Chid benz bado ni mtu makini sana. Ila vile alipita katika hali flani ngumu. Na watu wasio na utu bado wanatamani kumfananisha ni ile image mbovu. Ila kama huna nia ovu utakubaliana nami ni mtu makini anayehitaji support na love. One love Chuma
Naona sasa chidbeenz karudi kwenye viwango...vya binadamu....shavu ilnang'aa kama kapaka mafuta ya kupikia, ni mpumbavu pekee hataona hiki ninachokiona.....
Achen kuweka bendela Za nchi za watu wakati Nyinyi watanzania alis kwann Jaman! tuipende Nchi yetu Akuna fahal yoyote ya kujiona Upo nje wakat upo ndan
Sina taaluma yoyote ya uandishi wa habari ila huyu Dada hamna kitu sijui kasomea wapi masikini ya mungu anauliza maswali ya kipumbavu mpk chid na miunga yake kachoka kwa kifupi kanizidi connection nothing else
Nani mwengine alikua amemiss interview za Chidi👊👊👊🇰🇪
Mimi hapa 🇨🇦🇨🇦
mimi
Chidi is too intelligent this reporter can’t handle him 👍🏻👍🏻👍🏻 much love from Kenya 🇰🇪
Logic mzee
True broo
John Konde reporter wote hawamuwezi huyu jama n janja sana.
Chid benz bado ni mtu makini sana. Ila vile alipita katika hali flani ngumu. Na watu wasio na utu bado wanatamani kumfananisha ni ile image mbovu. Ila kama huna nia ovu utakubaliana nami ni mtu makini anayehitaji support na love. One love Chuma
Napenda chidy anapenda kusema kwel hivo hivo anachopata anasema ukwel
kama unaamini chid ni mnyama gonga like
Pole sana mtangazaji kwa kazi ngum uliyoifanya
Hahahhaa.....
😅😅😅😅
Chid ana maneno ya shombo kwer eti yy siyo msanii wa sasa 😀😀😀
Kabisaaa 😀😀😀😀
Kwa kweli khaaaa
Nakupenda sana napenda pia nyimbo zako chid ww ni 🔥🔥🔥
Huyu mwandishi hatoshi kuwa mwandishi
Nimependa hili jibu sitembei na bodyguard kwa sababu mimi sio msanii wa sasa 😂😂😂😂
Kama umelikubali hili jibu gonga like tulisongeshe wote
Kanikosha kwer
Chidi haropoki. Chidi ni original hatetereki wala habadiliki wala hataki bifu. Hicho kitu powa. Nguruma bro. Chidi☝️☝️☝️☝️juu juu kabisa👍👍👍
Napenda sana interview za Chid anafurahisha sana the guy anaonekana ana akili sana sema tu mambo madogo madogo
HHAHAHAHA WALA HAKUNA MAMBO THIS GUY IS VERY INTELIGENT
Hahahaha hajawaahi kufel kwenye kujieleza
Naona sasa chidbeenz karudi kwenye viwango...vya binadamu....shavu ilnang'aa kama kapaka mafuta ya kupikia, ni mpumbavu pekee hataona hiki ninachokiona.....
Interviewer pia yupo vizuri sana amekuwa jasiri kuuliza maswali ya ndani...!!!
Mimi si msanii wa sasa😂😂😂😂😂 Chuma ya zaman for real hafichi hali ilivyo!!!!
Ila umepona mzee umenenepa kabisa eshima yako
Kweli Juma love
BadilishaMada
nice 1
CHIDI HAKUWAHI ROPOKA LABDA HUWAGA WANA NJAA CHIDI FIREEEE
King of HIP HOP afrika
huyu jamaa anaakili sana hilo swali waulize wasanii wa sasa
Hapo mwisho ndio umeuwa babu zangu chid
Pole dada Mtangazaji
Napenda chid anavojibu 😊hatak maswali ya udaku udaku😂😂
kweli kabisa apendi mambo ayo
Chid Benz Noma sana
Kwel chuma ..una weza kwenda bila njia na ukarudi bila hofu ....." Cherea .... .cherea pna
Music is life,Chid nakupenda buree
Dahhh chidy yupo vizur xna kwa majibu
safi sana chid kama unamkubali chid gonga like apa#
Chida vidusko anadaka Maisha yanaendelea Namkubal sana uyu jamaa
definitely Chidi Benz na Zlatan Ibrahimovic are two sides of the same Golden Rupee Coin
Chid anajuwa ila inaoneka ajajizatiti kikazi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mm nime mmiss chidi kupita kiasi💯🎻🥁💥💪🔥✨
Much appreciate to u bro
Watangazaji mnaoenda kumfata Chidi mjipange Kwanzaa uyu jamaa yupo vizur Sana'a....anawatia aibu sanaaa
Ha ha ha ha Nani kasikia chidy aliposema anapiga show watu wanapiga shangwe mpaka wanakuwa wendawazimu kabisaa😂😂😂😂
Huyu dada alikuwa anamhoji chidi kama teja, amejikuta anapwaya, Chidi mnyama we faler!
Ivi humjui chidi n genius wa kujibu maswali haha interview zake ndo twapenda sana
Hakuna ata swali moja limekosa jibu 🤣🤣🤣🤣
Shabby theezaddy 😂😂😂
😂
Nachomuelw chid Benz mtangazaji ukiwa unamaswal ya ovyo nae anakujib ovyo
😂😂😂umeona eee
My best Rapper....twakupenda sana huku kenya.
❤❤❤❤ nakupenda sana bro karbu moshi
Nakubali chidbenz
Ntajie nimfate......hii kichwa moto sana konkii
Msimsingizie chidi chidi Ana longa ukwel axeeii
Mungu aendelee kukutunza Kaka Rashid
Mtangazaji usomi koment za intavi u chid aongeagi pumba wala alopok anaongea pwent tupu
Chid huwa anaongea vitu makini
CHIDI HALOPOKI, MI NATAMANI KAMA KILA SIKU NINGEKUWA NAONA INTERVIEW YA CHID, ANAONGEA MADINI SANA
Mtangazaji anashangaa eeeh 😅😅😅😅..uyo ndio chid benz chumaaaa
Rudi kwenye game broo nakukubali sana
Naampenda Chidi..anajibu kidaku daku..utakoma mtangazaji
Namuelewa sana chuma
Chidi Benz siyo wakupigishwa show za biya.Kweli unga sumu
Chid uko vizuri.
kweli chuma amesema hatoshi kwenye simu
yupo poa jamaa. Kamjibu sawa sawa
Achen kuweka bendela
Za nchi za watu wakati
Nyinyi watanzania alis kwann
Jaman! tuipende Nchi yetu
Akuna fahal yoyote ya kujiona
Upo nje wakat upo ndan
😂😂
mtangazaji kapwaya
Chid beeeeeeenz💪💪💪💪💪
Uyo ndo chid benz. Shout out to him
Jamaaa anaakili san
Ila kumuhoji chidy Benz yatakiwa uwe na moyo wa chuma la sivyo unaweza pata bao la uso
Kweli
The one and only
Chidi haropoki anaongea Point sana
Aliye cezeya kicwa hiki kakoseya jamii kabisa yani haeleweki cidi wa ssa
I like this Guy chidi is the best
Ameingia bila centi moja ila katika na mshiko
safi kwa majibu mazuri Chidy
Sina taaluma yoyote ya uandishi wa habari ila huyu Dada hamna kitu sijui kasomea wapi masikini ya mungu anauliza maswali ya kipumbavu mpk chid na miunga yake kachoka kwa kifupi kanizidi connection nothing else
This guy I relate him with ronaldinho life he doesn't do music to earn money but doing music as part of his life
Basi baana alikosea na asamehewe sisì ni binadamu na kila mtu hukosea
Mwacheni chidi chidi is Talkative
Unajielewa sana bro,Sina tu hela ningewekeza kwako
Nina wazo ilo chidi na nick mbishi anii daaah
Chid ww bado hujapona make majibu yako yamenivunja mbavu😂😂😂nmecheka sana big up broo watangazaj kama hao we ndo kiboko yao
Chid mnyama
Napiga Show kila siku nawatu wanakua wenda wazimu kabisa😂😂
Mtangazajii mjingaa
Chidi chizi sana mwanangu umechukua muda mwingi inatosha mwingine hahahhahaha
Noma
Chid ni mwalimu ambaye wanafunzi watukutu hawataki kumsikiliza dadadeki zao
Akili mingi sana huyu
Salute
😂😂😂😂😂😂😂chid umenipa raha sana kwa majibu yako et mm sitoshi kwenye simu ntaingiaje kwenye simu
👏👏👏👏
Napenda anavyo jibu maswali 🇰🇪
Cheedi👍👍💜💜💜💜💜🇩🇪🇩🇪
Strong chidi
Salut saana chid
Hahahaha sometimes CHIDI mimi sitoshi kwenye cm..
Nani kamwona jamaa kashikilia pesa alizotunzwa mkononi
uyu jamaa bhn
Kweli unatyauruma
Kinkooooom nakubal sana
I wish nimuone kingkong WCB..atawaka kinyama!!! #chuma
Waulize wasinii wa sasa
Duh
mwandishi jipange na maswali yako hujui kuhoji maswali
Mpk anaboa anataman kumpa vichwa
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 umepoteza pesa ila sio kipaji brooo
Chizi mbishi nakubal
Eeeeeeee zinatosha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😘😘😘😘😘😘💪💪💪💪💪💪👊👊👊👊👊👍👍👍👍👍👍👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣 umechukua mda mwingi mno.. Mwingine