MWIJAKU Afichua sababu ya HARMONIZE kumuacha KAJALA 'Alitaka Ajengewe Nyumba PAULA"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Kwa mara ya kwanza Mwijaku afunguka sababu iliyopelekeza Harmonize kuachana na Mchumba wake Kajala. Kwa mujibu wa Mwijaku anadai kuwa Kajala Alitaka Paula Ajengewe Nyumba na Harmonize
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Harmonize #Kajala
haaaaaahaaaaaa mwijaku sina mbavu kabisa toka pande za bujumbura nakufatiriya sana baba
Kwan uyu jamaa mtangazaji..? Mbona kama haoji mtu..ila anabishana na mtu...au mtangazaji wa mchongo 😂
Bora we umeliona 😂
Atachambwa na huyo Mwijaku
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwijaku wa watu aliaga Nyumban kabisaa wasiweke chakula 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mwehu wew
Mwijaku ni muda muafaka wa kuanzisha tv yako maana unawapa faida wa channel zingine
Hahahaha huyu mwandishi hovyo kabisa .... anaanza kubishana tena na anaemhoji 😀😀
Maneno na ushahid nimuhimu
Ila hyu jamaa atakuja kufa mdomo waz Ana maneno meng sanaa,,,et nililishwa matunda mwanzo mwisho🤣🤣🤣🤣🤣
Harmonize aje kwetu tumpe mchunba (Rwanda)
Eee Kajala alikuwa namutiya mutoto
Wakembele haiwezekani 😂😂😂😂😂😂matapeli
Harmonize aje kwetu tumpe mchunba (Rwanda)
Hamisa 😊😊😊❤❤❤
Hivi wa tz nyinyi vichwa vyenu vikoje? Sasa Harmonize anafanya zinaa pia Diamond platnumz pia hivyo. Sasa inakuaj anaponda mmoja mwengine anamsifia? Alafu unaona wajinga eti nakukubali mwajaku. Pumbavu zenu. Warundi tuko sawa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bora mambo yasijulikane Co kujua ww mwijaku unasema nn??
First watch 🔥 i need your like
Harmonize Ana Sura ngum kama Tako la Dereva. ( Eti Kawa mdogo Kumzidi Ibrah). 🤔🙄😏
Mwjaku nishawa wa ravnnyn
Waja acheni ujinga wa kutangaza zinaa adhabu yamungu nikali wenzetu wanakufa natetemeko nyinyi mnalaanika nakusapoti zina
Mwijaku banaa uyu jamaha anakisha ! Alitoka Mpaka mahakamani kustaki Harmonize kuwa analala na kajala na Paula huyu huyu? Leo anaongeia viengine? 😂😂😂 Uyu jamaha huku kwetu atumpendi kabisa kwasababu ayupo real kama babalevo! From Mozambique 🇲🇿
Unamkataza diamond aache kuzaa njee nahapo unatafuta mwanamke mwezio akazini
Ahhh mwijaku anaponda kamali anasema kamali ni haramu yeye hapo hapo anatangaza wasafi bet.dahh huyu
MWIJAKU AM WITH YOU 🔥
Mwijaku mutafutiye mwana mke ambaye anaweza kuwa mke apana hawo wanao tafuta umarufu .pesa nazingine
Mwinyi jaku tunakupenda huwez kukaa kimya na mamb yak 😂😂
Si umeolewa wewe
mwandishi mfano Bora kabisa yes Pinga uongo
Mjinga mmoja unakosowa kumoja kwengineunakupamba kwa zinaa
Mwijaku anatetea kuoa mke aliyezaa na mbunge, na kuwa na MC Pilipili na wengine kabla yake. Ati "unaona ninavyoongea namake sense"
Huyu mwijaju alibikiriwa na mwanaume mwenzake
Rick média 🇨🇩🇨🇩 Congo, kongo
Mwijaku speaking facts🤞
Hamisa
Mwijaku mwenye mishe zake mjini
Mwijaku 🤣🤣🤣wewe
Legal
Waandishi wanaopinga wanaitajika kubalance sio kuwa na wasikilizaji tuu kupotosha watu big up👍
Mwijakuuu mchokoziiii😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Endapo tetemeko likifika tanzania wakwanza litanfika huyu mwijaku kupalilia zina
Muoooooongoooo 💯
Sasa Rick unatafuta habari au mnabishana ww mtangazaji
Rick media wew mbon kam unamkandamiz san mzee
Mbona midoli ya pinkii
@ Rick Media:
Rick media :nahombeni mufatilie vizuri views wa wimbo wa ibraah wa kondeboy ,zimeruka ,siku sita(6) ilikuwa 425k lakini saa Kazaa ikawa 1M ,ila kwenda siku 7 ahijahenda hata 1.1M au 1.2M au 1.3M imeruka maramoja kuwa 1.6M🤔, kwanini
Akuye awowe rwanda
Kumbe Mwijaku ulikua unalishwa matunda jamani sio poa
Bogus