BLACK WA USWAZI:MAMA WA RAFIKII YANGU ALIBAKWA/STORY YA MAMA/KAKA YANGU ALITEMBEA KWA MAGOTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Black wa uswazi ni rapper aliefanya vizuri miaka ya 2000 chini ya Adam Juma na label ya Uswazi,ni msanii ambae alifanikiwa kuwania tunzo za kimataifa za channel O na kua miongoni mwa watanzania wachahe waliofanikiwa kufika hapo.

Комментарии • 13

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472 Год назад +1

    >>>Classic 🙌🏿

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Год назад +1

    Kacheza Bongo Hoodz Pichaz movie ya ALMASI YA DHAHABU, aisee katisha sana humu ndani mchizi afu alikuja kuuliwa yani dah!😌😌

  • @mwandustar
    @mwandustar Год назад +1

    Big Time sana kwa uyu jamaa. Nyimbo mbili kwenye Tunzo sio jambo dogo by then.

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Год назад +1

    Kuvi hujawi kuniangusha inapokua swala la kuchimba maswali🙌🏾

  • @classicmido88
    @classicmido88 Год назад +2

    Kitambo sana huyu jamaa, next time mlete jay moe famous kaka

  • @edwinwilfred8343
    @edwinwilfred8343 Год назад +1

    Black,,,

  • @giftrevocatus8040
    @giftrevocatus8040 Год назад +2

    Kweli hili ni chimbo la kijanja

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Год назад

    Alafu kuna mimi Black Jesus

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 Год назад +1

    Jamaa habadiliki ni yule yule yan

  • @diti4899
    @diti4899 Год назад +1

    Umemtoa wapi huyu ninja. Alikua mbishi sana