BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 9

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 54

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 3 месяца назад +2

    Divaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anaitaji msaada hapa nacheka km mazuri

  • @Rosepeter001
    @Rosepeter001 2 месяца назад +1

    4:50 Janelle kauliza swali la msingi ❤

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 3 месяца назад +3

    Mi napenda hichi kipindi cha diva ananichekesha

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 3 месяца назад +1

    Diva yan ww kila kitu sifa mara una nyota mara ww brand mara ww huwez kaa magomen uswahili yan kiufup hujielew kuna watu wanaish magomen na wana maisha mazur kuliko ww chizi

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 3 месяца назад +7

    diva hajiamini na ndoa yake anapenda kusikiliza ya watu

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 3 месяца назад +4

    Diva. Anapenda sifaa sana ,hapo hulipo umetok kazin hujaonga tangu asubihi na wigi lako ilo na joto la dar es salaam Kaz kuongea English kuonga ahaa😂😂😂😂

  • @machetebogota4218
    @machetebogota4218 3 месяца назад +5

    Yaani uyu wakiachana na mumewe hapati tena mtu wa maana atakevumilia huu ujinga wake labda awe muhuni km mastaa wengine

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 месяца назад +1

      Abdul apewe 👑

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 2 месяца назад

      Wamekutana wote wana mambo ya hovyo. Hakuna mume hapo wala mke

  • @funnyVids_001
    @funnyVids_001 3 месяца назад +3

    Mbona amuweki mom&daughter nyie mnazingua

  • @cutehappy3984
    @cutehappy3984 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂khaaaa diva

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 3 месяца назад +2

    Tunaomba ya kajala na paulah huku mnazngua

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 3 месяца назад +1

    Diva eti alfatha😂😂😂😂😂😂❤

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 3 месяца назад +1

    Diva me nakupendaga Bure,you are so real,I love that

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 месяца назад

      😂😂😂real ipi mamiwani ya jua kama j Martin unavaa ndani usiku, mawigi mpaka muda wa kulala real ipi unayoisemea shori

  • @barikikaroli6088
    @barikikaroli6088 3 месяца назад +4

    Hadi rafiki yake ameshamchoka

  • @naifathassan2607
    @naifathassan2607 3 месяца назад +1

    Plate namba ya South Africa hiyo gari

  • @StellahErick-wx5tw
    @StellahErick-wx5tw 3 месяца назад +4

    Ila diva bna akili zako bana akili za usiku chinzi fresh😂😂😂😂😂

  • @GlorySamwel-qq6wq
    @GlorySamwel-qq6wq 3 месяца назад +1

    Jannel❤

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Месяц назад

    Mara shehe Yahya kasema unawaka kama jua mara mchungaji hajaona maono mara mzungu kakumind ila wewe diva jifunze kuficha mambo yako

  • @trapqueen7885
    @trapqueen7885 3 месяца назад +2

    Kwahiyo hii huwa wanaigiza maisha yao yaliyopita?

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 3 месяца назад +1

    Kufunga usiku 😂😂😂😂

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 месяца назад

    Hivi Diva kwanini hujiamini mawani yanini usiku !😢

  • @Noor2024-l8s
    @Noor2024-l8s 3 месяца назад +1

    Ya kajala tunataka

  • @jme5822
    @jme5822 3 месяца назад

    Kisha anajina wa saman sana yani diva swahili kizungu cha kimbeya

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 месяца назад +1

    Eti politics 😂😂😂😂ambaye hajui hata Kama hospital ya muhimbili ni ya miaka mingi

  • @Daniella249
    @Daniella249 3 месяца назад

    Yani ndyo nmejua kumbe yule devis wa juakali ndyo huyu bwana wa diva nilikua najiuliza au namfananisha au bado namfananisha mwenzenu 😅

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 2 месяца назад

    Usiku miwani

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂tanga mbunge wenu mmemuona eti anamzungu 😂😂😂

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 3 месяца назад

    Huwezi ukaita mume/mke wako mshenzi mshenzi mbele za watu khaaa

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 3 месяца назад +2

    Why embarrasse your husband like that? You luck home training period

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 3 месяца назад

    Ushamba wawazungu

  • @Lisa-h1y1u
    @Lisa-h1y1u 3 месяца назад +3

    The whole 21 minutes you just talking about your husband ?? So childish 😏

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 3 месяца назад

    Hana akili huyu

  • @brendajulius2995
    @brendajulius2995 3 месяца назад

    Imebidi Leo niccoment yani diva Hilo wigi na anavyotembea ni km Bibi aga mana hata mchawi kalaba anapendezaga. Na huyu mganga ndo anamfaa amroge mpka akili zikae sawa

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 месяца назад

      Ma ant tumeshamchoka diva🇰🇪

  • @jme5822
    @jme5822 3 месяца назад

    Mtyan yan uyu napenda kubishana mwanamke awi ivi

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 месяца назад

    unakula huku unashika manywele duh manywele yenyewe uchafu tu

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 месяца назад +1

    Kama kuoa ni huku? 😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 месяца назад

      Abdul alijichanganya sana kuoa diva

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 3 месяца назад

    Mke hajafika anapopataka

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 3 месяца назад

    Is this girl okay

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 3 месяца назад

    Huyu Abdul akirudi kwa diva anamoyo

  • @funnyVids_001
    @funnyVids_001 3 месяца назад +1

    Mbona amuweki mom&daughter nyie mnazingua