BLACK WA USWAZI:MAMA WA RAFIKII YANGU ALIBAKWA/STORY YA MAMA/KAKA YANGU ALITEMBEA KWA MAGOTI
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Black wa uswazi ni rapper aliefanya vizuri miaka ya 2000 chini ya Adam Juma na label ya Uswazi,ni msanii ambae alifanikiwa kuwania tunzo za kimataifa za channel O na kua miongoni mwa watanzania wachahe waliofanikiwa kufika hapo.
>>>Classic 🙌🏿
Kacheza Bongo Hoodz Pichaz movie ya ALMASI YA DHAHABU, aisee katisha sana humu ndani mchizi afu alikuja kuuliwa yani dah!😌😌
Big Time sana kwa uyu jamaa. Nyimbo mbili kwenye Tunzo sio jambo dogo by then.
Kuvi hujawi kuniangusha inapokua swala la kuchimba maswali🙌🏾
Kitambo sana huyu jamaa, next time mlete jay moe famous kaka
Kabisa tuenjoy
Black,,,
Kweli hili ni chimbo la kijanja
Alafu kuna mimi Black Jesus
Jamaa habadiliki ni yule yule yan
msela hazeeki haha
Umemtoa wapi huyu ninja. Alikua mbishi sana
yupo kaka hapa hapa town