HISTORIA YA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR DKT.HUSSEIN MWINYI|KUZALIWA,ELIMU,UONGOZI Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
    Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
    App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
    Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
    Twitter: / tbconlinetz
    Instagram: / tbconlinetz
    Facebook: / tbconlinetz

Комментарии • 11

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Месяц назад

    Dr Hussein Mwinyi Rais ni mwadilifu mwenye huruma na ni mchapa kazi. na ni Rais wa kwanza mtanashati.pongezi kwako baba ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️

  • @bakarbaabuubestforyou1165
    @bakarbaabuubestforyou1165 3 года назад +4

    Maashaallah. Mungu amzidishie elimu itakayomletea manufaa hapa duniani na pia kesho akhira inshaa Allah.

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 2 года назад +2

    Dr by Professional

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 2 года назад +4

    Udactari.. kuongoza 🤔 what's purpose

  • @abdullahihussein6836
    @abdullahihussein6836 Месяц назад

    Mbona hamjasema kazaliwa wapi ??

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc Год назад +1

    Sasa uyo mzee vipi😂

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 4 года назад +3

    ndio maana wakatuletea mtu kutoka Mkuranga ili aje kututawala kwa mkono wa chuma, halafu aikabidhishe rasmi Zanzibar iwe chini ya Mtawala Tanganyika kwa makubaliano ya kutiliana saini, hapo iwe ndio mwisho wa SMZ, mwisho wa Zanzibar.

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Год назад

      Kwani wazenji ni nani?
      Ndiyo hao hao kimahesabu wametokea bara tu hata mnyanye nini, Karume mwenyewe mmalawi, Nasoro Moyo mngoni, Hamadi Masauni kutoka Kilwa, Natepe mmatumbi akina Hamdan Muhidin ni Kilwa, Isack Sepetu mnyaturu na wengine wengi tu.
      Mix ya muomani na wahindi waliokuja kujenga reli enzi za itawala wa British, ndio maana Zanzibar haina makabila rasmi.
      Utasikia mdonge, mtumbatu, mmakunduchi n.k.

    • @khamisjuma2947
      @khamisjuma2947 6 месяцев назад

      Huyu mtu safi sana kuliko nyie watu wa unguja hamna ila ujinga na choyo akitoka huyu tunaleta john kutoka bara kabisa

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 6 месяцев назад

      @@khamisjuma2947
      Zanzibar ni ya Wazanzibari

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 года назад

    MuHiMu ni UonGoZi wA BuSaLA .
    UonGoZi wA kusimAmiA haKi Na usAwA biLa yA chuKi Na uoNeVu.
    NA KuteKeLeZa MaJukuMu NA AHaDi .