Merry popote ulipo nimeoa lakini nikiskiza huu wimbo nakumbuka ata tulipokaa pale Florian sec nikijaribu kukufanya uwe wangu peke yangu ila ndo ivo haijawa rizki umeolewa nimeoa!! Nakukumbuka sana merry wangu
Ndio naanza mahusiano yangu na mpenzi wangu... Ila full painful... Ngoma kali sana.. Wanawake sio watu wa kuaminika kivile... Pipi ya kijiti tu ishamptoa akili..
Hizi ndio nyimbo aisee, tulikua tunawaimbia wachumba zetu, mashairi ya nyimbo unaweka kwenye barua ya mapenzi na makopa kopa na kopa Moja lina mshale, dah. Nyimbo gani ya Sasa inaandikika?? Labda uandike makelele na midundo
Kama unahichek mwez wa 9 ,2024 dondosha like hapa
Uakika tupo p1
❤❤❤❤
Sikujui hunijui Ila nakuombea Kher wewe na Familiaa yakoooo
Nakuombea kheir na mama familia yenu pia Mungu awalinde
Merry popote ulipo nimeoa lakini nikiskiza huu wimbo nakumbuka ata tulipokaa pale Florian sec nikijaribu kukufanya uwe wangu peke yangu ila ndo ivo haijawa rizki umeolewa nimeoa!! Nakukumbuka sana merry wangu
Why chid😢 my heart is hearting, chid benz is so talented, he is a pure talent, duh can someone do something plz🇹🇿.
Huu wimbo hauchuji miaka nenda miaka rudi.I miss this era❤❤❤❤❤
Jamani mziki ndio huu sio sasa kelele nyingi
Dah nimekumbuka mbali sana, muda ni kitu cha ajabu sana. Bonge ya ngoma.
Dah!!
Niko hapa August 2024🔥
Latiffah toka 2024 tuko pamoja toka 🇨🇩 DRCongo , spark alishaka enda wapi aise
DAH🤦🏿
Nilimuimbia mpenzi wangu 2006 ilipofika 2010 akaniacha😏😌😌
😂😂😂
🤣🤣
😂🤣🤣🤣😂
😅😅😅 pole sana kijana ndio mapenzi yalivyo kwenye hii sayari tuko
😂😂😂
Friday night 31st May 2024 still listening to this master piece song...
What a coincidence....same
Ndyo naimbiwa sahii 7.2024
Wakati nyimbo zilikua nyimbo❤
2024 I'm still here... Kuachwa nako si tafadhali 😂.... Bado natafuta I say... Mad love for this song from Nairobi
Flow ya chid benzi nomaa 2024
Kama unaikubali hii flashback gonga like
napenda
Ila mamae chid alitulia mnooo huuumuuu💥💥💥
2024 still a banger
Kazi safi inaishi
Bongo ilikua tamu enzi hizi
Wow nilikuwa tarasa4 🔥💞💞💞💞🔥🔥🔥
Chidi to the benz is the GOAT of tz rap.💯
Moyoni me naumiaaaaaa ❤❤❤
Remember this guy he's good musician pleas comeback spark
Yanikumbusha niishi kongowea Mombasa sokoni uwanja wa mbuzi hapo long time sana
Haha ww n mtu wa home kbsa rahan school 😂😂 ebu sub kwa channel yko kaka
Classic masterpiece, rashid makwiro verse ni shida na beat imesimama sana
2024 nipo hapa🔥🔥
Ila chid 🙌🙌🙌🙌
Yan kama imetoka jana vile😮
Babá Ume uwa❤❤❤❤❤
Nmepona kupitia huu wimbo😢😢😢
Kitambo kidogo ili goma linanikumbusha mengi,so nostalgic indeed.
Bonge la Ngoma mpaka na lia nikiona chidy jinsi alivyokuwa goat ila sasa kasha haribiwa kisa Dawa zakulevya inauma sana Aisee
Ndio naanza mahusiano yangu na mpenzi wangu... Ila full painful... Ngoma kali sana.. Wanawake sio watu wa kuaminika kivile... Pipi ya kijiti tu ishamptoa akili..
😎😎😎❤️❤️ have been searching for this song for ages 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️ .
Nyie kumbe chid alikuwa vzur eh😅😅
If only Chidi Benz knew how much his music was awesome,wooow! He's a legend ❤
I Stiller remember this great song with à good rapper Chid Benz. Love from BURUNDI
Mbaka leo naisikiya 2024
Ila chid benz🙌🙌
KE---TA----U........ EXPRESS ENZI HIZO......
i do like the way chidi used kuingia kwa hizi video kabisa hata ile ya daimond uwezi kumuona mwanzao wa nyimbo akionekana anafunga kazi
Bonge la ngoma..hakika old is gold
Mimi naona myaka yakwenda huyu chidi benz akuje congo Kinshasa nabendanga sana mwanangu wewe niboro unajuwa mistari bwana wewe ni boro
One of my best song 14/07/ 2021 still am listening
Q
2024🔥🔥🔥🔥🔥🔥
The real bongo flavaur
Bonge moja la wimbo, cha kale dhahabu
naipenda sana nyimbo nzuri sana🎉🎉🎉
Old is gold🔥🔥🔥
2023 am here aiseee 🎉🎉🎉
Kitambo Sana🔥🔥
I love that song for sure.
King of melody Spark please come back again.
Jamani rudini stejini tumewamis 😢😢😢😢😢
2024 tujuane
2025..... tujuane Mama mitano tenaa
tBt kitambo sana
Thé realy bongo fleva.. love from🇨🇩
Chii Chii Chii Chii Chiidi Benz!!
ya ❤
Jamaa mkali sna sema tu ndo hivyo tena, ila chid alikuwa noma sna
Duuh nakumbuka mbali mno naipenda sana kwakweli
😅😅
Chid bzn
kipind hicho chid hajawa saka
2023🔥🔥🔥🔥
Huyu visalab alikuwa moto sana kwenye video kitambo kile dah spark mwamba sana wewe 2008 iyo moto
Msiniulize Kwanini nipo 2023 naiskliza
20dec2023 Wednesday I'm listening 🎧 this track
kirakaa😊
Wimbo unikoshaga uuu
Awa ndo waliokuwa wanaimba sasaivi wanakesha kupiga kelee tu na kufundisha ujinga
Hatari sana
Chid benz our very own
Mpk kesho hachuji
Hizi ndio nyimbo aisee, tulikua tunawaimbia wachumba zetu, mashairi ya nyimbo unaweka kwenye barua ya mapenzi na makopa kopa na kopa Moja lina mshale, dah. Nyimbo gani ya Sasa inaandikika?? Labda uandike makelele na midundo
BGP sana
Nipo apa Leo 09/01/2024
Old is gold 2023✌️
Hii Spark upo wapi??mbona kimya mzee daahh
2024
Et kuna mdada ananiimbia hii nyimbo 2024😢😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@@MariamuMamu 😅
TikTok bring me back here 27/11/2022
Wakati huo nikiwa DJ Tabora duh
This song bring me hear today tatizo roho 😢
2024 ❤❤❤
September 2024
My best song forever ❤
❤❤❤❤❤
Cheed mnyama
Big up on yaself watching from Oman
Man like benz 🤐
Safi sana
2023
2024❤❤❤
Chid Benz ni fire vby
Mbali Sana nakumbuka 2011
september 2024
imba tena atarudi
The guy here did 100% sure