JAMBO NA VIJAMBO : CHA UROHO ASALITI NDOA KWA MAPOCHOPOCHO
HTML-код
- Опубликовано: 16 июл 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Kama jamaa anakukosha anavoimbaga nipe like 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Yani talatiiiibu uyu mwamba ana lishika soko la comedy wengisana amesha tuteka mimi binafsi namkubali san mwamba pika kazi mwanangu una baya
Yupo sawa kabisa
Dah jamaaa anakula tuuuu
Kiukwel jamaa anaweza ...yupo vizur kwenye komedi
Daaa nimekuwa wakwanza leo naomb like zenu wadau
Waooo mondi
😃😃😃
Piga kazi mzeiya
Mzee wa rollecy
Nachokupenda ww manamke kwanz una bebi fechiiiiiiii😂😂
😁😁😁
na ww umo
😂😂😂
😂😂MWANAMKE YULE WAKUNIPIKIA KAUKAU KWELI🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyuuuu jamaaaaa
Hahahaaaa
Watching from SOMALIA 🇸🇴
Huyu samaki angekuwa duniani angekuwa mke mwenzako 😂😂😂
WEWE Somalia unafanya Nini
Love 4rm kenya walahi kazoa ashanizoa ? ✅ 🇰🇪 🇰🇪
Kazoa akili zako unazijua mwenyewe😆😁😁😁😁😂😂😂😂😂
Si uongo 😂😂😂
Anajua kinomaaa
Cha uroho boy
Na wenzake ih TEAM
Ipo moto sana sana
angekuwa duniani angekuwa mke mwenzanko
😁😁😁 Aliyesikia mwalimu Bibi gonga like hapa
Umeacha bamia na uduvi tupate pumu we unajisosomola 😂
Hahaha yaani katika wote Hawa nampenda sana kazoa😂😂
Cha uroho u kill me🤣🤣🤣🤣
Jamaa namkubali sanaaa...
Nani huwa anaanza na Cha Uroho kwanza Kama Mimi 😀😀😀
Me mambo ya kizungu kina vandame hatutaki
Anaemkubali kazoa like hap
Kazoa tumia fursa fungua restaurant.
Alafu kwel atauza sna
Bonge la idea
wallah chauroho ukiect ivyo unaniumiza mbavu, nikikuona tu naanza kuchekaaa mbavu zangu
Huyooo huwa anashiba akiwa ana shoot 😂😂😂 hata sio lazima aende amekula shoot coz kuna food ameekewa😂😂
😃😃😃😃😃
😀😀😂😂😂
Samaki mbona kalegea, alikuwa oya oya Baarini😂
🤣🤣🤣🤣Kwakwel cha uroho kaz ipo 😂😂😂😂 tonge kama meatboll😂😂😂😂😂Toto jinga eti nguva 😂😂😂
Kma unayajua mambo ya kizungu ni kina Van dame kama mimi gonga like😂😂
Mama mdogo na ngufa noma yaani
Ngoja niongeze nyama
Kazoa:Haa bwana chiteki 🤣🤣
Mwalimu Bibi.😂😂😂
😂😂😂😂😂
Uyo ndiyo mjomba kazoa uyoo
Nakukubari sana aisee
Samaki huyu laini kweli "HUKO BAHARINI INAONEKANA ALIKUWA OYAOYA😀😀😀😀😀😂😂🙌🙌🙌
Daaah cha urohoo namkubalii sanaa linajua sanaaa 😂😂😂😂
Eti huyu changu alikuwa oya oya baharini hahahaha
😂😂 Hawa Jamaa wanatufurahisha Sana
Cha uroho ni noma
Yani me napenda avyoimba tu yani asipoimba sijisikii raha😘😘😘😘😘
Nakubalii cha uroho
jamani KAZOA ivi unajuwa kama nakupnda yni unanitoa stress zote😂😂😂😂
Naomba like zenu
Jitu zima hilo ukaliparamie,, umekua mkokoteni unabeba tu🤣🤣🤣🤣 eti mwalimu bibi
Kazoa baby face hapana labda baby voice,, ila huo msosi nishida😋😋😋
Cha uroh0 ,hili jamaa linaweza kuvunja mbavu hivi hiv ukifanya masihara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uduvi na bamia tupate pumu😂😂
Nimecheka
Profesa kazoa huyo samaki umembeba😂😂😂😂😂😁😁🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂 cha uroho umenishinda tabia
🤣🤣
kujenga na kula umeona bora kujenga🤣🤣🤣🤣
Mpo vizuri jaman
Huyu jamaa anafaidi sana😂😂😂😋😋😋
Mwalimu Bibi 🤣🤣 asee kazola
🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa anawapunja sana wenzie duuuh,,,msosi wa ukweliiiiii
mzee hakuna msosi feki
Yan apo adi matonge makubwa ni real iyo
miksa moja viazi nazi
Hhhhh. .
Dah. . kazoa hatari ila good bro kazi njema
Uyu jamaa anajua Sana💯
Ila cha uroho😂😂😂Mungu akupe maisha marefu kaka
Mwalim bibi😂😂 mwalimu mkuu😂
Wewe jamaa balaa kwa kula kha!
Cha uroho kaachaa uduvii na bamia watu wapatee pumuu 🤣🤣🤣🤣
Mwalimu bibi mwalimu mkuu dah jamaa 😂😂
Mwalim bb mwalm mkuu🤣🤣🤣🤣
Walahi munanitoa stress munifurahishaa
Nipate mixcha moja inaichwa viaji nachii😂😂😂😂😂😂
Duh mbavu zangu weh 7:18 hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 7:38
Nilicho chaau china😂😂
Chauroho huwa hauwalibu
Hatariii
Huyo Dada anajua kupika
Bamia na uduvi sie tupate pumuu🙆🏿♀😂😂
😄😄😄😄😄
Hivi kachoa ana familia ukweli.😀
anayo na mzee mzuri tuu
Hiz scene za jamaa ni noma
Nmependa sana mnafurahisha na enjoy nawaombea mzidi kufanya zaid
Wa 35 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ubwabwa unanidaticha mh mh mhmhmh🤣🤣
Eti mwalimu mkuu bibi
Hiiii jamani viachi huyu jamaa fundi Sana
Mwalimu bibi mwalimu mkuu
Huyu jamaa namkubali chaana
Samaki alikua hoyahoya baharini hahahahahah.... Manina jamaa wanachekesha kinoma
Mbavu jamani mbavu eeeeeee😅😂😂😂😂😂
Mm mwenyewe siwezi kula mikate usiku
Chunnaa
Da!! Huyu mwamba anakula Mimi nakufanjaa!!! Acha nimeze mate!!!!!
Hadi umenepa
"Nipe mkono nipate chuna" ehhehehheheheheeh
😂😂😂😂huyu bwana kwenye wali akili zinamrukaa
Hahahaaa,eti dada wa watu nampa buku tu nakuta misamaki
Kipeuo na kipeuo🤪😜
Hahahaaaa yan hilo jina la kipeuo sijalisikia miaka mingi sanaaa
Bwana 😂😂😂😂
Huyu chamaki gan? Changu bac huyuu alikua oya oya baharin 🤣🤣🤣
Viaji naji
Hahahaha chauroho ni nomaaa
""""Bwanaaahhh"""😅😅😅😅
FOR SURE MBELEMENDE ANANIFURAHISHAGA SANA KWENYE UHUSIKA WA UTOTO. HIKI KIKUNDI WANAIWEZA COMEDY ASEE
Boya anafaid huyu kwenye hii segmt😀😀
Samaki alikua shoga 😂😂
Baby fechii😄
umemfundichaa nn nimeona kipeuo umempa😁😂😅
Hahahaha......wewe Bibi wewe ....🤣🤣🤣🤣 Wewe dada chio chaizi yao
Ila kazoa asee we too much🤣🤣🤣
Dagaa kamba unachanganya na mchicha😂😂😂😂😂😂😂
King'wachu.
Huyu jaamaa hata usipo mlipa sawa anakula sana
Mumewahi
Eeee viazi aahh bwaaana.....😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Chipendiiii jamaniiiii