Surat Al hajj 52. Ewe Nabii! Usihuzunike kwa hizi hila za makafiri. Yalimpata kama haya kila Mtume katika Mitume wetu, na kila Nabii katika Manabii wetu. Nayo ni kuwa kila wakiwasomea kitu kwa kuwaita waifuate Haki Mashetani wa kibinaadamu walio asi wakiyapinga ili waubat'ilishe Wito, na wawatie shaka watu kwa yale wanayo somewa. Makusudio yao ni kujiingiza kati baina ya Nabii na matamanio yake ya kutaka Wito wake uitikiwe. Lakini Mwenyezi Mungu huyaondoa wayatakayo. Na mwishoe Haki ndiyo inayo shinda anapo isimamisha Mwenyezi Mungu sharia yake, na akamnusuru Mtume wake. Na Yeye ndiye Mwenye kuzijua hali za watu na vitimbi vyao, Mwenye hikima katika vitendo vyake. Anaweka kila kitu pahala pake.
Hawa wana uchungu na msahafu, ime teremshwa haibadiliki,maisha milele na milele ,wao wanatowa biblical kila kukicha lakini quran iko pale pale, subhana Allah
Sheikh Shafi unafanya kazi nzuri Maasha Allah lakini usitumie lugha za kudogosha walimu wa upande wa pili (wa akina Ndacha). kwa mfano Lugha kama "hana kitu", "hana elimu" si lugha nzuri. Wewe mgalagaze kwa hoja ila walindie heshima zao. Sheikh Ahmed Deedat alikuwa bingwa wa hii mijadala lakini kamwe alikuwa hatumii lugha za kudogosha walimu wa upande wa pili
Ustdh shafii msifanye tena na huyu mdacha huyu anatafuta Kiki tu hakuna faida inayopatikanwa hapo kwa sababu ndacha ye anaona raha kushindana na si kufanya mdahalo msimkubalie tena huyu
Huyu ndacha anaegeuza maandiko unamzungumzia ?? Na anajua wakristo hawajui so anageuza na anasubir wasioelewa wampigie debe , km ungesoma uislamu hata kdg utajua kuwa Ndacha anabadili maandiko kwa kusudi , anajua kbs ukweli upi kisha anawahangaisha wasiojuwa tu 😂😂😂
Aisee Hichi ni kichwa 🙏💯💯💯💯
sheikh shafii allah akuongoze zaidi uzidi kuwaongoa watu katika upotofu na kuwaleta kwenye nuru
Ostadh shafii. Unapewa Dakika chache Sana. Hazitoshi wakuongezee Dakika tunaomba 🙏
Allah akuhifadhi shekh Shafii umefanya kazi kubwa sana.
Shekhe shafi ALLAH AKUHIFADHI INSHAALLAH KATIKA MAISHA YK
Huyu Sheikh Shafi inabidi watu tufanye mpango aje kufanya mdahalo ulaya na Marekani inshallah bila kumsahau Juma Kinyongoli
Kulingania sio kazi nyepesi allah atupe peponi waislamu wote
@@Khatib-xp6fp Amiin
From Kenya kweli shafi ni kiboko njia zake za kueleza balaa utaelewa utake usitake utamuelewa,kwa njia zake pia balaa
Mkristo Kwa muislam Hana hoja Ndacha ataborongo Noronha siku iishe Shida kubwa Sana
Nikweli shekh shafi iyo midahalo mimi niko mozambique wilaya ya mueda wengi sana wanakuja kusilim kuusu midahalo munavivifanya aaamina
Surat Al hajj
52. Ewe Nabii! Usihuzunike kwa hizi hila za makafiri. Yalimpata kama haya kila Mtume katika Mitume wetu, na kila Nabii katika Manabii wetu. Nayo ni kuwa kila wakiwasomea kitu kwa kuwaita waifuate Haki Mashetani wa kibinaadamu walio asi wakiyapinga ili waubat'ilishe Wito, na wawatie shaka watu kwa yale wanayo somewa. Makusudio yao ni kujiingiza kati baina ya Nabii na matamanio yake ya kutaka Wito wake uitikiwe. Lakini Mwenyezi Mungu huyaondoa wayatakayo. Na mwishoe Haki ndiyo inayo shinda anapo isimamisha Mwenyezi Mungu sharia yake, na akamnusuru Mtume wake. Na Yeye ndiye Mwenye kuzijua hali za watu na vitimbi vyao, Mwenye hikima katika vitendo vyake. Anaweka kila kitu pahala pake.
Jazaka Allah khaira shekh Shafii
Wallahi naapa nimefurahi sana kuwaona shehe shafii na dr sule katika mdahalo mmoja .allah awajaze kheri inshaala
😂😂😂😂ma shaa allah Sheikh shafi mungu akuzidishie elimu na akuruzuku ufahamu in sha allah
Nakubali Mzee
❤❤❤
Taki biiiiiiirrrrrr allah akujalie afya na uzima
Hawa wana uchungu na msahafu, ime teremshwa haibadiliki,maisha milele na milele ,wao wanatowa biblical kila kukicha lakini quran iko pale pale, subhana Allah
Shafi afai ndacha amna kitu Mi binafsi nishatosheka na shekhe shafi amemaliza kila kitu.
Mashaallah
Ndacha mzinguaji sana
Majini yanashilikiana kupinga😮😮😮
Mashallah Dr Sule sura yk ina nuru
Kwani ukitaka kuona nuru unafanyaje jamani??hahahaha kuna watu wanchekesha sana
Sheikh Shafi unafanya kazi nzuri Maasha Allah lakini usitumie lugha za kudogosha walimu wa upande wa pili (wa akina Ndacha). kwa mfano Lugha kama "hana kitu", "hana elimu" si lugha nzuri. Wewe mgalagaze kwa hoja ila walindie heshima zao. Sheikh Ahmed Deedat alikuwa bingwa wa hii mijadala lakini kamwe alikuwa hatumii lugha za kudogosha walimu wa upande wa pili
Swadacta ya sheikh
Kwa kweli siku tatu hazitoshi, tulitamani wahadhiri wote wapande jukwaani.
Ndacha ni mbishi ana juwa vizuri sana ukweli ulipo lakini hataki ku ukubali, lakini ipo siku ubishi uta kwisha
Sinza sehemu gan Ustaadh...tufike chap
Mm niko asia nipo sambamba
Mwalum sulechuma kwelikweli
Mnapiga. Pesa sana
Kweli kabisa sheikh shafii ina bidi afanye hii dibet times square Newyork
HUYU SHEIKH SHAFI ANAPASWA KUA MWALIMU WA KISWAHILI
Twa fwatiliya mdahali kwa umakini kupita online ila tume gunduwa elimu ya ndacha niya magazeti na lingine kikubwa awezi kuchambua vitabu vya dini
WAKRISTO jaman mbona vichwa vyao vigumuuu
Ndacha debe tupu kelele nyingi.
Huyu jamaa dk sule ana hekima na busara mno
Ustdh shafii msifanye tena na huyu mdacha huyu anatafuta Kiki tu hakuna faida inayopatikanwa hapo kwa sababu ndacha ye anaona raha kushindana na si kufanya mdahalo msimkubalie tena huyu
Hamna lolote kwa ndacha, amewagonga mara ngapi
Yaani kwakumshinda Ndacha inafaa mjiunge wengi? Nyinyi ni mbovu kabisa. Hamjitegemee? Hawa wafuasi wa marehemu Muhammad ni balaa kabisa
Sule kale kasema ukweli lkn saffi ni muongo
ruclips.net/video/cHaTOFXGamU/видео.htmlsi=srVkvNa-E_7JkSck KAMA WEWE NI WA ARUSHA FUNGUA HII LINK
Mohamed ni mtu kama wazaramo wa kariakoo tu wala sio mtume anarogwa😂😂😂
Shida Sio Kurogwa Shida Ni Kurogeka. Alaf Kurogwa Sio Dhambi Mzee
Hakuna kitu wanaweza kwa ndacha hao
Huyu ndacha anaegeuza maandiko unamzungumzia ?? Na anajua wakristo hawajui so anageuza na anasubir wasioelewa wampigie debe , km ungesoma uislamu hata kdg utajua kuwa Ndacha anabadili maandiko kwa kusudi , anajua kbs ukweli upi kisha anawahangaisha wasiojuwa tu 😂😂😂
Mtume Muhammad hana faida gani kwa watu na ulimwengu hana faida yoyote
Kwa akili zako za kikafiri au Kwa maandiko?
Yani ww uwelewi na uwezi kuelewa mpaka utaingia kabulini na ubishi utaki kuelewa
Huwezi jua faida ya mtume Muhammad s.a.w mpaka ufe shauri yako
Tatizo mavi😂😂😂😂mume zoea kulishwa mavi kanisani haelewi na hata elewa kabisa😂😂😂😂
Ngoja ufe ndo utajua ana faida au Hana faida silimu usijekufa kwenye ukafiri
Huyu dk sule ana hekima na busara mnoo