KIJANA MZALENDO Achukia"NAPE WAMEKIFANYA CHAMA KINUKE, KINANA AJIVUE KUHOJI WAKIITWA KWENYE KAMATI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 30

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 2 месяца назад +3

    CCM kwa ujumla wake hawatakiwi kuendeaha hii nchi tena na kama hamna mbadala wake wanatakiwa wavuliwe wote wa zaidi ya 50yrs waondoke tu wameIdi kupeana nafasi..

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Nyorobi Mwandishi wa Habari mzuri sanaaaa unajua kuhoji nq Mtangazaji mzuri wakuongeze mshahara na Cheo juu kwenye Mediavyako yako ya Jamii

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад

    Sanaaaa tena Waandishi hawapati mishahara wanacheleweshewa mishahara muda wa miezi kadhaa kazi kuwadharau waandishi wa Habari

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад +1

    Wasani ni chawa wa ccm ally kiba ndio msani wa maadili nchi hii havai heleni kusuka kutoboa kitovo mungu amubaliki

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Yombaga Mwanawane

  • @arnoldkessy5106
    @arnoldkessy5106 2 месяца назад

    Nyinyi si mmeshasema Kariba ni kitabu?

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 2 месяца назад

    Nakuelewa kaka

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 2 месяца назад +1

    Nyie, msiojulikana ni kwa nini mnasubiri mpaka yaende ndivyo sivyo ndio myazungumze? Kinga ni bora zaidi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 месяца назад

      Dunia yamezungumziwa sanaaaa mitandaoni utoaji wa maoni mitandaoni sasa yamefikia mwisho

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 2 месяца назад +1

    CCM KUIBA UCHAGUZI WANAIBA KWELI HUYO MAKALA NA WENGENE KUMKATA NAPE WANAONA AIBU KWAKUA NAPE KAVUJISHA SILI

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose 2 месяца назад

    Viongozi wakishiki nao kufañya
    biashara haki haiwezi kufanyika?

  • @tzonespices9734
    @tzonespices9734 2 месяца назад

    Kweli mama umesema ukweli uongozni sawa na nguo tu. Wengine ukishawateua wanajifanya wamefika wanaongea na wananchi kama wanaongea na watotowao. Mfano mkuu wa mkoa wa Dar. Alivyoongea na wafanyabiashara

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Sanaaaa usemayo waandishi wa habari hawajaliwi kabisa hasa kwenye gazeti la Uhuru ndiyo kabisa hawapati mishahara zaidi ya miezi 6 wakati ni gazeti la propaganda la Ccm

  • @littobinsuleiman4472
    @littobinsuleiman4472 2 месяца назад

    aisee kumbe mama hajakosea wapo kwa maslahi Yao wateule wake baadhi

  • @tzonespices9734
    @tzonespices9734 2 месяца назад +1

    Katuvurugia chama chetu saana.

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 2 месяца назад

      Hapo kw bando abanwe aporwe na pasiporti asije toroka na fedha zetu angalau zijege hata zahanati

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 месяца назад

      Kizuri kipi kuzuia wizi au kutafuta mali iliyopotea?

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 месяца назад

      Chuki tu, Bunge lilikuwepo kushauri au kukataa. Kilio cha samaki

  • @richardmuyango9157
    @richardmuyango9157 2 месяца назад

    Kwenye bando ndio katuua kabsaaaa

  • @NickTajir
    @NickTajir 2 месяца назад

    Vizuri nakuunga mkono fanya uchunguzi

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 2 месяца назад

    Kwenye familia ya kizalendo unakosea, sio kwamba kama babaake alikuwa na nafasi hko serikalini basi ni familia ya kizalendo no

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 месяца назад

      Wakulima wa nchi hii ndio wamebaki wazalendo

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 месяца назад

    Wazo lako Kinana naye katoka

  • @tumsifuweraufoo5380
    @tumsifuweraufoo5380 2 месяца назад

    Unajitam
    Sasa mnafundisha nini watanzania,nyie sio mnatuibia bando

  • @saukamshomi8736
    @saukamshomi8736 2 месяца назад

    nape hana lolote zaidi ya kutupandishia bandol

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 месяца назад

    Msomari

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 2 месяца назад

      Shida siyo Kinga hata ukikinga husikilizi mfano wizara ya fedha si imnapigiwa kelele ila wapo kimya jeep hapo unakingaajee ni mpka mamlaka ya uteuzi iamuwe Hilo ndo jibu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 месяца назад

    What a vague off point interview! So much annoying, so much dismaying!