Chid Benz: Sijawahi Kuropoka / Sitoshi Kwenye Simu Naingiaje / Silipwi na'perform' tu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 184

  • @ibnali5237
    @ibnali5237 5 лет назад +133

    Nani mwengine alikua amemiss interview za Chidi👊👊👊🇰🇪

  • @johnkonde4767
    @johnkonde4767 5 лет назад +49

    Chidi is too intelligent this reporter can’t handle him 👍🏻👍🏻👍🏻 much love from Kenya 🇰🇪

  • @mzungu2012
    @mzungu2012 5 лет назад +17

    Chid benz bado ni mtu makini sana. Ila vile alipita katika hali flani ngumu. Na watu wasio na utu bado wanatamani kumfananisha ni ile image mbovu. Ila kama huna nia ovu utakubaliana nami ni mtu makini anayehitaji support na love. One love Chuma

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 5 лет назад +24

    Napenda chidy anapenda kusema kwel hivo hivo anachopata anasema ukwel

  • @hancymoses628
    @hancymoses628 5 лет назад +50

    kama unaamini chid ni mnyama gonga like

  • @saisaikalyasi5998
    @saisaikalyasi5998 5 лет назад +30

    Pole sana mtangazaji kwa kazi ngum uliyoifanya

  • @rosembaga5467
    @rosembaga5467 5 лет назад +7

    Nakupenda sana napenda pia nyimbo zako chid ww ni 🔥🔥🔥

  • @rajabumlaluko2897
    @rajabumlaluko2897 5 лет назад +27

    Huyu mwandishi hatoshi kuwa mwandishi

  • @issaahmed853
    @issaahmed853 5 лет назад +48

    Nimependa hili jibu sitembei na bodyguard kwa sababu mimi sio msanii wa sasa 😂😂😂😂
    Kama umelikubali hili jibu gonga like tulisongeshe wote

  • @calacoswailer629
    @calacoswailer629 5 лет назад +1

    Chidi haropoki. Chidi ni original hatetereki wala habadiliki wala hataki bifu. Hicho kitu powa. Nguruma bro. Chidi☝️☝️☝️☝️juu juu kabisa👍👍👍

  • @maxesh5135
    @maxesh5135 5 лет назад +16

    Napenda sana interview za Chid anafurahisha sana the guy anaonekana ana akili sana sema tu mambo madogo madogo

    • @egason2591
      @egason2591 5 лет назад

      HHAHAHAHA WALA HAKUNA MAMBO THIS GUY IS VERY INTELIGENT

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 5 лет назад +23

    Hahahaha hajawaahi kufel kwenye kujieleza

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 5 лет назад +8

    Naona sasa chidbeenz karudi kwenye viwango...vya binadamu....shavu ilnang'aa kama kapaka mafuta ya kupikia, ni mpumbavu pekee hataona hiki ninachokiona.....

  • @royalmbwana
    @royalmbwana 4 года назад +1

    Interviewer pia yupo vizuri sana amekuwa jasiri kuuliza maswali ya ndani...!!!

  • @billalphilip5776
    @billalphilip5776 5 лет назад +7

    Mimi si msanii wa sasa😂😂😂😂😂 Chuma ya zaman for real hafichi hali ilivyo!!!!

  • @jumalove2631
    @jumalove2631 5 лет назад +38

    Ila umepona mzee umenenepa kabisa eshima yako

  • @manjarujr9797
    @manjarujr9797 5 лет назад +3

    CHIDI HAKUWAHI ROPOKA LABDA HUWAGA WANA NJAA CHIDI FIREEEE

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 5 лет назад +19

    King of HIP HOP afrika

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg7024 5 лет назад +4

    huyu jamaa anaakili sana hilo swali waulize wasanii wa sasa

  • @smileboy8979
    @smileboy8979 5 лет назад +5

    Hapo mwisho ndio umeuwa babu zangu chid

  • @gsix1280
    @gsix1280 5 лет назад +6

    Pole dada Mtangazaji

  • @niffernurdin2586
    @niffernurdin2586 5 лет назад +5

    Napenda chid anavojibu 😊hatak maswali ya udaku udaku😂😂

    • @aidally9617
      @aidally9617 5 лет назад

      kweli kabisa apendi mambo ayo

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 5 лет назад +8

    Chid Benz Noma sana

  • @johngavile5106
    @johngavile5106 5 лет назад +10

    Kwel chuma ..una weza kwenda bila njia na ukarudi bila hofu ....." Cherea .... .cherea pna

  • @ritamrembo3351
    @ritamrembo3351 5 лет назад +1

    Music is life,Chid nakupenda buree

  • @chafumirro5617
    @chafumirro5617 5 лет назад +3

    Dahhh chidy yupo vizur xna kwa majibu

  • @mohamediddi9975
    @mohamediddi9975 5 лет назад +2

    safi sana chid kama unamkubali chid gonga like apa#

  • @juvenalymnyama735
    @juvenalymnyama735 5 лет назад +7

    Chida vidusko anadaka Maisha yanaendelea Namkubal sana uyu jamaa

  • @hilarymungure8590
    @hilarymungure8590 4 года назад +2

    definitely Chidi Benz na Zlatan Ibrahimovic are two sides of the same Golden Rupee Coin

  • @hdady0037
    @hdady0037 5 лет назад +2

    Chid anajuwa ila inaoneka ajajizatiti kikazi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @morinmsuya1456
    @morinmsuya1456 5 лет назад +1

    Mm nime mmiss chidi kupita kiasi💯🎻🥁💥💪🔥✨

  • @rashidmasoud6939
    @rashidmasoud6939 5 лет назад +3

    Much appreciate to u bro

  • @othmanmohamed4066
    @othmanmohamed4066 5 лет назад

    Watangazaji mnaoenda kumfata Chidi mjipange Kwanzaa uyu jamaa yupo vizur Sana'a....anawatia aibu sanaaa

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 5 лет назад +7

    Ha ha ha ha Nani kasikia chidy aliposema anapiga show watu wanapiga shangwe mpaka wanakuwa wendawazimu kabisaa😂😂😂😂

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 5 лет назад +2

    Huyu dada alikuwa anamhoji chidi kama teja, amejikuta anapwaya, Chidi mnyama we faler!

  • @zakarialubita7291
    @zakarialubita7291 4 года назад

    Ivi humjui chidi n genius wa kujibu maswali haha interview zake ndo twapenda sana

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ 5 лет назад +15

    Hakuna ata swali moja limekosa jibu 🤣🤣🤣🤣

  • @aminirapa2470
    @aminirapa2470 5 лет назад +4

    Nachomuelw chid Benz mtangazaji ukiwa unamaswal ya ovyo nae anakujib ovyo

  • @regimentish
    @regimentish 4 года назад

    My best Rapper....twakupenda sana huku kenya.

  • @EdwinChristopher-f4o
    @EdwinChristopher-f4o 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤ nakupenda sana bro karbu moshi

  • @cottonjeans7491
    @cottonjeans7491 4 года назад

    Nakubali chidbenz

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 5 лет назад

    Ntajie nimfate......hii kichwa moto sana konkii

  • @BataBatanii
    @BataBatanii 5 лет назад +2

    Msimsingizie chidi chidi Ana longa ukwel axeeii

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 5 лет назад

    Mungu aendelee kukutunza Kaka Rashid

  • @kirobaonlinetv4128
    @kirobaonlinetv4128 5 лет назад +6

    Mtangazaji usomi koment za intavi u chid aongeagi pumba wala alopok anaongea pwent tupu

  • @joseygaudence1886
    @joseygaudence1886 5 лет назад +8

    Chid huwa anaongea vitu makini

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 5 лет назад +1

    CHIDI HALOPOKI, MI NATAMANI KAMA KILA SIKU NINGEKUWA NAONA INTERVIEW YA CHID, ANAONGEA MADINI SANA

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 5 лет назад

    Mtangazaji anashangaa eeeh 😅😅😅😅..uyo ndio chid benz chumaaaa

  • @khalfansalim6832
    @khalfansalim6832 3 года назад

    Rudi kwenye game broo nakukubali sana

  • @zenamadhan2517
    @zenamadhan2517 5 лет назад

    Naampenda Chidi..anajibu kidaku daku..utakoma mtangazaji

  • @twaibuiddy6851
    @twaibuiddy6851 5 лет назад +3

    Namuelewa sana chuma

  • @andrewmlamba
    @andrewmlamba 5 лет назад +1

    Chidi Benz siyo wakupigishwa show za biya.Kweli unga sumu

  • @hamiduchilumba2352
    @hamiduchilumba2352 5 лет назад

    Chid uko vizuri.

  • @expeditormkoka3609
    @expeditormkoka3609 5 лет назад +4

    kweli chuma amesema hatoshi kwenye simu

  • @rajabumlaluko2897
    @rajabumlaluko2897 5 лет назад +3

    yupo poa jamaa. Kamjibu sawa sawa

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 лет назад +3

    Achen kuweka bendela
    Za nchi za watu wakati
    Nyinyi watanzania alis kwann
    Jaman! tuipende Nchi yetu
    Akuna fahal yoyote ya kujiona
    Upo nje wakat upo ndan

  • @hajiabeid4304
    @hajiabeid4304 4 года назад

    mtangazaji kapwaya

  • @dj5_tz971
    @dj5_tz971 5 лет назад +4

    Chid beeeeeeenz💪💪💪💪💪

  • @ibrahimfrancophone229
    @ibrahimfrancophone229 5 лет назад +1

    Uyo ndo chid benz. Shout out to him

  • @wilsonmwenda1509
    @wilsonmwenda1509 4 года назад

    Jamaaa anaakili san

  • @sophiakasim5153
    @sophiakasim5153 4 года назад

    Ila kumuhoji chidy Benz yatakiwa uwe na moyo wa chuma la sivyo unaweza pata bao la uso

  • @edwinekahatano8472
    @edwinekahatano8472 4 года назад

    Kweli

  • @majaliwabienvenu5508
    @majaliwabienvenu5508 5 лет назад +3

    The one and only

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed9589 5 лет назад

    Chidi haropoki anaongea Point sana

  • @jeffyjay259
    @jeffyjay259 3 года назад

    Aliye cezeya kicwa hiki kakoseya jamii kabisa yani haeleweki cidi wa ssa

  • @bahatimanegabe1777
    @bahatimanegabe1777 4 года назад

    I like this Guy chidi is the best

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 5 лет назад +2

    Ameingia bila centi moja ila katika na mshiko

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey5679 5 лет назад

    safi kwa majibu mazuri Chidy

  • @hamisihamisi9800
    @hamisihamisi9800 5 лет назад

    Sina taaluma yoyote ya uandishi wa habari ila huyu Dada hamna kitu sijui kasomea wapi masikini ya mungu anauliza maswali ya kipumbavu mpk chid na miunga yake kachoka kwa kifupi kanizidi connection nothing else

  • @iddapetro741
    @iddapetro741 4 года назад +1

    This guy I relate him with ronaldinho life he doesn't do music to earn money but doing music as part of his life

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 5 лет назад +1

    Basi baana alikosea na asamehewe sisì ni binadamu na kila mtu hukosea

  • @ruionyango8818
    @ruionyango8818 5 лет назад

    Mwacheni chidi chidi is Talkative

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 5 лет назад +2

    Unajielewa sana bro,Sina tu hela ningewekeza kwako

    • @manjarujr9797
      @manjarujr9797 5 лет назад

      Nina wazo ilo chidi na nick mbishi anii daaah

  • @suleimanjoseph8365
    @suleimanjoseph8365 5 лет назад

    Chid ww bado hujapona make majibu yako yamenivunja mbavu😂😂😂nmecheka sana big up broo watangazaj kama hao we ndo kiboko yao

  • @kidevuchuwa3254
    @kidevuchuwa3254 4 года назад

    Chid mnyama

  • @dottomussa1462
    @dottomussa1462 3 года назад +1

    Napiga Show kila siku nawatu wanakua wenda wazimu kabisa😂😂

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 5 лет назад

    Mtangazajii mjingaa

  • @rairambarairamba5086
    @rairambarairamba5086 5 лет назад +2

    Chidi chizi sana mwanangu umechukua muda mwingi inatosha mwingine hahahhahaha

  • @edwinekahatano8472
    @edwinekahatano8472 4 года назад

    Noma

  • @frankSimle-gx1jv
    @frankSimle-gx1jv Год назад

    Chid ni mwalimu ambaye wanafunzi watukutu hawataki kumsikiliza dadadeki zao

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 года назад

    Akili mingi sana huyu

  • @ismailmnyaruge7551
    @ismailmnyaruge7551 5 лет назад

    Salute

  • @suleimanjoseph8365
    @suleimanjoseph8365 5 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂chid umenipa raha sana kwa majibu yako et mm sitoshi kwenye simu ntaingiaje kwenye simu

  • @wakunatahafai1969
    @wakunatahafai1969 Год назад

    👏👏👏👏

  • @kawanjiras1145
    @kawanjiras1145 5 лет назад

    Napenda anavyo jibu maswali 🇰🇪

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 2 года назад

    Cheedi👍👍💜💜💜💜💜🇩🇪🇩🇪

  • @yussufesmael
    @yussufesmael 5 лет назад

    Strong chidi

  • @boblion262
    @boblion262 5 лет назад

    Salut saana chid

  • @josephhenry1274
    @josephhenry1274 4 года назад

    Hahahaha sometimes CHIDI mimi sitoshi kwenye cm..

  • @muddymiusictz8054
    @muddymiusictz8054 5 лет назад +11

    Nani kamwona jamaa kashikilia pesa alizotunzwa mkononi

  • @asantesangawe1366
    @asantesangawe1366 5 лет назад

    Kweli unatyauruma

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 5 лет назад

    Kinkooooom nakubal sana

  • @samiaomary727
    @samiaomary727 5 лет назад

    I wish nimuone kingkong WCB..atawaka kinyama!!! #chuma

  • @nackingmasangula1409
    @nackingmasangula1409 5 лет назад +1

    Waulize wasinii wa sasa

  • @edwinekahatano8472
    @edwinekahatano8472 4 года назад

    Duh

  • @thakalanimulaudhi9463
    @thakalanimulaudhi9463 5 лет назад +5

    mwandishi jipange na maswali yako hujui kuhoji maswali

  • @saidmkundu4692
    @saidmkundu4692 5 лет назад

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 umepoteza pesa ila sio kipaji brooo

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp 5 лет назад

    Chizi mbishi nakubal

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 5 лет назад +1

    Eeeeeeee zinatosha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😘😘😘😘😘😘💪💪💪💪💪💪👊👊👊👊👊👍👍👍👍👍👍👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @danielyusuph3231
    @danielyusuph3231 3 года назад +1

    🤣🤣 umechukua mda mwingi mno.. Mwingine