hakika kuna raha kumtumikia Mungu amewaweka jaman kwa ajili ya kazi yake mmezeeka na kazi ya mwenye Mbingu na nchi nafurah hakika kuwaona sichoki kuwaangalia
Hakika mungu ni mwema kila wakati hapa sa ndo huwa najivunia kuwa mkatoliki kwelikweli mungu uwaongoze vyema watumishi wako uliowachagua wakutumikie sawasawa na mapenzi yako pia watuongoze vyema nasi katika njia ilio njema ya kukupendeza wewe kwa yesu ni raha tu
the song is good and the choir is also very good ... 👍🏻👍🏻👍🏻 Greetings of peace and peace in the love of the Lord Jesus Christ With our prayers for our brothers and sisters in Tanzania from the Parish of Our Lady of Cirebon City, West Java Province, Indonesia  
Tumsifu Yesu Kristu wapendwa, napenda tu kujua haya ni maandamano ya lini, na ilikuwa ni tukio gani, mbona raha sana. Daima huwa napenda sana misa kama hizi
aki mimi hufurahi sana kuona muungano kama huu. hawa maaskofu na mapadri wengi mno jmn. mtukumbuke ki maombi jmn hili janga la corona latetemesha nchi🙏🙏🙏
Yani nikiangalia haya maandamano napata hofu ya Mungu!! Wachungaji wetu msichoke kutuchunga na kutupa mafundisho ya kumjua kristo!! Mungu awatangulie
Itoshe tu kusema, " Kanisa ni moja tu, Takatifu katoliki na la mitume" fullstop.
Kabisa
@@aloycmassawe8613 🙏🙏
Maaskofu wa tz tuokoeni kwa maombi.naona muna ushirikiano mwema.God bless tz.
Umetakaswa ukonakundi chunga kondoo Ameeen
Viva my Catholic Church.. Hakika hili n kanisa LA Kristo mwenyewee
Jamn mungu awasadie wote tusiwe km mtumixhi aliyepewa taranta 1 na tajir, naye akasafiri kwenda nchi ya mbali..... Math 25:14...
Tanzanian Catholic choirs always spiritually blessing us and bringing us in a prayer mood. May God bless all humanity through your angelic voices.
I agree 👍
Umetakaswa kweli safi sana kanisa katoliki najivunia kuwa kwenye kanisa la kweli la Kristo. Bwana wajalie wachungaji wako kuchunga kondoo wako.
Mungu azidi kuwabariki wote wakatoliki wenzangu toka tz mimi mkatoliki damu Kenya
hakika kuna raha kumtumikia Mungu amewaweka jaman kwa ajili ya kazi yake mmezeeka na kazi ya mwenye Mbingu na nchi nafurah hakika kuwaona sichoki kuwaangalia
Raha sana kuwa mkatoliki jaman,,,hakika ni kanisa moja la mitume💃💃💃
Yaan raha hadi machozi yananitoka
Mungu wajalie afya njema maaskofu wetu,mapadre wetu pia masista waweze kueneza utume wao Kama inavyopendeza pichan.
Hamna kitu kitanifanya niache kumtumikia Mungu wangu,,
Kuna raha kumbwa kwenye uu utumishi, hadi machozi ya raha
Amen 🙏🙏🙏
Catholique pour la vie merci seigneur
Asante Mungu kwa zawadi hii ya kipekee
Kutumikia Mungu raha.
Hata kanisa katoleki lipigwe aje, hakuna siku itawahi simama.
God's greatness is with us
Ilipendeza, Waimbaji🎉
Vive nous les Catholic soyons benis de la facon dont nous sommes Unies only God knows!! J s8 fiere de l etres!!
🙏🙏🙏
Shalom, luar biasa kalau yang parade ini semua Imam (Pater).
Mungu awabariki na kuwalinda maaskofu wetu siku zote na kuwaimarisha ktk utume wao
Wao!!!! Mungu ni mwema kila wakati
Na kila wakati MUNGU ni mwema, Amin!!
Thanks & glory be to our Mighty Lord Jesus Christ for His church
Mungu mweema.awabariki wote nalipenda Sanaa kanisa moja takatifu Catholic la mitume
Umeonaee mm hadi nahisi utakatifu nikiwaona ivo
Jama kuna wimbo mmoja Wa kwaya ya mt donbosco tabata Ila sikumbuki unaimbwaje
Ilike Catholics choir ever smart God bless my church 🙏🙏🙏🙏🙏
Nakupenda sanA kanisa langu katoliki mungu wape nguvu mababa zetu wa kiroho
Hongera sana watumishiwa bwana kweli inapendeza sana
Merci mes frères en christ de la république unie de la tanzanie pour cette mélodie.
Mungu abaongezee nguvu yakutimiza kaziyamungu .
God bless catholic churches❤
Duuuu mapadre wengi jamani
Kanisa moja katoliki la mitume
Mungu awalinde
Tuunganene wote pamoja na iyi muhandamano y'a ma padri na maaskofu ili tushinde corona. Aleluia
Amina.... Kanisa takatifu Katoliki.. tujalie unyenyekevu Bwana
Ee Bwana tunaomba utupiganie tuzidi kukujua zaidi!
Mungu Atuonekanie Ulimwenguni
My ⛪ luv it.
Angalia mnavyopendeza lakini mkija uraiani mnakuwa mashetani
Universal and only apostolic church
Hakika mungu ni mwema kila wakati hapa sa ndo huwa najivunia kuwa mkatoliki kwelikweli mungu uwaongoze vyema watumishi wako uliowachagua wakutumikie sawasawa na mapenzi yako pia watuongoze vyema nasi katika njia ilio njema ya kukupendeza wewe kwa yesu ni raha tu
Bwana amanituma
Enjoying i wish I could come and see so that i ejoyng the songs i lick Kenyan songs gold bless you good night
Kwa kweri wakristu tuishi katika imani jamani inapendeza sana
the song is good and the choir is also very good ... 👍🏻👍🏻👍🏻
Greetings of peace and peace in the love of the Lord Jesus Christ
With our prayers for our brothers and sisters in Tanzania from the Parish of Our Lady of Cirebon City, West Java Province, Indonesia


Am Roland from sierra Leone please pray for me l wanted to be priest of the Catholic church the song's are good
Amina❤❤❤
Mungu wetu aendelee kulibariki Kanisa letu Katoliki
Oh mon Dieu que c'est beau !
Ululululuiiii Inapendaza sana
Amina sana
Huwa nakuwa na furaha nikiwaona watumishi wa mungu hivi
Balikiwe
OGod strengthen all catholic believes.
So nice.ndani ya Kristo ni raha sana
Let us pray for all the CLERGY
Najivunia kuwa mkatoliki nimetaswa na kundi asante mungu
Tumsifu Yesu Kristu wapendwa, napenda tu kujua haya ni maandamano ya lini, na ilikuwa ni tukio gani, mbona raha sana. Daima huwa napenda sana misa kama hizi
Hapo ilikua moshi kusimikwa kwa askofu minde march 19
Ahsante sana T.E.C
@@emanuelmwenda2040 karibu sana
Aminaaaa
Wonderfull !!!
Mungu awalinde na kuwatunza daima
Hadi raha jamn
Napenda kanisa langu
Jamani aaaaa acha wanapendeza katika vazi lao
Sana yani
proudly Catholic ♥️
aki mimi hufurahi sana kuona muungano kama huu. hawa maaskofu na mapadri wengi mno jmn. mtukumbuke ki maombi jmn hili janga la corona latetemesha nchi🙏🙏🙏
Tahadhari zote zilizingatiwa
@@KANISAKATOLIKITANZANIATEC kwa kweli najivunia Sana ukatoliki wangu hizi nyimbo nikizisikia napataga Amani Tena ya rohoni kabisa
Beautiful
Najivunia kuwa Mkatoliki
Kweli
Mtuombee sana watumishiwetu
Wonderful, keep it up!!!
Nafatijika Sana kusikia hii nyimbo
Kinanda kimeweza
Power full of
God
Wimbo unanikumbusha Papa John Paul ll. Karibu baba Jimbo la Moshi. Pumzika kws amani
OGod strengthen faith of, fathers Nuns, sister, Brothers Catdiels Bishops and pope Francis to countiue in their mission.
Mpaka raha
Mungu awabariki sana
Very nice choir,
goood
Tumsifu yesu kristo viongozi wetu wa kiroho
Ilike there songs
Ukatoliki rahaa sana
Napenda kinanda baada ya umetakaswaaa
Geweldig zijn jullie
Nimenjoy sana jaman
Amen....❤️❤️❤️❤️🙏❤️❤️❤️❤️🙏🌹🌹🥀🌹💐🥀🌹🔥🔥💐🔥🔥🔥💐🌹🌹🌹🌹🌹👍🥀🥀🥀🌹💐🔥🥀🌹🌹💐🙏🙏🙏
Nchi kwa sasa hjpo vizuri
kanisa ni moja takatifu katoliki la mitume
Neno langu ni moja tu kwako Ee, Mungu matendo yako yanatisha kama nn, utukuzwe milele, !!!
🙏🙏🙏🙏👍👍
❤
🙏
Tuwekeeni Ibada yote tafadhali sana
Itakuja usijali
L'église universelle.
❣❣🔥🎧
Pamoja
Kwakweli tunajivunia kanisa katoliki takatifu la mitume
maaskofu mko poa tu twawaombea mema kwa kueneza neno la bwana wape mapadri na watawa huo moyo wa kueneza neno lako
👏
Bsr les amis
Ameen
Katoliki fro sa