BARNABA NA ALIKIBA WAFUNGUKA BAADA YA KUTAMBULISHA WIMBO WAO MPYA WADAI NDOA YENYEWE INAFUATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Baada ya kuutambulisha wimbo wa 'Cheketua' msanii Barnaba na Alikiba walifanya mahojiano na kufunguka kuhusu wimbo huo pamoja na mengineyo. PLAY kutazama walichosema.

Комментарии • 69

  • @muvobhekinyonga985
    @muvobhekinyonga985 3 года назад +14

    Nakubali king kiba
    Upo na mwenye Classic zake
    All the way from 257🇧🇮

  • @samweljoseph8192
    @samweljoseph8192 3 года назад +19

    Hawa wenye kujiheshu Kati yacwa wanamiusc like yako Kama unawaelewa

  • @selembaga5423
    @selembaga5423 3 года назад +5

    Barnaba mjanja mjanja sana

  • @maryamanita5999
    @maryamanita5999 3 года назад +13

    King kama king❣️

  • @callisah7628
    @callisah7628 3 года назад +11

    ngoma kaliii mazeeee👐👐👐

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle9824 3 года назад +7

    Kingkiba

  • @johechacyp4996
    @johechacyp4996 3 года назад +10

    Kazi nzur video itakimbiza bless up

  • @princessgracpius3573
    @princessgracpius3573 3 года назад +13

    Hii kitu nmechukua muda kuielew jmn ila hongereni saan nilijua ndoa kwer😃😃😃😃😃😃😃

    • @zainabubakari6055
      @zainabubakari6055 3 года назад

      Princess ameowa kweli Na akatowa na ngoma hiyo.

    • @sarapaulo4718
      @sarapaulo4718 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣 nashukuru kujuwa kuwa tupo wengi tulioingizwa Cha kike mm nkajuwa kuwa Barnabas kaoa

  • @jeanneassani7609
    @jeanneassani7609 3 года назад +1

    Alikiba na barnaba eeeeee moto...barnaba umehongeya kweli team kiba uhishi milele...yeeeeee baba nakukubali sana king wetu

  • @lovenessrobert9815
    @lovenessrobert9815 3 года назад +9

    Mtu anaeweza kumaliza MB zangu ni king kiba pekeake

  • @dullasakume7902
    @dullasakume7902 3 года назад +10

    Mko pw wanangu 😂🙏 nyimbo kali

  • @suleamber844
    @suleamber844 3 года назад +6

    Kingkibaaaa

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama435 3 года назад +6

    Duuuuuuu haya bhana hongereni

  • @naqillogistic5862
    @naqillogistic5862 3 года назад +8

    Hakika Kitu kiko vzr

  • @davidshaban4391
    @davidshaban4391 3 года назад +2

    Heshima kubwa sana ameionesha Barnaba mfano bora sana

  • @andrewerick9971
    @andrewerick9971 3 года назад +3

    Dah ngoma Kali Sana mmetisha sana hila mngempa shavu na Bella ndio mngetua vizue

  • @giftfrank121
    @giftfrank121 3 года назад +3

    King 👑 kweli snaa sioo kidog

  • @bienvenukichambaomari7881
    @bienvenukichambaomari7881 3 года назад +2

    Alikiba king 🇨🇩

  • @stevekiba7113
    @stevekiba7113 3 года назад

    King kiba

  • @zainabubakari6055
    @zainabubakari6055 3 года назад +1

    Barnaba umeongea fact sana

  • @chollejr_
    @chollejr_ 3 года назад

    Amenieshimishaa🙌🙌🙌🙌🙌 RUclips mmeuwaaa

  • @0ttiliwiliam317
    @0ttiliwiliam317 3 года назад +2

    Mm nawapenda san nyie watu 2 daah tuna lnjooy

  • @mandovapicture
    @mandovapicture 3 года назад +1

    Cheketua Good song

  • @theresiamtewele6317
    @theresiamtewele6317 3 года назад +2

    Mfalme wa Nini Tena jamani 😅 😅😅

  • @jabuselle3623
    @jabuselle3623 3 года назад

    safiiii,Ila kiba asiweke tena brich kichwani hivyo ndio safi

  • @jeremiahsamwelkibajamaaani1393
    @jeremiahsamwelkibajamaaani1393 3 года назад

    Good work wazee wa janta nimeipenda ii song

  • @prizzle_photodesign2344
    @prizzle_photodesign2344 3 года назад +1

    Kubari Sana hii ngoma aiseee, wame fanya kitu kikubwa, yani mme datisha, nacheketuka uku Pande za Taiwani 🇹🇼

  • @makiwaamuri2632
    @makiwaamuri2632 3 года назад +3

    sio mwandiko wangu 😆😂🤣

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo7570 3 года назад +1

    Hao watangazaji wana swali wanatamani kuhuliza ila wanaogopa Ali😌

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 3 года назад

      Kumbe naww umeona 😂😂

  • @musason1680
    @musason1680 3 года назад +2

    Nan aliwatuma

  • @simmypoliticschannel3002
    @simmypoliticschannel3002 3 года назад +2

    I like the way you call him mfalme

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 3 года назад +1

    Big up brothers 💪💯

  • @asantesangawe1366
    @asantesangawe1366 3 года назад

    King wetu

  • @matingohits1618
    @matingohits1618 3 года назад

    Mziki na wanamziki kaz nikali wamefanya mziki

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 года назад +9

    Nimependa kuona Ali Kiba katoa ile brich kichwani. Aache ujinga bwana. Anapendeza akiwa namna hiyo. Alafu aache kupoa sana katika video ajitahidi kufanya juu chini kuchangamsha video...
    Ni ushauli wa jamaa mmoja hivi.

  • @justdurojustduro4467
    @justdurojustduro4467 3 года назад

    Kiba unakubaliwa
    Na Mozambik

  • @assanemussa5739
    @assanemussa5739 2 года назад

    Kiba, mie binafsi nakukubal san

  • @mmbobikanumba8555
    @mmbobikanumba8555 3 года назад

    Uyo Barnaba Mjaja kuogea / kwani Yeye Msanii Ni Mfalme Yani kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk MFALMA wa Tanzania Sio East African

  • @fidelismsingi5014
    @fidelismsingi5014 3 года назад +1

    Kipusa

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 3 года назад +1

    Waungane waform kundi

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 3 года назад +2

    HOO MARA SADALA KUMBE KIBA ANAJIBUST KISHA ANAJFCHA KIVULI CHA KUKATAA KIKI

  • @benedictflorence2870
    @benedictflorence2870 3 года назад +1

    Mfalme wa majung

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 3 года назад

      Inaonekana wew ni sadala

    • @benedictflorence2870
      @benedictflorence2870 3 года назад

      @@mohamedpesambili9460 sadala babko kwanza

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 3 года назад

      @@benedictflorence2870 🤩🤩

    • @benedictflorence2870
      @benedictflorence2870 3 года назад

      @@mohamedpesambili9460 aya kalale maana sasa mzik umewashnda mmebak kutafuta kiki ili mrud juu mmechez mpira lkn bdo hamjpta kiki

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 3 года назад

      @@benedictflorence2870 mpira ni fani wewe.ukiona mtot wa kiume unashndw kucheza mpira baxi jua una matatizo maana hata madem cku iz wanacheza vizur tu

  • @elizaberthjeremiah2178
    @elizaberthjeremiah2178 3 года назад +1

    Angefanya diamond ingekuwa shida kumbe wote ni kiki tu

    • @frankfabian7294
      @frankfabian7294 3 года назад

      Video ipo poa sana,, sema bloo kiba, toa Hilo pirch waachie wakuja

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 Год назад

      ​@@frankfabian7294inaitwaje hiyo nyimbo jina la wimbo. Tafadhali

  • @andrewerick9971
    @andrewerick9971 3 года назад +1

    Dah ngoma Kali Sana mmetisha sana hila mngempa shavu na Bella ndio mngetua vizue