CCM kwa ujumla wake hawatakiwi kuendeaha hii nchi tena na kama hamna mbadala wake wanatakiwa wavuliwe wote wa zaidi ya 50yrs waondoke tu wameIdi kupeana nafasi..
Kweli mama umesema ukweli uongozni sawa na nguo tu. Wengine ukishawateua wanajifanya wamefika wanaongea na wananchi kama wanaongea na watotowao. Mfano mkuu wa mkoa wa Dar. Alivyoongea na wafanyabiashara
Sanaaaa usemayo waandishi wa habari hawajaliwi kabisa hasa kwenye gazeti la Uhuru ndiyo kabisa hawapati mishahara zaidi ya miezi 6 wakati ni gazeti la propaganda la Ccm
Shida siyo Kinga hata ukikinga husikilizi mfano wizara ya fedha si imnapigiwa kelele ila wapo kimya jeep hapo unakingaajee ni mpka mamlaka ya uteuzi iamuwe Hilo ndo jibu
CCM kwa ujumla wake hawatakiwi kuendeaha hii nchi tena na kama hamna mbadala wake wanatakiwa wavuliwe wote wa zaidi ya 50yrs waondoke tu wameIdi kupeana nafasi..
Nyorobi Mwandishi wa Habari mzuri sanaaaa unajua kuhoji nq Mtangazaji mzuri wakuongeze mshahara na Cheo juu kwenye Mediavyako yako ya Jamii
Sanaaaa tena Waandishi hawapati mishahara wanacheleweshewa mishahara muda wa miezi kadhaa kazi kuwadharau waandishi wa Habari
Wasani ni chawa wa ccm ally kiba ndio msani wa maadili nchi hii havai heleni kusuka kutoboa kitovo mungu amubaliki
🙏🙏🙏
Yombaga Mwanawane
Nyinyi si mmeshasema Kariba ni kitabu?
Nakuelewa kaka
Nyie, msiojulikana ni kwa nini mnasubiri mpaka yaende ndivyo sivyo ndio myazungumze? Kinga ni bora zaidi
Dunia yamezungumziwa sanaaaa mitandaoni utoaji wa maoni mitandaoni sasa yamefikia mwisho
CCM KUIBA UCHAGUZI WANAIBA KWELI HUYO MAKALA NA WENGENE KUMKATA NAPE WANAONA AIBU KWAKUA NAPE KAVUJISHA SILI
Viongozi wakishiki nao kufañya
biashara haki haiwezi kufanyika?
Kweli mama umesema ukweli uongozni sawa na nguo tu. Wengine ukishawateua wanajifanya wamefika wanaongea na wananchi kama wanaongea na watotowao. Mfano mkuu wa mkoa wa Dar. Alivyoongea na wafanyabiashara
Sanaaaa usemayo waandishi wa habari hawajaliwi kabisa hasa kwenye gazeti la Uhuru ndiyo kabisa hawapati mishahara zaidi ya miezi 6 wakati ni gazeti la propaganda la Ccm
aisee kumbe mama hajakosea wapo kwa maslahi Yao wateule wake baadhi
Katuvurugia chama chetu saana.
Hapo kw bando abanwe aporwe na pasiporti asije toroka na fedha zetu angalau zijege hata zahanati
Kizuri kipi kuzuia wizi au kutafuta mali iliyopotea?
Chuki tu, Bunge lilikuwepo kushauri au kukataa. Kilio cha samaki
Kwenye bando ndio katuua kabsaaaa
Vizuri nakuunga mkono fanya uchunguzi
Kwenye familia ya kizalendo unakosea, sio kwamba kama babaake alikuwa na nafasi hko serikalini basi ni familia ya kizalendo no
Wakulima wa nchi hii ndio wamebaki wazalendo
Wazo lako Kinana naye katoka
Unajitam
Sasa mnafundisha nini watanzania,nyie sio mnatuibia bando
nape hana lolote zaidi ya kutupandishia bandol
Msomari
Shida siyo Kinga hata ukikinga husikilizi mfano wizara ya fedha si imnapigiwa kelele ila wapo kimya jeep hapo unakingaajee ni mpka mamlaka ya uteuzi iamuwe Hilo ndo jibu
What a vague off point interview! So much annoying, so much dismaying!