Kaka #MATUTU, hongera sana kwa kazi nzuri, ila nilikua na ombi moja mngeboresha kidogo ktk upande wa muonekano wa video, maana kuna vipande vingine mwanga umekua hafifu so naimani wewe na timu yako mtalifanyia kazi hili,, NB Mimi ni shabiki yako na nawafatilia sana cz mnatoa kazi nzuri na zenye ujumbe,,🤜💥🤛🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌺🌺🌺🌺
Nawafatilia nikiwa Burundi tunaomba muendelezo wa hii please Kuna mambo tunatakiwa kuja kujua mwisho wa mme wa zuhra na shemeji yake kumkataa na je itakuwaje na yule rafiki yake walio soma wote shule na hakumpa msaada
Haaa hii noma sana yani zuhura jamaa anahangaika kwa ajili yako halafu unakuja kumsaliti aki I say apo noma sana!!!!😢😢😢😢
🙏❤️
Daaaah yan hii movie imenikumbusha mbali sana aisee maana haya maisha nmeyapitia aise yan daaaah sio poua
🙏😭❤️❤️
Ndo maisha utafanyaje😢😢
@@DirectorMatutu🎉🎉
Natmani kufanya kazi na ninyi sijui kama naweza kupata nafasi kwenye kikundi chenu.
0692499936 WhatsApp
Kweli Inauma san
😭😭
Daah boss weninyabumbu kinyama 😂😂😂kofi lamoto asubuhi😂😂
🙏❤️
Nataka nafasi kwa kikundi chenyu sijui ka iko
0692499936
Mke wa boss anaonekana anaroho nzuri ❤❤
@@RobertDotto-e2o ✅✅
Mhhhh www ongpaaa mke wa bosss
🙏✅
hii inayo muendelezo au mana naona Kam ijaisha
ITAENDELEA
Wanajitahid kuigiza tuwape maua yao
✊
Duuu hii muvi ni nzuri sana na inanikumbusha mbalii sana
🙏✅✅❤️
Kivipi???
Nashukuru kwa kaz nzur
🙏❤️
Haijaisha , hepu tuletee mwendelezo
🙏🙏
Matutu wakimbize kaka kazi nzuri
🙏✅✅
Kubwa kuliko
Mke wa boss anakomwe kama langu vile
😀🙌
Pole matutu Ayo mapito tu
Asante 😭
Boss anazingua sema yupo mke wake atakuliwaza piga moyo konde
🙏❤️
@@DirectorMatutuqey
E
Zuhura Wangu ❤❤❤ Nakusalimia dada cha Urembo ,,,
🙏❤️
Matutu uko sawa kaka
🙏❤️❤️
Napenda watu wanao nipa like koz mala mingi mie napenda kulike kila kometi
🙏❤️
Iko saw
😅😅😅😅😅😅❤❤❤ 3:39 @@DirectorMatutu
Badala useme filamu ni nzuri ao la eti j'amène like huo ni ujinga sa mue n'a akili choga wewe zoba liboma nayo nipo kongo
Ninzuri sana
Mapenzi yanauma jamani polee matutu😢😢😢
😭😭😭🙏
Kaka #MATUTU, hongera sana kwa kazi nzuri, ila nilikua na ombi moja mngeboresha kidogo ktk upande wa muonekano wa video, maana kuna vipande vingine mwanga umekua hafifu so naimani wewe na timu yako mtalifanyia kazi hili,, NB Mimi ni shabiki yako na nawafatilia sana cz mnatoa kazi nzuri na zenye ujumbe,,🤜💥🤛🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌺🌺🌺🌺
AHSANTE SANA, 🙏❤️❤️ NI CHANGAMOTO YA CAMERA HIVYO HUMU TULITUMIA CAMERA ZAIDI YA MBILI TOFAUTI ... 🙏🙏
@@DirectorMatutu shukran sana, MWENYEZI MUNGU Akusimamie wewe na timu yako ili tuendelee kupata vitu bora 🤜💥🤛
@@officialkingj_tz AMIIN 🙏
💪
@@DirectorMatutuhiyo camera nyingine achaneni nayo ina mwanga mbovu sana kaka,, kazi zenu nzuri sana tatueni Hilo tatizo
Brother matutu naomba nijiunge na kikundi chenu cha sanaa❤
0692499936 WhatsApp Only
Kazi nzuri 🎉ongezen juhudi
🙏❤️
Wana wake wabaya
🙏❤️
Jamani hiyo movie imenifusa sana
🙏❤️✅
Dah inauma sana
✅🙏❤️
Mbn move mnatoa uqality mwanga umefifia
MBELE ITAKAA SAWA, POLENI KWA CHANGAMOTO HIYO 🙏❤️❤️
@@DirectorMatutu okay sawaaa
Hakika kaka una content nzuri sana hongera sana
🙏❤️
Kaka umesema hii inamwendelezo ? na kama inamwendelezo lini itatoka maana nimevutiwa nayo sana kiukwel
Waaa mafunzo haya
🙏❤️
Boss ndiye angekuwa mfanyakazi,.,
Cast ya ya mfanyakazi na boss aijanoga.
🙏✍️❤️
😂😂😂
Watoto wadogo wachawi
@@idrissahathumani5136 🙏❤️
Kazi nzuri sana kaka matutu🎉🎉❤❤
🙏❤️
abdin weeee unamdangia Mwenzio
😭🙏❤️
Ukatili huleta utajr kwa anae kariliwa😢
Koz huleta hasira yakupambana Zaidi
🙏❤️❤️
Pole sana❤🎉
🙏❤️❤️❤️❤️
Sio Sawa kbisa marasita Kuna Leo Na kesho
🙏❤️
Tunataka muendelezo
😂😂😂😂
SAWA
Sio moyo kabisa
🙏❤️
Wengine hawafai kuwa boss hata kimwonekano
🙏❤️
Ni kweli kabisa
😢😢kazi nzuri sana ❤❤❤
🙏❤️
Mbona haijaisha
🙏❤️
Wanadamu siwatu wazuri
🙏❤️
Matutu uwe unaangalia watu wa kuwaweka kweny uhusika huyo kaka hapendezei kweny uboss kabs
😀😀🙌🙌🙏❤️
Kwel kbx huyo kaka hafanan kbx yaan ukiangalia utafikir matutu ndy boss huyo boss ndy kijakaz
@@SuzanyJohn umeona eeee angalie na watu wakuweka🤣🤣🤣
Hahahaha hiyo mzula ya mwakatobe 😂😂😂 mazima
🙏❤️😀
kijakaz fanya kaz saf
🙏❤️
Kazi Nzuri sana kaka Matutu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
🙏♥️
Boss unabemneleza Kofi ulio mpiga Mwanamme Mwnzio Asubh Ndio mke Wako ana teseka nalo
😃🙏❤️
Nawapenda thanaaa❤❤❤❤
🙏❤️
Umejuaje😢😢
@@RobertDotto-e2o 🤦🤦 POLE SANA
Maboss wengine nawa days,ukiwa mtu wa hasira basi itaishia getini Mana hawana utu kabsaa pole bro nmuda tu nawe utakuwa na zako pesa na mali😢😢😢😢
🙏😭
Bos mkali khaaa we fanya mambo tu uyomkewe umtie mimba😂😂😂 alafu matutu iyokofia mbona umeifanyia ukatili mkubwa ivyo😢
😃😃🙏🙏❤️❤️❤️
Jesus help me forever
🙏🙏
Nyie mimi naona aliekuwa anafaa kuwa Boss ni huyo mkaka wakazi huyo Boss haendan kabisa na uhusika huo😂😂
🙏❤️❤️❤️😃😃😃😃
Hapa kuna elimu kwa kweli kazi nzul jaman
@@JacksondekuloEmmanuel WELCOME AGAIN 🙏❤️
Kweli inauma😢😢
😭🙏❤️
Nawafatilia nikiwa Burundi tunaomba muendelezo wa hii please Kuna mambo tunatakiwa kuja kujua mwisho wa mme wa zuhra na shemeji yake kumkataa na je itakuwaje na yule rafiki yake walio soma wote shule na hakumpa msaada
Sawa🙏❤️
Wekeni mwanga
Sawa🙏❤️
Wapili mm jamani leo
🙏❤️
😔😔😔😔😔😔😔😔masud et mbom ulisema umerd Mapenzi
🙏❤️😀
Maskini iyi move inatiya ucungu sana pole sana Matutu kwamitihani uliyo pitiya
@@RizikiZiki 🙏
Nice
🙏❤️
Kaka upo vizuli
AHSANTE SANA 🙏❤️
Eeh jmn ma22mbn humeweza jmn huko juu
AHSANTE SANA 🙏❤️✅
Kbs nikweli Kbs nakubaliana nalo
🙏❤️
Anatakiwa amsikilize kwanza mpenzi wk lkn aah aah 👋 htk kusikia kitu chochote hamezi mate ktk kuongea
🙏🙌
Wanadamu wengine ni wanyama
🙏❤️
Nawakubalisana je naweza kuungana nyietufanye kazipamoja samahan lakn naomba mhusika anijibu
0692 499936 WhatsApp Only
Bikikuw nasiku nying bil kuon movie zenu ❤❤❤
Ooh 🙏❤️
Uyu shagalla ndio angekuwa boss nauyu boss angekuwa shagalla 😂😂
🙏❤️😀😀
Tujuwane
Tujuane
Imagine uyo boss kaa mmi😂😂😂
Duh zuhura 😢😢😢kweli MUNGU akusamehe bure 😢😢
🙏❤️
good movie
🙏❤️
The way umemaliza hii move sijaelewa hata ulichonuia kutoa kama ujumbe kama umeeleweka
🙏❤️
Leo naona cjachelewa
🙏❤️
Kmk
Kmk
Hizi ndio muvie za kuangalia
WELCOME 🙏❤️
Nakubal🎉🎉🎉🎉
🙏❤️
Huyo zuhura km cjapenda uongeaji wk hapo mtu anajua km anaigiza km sentesi
🙏🙌
Nikumtiya mimba kweli
😄✅❤️
❤❤❤❤
🙏❤️✅
l love this movie
🙏❤️
Mama niko jobless so ongea na boss aniajiri niwe house boy interested please
😂🙌🙌✅✅
Kabinti kana penda kuzagamuliwa bila kuja utu na shaman ya ubinadamu.
🙏❤️
Wakwanza mm jaman
🙏❤️
Huyu sijui ndo zuhura hajui kuigiza hata kdg sijui kwanza anaongeaje
DUH! 😳
Kuna muendelezo kwani??
NDIO
co pw
🙏❤️
@@DirectorMatutu 🤪
Nmesikia saut ya kelvin khan jmniii kweny beat hilo 😮
SIO YEYE
@@DirectorMatutu aaah okh
Hivi mme2mia camera gan hy😅😅😅😅
😃😃🙌
Mbona ghafla quality imebadilika ghafla.
Emergency
part 2
🙏❤️
Nitegee part 2 lini? Maana hiyo part 1 haiko complete
VERY SOON 🙏🙏
❤
🙏❤️
❤❤❤🎉🎉
❤️❤️🙏
😅😊😊😊😊😊
🙏❤️
❤❤❤❤❤😢
🙏❤️
😂😂😂😂🎉🎉🎉😢😢😮😅😅😅😊
🙏❤️
Nmesikia saut ya kelvin khan jmniii kweny beat hilo 😮
SIO YEYE
Naona mnajifunza sio mbaya kwakuwa mnajitafuta
KUKAA KIMYA NI BORA ZAIDI 🙏❤️
❤
🙏❤️
❤❤❤🎉🎉😊
🙏🙏❤️