Unyanyasaji wa kingono kwa wanaume Burundi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Andy Wilson Mberincuti ni kijana wa miaka 33 kutoka Burundi ambaye alipitia unyanyasaji wa kingono akiwa na umri wa miaka 11.
    Alikuwa akifanyiwa unyanyasaji huo wa kingono na kijana jirani yake ambaye alikuwa akimlawiti kwa muda wa miaka mitafu mfululizo hali iliyomuathiri kisaikolojia.
    Mwandishi wa BBC Cyriaque Muhawenayo amezungumza naye na kuandaa taarifa hii.
    #bbcswahili #burundi #unyanyasajikingono
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Комментарии • 2

  • @IOSARBX
    @IOSARBX 3 дня назад

    BBC News Swahili, I subscribed!

  • @ELOGERUHIMBASA
    @ELOGERUHIMBASA 2 дня назад +1

    Bona Tanzania ndo inaongoza 😂