BARNABA NA ALIKIBA WAFUNGUKA BAADA YA KUTAMBULISHA WIMBO WAO MPYA WADAI NDOA YENYEWE INAFUATA
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Baada ya kuutambulisha wimbo wa 'Cheketua' msanii Barnaba na Alikiba walifanya mahojiano na kufunguka kuhusu wimbo huo pamoja na mengineyo. PLAY kutazama walichosema.
Nakubali king kiba
Upo na mwenye Classic zake
All the way from 257🇧🇮
Good king kiba,
Hawa wenye kujiheshu Kati yacwa wanamiusc like yako Kama unawaelewa
Barnaba mjanja mjanja sana
King kama king❣️
ngoma kaliii mazeeee👐👐👐
Kingkiba
Kazi nzur video itakimbiza bless up
Hii kitu nmechukua muda kuielew jmn ila hongereni saan nilijua ndoa kwer😃😃😃😃😃😃😃
Princess ameowa kweli Na akatowa na ngoma hiyo.
🤣🤣🤣🤣 nashukuru kujuwa kuwa tupo wengi tulioingizwa Cha kike mm nkajuwa kuwa Barnabas kaoa
Alikiba na barnaba eeeeee moto...barnaba umehongeya kweli team kiba uhishi milele...yeeeeee baba nakukubali sana king wetu
Mtu anaeweza kumaliza MB zangu ni king kiba pekeake
Kbs
Mko pw wanangu 😂🙏 nyimbo kali
Kingkibaaaa
Baba
Duuuuuuu haya bhana hongereni
Hakika Kitu kiko vzr
Heshima kubwa sana ameionesha Barnaba mfano bora sana
Dah ngoma Kali Sana mmetisha sana hila mngempa shavu na Bella ndio mngetua vizue
King 👑 kweli snaa sioo kidog
Alikiba king 🇨🇩
King kiba
Barnaba umeongea fact sana
Amenieshimishaa🙌🙌🙌🙌🙌 RUclips mmeuwaaa
Mm nawapenda san nyie watu 2 daah tuna lnjooy
Cheketua Good song
Mfalme wa Nini Tena jamani 😅 😅😅
safiiii,Ila kiba asiweke tena brich kichwani hivyo ndio safi
Good work wazee wa janta nimeipenda ii song
Kubari Sana hii ngoma aiseee, wame fanya kitu kikubwa, yani mme datisha, nacheketuka uku Pande za Taiwani 🇹🇼
sio mwandiko wangu 😆😂🤣
Hao watangazaji wana swali wanatamani kuhuliza ila wanaogopa Ali😌
Kumbe naww umeona 😂😂
Nan aliwatuma
I like the way you call him mfalme
Big up brothers 💪💯
King wetu
Mziki na wanamziki kaz nikali wamefanya mziki
Nimependa kuona Ali Kiba katoa ile brich kichwani. Aache ujinga bwana. Anapendeza akiwa namna hiyo. Alafu aache kupoa sana katika video ajitahidi kufanya juu chini kuchangamsha video...
Ni ushauli wa jamaa mmoja hivi.
Safii Sana kwa kuliona hilo aisee
Yes
Kiba unakubaliwa
Na Mozambik
Kiba, mie binafsi nakukubal san
Uyo Barnaba Mjaja kuogea / kwani Yeye Msanii Ni Mfalme Yani kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk MFALMA wa Tanzania Sio East African
Kipusa
Waungane waform kundi
HOO MARA SADALA KUMBE KIBA ANAJIBUST KISHA ANAJFCHA KIVULI CHA KUKATAA KIKI
Kuna ww
Mfalme wa majung
Inaonekana wew ni sadala
@@mohamedpesambili9460 sadala babko kwanza
@@benedictflorence2870 🤩🤩
@@mohamedpesambili9460 aya kalale maana sasa mzik umewashnda mmebak kutafuta kiki ili mrud juu mmechez mpira lkn bdo hamjpta kiki
@@benedictflorence2870 mpira ni fani wewe.ukiona mtot wa kiume unashndw kucheza mpira baxi jua una matatizo maana hata madem cku iz wanacheza vizur tu
Angefanya diamond ingekuwa shida kumbe wote ni kiki tu
Video ipo poa sana,, sema bloo kiba, toa Hilo pirch waachie wakuja
@@frankfabian7294inaitwaje hiyo nyimbo jina la wimbo. Tafadhali
Dah ngoma Kali Sana mmetisha sana hila mngempa shavu na Bella ndio mngetua vizue