Diva yan ww kila kitu sifa mara una nyota mara ww brand mara ww huwez kaa magomen uswahili yan kiufup hujielew kuna watu wanaish magomen na wana maisha mazur kuliko ww chizi
Diva. Anapenda sifaa sana ,hapo hulipo umetok kazin hujaonga tangu asubihi na wigi lako ilo na joto la dar es salaam Kaz kuongea English kuonga ahaa😂😂😂😂
Imebidi Leo niccoment yani diva Hilo wigi na anavyotembea ni km Bibi aga mana hata mchawi kalaba anapendezaga. Na huyu mganga ndo anamfaa amroge mpka akili zikae sawa
Divaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anaitaji msaada hapa nacheka km mazuri
4:50 Janelle kauliza swali la msingi ❤
Mi napenda hichi kipindi cha diva ananichekesha
Diva yan ww kila kitu sifa mara una nyota mara ww brand mara ww huwez kaa magomen uswahili yan kiufup hujielew kuna watu wanaish magomen na wana maisha mazur kuliko ww chizi
diva hajiamini na ndoa yake anapenda kusikiliza ya watu
Diva. Anapenda sifaa sana ,hapo hulipo umetok kazin hujaonga tangu asubihi na wigi lako ilo na joto la dar es salaam Kaz kuongea English kuonga ahaa😂😂😂😂
😁😁😁😁😁 nihatari kweli diva anani chekeshaga vituko vyake kweli nashindwa kumu helewa
😂😂😂😂😂😂
😂
Yaani uyu wakiachana na mumewe hapati tena mtu wa maana atakevumilia huu ujinga wake labda awe muhuni km mastaa wengine
Abdul apewe 👑
Wamekutana wote wana mambo ya hovyo. Hakuna mume hapo wala mke
Mbona amuweki mom&daughter nyie mnazingua
😂😂😂😂😂khaaaa diva
Tunaomba ya kajala na paulah huku mnazngua
Diva eti alfatha😂😂😂😂😂😂❤
Diva me nakupendaga Bure,you are so real,I love that
😂😂😂real ipi mamiwani ya jua kama j Martin unavaa ndani usiku, mawigi mpaka muda wa kulala real ipi unayoisemea shori
Hadi rafiki yake ameshamchoka
Abdul pia ameshamchoka
Plate namba ya South Africa hiyo gari
Ila diva bna akili zako bana akili za usiku chinzi fresh😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
@@faridalihondo3322anachekesha😂
😂😂😂😂😂 yani mutani huwa nacheko nilizani ni mimwewe na honaga ilo
@@ingabireshakira9631 sanaa😂🙌
Jannel❤
Mara shehe Yahya kasema unawaka kama jua mara mchungaji hajaona maono mara mzungu kakumind ila wewe diva jifunze kuficha mambo yako
Kwahiyo hii huwa wanaigiza maisha yao yaliyopita?
Kufunga usiku 😂😂😂😂
Hivi Diva kwanini hujiamini mawani yanini usiku !😢
Ya kajala tunataka
Kisha anajina wa saman sana yani diva swahili kizungu cha kimbeya
Eti politics 😂😂😂😂ambaye hajui hata Kama hospital ya muhimbili ni ya miaka mingi
Yani ndyo nmejua kumbe yule devis wa juakali ndyo huyu bwana wa diva nilikua najiuliza au namfananisha au bado namfananisha mwenzenu 😅
Usiku miwani
😂😂😂😂😂tanga mbunge wenu mmemuona eti anamzungu 😂😂😂
😂😂😂😂
Huwezi ukaita mume/mke wako mshenzi mshenzi mbele za watu khaaa
Why embarrasse your husband like that? You luck home training period
Ushamba wawazungu
The whole 21 minutes you just talking about your husband ?? So childish 😏
Hana akili huyu
Imebidi Leo niccoment yani diva Hilo wigi na anavyotembea ni km Bibi aga mana hata mchawi kalaba anapendezaga. Na huyu mganga ndo anamfaa amroge mpka akili zikae sawa
Ma ant tumeshamchoka diva🇰🇪
Mtyan yan uyu napenda kubishana mwanamke awi ivi
unakula huku unashika manywele duh manywele yenyewe uchafu tu
Kama kuoa ni huku? 😂😂😂
Abdul alijichanganya sana kuoa diva
Mke hajafika anapopataka
Is this girl okay
Huyu Abdul akirudi kwa diva anamoyo
Mbona amuweki mom&daughter nyie mnazingua
Afadhali hiyo