UJUMBE WA KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU, KONGAMANO LA ELIMU WATUWAZIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Matumizi ya Teknolojia katika Dunia inayobadilika ni muhimu katika utekelezaji wa program za Elimu ya Watu Wazima.
    Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Oktoba 10, 2024 Mkoani Tabora katika Kongamano la Kitaaluma la Elimu ya Watu Wazima.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии •