MANDONGA HUMWAMBII KITU KUHUSU WEMA SEPETU | BIG SUNDAY LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- MANDONGA HUMWAMBII KITU KUHUSU WEMA SEPETU | BIG SUNDAY LIVE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Yani Mandonga nimekuvulia kofia salute baba
Uyo jamaa comedy bondia ila mm namkubali
Mandonga mtu kazi. Nakukubali mwanangu. Big up💪😀🇹🇿.
😂😂😂😂😂mandonga mtu mbadi 😂😂😂
Jamaa mjanja saana kwa kujibu maswali 😍
Ameshajua wanataka kumchonganisha
Daa jamaa kapigwa lakini atrend yeye mitandaon
Mara ya kwanza nafuata kipindi hadi mwisho,Mandonga one love.
Dalili 20 za mtu kufungwa jela.
Daaah, raha sana asee,
Kwa kweli mandonga ni vibrater
Analeta vibe kama lote,
Nimeenjoy sana asee mwamba
Nimeanza kumkubali sasa
Moro town hiyo maneno million mdomoni
Jamani kama.yupo aliye furahishwa na majibu yamadongo kama mimi naomba like.anajibu kwajiamiini kabisaa
Uyu jamaa ana zinguwaga sana.... Shout out kwa Mandonga from🇨🇩 mze wa vituko
Mandonga ntu wa vibes kinouma 🙊🤣the man had no problem for sure. Anajipa raha katikati ya shida
Kwa kwel he deserve 👏
Yuko vizuri
Kama Kuna aliyee angaliaa zaidi ya mala kumi Kama mm like za mandongaa hapaa 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Dha jamaaa ameuwa😂😂😂
Duh
Mi sikuangalia "mala" kumi nimeangalia "MARA " moja tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi nimeicheki mara Mia 😁full mandonga
Hatareeeeeeeh
Matonga mtu kaz never disappoint great love frm kenya
Mandongaaaaaaaa kazi kaziiiiiiiiii,،🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️🌹🌹🌹
Nyiie nampenda saaana uyu Dada hajrah wa Kwa ndaro nimemuona wangapi mmemuona
Huyu mwamba yuko logical sana😂
Nimemuona
Timu mandonga hapa namkubar sana
Hii ndo BS ya kwanza kuingalia mpaka mwisho, Ahsante MANDONGA 😂😂😂😂😂👏🏾👏🏾
Ukiwa na moyo kama wa Mandonga unaweza ukajikuta umeishi miaka 300, no stress hata asipofanikisha Jambo lake yeye shangwe tu.
Najikuta namkubali ghafla
Raha kinyama
P1 mwana nmekusoma
🤣🤣🤣kweli kabisa Raha jipe mwenyewe big up bro mandonga
Unajua maisha tunapaswa kuishi kaka hivi ili kila kitu hata kama umekwama hutapata stress
Naomba Diamondi Platnumz afanye kitu kwa mandonga 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩👽👽
mandonga umenitoa stress mie nimecheka wallah 🤣
Hahahahah.. acha zake nawee bhn
Picture challenge ya leo imekuwa na vibes sanaaa. Mandonga mtu kazi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dalili 20 za mtu kufungwa jela.
Team madonga😂😂npeni like
Jamaa afurahisha sana mungu amempa kipawa
Jamaa anajuwa kujiblandi yuko vizuri anashawishi watu kumpenda
I love this guy apart from boxing he is a comedian....mandonga Mayweather mtu kazi tunakupenda Kenya nzima
🤣🤣🤣..I feel living this mam...mandonga 😀😀😀😀😀😘😘😘😘
Namkubali sana huyu jamaa anajiamin mno😀
Hi
Mandonga ni Bondia wa kipekee kdg, kwanza anajua kujieleza, sauti ya kuhamasisha na na kuteka hisia za mashabik. lakn pia hapanick anapopoteza pambano .big up sana broo
This guy is a comedian thus why he is shining!
Mandonga ni nomaaa tupo naww mwanzo mwisho
Mandonga ataendelea kuingia hela tu Kwa vibes lake
Madonga weweeeeeeeee🥰hata upigwe Mimi nakupend2 jmni unavibe Sanaa🤣🤣🤣
mandonga ngumi nyundo. Tupo pamoja toka Oman. fundisha watoto hao vikojozi
Oyaaa mandonga nimemuelewa ana vibe Moja Atareee!!😂😂😂 Ndonga mtu kazi ulali njaa😂😂😂
Sio mandonga Tu anaependa wema sepetu
Lakini wema kuna wazee wengi wanampenda sepetu
Milioni na million
Najivunia kufatilia komedi zamandoga anavutia sana😁😁😁😁
Mandonga Nakupenda sana mm shabiki wako
Jamaa lin vibe kweli kila mtu na liziki yake
Nimecheka kizembee mandongaforeveryone
The guy is so talented.....
Coko
anachekesha sana huyu mandonga yani commedi kweli
Mandonga ana vibe kama lote...jamaa kachanjwa ulimi mamaeeeeee
Uko sawa kaka asiyekubali kushindwa si mshindanl Mandonga ulipigwa ukakubali.
Ndonga mutu kazi namkubali sana ndoka
Nampendaa manddongaa hataa kamaa ulikandwa
Mandongaaaaaaaa your smart too much
Mandonga m2 kaz💪
🤜🤛mandonga umetisha Sana brother.. maanake nicheke Kwanza.. nimeangalia Mara %
MANDONGA hat wakuuwe tuko pamoja 😂😂😂😂😂
Kama Kawa
Na watamuua kweli, nyie endeleeni kumjaza upepo
😂😂😂😂😂pamoja na amekufa 😂😂😂
Ndonga kasema hata bure fresh ujue😂😂😂
Oooh my he made my day 🤣🤣🤣tupo na ww mpaka wakuue broo
mandonga forever, alafu alivyocheza balaa😂😂😂
Mandonga mtu kazi hafai😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mtu kazi dah 🔥 nampenda huyu yaani anatufundisha kujiamini ata kaamaa huna😅
One love Mandonga mtu kazi...
Madonga Kenya loves u 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mm ni fan wa Mandonga
Yaaani nime sha angalia kama Mara kumi haaaa mandonga umechangamka sana👍👍
nikweli kabisaa Mandonga mtukazi tena huna kisirani unafurahishatu kwenye ndio nifuraha kwenye hapana nifurahatu yaani nimarayakwanzaa kuona mwana ngumi kama wewe mungu akufanikishiye mamboyako
Nchi ilipoa sana Ila mandonga katuchangamsha 😂😂😂😂😂
Milango ya mandonga ishafunguka.kweli rizki mafungu saba kubigwa kwa mandonga ndio umaarufu wake.
One day yes never give up
Nampenda mandonga mpk naumwa🥰
Ili jitu nomaaaa jaman
Dunia hii haipo fair mtu kapigwa lakini ndio kawa maarufu sana safi sana
Mimi namkubali sana huyu mwamba ana shombo balaa
Mandonga ni baba levo aliechangamka 😂😂😂😂😂
Unajua Sana madonga!
hatamimi.nakupenda kwamaneno yakoo
Kiukweli mandoga ni mtu wa tofauti sana
Nani anaamini Mandonga atasababisha mchezo wa ngumi uwe mkubwa Tz??? Twende sawa kwa likes 😁😁😁
Jamaa ndo keshakuwa star ⭐️ kuliko aliyempga😂😂
Kamkubwa nakukubali sanaaaaa piga kazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mandongaaaaaaa!!!! Kaz kaz
Now I know why Mandonga vs Wanyonyi fight in Kenya was so hyped this guy is a celebrity for real
Hakuna picture challenge iliyo nikosha kama hii 🔥🔥🤣🤣🤣
Imechangamka 😆😆😆😆
Mimi team mandonga😍😍
Mandonga ntu mbad nakubali👍👍👍👍👍👍
Mandonga wee kiboko aisee nimekubali
Mandonga ni mshehereshaji na ni mtu roho safi.
Ila huy jmaaaa daaaaah anakeraaaaaaaaaaaaah
Mbavu zanguuuu duuu nmecheka Sana leo
Mandonga Yuko vizuri ni muwazi,ni mcheshi.
Madonga kiswahili kingi😂😂 lakini namkubali sana
aiseee nimekupenda pia mandonga
#mandonga noom San anaupiga mwingi ajawai kukosea
Mwambien mazoezi bb watatuangushia kweli wana asira nae mjue
Tupo nawewe adi kaoneka akuuuwe😃
Nakuelewaaaa mandongaaaaaa
Una mzuka sana unafaa kwa matangazo
Timu mandonga bado tupo imala na bondia wetu 🤣🙌🏻
😆😆😆😆😆😆.... Mandonga katisha🙌🙌
Mandongaaaaaa😂😂😂😂😂😂huyu jamaa namkubali sana
Big love mandonga from DRC Congo
Mercy boucop
Irudiweeeeeeeeeee👌👌👌😃😃😃😍😍😍😍😍😍
Mandonga mtu kaz naqbal sana
🤣🤣🤣Unaweza kuogopa maneno tu ya mdomoni🤣🤣🤣piga kazi Mandonga,tupo pamoja mpaka tone la mwisho😂😂😂
Show Kali Sana
Mandonga utspata aibu humuwezi mwakinyo hayo maneno tu
Leo ndo nmegundua huyu ni comedian
Mandonga mjinga sanaaaaaaa
Michael Tyson hatari
🙌🙌🙌
Kareem Mandonga mtu kazi👊
Mandonga mtu kazi mtu wangu
Kumb ili li Mandonga ni lichekeshaji aah
Nimecheka sana sana