#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Michuano ya club bingwa Barani Afriaka
===========
⚫ TEMBELEA BLOG YETU: sknewsznz.blog...
⚫ SUBSCRIBE HAPA: shorturl.at/uPTU1
⚫ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫ WASILIANA NA SK NEWS ( +255 715 401610), ( +255 773 401610)
⚫ Email: sknews.info@gmail.com
⚫ OUR PLAYLISTS:
⚫ HABARI MPYA: shorturl.at/dkqGQ
⚫ MAHUSIANO: shorturl.at/bxM47
⚫ SIMULIZI: shorturl.at/oxMW4
Huyu kocha mshamba tu saido hana msaada wowote kamganda kama mumewe
JAMANI JAMANI,tunaomba viongozi wetu wa SSC,tutafutieni mshambuliaji ufungaji namba 9 mwenye uchu wa golini. Yaani akipata mpira akiwa amefumba macho ajue hesabu kuwa goli liko pale. Mchezo wa mpira ni magoli sio show!!! Tunataka magoli.
Saido punguza ubinafsi
Fukuza akina saido na kocha wake pumbavu zao
Mayele anakuja ila chama atatukumbia niko pale😢
Shida wanaahidi alafu wanachukua wanae mjua wao
Kapange kikosi ww ambae ni mkewe
Hatumtaki Saidi tena anaiangusha simba
Watangazaji Yanga watupu.. eti Asec akipiga fyongo ati wanasikitika.. BAHATI MBAYA! ndio maana nchi inadumaa.. kupenda vya wenzetu!
😢timuyeyethamani
Kubwa
Barani
Afrika
Timu
Timu