JAMBO NA VIJAMBO : MSHAHARA WA LAKI 3 NA 30 WAMZIMISHA CHA UROHO
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kwakweli watu ambao hamuangalii CHAUROHO Mnakosa raha duniani😂😂
Dah nimecheka peke yangu
Karibu sana baba wa watu,,Mungu akusaidie😅😅😅
Baba nakutunza kiti baba nakutunza kiti baba nakutunza kiti baba nakutunza kiti........😄😄😄😄FAntastic kazoa
Huyu boya akionaga chakula tu uwezo wa kufikiria unashuka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nmewah kusota na hyo kaz bango wamekuandikia mshahara lak3 kumbe malipo n kwa asilimia
Aseee si mchezo hii siyo kazi ni mateso
Naitwa mr kanjoa natokea kampun ya kwapalawiche🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee nimecheka htr
Huyu Jamaa kwa kula Anasality hata Ndugu yakeee 😁😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣
Anaugonjwaa .. Wakuangukaaaa !" Khaaa ainaaa hajaa ya doctor😂🤣😃😆
jins gan kitakusaidia kweny maisha yako
umetisha mjomba kazoa
Kampuni ya kwa mpalawiche foundation 😂😂😂
💖
Huyu jamaa mbele ya ubwabwa hana baya
👌👌
kazoa nakukubali sanaaaa.
Jmn unaweza na unaweza tena🤣🤣🤣
Eeeh anakitambi huyooo🤣🤣🤣
Mnaweza jamn
Wewe ndo doctor wangu unaetibu maradhi yangu 😂😂
kiswahili jamani..Sikiza naona sasa watakanitupiya miye hilo shuzi😂😂
Huyu jamaa yuko serious sio mwigizaji kwenye issue ya kula
Leo chauroho inaonekana kashiba😂😂
Maambachada wa viti professional
UMESIKIA KAMPALAWICHE Chauroho bhana MUUZA viti😂😂😂
Uyu jamaaaaa
Hyo kampun sijawai isikia toka niumbwe kchwa😂😂
Kaedit jina la kwampalang
hatariiii
Nakukubali chana chauroho
Yaani kazoa kwenye chakula hana mzaha kabisa ameondoka mpaka na sahani
Doctor wangu😂😂😂
Anaeangalia ii 2023😅😅 juzi nimeanguka nimekuf gafla
Kapata msosi daah anaongea huyo kama kama mtu hacheki si mzima kwa hawa duu
Nic
Dullah idea alibeba apa kiasi
Tatizo mnachelewa kuzirusha hizi clips mimi shabiki
Kweli ase
Wewe ndio doctar wang utaetibu maranji yang yaanjoo unipe raha aaaah,,,, hahahaahaahah
Juzi nimeanguka nimekufa
Hahahahahaaa eti ww ndio docta wangu utakae tibu maradhi yangu ya njaaaaaaaaaaaa a😂😂😂😂😂😂
Uyu ndiyo
Member cha uroho
Nawapa hadi bure hawataki 🤣
Dahh
Sio p
Maambachada🤣🤣🤣
hahahaaaa jaman huyu kaka🙂
Inbox
Mtaalam Kazoa😄😄😄😄😄
Nakutunja kitiiiii baba nakunja kitiiiiii 😂😂😂😂😂
Ss ni ambachada😁😁😁😁😁😁
Dah mpk michicha
Hiyo kampuni inaitwaje mbona siskii
😁😁
DOKTA WANGU NI YULE PALE 🤣🤣🤣
Ancoli kazoa kwny wali hana noma😂😂😂😂
Sio huitaji uñahitaji😁😁😁😁😁😁
Saf vizury
😂😂😂jaman
Wapemba au ya wapi
🤔🤔
Zege la kichina🤣🤣🤣🤣 kazoa umezingua...alafu cio kama uhitaji utaitaji tu🤔🤔🤔
eti ni matangazo tu kwenye mistimu. hahahaaa
😂 nakutunza kiti mama
Karibu chana babaa wa watu🤣🤣
😂😂😂😂😂 ila cha uroho jaman
KAZOA akili una ww😂😂😂🙌🙌🙌
#Faundecheni 🤔🤔🤔🖐🖐🖐
Jege la kichina
Dah huyu jamaa amenivunja mbavu huku
Unapewa viti unadai sahani😂😂😂😂😂
Kimeumana😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
😀😀😀😀😀
Anatish
Kampuni ya kimparawiche
Haaaaa eti akitoa akili kakakaka
Kajiungusha apewe penalty yake kazoa
Bora bando langu nimalizie huku maana kule kwengine ni.....Gwajima na shemeji yake mara sabaya mara mbowe hee nimechoka
Juchi nimeanguka nikafa nikafufuka,,hahaaaa
Najitoa akil wap wakat maisha magumu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣😅sarji
🔥🔥🔥🔥👊
Nakutunza kiti
Kazoa
Ahahaha mazoez msenge
Kazoa msengee ahaha
Maambachada maamai 😂😂😂😂😂😂😂
Chauroo nenda kaombewe, una mapepo 🤣🤣🤣 umezimia kisa ubwabwa na mchuzi wa viazi 😂
Cha chaich 😁😅😅😅
Nimekufa nikafufuka
Eti we ni prison timu ya Taifa 😁😁😁
M
Eti akipumua na wee wapata ugonjwa huo😀
jmn nacheka kama mazuri
Aaah uyu jamaa ni nomaa sanaaa kwa kula ni balaa
😄 🤣 😂 😆 mpalawise company
Kazoaa wewe ni noomaaa daaa unanivunja mbavu kaka daaaaa mashavu yananiuma apa kwa kucheka yani
Shika tu pahati mbaya😂😂😂😂
Nashangaaa😂😂😂😂
😂😂😂😂dahh
Kaona ubwaubwa kazimia🤣🤣🤣
Kweli chizi 🤣🤣
Hahahaaaaa
Hiyo offer sasa elfu 18 kimoja, elfu 32 kwa viwili.
Bachi elfu 14 viwili
Bachi elfu 6 vyote viwili
Bachi elfu 2
Kauza viti kwa wali... Kafanya butter trade (biashara ya kubadilishana)
@@Fgldesigns Dah nmecheka sanaaa😂😂😂😂😂
Sio huitaj utaitaji tu😂😂
Hahaha wangap tanga
A a aaaaaah aaaaah aaaaah kazoaaaaa kimeumana
Sisi ni maambachada
Hahahaha 😁
Achikilimu😂