogopa diamond..unaweza kutamani kuzaa na huna ndowa ..we mjinga Rick

  • @khadijahwanjiku
    @khadijahwanjiku Год назад +8

    Ni kweli kabisa Wambie MashaAllah, Wambie nimekupenda kwa hayo Wambie ukweli diamond acha Hizo auowe aza mtoto wa halali

  • @tayoocollection9287
    @tayoocollection9287 Год назад +8

    Sawa ili kuamini kuwa wew unaushawishi zaidi Africa mashabiki hacha kumuongelea diamond Platnumz

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад +7

    Mwijaku apo nimekupongeza✌✌

  • @samwelkeremu4111
    @samwelkeremu4111 Год назад +2

    Saf sana rick hilo linatrend kwa sababu ya mondi mbona husemi watoto wa ali kiba wengine fala ww

  • @idhaabad548
    @idhaabad548 Год назад +2

    Mbona valentine unashrrehekea na kiislamu haifai MBWIGA WEWE

  • @vodacomhalotel8096
    @vodacomhalotel8096 Год назад +3

    duru hii mwijaku umeongea point👍👍🔥🔥

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Год назад +5

    Ila Mwijaku dah

  • @allykhamisally9077
    @allykhamisally9077 Год назад +2

    King kiba ana watoto wangapi wa nje jaman naomba jibu.

  • @bisimwamoise284
    @bisimwamoise284 Год назад +7

    Mwijaku nakukubali sana 🤣🤣

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Год назад +14

    Mwambie DC afungue RUclips channel yake sisi wakenya tunampenda sana

    • @derrickwekesa4604
      @derrickwekesa4604 Год назад +4

      Wakenya tunampenda babalevo

    • @kishenjel3527
      @kishenjel3527 Год назад +2

      @@derrickwekesa4604 kabisaa💯💯😂😁

    • @sharlharl5890
      @sharlharl5890 Год назад

      @@derrickwekesa4604 kabisa

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 Год назад

      WaZimbabwe hatumuelewi

    • @mohdnasser894
      @mohdnasser894 Год назад

      Mtoto wa kiislamu eti anashehekea Valentina kweli dunia imekwisha alafu anamkosowa DAIMOND

  • @halimaamani4095
    @halimaamani4095 Год назад +3

    Dc uko sahihi sana

  • @kantai737
    @kantai737 Год назад +5

    mwijaku Na aya zooote hizo, hujui kama valentines haramu.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Год назад

      Valentines ni sikuu ya makafi na manaswara na mayahud.

  • @jeremiahisambi9324
    @jeremiahisambi9324 Год назад

    Mwijaku leo wewe leo umesema ukweli kabisaa mbona ameongopa kuoa basi anandanga sanaaa diamond mbona diamond anamutesa zari tarehe moja 2023 akawa Tanzania tena jana tarehe 14/2023 hakwenda sauzi alienda kudanga diamond ni malaya mukubwa sanaaa

  • @jeremiahisambi9324
    @jeremiahisambi9324 Год назад

    Mwijaku uko sawa kabisaa eti anasema anampenda tiffah dangote muongo kama anamupenda tiffah dangote muongo zari amevumilia sanaaa hake

  • @brightjazmith1055
    @brightjazmith1055 Год назад +4

    Bongo kuna vituko

  • @alivunga2378
    @alivunga2378 Год назад +10

    Yani hayumo uyo achana naye anatafuta ugali tu

  • @aysharashid1049
    @aysharashid1049 Год назад

    Sahihi mwijaku mtt wa nje ya ndoa ni wa mama arusiwi kumuozesha

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc Год назад +7

    Nimeamini huyu jamaa choko

  • @nurdinchangendo109
    @nurdinchangendo109 Год назад +2

    Mwijaku wewe ni mwanamke mwanadada

  • @jeremiahisambi9324
    @jeremiahisambi9324 Год назад

    Mwijaku mwijaku mwijaku unasema ukweli kabisaa

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +2

    Mwijaku bhana

  • @johanesdeogratias5106
    @johanesdeogratias5106 Год назад +2

    Mwijaku, jina lenyew kama miti shamba ng"ombe huyo

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +2

    Wewe mwijaku apimwe akili kwanza mana aujielewi

  • @oman6124
    @oman6124 Год назад +2

    Na kidini ya kiislam ikiwa baba wa mtoto wa haram kafariki mtoto haruhusiwi kurithi chochote haijuzu.

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +2

    Wewe mwijaku kwanini aujielewi

  • @josephgoliama8068
    @josephgoliama8068 Год назад

    Huyo mtangazaji mpuuzi sana. Kweli Mwijaku umemfunika huyo mjinga aibu imemshika. Katika hilo uko sahihi Mwijaku

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Год назад +2

    apo umesema point kuza nje ni mtoto wa haram hata ukienda kushtaki mahakamani mtoto Hana haki yoyote zaid ya mwanamke mwenye ndoa ndo mwenye haki anae julikana kidini na family na serilikali

  • @iceplay18
    @iceplay18 Год назад +2

    hehe hapa naona mwijaku kafika mbali eti watoto wa diamond wote ni wanaharamu , alafu anatafuta diamnond ampe kazi , huyu afutwe kazi mara moja kama diamond ako na damu

  • @sethny112
    @sethny112 Год назад

    Salute sana Mwijaku lol very wise

  • @gidenproofficiel
    @gidenproofficiel Год назад +7

    Mwijaku DC nakukubali sana umbwa wewe 😂

  • @bakarikombo2694
    @bakarikombo2694 Год назад +4

    Halina ubishi hilo kwenye kufuatiliwa

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +3

    Mwijaku anamabaya mengi ayaoni

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 Год назад

    Media zina sapoti namn mwijaku anavyo muongelea Diamond mna hakuna Interviews 2 bila Mwijaku ajaulizw kuhsu Mondi.

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 Год назад +2

    Leo nimeona kama mwijaku sio mtu ni ibilisi. Huwezi chafuwa mtu ambae anakupa riziki, hebu wa Tanzania jamani saminisheni huyu diamond bado yupo hai. Warundi 🇧🇮 hatupendi anachokifanya huyu mbwa mwijaku

    • @Badest_gaming508
      @Badest_gaming508 Год назад

      Tuache sisi waislam kuambiana ni wajibu pesa ni jambo la mpito tuu

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 Год назад

      Bro uyo na diamond hawana shida wanachangamsha Sanaa tu

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 Год назад

    Hakuna msafi ktk hii dunia alieondoka msafi no mtume na waliobashiriwa pepo ☺️

  • @salmakwayu3951
    @salmakwayu3951 Год назад

    Mwijaku unasema ukweli

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +5

    Kazi yake kuleta matoto ya haramu tuu

  • @samwelkeremu4111
    @samwelkeremu4111 Год назад +2

    Kumbe hata lenyewe lina mtoto wa haramu nyani haoni kundule

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +4

    Mwijaku tutoleye fujo

  • @jeremiahisambi9324
    @jeremiahisambi9324 Год назад

    Diamond ngeuka tunakushanga sanaaa Africa yote mbona utaki kuoa unaogopa nani mungu ndio mambo yote ama unangopa wanawake wako ama unaogopa utakuwa utakuwa unadanga diamond umetusinya sanaaa

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад +4

    😁😁😆😆😆😅😅

  • @Wazimamoto
    @Wazimamoto Год назад +2

    Hao watoto ote ni wandan ya dowa Bada ya apo ndowa imevunjika akiwa kasha zaa

  • @YogweMwakulola
    @YogweMwakulola Год назад +2

    SOMA VIZURI DINI USIPOTOSHE WATU MAMA ULOLALA NAE AKAPA MTOTO UYO MTOTO NI HARRAM KUMUOA USIJIZIME DATA HAPO

  • @abdisalamshee3698
    @abdisalamshee3698 Год назад +3

    DC lazma uwe ndani ya ndoa ndo uowe ??? 🤣🤣🤣 Sjaelewa hapo bana 🤣

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Год назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Год назад +4

    Rick wewe uliza maswali sio kubishana..

  • @daudjohn3458
    @daudjohn3458 Год назад

    Rick humuwez mpaka B levo baa😂

  • @Badest_gaming508
    @Badest_gaming508 Год назад

    Apo kwenye dini kweli Yule mond haruhusiwi ata kugusa coz ni halali kwakwe sio mtoto wake

  • @shehugakwaya71
    @shehugakwaya71 Год назад +2

    Yani shanga watu wanapo jesifia kubeba na kubebesha mimba kharam!!!!!!!

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 Год назад +2

    Ninachokijuwa shehe Mwijaku kitanda hakizai haramu ila tendo ndio haram.. point noted maalim

    • @Badest_gaming508
      @Badest_gaming508 Год назад

      Kwenye Islam kitanda kinazaa haram vizuri tuu ao maneno ya wazinifu baada ya kufanya machafu

  • @Daniel-kg9rp
    @Daniel-kg9rp Год назад +2

    Rick huyu museng usiw unamuogi nakam utamuoj usiwe unatuletea

  • @ashuu7772
    @ashuu7772 Год назад +3

    Nwijaku kwaleo nipo pamoja nawe

  • @isackyusuph7881
    @isackyusuph7881 Год назад

    Mwija kwa kusawazsha haujambo

  • @kennedyokochwe7292
    @kennedyokochwe7292 Год назад +2

    Hauna jipya ww Ng'ombe

  • @mussaayubu1167
    @mussaayubu1167 Год назад +1

    Ila huyu jamaa ni kichaa Saiz naamini huyu zimepungua

  • @aysharashid1049
    @aysharashid1049 Год назад

    baba

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Год назад

    Kwa mwenye akili timamu akimsikiliza mwijaku atajua kua anaongea maneno ya maana ila wazinifu hawatamkubali Big up mwijaku

  • @gilbertkalash3846
    @gilbertkalash3846 Год назад

    Diamond Platinumz ni diamond kabisa kama uyu pumbavu mwijaku alisha anza kujipandisha ni kwasababu ya simba

  • @alibinali_
    @alibinali_ Год назад

    Hapo kwenye mtoto ameongea kweli kabisa hakuna piga mizi hapo

  • @galileemsangwa9311
    @galileemsangwa9311 Год назад

    HUYO ANGEKUWA NCHI YA WATU WANAOJIELEWA ANGEKUWA ALISHAGA ULIWA MAANA AKUNA MAISHA YA IVO YA KILA SIKU KUCHAFUA WATU

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Год назад

    😄😄😄yan huyu hawez kumaliza maneno bila kumtaja mond

  • @shadyandizeye9453
    @shadyandizeye9453 Год назад +1

    Nimependa mwishoni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abubakari8684
    @abubakari8684 Год назад

    Jee muulize Alikiba hana watoto wainjee.yani daimonde alikufanya nini Yani namb moja ni moja tuu

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Год назад

    Jinga Hilo,linaisha bila jasho

  • @mosesgoldenboy9911
    @mosesgoldenboy9911 Год назад +2

    Mtume ana sema tufiche ndoa tutangaze walima uyo mwijaku mu ongo sana

  • @soudnassor2956
    @soudnassor2956 Год назад

    Mwinyijaku jibu suwala " ili ndoa ikamilike inatakiwa watu wangapi wahusike

  • @sadikishabani4779
    @sadikishabani4779 Год назад

    Yeye mwenyew mwijaku ni haramu awaulize wazazi wake

  • @kikombeselemani6278
    @kikombeselemani6278 Год назад

    Wewe mwijaku kwenye sheria ya dini ya kiislam, hakuna mtoto wa haramu. Kitendo njo kinakuwa haramu.

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Год назад

    Diamoo anataka kuwa na wamama na watoi wengi inje ya ndoa,tebu waambie

  • @allyabdalla5894
    @allyabdalla5894 Год назад

    Mwijaku na diamond ni Pete na kidole wasiwaumize vichwa wanajuana.

  • @b-brightakapella7734
    @b-brightakapella7734 Год назад

    HUYU JAMAA UTANGAZAJI WAKE NI WAKUPENDELEA HUYU NI WCB KABISA

  • @daudjohn3458
    @daudjohn3458 Год назад

    Unatumika kisiasa mi huniwezi😂

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 Год назад

    Hamjaelewa alichoanfika diamond platnumz. Mondi anatambulisha msanii mwingine

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Год назад

    ficheni uchumba tangazeni ndoa

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Год назад

    Basi sawa haina shida . . . . 😆😆😆😆😆

  • @sadikishabani4779
    @sadikishabani4779 Год назад

    Anatembelea upepo wa diamond

  • @daudjohn3458
    @daudjohn3458 Год назад

    Hilo koti baba levo kalisha livaa kama sikosei😂

  • @itNeza
    @itNeza Год назад

    Rick upo juuu umempa makavu huyu Pumbu. 🙄😏🤔

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад

    Eti sina mabaya

  • @Levokarumna
    @Levokarumna Год назад

    P

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад

    Mbon uchafu alomfanyia MENINA hazungumzi.atuachie mond we2 kwendraaaaa

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Год назад

    Muongo hakuna sheria ya kumuoa mtoto ambaye ni damu yako acha kutukana watu

  • @itNeza
    @itNeza Год назад

    Bila Diamond huli Maliza mwezi Bila kumtaja Tutakupa Tuzo. 🙄😏🤔

  • @oblangatamakhakas9593
    @oblangatamakhakas9593 Год назад

    Una hakiri ww una mtoto haramu nawee chizii ww

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Год назад

    ye wakwake wa halali huyo malipaka?

  • @uwerapraxeda7240
    @uwerapraxeda7240 Год назад

    Nalichukia hili lijitu😏😏

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Год назад

    Lkini mtoto sio haramu tendo hilo ndilo haramu mtoto haezi kuwa haramu hio sheria Illa umuhimu ni kuoa

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад

    Ivi kwanini usiseme yako wewe mwijaku

  • @rgmoussa
    @rgmoussa Год назад

    mwijaku uislam hukuacha kituu so ongeleya yote vp unakaziya upande umoja tuuhh nawewe una mambo kibao machafu sana tuu usafi siyo inje jichunguze wewe mwijaku

  • @zezenature
    @zezenature Год назад

    Presenter anamuogopa simba n hiyo iko wazi.....alafu unapobishana ili mwingine kuonekana mwongo,hapo ndipo unatuboa Kaka.
    Hii Ni entertainment so hoji mtu Wala usibishe unatoa utamu akh!

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад

    CHOTI uyo

  • @donatienkamate1370
    @donatienkamate1370 Год назад

    Hapo muna danganywa eti mwijaku ana nushawishi wauongo

  • @samwelkeremu4111
    @samwelkeremu4111 Год назад

    Aseme watoto wa king kiba wa nje ni haramu

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Год назад

    CHOTI uyo

  • @elizabethsamwel8628
    @elizabethsamwel8628 Год назад

    We mbwa acha kusema mtoto wa nje haramu tena ukome