TAARIFA COM
TAARIFA COM
  • Видео 990
  • Просмотров 806 733

Видео

WAZIRI MKENDA ATOA MAAGIZO KWA VETA TANZANIA.
Просмотров 185 часов назад
WAZIRI MKENDA ATOA MAAGIZO KWA VETA TANZANIA AKIWA KATIKA ZIARA YA VETA GEITA
WAZIRI MKUU MAJALIWA ''IFIKAPO MWISHONI MWA MWAKA HUU TANZANIA ITAKUWA NA RADA SABA''
Просмотров 1112 часа назад
@ikulu_mawasiliano @ikulu_habari @ortamisemi @owm_tz @ofisi_ya_makamu_wa_rais @maelezonews @nactvet @veta_tanzania @tcu_tanzania @heslb_tanzania @tbc_online @dailynews_tz @habariclouds @thecitizentz @theguardiantz @officialteatz @taasisiyaelimu @gpforeducation @worldbank @uniceftz @unesco @shuledirect @shulebora_programme @udsmofficial @udomtheofficial @nmaist_official @mbeya_university @atc_gr...
RC MAKONDA "LAND ROVER FESTIVER 2024 YA VUNJA REKODI YA UJERUMANI"
Просмотров 812 часа назад
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda Leo Jumamosi Oktoba 12, 2024 ametangaza kuwa Mkoa huo wa Kaskazini mwa Tanzania umefanikiwa kuvunja rekodi ya Ujerumani iliyowekwa mwaka 2018, kwa Taifa hilo kufanikiwa kuwa na Tamasha lililokutanisha magari chapa ya Land Rover ya kuwa na magari 632. Tamasha la Land Rover Festival 2024 lililoanza mapema leo Oktoba 12 na kutarajiwa kufikia tamat...
RAIS DK. MWINYI ALICHOKISEMA KONGAMANO LA KIISLAMU
Просмотров 792 часа назад
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo, tarehe 12 Oktoba 2024, kwenye Kongamano la Kwanza la Kiislamu la Kimataifa lililowakutanisha Mashehe mbalimbali kutoka mataifa 18 duniani, kwenye viwanja vya "New Amani Complex," Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi.
KIMEUMANA DOTTO MAGARI NA MWIJAKU MBELE YA VUNJA BEI MOROGORO
Просмотров 1092 часа назад
Dotto magari na mwijaku wa kutana duka la vunjabei Morogoro na kuanza kujibizana
FREMU ZA VAMIWA, WAKILI PETER MADELEKA 'WATAWAJIBISHWA, FIDIA ZAIDI YA BILIONI 2.
Просмотров 462 часа назад
Wakili Peter Madeleka ambaye ni mwanasheria wa Juanna Chifunda amesema uharibifu uliofanyika kwenye fremu za maduka Mikocheni B ni uvamizi na wahusika watawawajibisha kwa mujibu wa sheria na ikiwemo mteja wake kidai fidia isiyopungua Shilingi bilioni mbili (2,000,000,000). Wakili Madeleka ameeleza kuwa mteja wake tayari ameshatoa taarifa kwa jeshi la polisi kwa ajili ya upelelezi ili kupata wah...
MAMBO NI MOTO ARUSHA LAND ROVER FESTIVER
Просмотров 1714 часа назад
MAMBO NI MOTO ARUSHA LAND ROVER FESTIVER
HIZI HAPA NASAHA NA BUSARA ZA BABA WA TAIFA.
Просмотров 1334 часа назад
Tujikumbushe nasaha na busara za Baba wa Taifa, Rais wa kwanza wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, wakati tunaadhumisha miaka 25 tangu kifo chake Oktoba 14, 1999.
IJUE GARI AINA YA LAND ROVER YA KWA UFUPI
Просмотров 64 часа назад
Historia fupi ya gari za Land Rover
MANENO YA WAZIRI BASHE MBELE YA MAKAMU WA RAIS "NAWAFUTIA LESENI"
Просмотров 264 часа назад
WAZIRI BASHE AZITAKA KAMPUNI ZINAZODAIWA FEDHA NA WAKULIMA KUFANYA MALIPO HUSIKA KABLA / IFIKAPO TAREHE 15 OKTOBA 2024. (WILAYA YA URAMBO, MKOANI TABORA 11 OKTOBA 2024)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA 'WAFUNGUKA' LAND ROVER FESTIVAL
Просмотров 8414 часа назад
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA 'WAFUNGUKA' LAND ROVER FESTIVAL
RC MAKONDA NA LAND ROVER FESTIVAL ATOBOA 'SIRI'
Просмотров 2394 часа назад
RC MAKONDA NA LAND ROVER FESTIVAL ATOBOA 'SIRI'
NAMNA RAIS DKT SAMIA ALIVYO JIANDIKISHA, 'AFUNGUKA' HAYA.
Просмотров 3797 часов назад
*YALIYOJIRI LEO OKTOBA 11, 2024 WAKATI WA UZINDUZI WA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA* *Aliyosema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan* #Zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa lina umuhimu wake kwani viongozi tunaowachagua wanatusaidia katika suala la usalama na amani kupitia utambuzi wa wa...
JIJI LA DODOMA NA UBUNIFU HUU (DARASA TEMBEZI)
Просмотров 237 часов назад
Darasa Tembezi lenye lengo la kutoa elimu juu ya Umuhimu wa Kujiandikisha kwenye Daftari la Mkazi tarehe 11 hadi 20 Oktoba, 2024 pamoja na kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa tarehe 27 Novemba, 2024 laendelea ndani ya Jiji la Dodoma.
UJUMBE WA KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU, KONGAMANO LA ELIMU WATUWAZIMA
Просмотров 197 часов назад
UJUMBE WA KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU, KONGAMANO LA ELIMU WATUWAZIMA
OCT 11, 2024 RAIS SAMIA KUUNGANA NA WATANZANIA KUJIANDIKSHA KUPIGA KURA.
Просмотров 307 часов назад
OCT 11, 2024 RAIS SAMIA KUUNGANA NA WATANZANIA KUJIANDIKSHA KUPIGA KURA.
MTOTO JOEL ALIYEPOTEA MLIMANI, ARUSHA APATIKANA.
Просмотров 5187 часов назад
MTOTO JOEL ALIYEPOTEA MLIMANI, ARUSHA APATIKANA.
MAKUBWA P DIDI ALIAMSHA TENA UKO MAREKANI
Просмотров 1247 часов назад
MAKUBWA P DIDI ALIAMSHA TENA UKO MAREKANI
WAZIRI MASAUNI AFIKA ALIKOZALIWA MBUNGE NDUGAI. 'WAFUNGUKA'
Просмотров 19521 час назад
WAZIRI MASAUNI AFIKA ALIKOZALIWA MBUNGE NDUGAI. 'WAFUNGUKA'
DODOMA MAMBO NI 'MOTO' ULINZI WAENDELEA KUIMALISHWA.
Просмотров 6521 час назад
DODOMA MAMBO NI 'MOTO' ULINZI WAENDELEA KUIMALISHWA.
NIACHE NISOME CAMPAING 2024, DOM NI 'MOTO' WASANII WAFUNGUKA.
Просмотров 34День назад
NIACHE NISOME CAMPAING 2024, DOM NI 'MOTO' WASANII WAFUNGUKA.
RAIS DKT SAMIA AFUNGUKA KUHUSU VIONGOZI WASIO WAADILIFU.
Просмотров 7114 дней назад
RAIS DKT SAMIA AFUNGUKA KUHUSU VIONGOZI WASIO WAADILIFU.
RC SENYAMULE "UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NI BURE"
Просмотров 6514 дней назад
RC SENYAMULE "UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NI BURE"
WANNE WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI DODOMA.
Просмотров 22114 дней назад
WANNE WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI DODOMA.
DODOMA WANANCHI 'WALIA' KWA 'UCHUNGU', WATOA UJUMBE KWA VIONGOZI.
Просмотров 24914 дней назад
DODOMA WANANCHI 'WALIA' KWA 'UCHUNGU', WATOA UJUMBE KWA VIONGOZI.
RAIS SAMIA USO KWA USO NA WAZIRI NDUMBARO KWENYE MCHEZO WA BAO.
Просмотров 74114 дней назад
RAIS SAMIA USO KWA USO NA WAZIRI NDUMBARO KWENYE MCHEZO WA BAO.
RAIS SAMIA ATAJA MBINU ZA KIHALIFU ZA CHAMA CHA UPINZANI
Просмотров 25821 день назад
RAIS SAMIA ATAJA MBINU ZA KIHALIFU ZA CHAMA CHA UPINZANI
WAZIRI MASSAUNI ALICHO KISEMA KWENYE MSIBA WA ALLI MUHAMED KIBAO.
Просмотров 179Месяц назад
WAZIRI MASSAUNI ALICHO KISEMA KWENYE MSIBA WA ALLI MUHAMED KIBAO.
HUU NDIYO UJUMBE WA MWENYEKITI WA UWT KWA WANAUME. "
Просмотров 90Месяц назад
HUU NDIYO UJUMBE WA MWENYEKITI WA UWT KWA WANAUME. "

Комментарии

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk День назад

    Baba wa taifa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💕🦸

  • @LuyaWilliam
    @LuyaWilliam 2 дня назад

    Hiki kichwa mungu akibariki

  • @JoyceJulius-r6g
    @JoyceJulius-r6g 9 дней назад

    Hongereni sana kwa kazi kumbwa jeshi la polisi mnaloendelea kufanya kazi za kulinda raia na mali zake

  • @MyloAfrica
    @MyloAfrica 12 дней назад

    🔥🔥🔥

  • @FatumaRusimba-j3z
    @FatumaRusimba-j3z 13 дней назад

    Haki imetendeka

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis3884 20 дней назад

    hii ni Nzuri sana Tuenzi Michezo yetu ya Jadi

  • @asherymwesohe1574
    @asherymwesohe1574 24 дня назад

    Sikuelewi

  • @Dk.Shombo
    @Dk.Shombo Месяц назад

    long tym wow

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Месяц назад

    Vijana wazee au me sion vizur

  • @mossesgaitan3121
    @mossesgaitan3121 Месяц назад

    Bravoo bravoo, kijana itawale

  • @ImmanuelWilliam-fn2id
    @ImmanuelWilliam-fn2id Месяц назад

    Dar mpo wap

  • @NxhfiNtjfif
    @NxhfiNtjfif Месяц назад

    Mashaa Allah tabaraka Allah

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Месяц назад

    Waziri kijana mchapa kazi na mzalendo wa kweli tusopenda dhuruma tunakukubali sana. Maana umeleta mageuzi makubwa sana kwenye kilimo pamoja kuwa sisi Wana dar hatuna mashamba lkn tunafuatilia kazi zako Bashe hoyeeee

  • @IssaHirsy
    @IssaHirsy Месяц назад

    Hakuna kitu hapo

  • @phoibekoshuma1935
    @phoibekoshuma1935 Месяц назад

    Tunaishukuru Serekali na Jeshi la Police asanteni kututia moyo kwamba japo waweza kutendewa isivyostahili lakini Police wakipata taarifa ni nyuki wa shughuli utapatiwa haki yako. OMBI Waongezewe idadi ya mashitaka Kumfedhehesha binti Kumuumiza kisaikolojia Kutumia kubaka kwa makundi Kumsababishia maumivu ya kimwili. Aliyewatuma naye akamatwe KAMA WATAKUWA WAMETUMWA

  • @MosLizik-u2r
    @MosLizik-u2r Месяц назад

    Mtihani unaanza tarehe ngap

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 2 месяца назад

    Mbona kiswahili chako kibovu,,, 😢

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 2 месяца назад

    Wow❤🎉😂

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j 2 месяца назад

    Sio waislam tu hata hao wakristo pia wNakoment upuuzi msikae kungilia dini hapa

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j 2 месяца назад

    Nanyie mpaka mumkashif mtu anamiguu mibaya kwani anafanya kazi hadangi na mungu ndio kamumba wivu tu

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s 2 месяца назад

    Maashallah, Yarrabbi tujaalie nikkah, Aamin InshaAllah 🤲🤲😢😢

  • @section8ight174
    @section8ight174 2 месяца назад

    BEAUTIFUL INDEED! Only issue for me is the lack of a WATER BODY or FEATURE!!!

  • @maulididdy1071
    @maulididdy1071 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @J4UPro
    @J4UPro 2 месяца назад

    Yanga wanaupendo sana

  • @elibabaNgowi-dm3yl
    @elibabaNgowi-dm3yl 2 месяца назад

    Unasifia nn sasa

  • @AnnaAnnaenock
    @AnnaAnnaenock 2 месяца назад

    Mbarikiwe

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 2 месяца назад

    Ongea kiswahili

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 2 месяца назад

    Ndo nini unavyo ongea, huna utulivuu

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 2 месяца назад

    Karembo mashaAllah 😍

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 2 месяца назад

    Other thing's is not important for us ,neno la.mungu pekee ndio msaada wetu,hadithi nyingine hazina maana.Amen.tofauti zetu tuziondoe kabisa,congratulations Bishop shoo,regarding with your speech.

  • @LeonardShitula-kd4vx
    @LeonardShitula-kd4vx 2 месяца назад

    Naungana nanyi kushiriki na kuwafariji waliofiwa jambo la kufiwa ni zito sana kwamaana hiyo nimelipokea kwa maskitiko makubwa sana. Poleni sana!!!!

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад

    Nasimama na lissu kuhusu COVID 19 Mbowe achananae bhana

  • @songombingo108
    @songombingo108 2 месяца назад

    Msiba unapogeuka kuwa Siasa...

  • @AlbinMsechu
    @AlbinMsechu 2 месяца назад

    Hili suala la wabunge 19 nipo upande wa Lisu

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 2 месяца назад

    Mara nyingi kutembelewa na Raisi ni Ishara Ya Kifo

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 2 месяца назад

    Kwani HALIMA MDEE BADO NI MBUNGE WA CHADEMA,SI NI TIMU YA WABUNGE 19 Walifukuzwa.waamie CCM ijulikane kuliko kuwa vuguvugu au ni njaa zao zimewafanya kufanya walichokifanya?

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 2 месяца назад

    Nyinyi mmetumwa

  • @nehemiahsamsony1085
    @nehemiahsamsony1085 2 месяца назад

    Lakni ni mwizi wa nchi

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 месяца назад

    Auna miguu mizuri vaa baibui

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 месяца назад

    KAMAL JINA ZURI SANA

    • @dorcharmy
      @dorcharmy 2 месяца назад

      Mashaallah shukran

  • @JoyceJulius-r6g
    @JoyceJulius-r6g 2 месяца назад

    Nani kama mama kamanda hongera sana kamanda wangu wa mkoa wa Dodoma nakupenda sana

  • @MauBonde
    @MauBonde 2 месяца назад

    Matrafiki mpaka leo hawajabadilika haya twende..

  • @yuwenmwashitete2932
    @yuwenmwashitete2932 2 месяца назад

    Then kiswahili

  • @FabiolaTriphon
    @FabiolaTriphon 2 месяца назад

    Simba nichamagani ccm au vyamapizani maana atuelewi yanga ni ccm. Kunakitu wanasimba atukielewi

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 2 месяца назад

    Siasa na mpira ni mbaya sana/ tuache mihemko ndug zangu

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka5312 2 месяца назад

    Hii lugha yako ni swahienglish

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 месяца назад

    Kumbe kweli bhana mama kabiga

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 2 месяца назад

    Mueshimiwa upo vizuri sana Alha akujalie kilalaeli

  • @castoriarogatus3675
    @castoriarogatus3675 2 месяца назад

    Mama oyeeeeeeee

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 месяца назад

    Wape vidonge vyao mama, 5 tena