JAPHET ZABRON AFICHUA MANENO YA MWISHO YA NDUGU YAKE KABLA YA KIFO | UPASUAJI WA MOYO CHANZO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Kiongozi Na Muimbaji Wa Kundi La Muziki Wa Injili @zabronsingers ndugu @marcojoseph_official amefariki Dunia katika Hospitali Ya Taifa MOI jijini D’salaam alikokuwa anapatiwa Matibabu.
    Taarifa za Awali Kutoka Kwa Ndugu Yake @japhetzabron_official anasema Marco Alipata mshtuko Wa Moyo Wakiwa safarini kihuduma Nchini Kenya siku chache zilizopita,Jitihada za matibabu zilifanyika katika Hospital Ya Rufaa Ya Kanda,Bugando Mwanza na Baadae Kuhamishiwa MOI ambapo umauti umemkuta akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
    Tamka Neno La Faraja Kwa Familia ya @zabronsingers Katika Kipindi hiki Kigumu cha Kuondokewa na Mpendwa Wao.
    Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe.

Комментарии • 252

  • @user-ox5zp3jl6d
    @user-ox5zp3jl6d 21 день назад +32

    Am from Kenya but n uchungu sana kupoteza legend mzuri. Poleni sana Tanzania 🇹🇿 😢😢😢😢

  • @Waky-h8u
    @Waky-h8u 21 день назад +21

    Rambirambi zangu kwa hii familia ya Zabron, toka hapa Europe, Germany. Tunawapenda sana Zabron singers..Mungu awape Nguvu..na Amani, Familia , marafiki , na wana Tanzania . EastAfrika kwa jumla.

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 20 дней назад +2

      Amen dear. Hakika tumeumia.

    • @cipriano3040
      @cipriano3040 20 дней назад +1

      Poleni sana kwa msiba majirani...pia jirani apa Spain , Madrid

  • @MargaretKimeu-do2jh
    @MargaretKimeu-do2jh 20 дней назад +5

    Niko Kenya .Polen sana Zabron singers napenda nyimbo zenu .Mungu awape nguvu na awafariji.

  • @treasureforashes3497
    @treasureforashes3497 20 дней назад +2

    We should learn from this. Serve God with all your heart..hatujui siku..Amemutumikia Mungu kwa kweli yuko na yesu ,alimpenda yesu na moyo wake wote
    .poleni sana

  • @petronilalodechi7348
    @petronilalodechi7348 21 день назад +5

    Rambirambi zangu ziwafikie zabron singers .Huzuni tele hatuna la kufanya mungu aipoke roho yake Marco aiweke mahali pazuri...kutoka kenya tunawadhamini

  • @EveWema-be4re
    @EveWema-be4re 20 дней назад +2

    Ooooh polen xana zabron singers kwa kumpoteza kipenzi chenu much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @hermentmosha4230
    @hermentmosha4230 21 день назад +1

    Hii taarifa inasikitisha na inaumiza sana, Mwenyezi Mungu ampumzishe Marco Zablon mahali pema Mbinguni" Poleni sana wana Familia ya Zablon!!!!....

  • @user-pe8ui7ve2w
    @user-pe8ui7ve2w 21 день назад +8

    Jamani poleni Sana natu pole wote Tulio guswana msiba huu yani inauma San polin kundi Zima lazabron yesu nakuomba uwatie nguvu wanafamilia wote maana inauma San Eee MUNGU nakuomba Uwe farajayao isiku namchana inauma mnooo jaman😭😭😭😭

    • @bettykinyami5096
      @bettykinyami5096 21 день назад

      Mungu awatie nguvu wapendwa wetu

    • @JACOBNDASHUKA
      @JACOBNDASHUKA 20 дней назад

      Poleni sana familia pamoja na zablon singers napenda sana nyimbo zenu R.I.P marco

  • @halimamdoe6055
    @halimamdoe6055 21 день назад +4

    Mungu wa Mbinguni akafanyike Faraja kuu kwa familia ya marehemu .

  • @NancyKipsang-d5k
    @NancyKipsang-d5k 20 дней назад +2

    It is really sad,, sorry to his family, the zabron singers, the entire tz family,,am also happy that he served God wholeheartetedly ,Rest in eternal peace marco😭😭😭😭

  • @melabusahani
    @melabusahani 21 день назад +1

    Poleni sana zabron singers, ndugu na jamaa Kwa msiba huu, Mungu awafariji katika kipindi hiki kigumu😢😢

  • @florencenduku4427
    @florencenduku4427 18 дней назад

    Wakenya twawapenda sana.Mungu na ailaze Moyo wake palipo nawema.inshallah

  • @EverlyneInduti
    @EverlyneInduti 19 дней назад

    Mungu ailaze Roho yake pahala Pema..wana zabron singers farijikeni ktk bwana yote Tatu itabidi tukubali maana ni njia yetu ss sote na hatujui saa wala Siku.. Mungu atusaidie sana

  • @treasureforashes3497
    @treasureforashes3497 20 дней назад +6

    Am sad but soo happy, he served God whole heartedly ,he's in heaven

  • @lucybutta2714
    @lucybutta2714 21 день назад +4

    Pole kwa familia ya Marco Joseph, Ni matumaini umeenda kutuandalia makao huko mbinguni, Pumzika kwa Amani, Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi 😭😭😭

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 21 день назад

    Poleni sana Wanazabron Mungu awatie nguvu ktk Kipindi hiki kigumu,tuko pamoja ktk maombolezo,Mungu ampumzishe kwa amani amina

  • @arasalucy654
    @arasalucy654 20 дней назад +1

    My condolences to the Zabron family. We were shocked to hear that Marco is gone. Death is very painful and it is the last enemy to be defeated when Jesus come on that glorious morning.

  • @rehemakihanga
    @rehemakihanga 20 дней назад

    Poleni saana zabron singer kwa kiungo kikubwa saana mlichopoteza Mungu akawe faraja kwenu ndugu zetu😊

  • @roselineachieng4284
    @roselineachieng4284 19 дней назад

    Poleni sana familiar ,marafiki, na church mzima I'm roseline from Kenya 😢😢😢😢😢 very very pain full mungu awatiye moyo

  • @patrickmuteti6892
    @patrickmuteti6892 20 дней назад

    Mimi ni mkenya lakini tulipopata taharifa ya legend japheth marco tuliuzunika sana pole kwa mkewe na watoto na familia na pia kwa Tanzania na ulimwenguni wote kwa kumpotexa mwiimbaji mashuhuri.

  • @mercykerubo8411
    @mercykerubo8411 21 день назад +1

    Poleni kikundi cha Zablon singers na wasanii wa nyimbo za injili Kwa jumla amekua wa baraka katika uimbaji

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile53 20 дней назад

    Poleni sana R.I.P Mpendwa wetu Marco.Inauma sana kijana wetu.Fahari ya Tanzania.Kazi ya Mungu haina makosa.Amen.

  • @EvarinaGodfrey
    @EvarinaGodfrey 21 день назад

    Polen sana wanafamilia na zabron singers kwa kumpoteza mpendwa wenu dah! Mungu ampe pumzko la milele

  • @user-yk3cb3gd1g
    @user-yk3cb3gd1g 21 день назад +1

    jamani 😢 mungu ampokee Marco nimehuzunishwa sana ni ghafla jamani kweli kifo ni fumbo! Raha ya milele umpe eeh bwana na mwanga wa milele umuangazie.. hakika Zabron singers umeacha pengo kubwa , tutakukumbuka katika nyimbo zao. Mungu akupe pumziko la milele

  • @carolinekiptoo
    @carolinekiptoo 20 дней назад

    Rambirambi zangu ziwafikie zabron singers but sio Mimi pekee pamoja na Kenya mzima na Tanzania kwa jumla poleni sana familia ya marco

  • @damarismichael9898
    @damarismichael9898 21 день назад

    Poleni sana Kwa msiba. Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la milele na Mwanga wa milele umwangazie.

  • @raheemasharoon2020
    @raheemasharoon2020 18 дней назад

    From kenya pia tunahisi tumepoteza tunaemboleza pamoja nanyi😢😢😢😢 pole xn kw family

  • @CarolineSandi-z3u
    @CarolineSandi-z3u 21 день назад +1

    Mungu tu naomba umlaze mtumishi wako mahali pema peponi na Faraja yako iwe kwa Familia

  • @annahpeshu2807
    @annahpeshu2807 19 дней назад

    Am from Kenya , rambirambi zangu Kwa familia ya zabron, poleni sana

  • @AdamNikodem-i6q
    @AdamNikodem-i6q 20 дней назад

    Polen sana Jani familia ya zabrin mngu awatievu nisafari yasisi sote mngu airaze roho yamarem mahari pema Amina,maana nimali yake ko hatuna budi kuskitika sana tumuombee tu

  • @user-pk6td6yz7h
    @user-pk6td6yz7h 21 день назад

    Dah😭😭,pole sana familia nzma na kund Zima la utumishi wa mungu na mungu azid kuwatia nguvu,Sisi sote ni wamungu na kwake tutarejea🙏🙏

  • @RuthWanjiku-e6o
    @RuthWanjiku-e6o 19 дней назад

    My deepest condolences. Till we meet again.tuna tumaini kwa wote walalao katika bwana.damu zikiachana ni uchungu sana mungu awajaze faraja zake.

  • @patriciamushila3233
    @patriciamushila3233 20 дней назад +1

    Poleni sana ndugu zetu watanzania, tunaomboleza pamoja

  • @kiptooweldon8347
    @kiptooweldon8347 18 дней назад

    poleni sana wangu zetu kwa hayo yaliyowapata mungu awaongoze

  • @nancygilliad2883
    @nancygilliad2883 20 дней назад +1

    Polen familia,ila ipo ng'ambo yamto ambaoo hakutakuwa nakufo tena wala kutengana tujipe moyo Yesu yu pamoja nasi

  • @MichaelKarama
    @MichaelKarama 21 день назад

    Poleni sana kwa msiba, Mungu ailaze roho ya marehemu pahali pema peponi Pia awe faraja kwetu sote.

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v 21 день назад

    Mungu nimwema nanimwaminifu kaonyesha uwaminifu wake kwa kaka yetu mwana family mwenzetu kaka tulimpenda lakin mungu amempenda zaidi inauma Sana tena 😢😢😢Sana ila tunaomba mungu awe mfariji katika kipindi hiki kingumu😢😢😢Ameen

  • @ElizabethDaniel-f3r
    @ElizabethDaniel-f3r 20 дней назад

    😭😭😭😭😭jmn bwana ametoa na bwana ametwaa Kwan tulimpenda Sana Ila mung kampenda Zaid polen sana

  • @elicesikoi3625
    @elicesikoi3625 20 дней назад

    Nimesikitika sana, ni muimbaji mzuri mmo. RIP young soul

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 21 день назад +1

    Poleni sana ndugu zake marafiki wote 🤲😭😭🙏🏽

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 21 день назад +1

    Pole sana kwa kuondokewa mpendwa wetu😭😭

  • @SunshineDaycare-zy9ex
    @SunshineDaycare-zy9ex 21 день назад

    Poleni sana jmn Kwa familia nzima..hakika nikitambo kidogo tu,tutaonana asubuhi iliyo njema, Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe 😭😭

  • @verahnyanchoka7480
    @verahnyanchoka7480 18 дней назад

    Na hii udaku wa freemason inatoka.wapi ak binadamu weeh ni mungu anajua kifo cha marco

  • @maelezokitabwire8855
    @maelezokitabwire8855 21 день назад +1

    Pole na msiba.mungu afariji jamaa yake na zabron singers.

  • @JoyceAkinyi-no9ub
    @JoyceAkinyi-no9ub 19 дней назад

    Poleni Sana waimbaji wetu,kwa kumpoteza ndugu huyu🙏

  • @keriga7465
    @keriga7465 20 дней назад +1

    Ngai nilikuwa na sema zabron choir ni Wakenya from Seventh-day Church 😮😮

  • @user-me7lg1dk4f
    @user-me7lg1dk4f 21 день назад

    Mwenyezi mungu ampe mwanga wa milele na amupunguzie adhabu ya kabuli na amape kauli thabiti siku ya ahera jina lske lihimidiwe😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @DorcasKengere
    @DorcasKengere 18 дней назад

    So so sad to hear the passing of a servant of God! May God give peace and comfort to his family and the choir members!

  • @MtemiMgasa
    @MtemiMgasa 21 день назад

    Poleni sana ndugu zangu
    Wa zabroni singer.
    Sis sote niwapitaji tu hapa duniani lakini makazi ni mbinguni..

  • @RoseHillary-w4n
    @RoseHillary-w4n 20 дней назад

    Rest in eternal peace Marco😭😭😭 raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amina🙏

  • @happygodmtui5075
    @happygodmtui5075 20 дней назад

    Poleni sana kundi la Bwana Mungu awapeni faraja katika kipindi hiki Kigumu

  • @catenjeri-pm9jn
    @catenjeri-pm9jn 16 дней назад

    Kutoka lebanon 🇱🇧pole zangu kwa familia nilipenda sana marco

  • @user-princs
    @user-princs 21 день назад

    😢😢😢😢😢😢 inauma sana sanà
    Pumzika kwa Amani mtumisihi wa MUNGU.kazi y MUNGU Hana makosa poleni sana wafiwa

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 20 дней назад

    polen sana família Mungu awatie Nguvu😭😭

  • @ChrissCalvin
    @ChrissCalvin 20 дней назад

    Kaz ya mungu aina makosa tumuonbee Dua kwa mung

  • @phoebeasiligwa9200
    @phoebeasiligwa9200 20 дней назад

    Poleni sana zabron singersna wa Tanzania Kwa jumla 😭😭😭😭,May his soul rest in peace

  • @FaithWaititu-iv1hj
    @FaithWaititu-iv1hj 20 дней назад

    My condolences to the Zabron Family,May God comfort you.We loved you Marco.Rest well

  • @florencekanini6843
    @florencekanini6843 21 день назад

    Poleni Sana .......Mungu awatie nguvu ....na kuwaponya mioyo yenu 🙏

  • @NiceCharles-vs8wn
    @NiceCharles-vs8wn 21 день назад

    Poleni Sana wanafamilia pamoja na kundi la zabron mungu ailaze roho yake maali pema peponi

  • @Rm2024-x3d
    @Rm2024-x3d 21 день назад +1

    Poleni mno jaman

  • @stanleyotieno9325
    @stanleyotieno9325 20 дней назад

    Mungu amulaze mahali pema peponi

  • @rosebaraka8406
    @rosebaraka8406 21 день назад

    Jamani Zabron Singers. Poleni sana. Inauma tumeumia wote. Asante kwa Mungu kwa ajili ya fursa aliyompa kuandika historia yake maana ndio imetugusa maisha ya jamii aliyoishi mpaka kwa sisi ambao hutukuwahi kukitana naye . RIP. General of your own calling

  • @ElizabethWebi
    @ElizabethWebi 18 дней назад

    Dah polen Sana mungu kampenda zaidi yenu

  • @sophiabundala593
    @sophiabundala593 18 дней назад

    😂 poleni sana family mungu ampumzishe Mahal pema pepon

  • @LiesseBakomera
    @LiesseBakomera 20 дней назад

    Pole sana ''wende salama 😢😢😢'' Congo tunaliya sana

  • @AgnessJohn-n6y
    @AgnessJohn-n6y 20 дней назад

    Naitwa Agnes jonh nipo kahama natoa pole kwa waimbaji ote ndugu jamaa na marafiki mungu atupe uvumilivu atupe nguvu

  • @FrankKaleb
    @FrankKaleb 21 день назад +1

    Poleni Sana mungu awape uvumilivu

  • @rachelmichaelle2856
    @rachelmichaelle2856 19 дней назад

    My sincere condolences to Zabron singers families. It's hard to comprehend the sudden death of Marco, but we give thanks to God in everything. For everything happens for good unto those who believe in our Lord Jesus Christ... Mungu awafarinji wote, especially his wife and his lovely children, they're so young, but it's well. May his beautiful soul so rest in eternal peace 🕊️ 🕊️ 🕊️ Amen...💔💔💔😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @judithnyabuti6389
    @judithnyabuti6389 20 дней назад

    Leo ndiyo yetu ya kesho hatuyajui Mungu amekubali ampumzike

  • @phoebewanjiru1955
    @phoebewanjiru1955 20 дней назад

    Polen Zabron singers and the family. May he rest in peace. Be comforted by God. From kenya

  • @BeatriceMumbua-uy3uq
    @BeatriceMumbua-uy3uq 20 дней назад

    Umevipiga vita vizuri mwendo umeumaliza pumzika Kwa amani 😭😭

  • @KarolinaJohn-yz7sh
    @KarolinaJohn-yz7sh 21 день назад

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,,Amen,

  • @user-yw7jl4tq5g
    @user-yw7jl4tq5g 20 дней назад

    Poleni sana kwa familia mungu ilaze roho yake. Mahali pema 😭😭😭😭

  • @lynnmwende7548
    @lynnmwende7548 20 дней назад

    Mungu aiweke ŕoho yake mahali pema.

  • @Mesave234
    @Mesave234 20 дней назад

    May the Lord rest his soul in eternal peace, sorry to Zabron Family for the Loss

  • @JoyceNdunguru-lg1ug
    @JoyceNdunguru-lg1ug 21 день назад

    Poleni sana Mungu awatie nguvu sana katika jina la YESU.

  • @YustoRobert-vo6pu
    @YustoRobert-vo6pu 20 дней назад

    Inauma sana Mungu awatie nguvu jaman

  • @user-by5li9wj2c
    @user-by5li9wj2c 21 день назад

    Apumzike Kwa Amani Mungu Ampumzishe Mahala Pema Kbsa Aminaaa😢

  • @HappyElia-g7x
    @HappyElia-g7x 20 дней назад

    😭😭😭😭 tunawapenda Mungu awatie nguvu

  • @MaurineChematia
    @MaurineChematia 21 день назад

    Kifo hakina huruma jamani...mungu ailaze roho yake mahali pema

  • @bishopfrederickchingwaba5337
    @bishopfrederickchingwaba5337 21 день назад

    Poleni sana. Mungu Awafariji kwa faraja take kuu.

  • @SylviaWafula-ty1bb
    @SylviaWafula-ty1bb 20 дней назад

    Makiwa kwa familia it is so pain let her soul rest in peace😢😢😢

  • @isaacpaulo9271
    @isaacpaulo9271 21 день назад

    Poleni sana msiba umegusa Kila mtu familia yote na zabronsingers jamani poleni sana.

  • @user-vh8pe4re3q
    @user-vh8pe4re3q 19 дней назад

    Daaah huzuniiii imetawala 😭😭 but Pole thanaa wapenzi ,,,,,tukutane na kaka etuu mpendwa asubuhii yeny furaha mbinguniii

  • @niyonsabauziana8805
    @niyonsabauziana8805 20 дней назад

    Poleni sana mungu awatie nguvu family yote kwa ujumla

  • @SharonJemutai-v5m
    @SharonJemutai-v5m 21 день назад

    Mungu hawezi kufariji familia jamaa na marafiki ni uchungu mno kumpoteza mwimbaji mkubwa wa wimbo za injili 😭😭😭😭Rambirambi zangu

  • @HappinessSalu-qq5vv
    @HappinessSalu-qq5vv 21 день назад

    Polen sana familia ya zabron Kwa msiba mungu atatia farijiko ndani ya mioyo yen 😢😢

  • @sophietoya4617
    @sophietoya4617 20 дней назад

    Poleni sana Mungu aiweke roho yake pahali pema peponi

  • @MaryKivava
    @MaryKivava 20 дней назад

    Aky poleni Sana let's God comfort you

  • @CynthiaIndoshi
    @CynthiaIndoshi 20 дней назад

    So painful 😢😢 May his soul rest in peace ☮️ from Kenya 😢😢

  • @user-ie3nz3ty2b
    @user-ie3nz3ty2b 21 день назад

    kila siku mungu nimwaminifu hata kama tutaumia yy nimwaninifu kwahayo.yote jna lake lihimidiwe AMAiNa

  • @alieolly4354
    @alieolly4354 20 дней назад

    My sincere condolences to the family snd the entire team . May God rest his soul in peace .😭😭

  • @BATWELYNywage-yk1vn
    @BATWELYNywage-yk1vn 20 дней назад

    Poleni sana ndg Jamaa na marafiki 2korintho 1:3-4

  • @MukamiMicheni
    @MukamiMicheni 20 дней назад

    Wah ! R.l. P inauma lakini Mungu hana makosa ,,,,, it is well

  • @elishakadulis7951
    @elishakadulis7951 21 день назад

    Poleni sana mungu awape faraja ya roho mtakatifu poreni sanaaa

  • @NuruMbongo
    @NuruMbongo 21 день назад +1

    Hatuna Cha kusema zaidi niseme mungu nipe mwisho mwema

  • @victorrotich1666
    @victorrotich1666 20 дней назад

    Pole sana kwa familia ya zabron singers for the lose of Marco , may his soul rest in peace

  • @brendaakinyi4816
    @brendaakinyi4816 20 дней назад

    May God protect and shield the family

  • @veronicawaceke813
    @veronicawaceke813 20 дней назад

    So sad 😭😭😭 RIP may God comfort n strengthen the family

  • @asuminisumbi5211
    @asuminisumbi5211 20 дней назад

    Innalillah wainnailayh rajiun 😭😭
    Apumzike salama jaman imeniuma sana