HIVI NDIVYO SHEIKH KISHK ALIVYOWASILI NCHINI KENYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 34

  • @TimothyKanake-gb9ip
    @TimothyKanake-gb9ip 26 дней назад +2

    4m 2020 nimekua nikimfatilia 1of the finest Muslim teacher in east ad central Africa

  • @yusha2211
    @yusha2211 26 дней назад +1

    @yusha KISHK:maashallah tabarakah wata'a'la sheikh wangu kipenzi changu nikupendae kwa ajili ya Allah
    HAFIDHAHULLAH Allah akuhifadhi akuzidishie Kila la Khair akupe utajiri wa afya umri mrefu wa kheri na barkah ❣️🇰🇪🤲🇰🇪🤲

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid9829 26 дней назад +3

    MashaaAllah thabarakallah karibu sana sheik wetu ..natamani sana ningekua huko Ila ckujaaliwa nipo dubai ..Ila naimani InshaaAllah ipo cku ntakuja kukuona sheikh wetu face to face nakuona tu kwa mitandao..Allah atupe umri na afya InshaaAllah Ameen

  • @ayshaothman3995
    @ayshaothman3995 26 дней назад +4

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh nampenda sheikh wetu kwaajili ya allah kwasababu anapotowa mawaidha anakupa naushahidi mwenyezi mungu ampe umri mrefu wenye kheir nabarka Insha allah na m/mungu atujaaliye mwisho mwema waislam wote duniani

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 25 дней назад

    Mashallah tabarakaallah karibu Kenya 🇰🇪 sheikh pole Allah akupe shifaa ya araka

  • @ggv866
    @ggv866 25 дней назад

    Mashaallah Tabaraka Allah karibuni sana Ma Sheikh wetu..Nawapenda kwa ajili ya Allah

  • @user-rf2qd7hu5s
    @user-rf2qd7hu5s 25 дней назад

    MashAllah.kwakweli na mimi ninamuelewa sana dawa zake.Allah azidi kuhifadhi na kumlinda

  • @assinaassende7561
    @assinaassende7561 26 дней назад +5

    Allah awape amupe umure mulefu

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 26 дней назад +2

    Masha ALLAH. Karibu Kenya Kenya 🇰🇪 sheikh wetu kipenz

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 25 дней назад +1

    Masha allah sheikh wangu from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 25 дней назад +1

    Karibu kenya shekh wdtu kipenzi cha watu

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 24 дня назад

    Mashaallah Mashaallah 🙏🙏🙏

  • @MachuBaby-ww5su
    @MachuBaby-ww5su 26 дней назад +1

    Mashallah Ila Sheikh Kishki amekonda kidogo Allah ampe Afya In Sha Allah Amiin

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z 26 дней назад +1

    Mashaallah tabarakallah shekh wetu karibu sna

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 26 дней назад +1

    Bismillah MashaAllah ❤

  • @mealiipafu-wg7dx
    @mealiipafu-wg7dx 26 дней назад +1

    MashaAllah karibu sana kwetu kipenzi Cha wengi

  • @user-kg6ix8en4o
    @user-kg6ix8en4o 26 дней назад

    Mashaallah

  • @omanmct135
    @omanmct135 26 дней назад +1

    Aaalllah amuhifadhi

  • @user-ou4yq5sz4y
    @user-ou4yq5sz4y 25 дней назад

    Mashallah tabarakallah

  • @BurundiaishaAkt-bf9ms
    @BurundiaishaAkt-bf9ms 26 дней назад

    MASHA ALLAH

  • @NoraKedir
    @NoraKedir 22 дня назад

    Manshaallah tabarakallah 🎉🎉

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 26 дней назад +2

    MASHAALLAH

  • @huss668
    @huss668 26 дней назад

    Ma shaa Allah

  • @SaidiJuma-nr6ww
    @SaidiJuma-nr6ww 26 дней назад

    Asalam alaykum warahmatullah,,, shaikh tunakuali inshallah siku moja ufike kinango kaunti ya kwale ufanye muhadhara

  • @SakinaSakinat-qd9rs
    @SakinaSakinat-qd9rs 26 дней назад +1

    Maa shaa Allah tabaraka Allah 🥰

  • @bibahhadith
    @bibahhadith 26 дней назад +1

    MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah ALLAH Awahifadhi nyote

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 26 дней назад

    MashaAllah

  • @FahimaJuma
    @FahimaJuma 24 дня назад

    Ahlan wasalan wa marahba ya sheikh.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 26 дней назад

    Mashaallah tabarak ❤❤❤

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 26 дней назад

    Pol sana shekhe wetu

  • @Mirajsaleh
    @Mirajsaleh 26 дней назад

    Watu wengi wanapenda kumsikiliza lakin kwanini yeye hapendi kusikiliza watu kweli hiyo ndio sifa ya iman ya uislamu naomba majibu hapo?

    • @nyatya199
      @nyatya199 26 дней назад +3

      Anapenda kusikiliza saana na hakika nimsikivu mno labda wewe humfahamu vizuri , na hicho ukisemacho huenda umesikia tu.

    • @mudrickahmed3178
      @mudrickahmed3178 22 дня назад

      Asikilizi vip Kwan ye kiziwi. ????? 😀😀😀😀😀
      Kingine ni kipi ??¿?😀😀😀😀😀