MLIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2023

Комментарии • 22

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 7 месяцев назад

    Chejoo ooooooo Asante chejoooo tuna enjoy chejoooo video zako ni noma brother

  • @emmanuelblazy1289
    @emmanuelblazy1289 Год назад

    Video zenye dakika nyingi ndio nzuri kwa sisi wanazi tunaopenda kufuatilia matukio ya mabasi tz.. KAZI nzuri machejo, tuwekee nyingi kwa nyingi wanazi tuburudike👍👍

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 7 месяцев назад

    Huyu ndiye chejoo huyu ndiye fundi machejo ooo machejooo

  • @salminlyimo7850
    @salminlyimo7850 Год назад +2

    Mlima wenye vilima vyake Tanzania 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 7 месяцев назад

    Hii njia ni finyu sana. Kwani wahusika hawaoni au

  • @dishonmagereza1114
    @dishonmagereza1114 Год назад

    Sana machejo kazi nzuuri 🔥🔥

  • @raymondjonathan173
    @raymondjonathan173 6 месяцев назад +1

    Napakumbuka kitonga tulipotumbukia na bus la binkleb Hadi bondeni Ila tulinusurika

  • @OleSindima-wt4dy
    @OleSindima-wt4dy 9 месяцев назад

    Mwendo kali sana

  • @godfreyjohn5878
    @godfreyjohn5878 Год назад

    DTR la kuparamia milima🙌🙌

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo 9 месяцев назад

    Kitonga kweli ni barabara hatari

  • @daviscissokho9471
    @daviscissokho9471 Год назад

    238 DTR sauti ya braza Michael ikiskika

  • @byadieuwizbaby-yb8db
    @byadieuwizbaby-yb8db 8 месяцев назад

    Njia iyi duhhh

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 9 месяцев назад +1

    Hiyo baraba tunaomba iwe na njia tatu yakupanda mbili tena ziwe pana na kushika iwe moja pana. Selikali kama inaerewaga somo hiyo hapo ni hatari sana mimi ni dreva wa miaka 26 sasa napita kwenye njia hiyo nihovyo kuliko maereza hasa wa gari ya manual kupandish mbaya zaid police wanaakili za ajabu inaonesha hawana fan za udreva wanakupiga fain ukiovateki mliman ivi hawa wanaakili kweli. Mlimani gali ukichenji gia gar inafer kupanda. So ukiwa sipid angarau 30 /40 inabidi unitaidi upande hivo gar isije kufeei kupanda ikiludi nyuma tu munakufa rais wa tz tunakuomba tupanulie huyo njia iwe njia 2 kupand kushuka njia 1 pana au njia 2 tena

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 7 месяцев назад

    Asante Sana chejoooo

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 8 месяцев назад

    Barabara hii kwa nini isipanuliwe na kufanya njia nne?

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 Год назад

    🔥🔥🔥

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 7 месяцев назад

    Ni ubunifu mzuri hata ambao wanausikua tu mlima kitonka wanafaidi kupitia ibunifu wako.siku nyingine tupeleke hadi mwisho wa njia tuione tz kupitia chenell yako.ukiendeleza ubunifu huu kuna siku utavunja rekodi ya kuwa na watazamaji wengi

  • @AlamanoMsola
    @AlamanoMsola 8 месяцев назад

    Inapanda hiyo

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 10 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 8 месяцев назад

    Hapo mlikuwa mnapanda au kushuka