MWIJAKU Afichua sababu ya HARMONIZE kumuacha KAJALA 'Alitaka Ajengewe Nyumba PAULA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Kwa mara ya kwanza Mwijaku afunguka sababu iliyopelekeza Harmonize kuachana na Mchumba wake Kajala. Kwa mujibu wa Mwijaku anadai kuwa Kajala Alitaka Paula Ajengewe Nyumba na Harmonize
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Harmonize #Kajala

Комментарии • 50

  • @uwerauweraanicet3443
    @uwerauweraanicet3443 Год назад +16

    haaaaaahaaaaaa mwijaku sina mbavu kabisa toka pande za bujumbura nakufatiriya sana baba

  • @abedichande2497
    @abedichande2497 Год назад +10

    Kwan uyu jamaa mtangazaji..? Mbona kama haoji mtu..ila anabishana na mtu...au mtangazaji wa mchongo 😂

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwijaku wa watu aliaga Nyumban kabisaa wasiweke chakula 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад +2

    Mwehu wew

  • @bertha_villagesactivitiest4077

    Mwijaku ni muda muafaka wa kuanzisha tv yako maana unawapa faida wa channel zingine

  • @charlessweetberth4836
    @charlessweetberth4836 Год назад +1

    Hahahaha huyu mwandishi hovyo kabisa .... anaanza kubishana tena na anaemhoji 😀😀

  • @christopherrimba2276
    @christopherrimba2276 Год назад

    Maneno na ushahid nimuhimu

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +10

    Ila hyu jamaa atakuja kufa mdomo waz Ana maneno meng sanaa,,,et nililishwa matunda mwanzo mwisho🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aphroovevo681
    @aphroovevo681 Год назад +12

    Harmonize aje kwetu tumpe mchunba (Rwanda)

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Год назад +12

    Eee Kajala alikuwa namutiya mutoto
    Wakembele haiwezekani 😂😂😂😂😂😂matapeli

  • @aphroovevo681
    @aphroovevo681 Год назад +5

    Harmonize aje kwetu tumpe mchunba (Rwanda)

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Год назад +12

    Hamisa 😊😊😊❤❤❤

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 Год назад +3

    Hivi wa tz nyinyi vichwa vyenu vikoje? Sasa Harmonize anafanya zinaa pia Diamond platnumz pia hivyo. Sasa inakuaj anaponda mmoja mwengine anamsifia? Alafu unaona wajinga eti nakukubali mwajaku. Pumbavu zenu. Warundi tuko sawa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +4

    Bora mambo yasijulikane Co kujua ww mwijaku unasema nn??

  • @freddygadi2658
    @freddygadi2658 Год назад +10

    First watch 🔥 i need your like

  • @itNeza
    @itNeza Год назад +2

    Harmonize Ana Sura ngum kama Tako la Dereva. ( Eti Kawa mdogo Kumzidi Ibrah). 🤔🙄😏

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n Год назад +1

    Mwjaku nishawa wa ravnnyn

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +1

    Waja acheni ujinga wa kutangaza zinaa adhabu yamungu nikali wenzetu wanakufa natetemeko nyinyi mnalaanika nakusapoti zina

  • @maninhocassamo1525
    @maninhocassamo1525 Год назад +1

    Mwijaku banaa uyu jamaha anakisha ! Alitoka Mpaka mahakamani kustaki Harmonize kuwa analala na kajala na Paula huyu huyu? Leo anaongeia viengine? 😂😂😂 Uyu jamaha huku kwetu atumpendi kabisa kwasababu ayupo real kama babalevo! From Mozambique 🇲🇿

  • @ashuu7772
    @ashuu7772 Год назад +5

    Unamkataza diamond aache kuzaa njee nahapo unatafuta mwanamke mwezio akazini

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      Ahhh mwijaku anaponda kamali anasema kamali ni haramu yeye hapo hapo anatangaza wasafi bet.dahh huyu

  • @alicekisanga8004
    @alicekisanga8004 Год назад +7

    MWIJAKU AM WITH YOU 🔥

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Год назад +2

    Mwijaku mutafutiye mwana mke ambaye anaweza kuwa mke apana hawo wanao tafuta umarufu .pesa nazingine

  • @AliDegere
    @AliDegere Год назад

    Mwinyi jaku tunakupenda huwez kukaa kimya na mamb yak 😂😂

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад +2

    Si umeolewa wewe

  • @goldprocessplant5893
    @goldprocessplant5893 Год назад +2

    mwandishi mfano Bora kabisa yes Pinga uongo

  • @ashuu7772
    @ashuu7772 Год назад +2

    Mjinga mmoja unakosowa kumoja kwengineunakupamba kwa zinaa

  • @jan6703
    @jan6703 Год назад +1

    Mwijaku anatetea kuoa mke aliyezaa na mbunge, na kuwa na MC Pilipili na wengine kabla yake. Ati "unaona ninavyoongea namake sense"

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Год назад +5

    Huyu mwijaju alibikiriwa na mwanaume mwenzake

  • @freddygadi2658
    @freddygadi2658 Год назад +2

    Rick média 🇨🇩🇨🇩 Congo, kongo

  • @marthachang1805
    @marthachang1805 Год назад +2

    Mwijaku speaking facts🤞

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Год назад

    Hamisa

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Год назад +1

    Mwijaku mwenye mishe zake mjini

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад +2

    Mwijaku 🤣🤣🤣wewe

  • @bacarfalume1610
    @bacarfalume1610 Год назад

    Legal

  • @Luscious6826
    @Luscious6826 Год назад

    Waandishi wanaopinga wanaitajika kubalance sio kuwa na wasikilizaji tuu kupotosha watu big up👍

  • @castromendozaofficial2485
    @castromendozaofficial2485 Год назад +1

    Mwijakuuu mchokoziiii😅😅😅😅😅

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад

    Endapo tetemeko likifika tanzania wakwanza litanfika huyu mwijaku kupalilia zina

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +5

    Muoooooongoooo 💯

  • @agonysmartboy9775
    @agonysmartboy9775 Год назад

    Sasa Rick unatafuta habari au mnabishana ww mtangazaji

  • @micksonnyamwez96
    @micksonnyamwez96 Год назад

    Rick media wew mbon kam unamkandamiz san mzee

  • @dplatnum7399
    @dplatnum7399 Год назад

    Mbona midoli ya pinkii

  • @sevenhenrystephano6337
    @sevenhenrystephano6337 Год назад +1

    @ Rick Media:
    Rick media :nahombeni mufatilie vizuri views wa wimbo wa ibraah wa kondeboy ,zimeruka ,siku sita(6) ilikuwa 425k lakini saa Kazaa ikawa 1M ,ila kwenda siku 7 ahijahenda hata 1.1M au 1.2M au 1.3M imeruka maramoja kuwa 1.6M🤔, kwanini

  • @umugwanezazuhura167
    @umugwanezazuhura167 Год назад

    Akuye awowe rwanda

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Год назад

    Kumbe Mwijaku ulikua unalishwa matunda jamani sio poa

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 Год назад

    Bogus