💪 ni Mmoja wa waimbaji anaefariji wataftaji ,,waliotoka makwao kwenda kutafta Mali sehem tofauti tofauti,,,,hongera unaweza kisima ,,,unakonga mioyo ya mashabiki wako pia 👏
Bro hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipitia mateso na manyanyaso kutoka kwa ndugu zangu wa damu ilifika kipindi nilikuwa nalia kwa kupitia changamoto ngumu za maisha,hakika nyimbo zako bro napenda kusikiliza zinanitia moyo tupo pamoja 👑👑🇹🇿🇹🇿 kisima majabala❤❤
Hongera sana kisima majabala hakika wewe ni msanii wa kuigwa na wengine kwa kazi zako mwenyezi mungu akupe maisha marefu usonge mbele zaidi ya hapo ulipo
Ifikie mahala bro MIGERA UWAPUMZISHE SASA we ndo director fundiii majabala usimhame mwamba ni creator mzr sana nice location and fantastic picture congratulations more to him
apaa kwa sisi wapambanaji kisima ni funzo sanaa, huyu Mwamba kaanza kuhaso long time sanaaa, lakin kaja kutoboaa hivi karibuni, kikubwa kutokataa tamaa kwa unachofanya🌎🌎🌎🌎🌎💯
Niko uingereza mimi ni msukuma wa mkula dah nafatilia sana nyimbo zako napenda sana nyimbo zako yaani hadi naziwekaga huku wanzungu wanaanza kucheza wanakukubali sana one love my best friend ❤
Kisima unajua na utaendelea kujua sana kaka ila video Director kazingua pakubwa haijawa quality kama video zingine ,,, msalimie mze kasuka ❤🎉Tunawapenda wote
Japokua sielewi kisukuma ila kwa nyimbo huwa nakukbali.. Keep it up bro.!
Mwambaaaaa🎉🎉🎉❤❤ Huu wimbo ni bora sana kwangu binafsi nauelewa sana basi tu Kisima Majabala Barikiwa ndugu.🙏🙏
💪 ni Mmoja wa waimbaji anaefariji wataftaji ,,waliotoka makwao kwenda kutafta Mali sehem tofauti tofauti,,,,hongera unaweza kisima ,,,unakonga mioyo ya mashabiki wako pia 👏
Hakuna msanii wanyimbo za asili ninae mkubali kama wewe kisima ongeza ngomatu bro nakukubali saaaana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Utabaki kuwa juuzaidi kaka mwenyenacho uongezewa nakubali kaka angu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana bro nyimbo nzuri sana 👑👑🇹🇿🇹🇿
Bro hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipitia mateso na manyanyaso kutoka kwa ndugu zangu wa damu ilifika kipindi nilikuwa nalia kwa kupitia changamoto ngumu za maisha,hakika nyimbo zako bro napenda kusikiliza zinanitia moyo tupo pamoja 👑👑🇹🇿🇹🇿 kisima majabala❤❤
Hongera sana kisima majabala hakika wewe ni msanii wa kuigwa na wengine kwa kazi zako mwenyezi mungu akupe maisha marefu usonge mbele zaidi ya hapo ulipo
Hakika video ni Kali sanaaaa,, hongera sanaaa
kisima, video hii umejitahidi. hongera sana kaka
Kali sana kisima❤
Moja ya msanii anaeongea nondo za maana kwa nyimbo zake ni huyu mwamba
Hongera sana bro
Congulation for you 🎉🎉goodsong❤❤❤❤❤
Hongera sana brooo umeupiga mwingi sana
Mungu akutangulie kwenye kazi zako ogukaya
Jamaa ulipoteaa Sasa naona kumekucha, mwagika ❤🎉🎉 tulikumis sana
kazi safi home home boy ,,,,umetishaaa
Kisima you are greater singer. Bonge la nyimbo hongera kaka
video nzri sana na ujumbe pia safi sana lakn bado kuna wacheza show ziwaoni aise
Bro ngoma kali sana kaka angu na nimapenda sana nyimbo zako kaka angu
❤❤❤legend one in sukuma traditional songs pa1 sana bro
Mwanangu kisima hii ngoma umeua nimekukubli aseh 🎉
Nakuelewa mnoo❤❤❤❤
Hongera nyingi bro
Ifikie mahala bro MIGERA UWAPUMZISHE SASA we ndo director fundiii majabala usimhame mwamba ni creator mzr sana nice location and fantastic picture congratulations more to him
❤❤❤ Haya ngoma ten iyo
Uhakikaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉 bro
MNANGE TABORA
Hongera Sana kaka mungu akuzidishie baraka
Wa kwanza kisima like zangu Sasa dj big time manzese
apaa kwa sisi wapambanaji kisima ni funzo sanaa, huyu Mwamba kaanza kuhaso long time sanaaa, lakin kaja kutoboaa hivi karibuni, kikubwa kutokataa tamaa kwa unachofanya🌎🌎🌎🌎🌎💯
Piga kazi Huna mpinzani labda Majungu ,💪💪👏👏🤝
Hongera sana kaka, nyimbo inatufariji watafutaji 🙌🙌🙌 keep pushing bro
Kazi nzuri sana ❤
bigup brooo uko 🔥🔥 saana 🎉🎉🎉🎉 yakooo❤❤❤
@Kisima nyanda majabhala Toa na bhazunije video kaka naipenda sana 💯💯💯💯💯💯💯
Tuko pamoja na wewe Tu mpaka waseme ww ndo King 👑 wao🎤🎤
Hakika kaka angu kwahuu wimbo umenipa nguvu acha nijitaidi naupenda sana muziki
Naitwa bhuyenze Mimi kwako nikama mudogo wako napenda sana kuimba ila kitu kimoja sipigi hatua kaka nitumie namba Yako ya wap nikucheki kaka uwe unanipa naushauli
Nimekulewa sana bro by msanii mchanga nyanda msangwa
The MTC 🔥🔥🔥🔥🔥 uish miaka 1000 utuimbiee kijana wa tungo tata
Hakika Maisha ni Kitendawili huwezi jua ya Kesho yako kupitia kazi unayoipigania.
Hongera sanaaa Brooo❤❤❤❤❤
Sana kaka ujawah kutuagush🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bro umetisha sana mungu akuongoze me naomba muziki wa injiri ila naipenda mashaili yako
All the best Mr kisima the product of bhudagala mwanamalonja🎉🎉
❤❤❤ majab moja kka
naisikiliza nikiwa lugomgo singida broooo big up
Umetiahaa kaka
Hiyo nyimbo iko vinzuri sana
Kazi Kali sana kaka Mimi Mafuvu Dancer Wa Saida Karoli nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
👑🇹🇿💯
Sema jamaa anajua wanaokubali tia like
Keep it up my brother ,,may God bless ue over there
Sawa ngika nakukubali sn nasubili bhazunije ❤
Kazi nzuri sana kaka, wimbo wenye ujumbe mkubwa sana 🙏 na unafunza,congratulations brother
Hapa Ulikuwa Umetulia sana katika kuuimba huu wimbo Hongera sana
Nakubari broo the best of songs
Wa KWANZA Mimi Leo 🔥🔥🔥🔥
Hongera nyimbo Yako chacha karboni usikate taaa
Nakupa mauwa 🎉yako kisima
Piga kaz bro nakubal sana BTM Africa ❤❤
Hongela sana kaka ❤❤❤❤
Niko kugoma nakukubali kisima
Kaz nzurii kaka maua ako 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri kaka
Ngw'andulu dwimane,,, unajua iduguye🎉❤🎉🎉🎉
Uhakikaaa 🎉🎉🎉🎉
Niko uingereza mimi ni msukuma wa mkula dah nafatilia sana nyimbo zako napenda sana nyimbo zako yaani hadi naziwekaga huku wanzungu wanaanza kucheza wanakukubali sana one love my best friend ❤
Hongera sana msanii wetu wanaokubeza watasubili sana.
Nilikuwa nasubiri kwa hamu kubwa🔥🔥🔥
Nice Job 👍❤🎉
Majabala ❤
Umetisha kaka, hatari sana
Hongera ❤❤❤
Nyimbo kali sana
Mapema sana shabiki yako hapa maana nili nunua frash kwaani ya nyimbo zako asirimia kubwa
*Very nice Nsumba ng'wichane!*
Iringa imetufikia ong'wise ❤❤
Video Kali sanaaa
Iko og sana mzee
Brother migera utawauwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hongera bro hakika umetoa funzo kuna watu wanakuchukia bila sababu ila hutakiwi kukata tamaa🙏🙏🙏🙏
🎉🎉🎉sjachelewa sana
Hahaha namuona anae jiita lya bhajerumani noma sana kaka upo vizuri japo kitambi kinakuja 😂
Safi sana mtalamu
Safi sana ndugu yangu MUNGU Yuko PAMOJA na wewe
Kaka kisima kazi nzur san
kazi nzuri sana
Kaka mashairi safi sana
🎉🎉🎉 Kaz ndo imeaza ss kumekucha 😢😢😢😢😢
Very nice my brother welcome at segese town
Nakubali.kaka.yangu
kazi nzur kamanda 🎉🎉
wasukuma ni wa2 wanaojitambua na wana upendo wanatumia sanaa vizuri fufikisha ujumbe kwa jamii inayojielewa
bulungwa ushetu kwapa1 tunasema hongera Sana na 2nasubiri hizo zingine.
Ngoma kali sana hii kaka
Nyimbo nzuri sana
Kisima Maua yak🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kama ni mimi Rafiki yako muhoja Hongera ngoma kari muno
Kisima unajua na utaendelea kujua sana kaka ila video Director kazingua pakubwa haijawa quality kama video zingine ,,, msalimie mze kasuka ❤🎉Tunawapenda wote
Nitajitahidi kaka
@MigeraStudio poa mtaalam
Good job
Wewe ni moto !!
Kaz nzury kaka
Hapo saw kaka🙏🙏🙏
Kaka TUPO na wewe bega kwa bega mpaka mwisho jamn chukua ❤❤😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani Manisha nifoleni kisima nizamani umeaza kak nashukulu kwaujumbe wako