Huyo flora hajamkabidhi yesu maisha yake! Kwa kuwa alikulia tu kwenye dini ya wapentecostel!so hawezi kujua kusudi LA uduma ambayo Mungu ameiweka ndani yake!!Kwa hiyo hana uchaji wa Mungu ndani yake!maana Kwa maelezo tu ni bado anahitaji neema ya Mungu ili aweze kupata ufahamu juu ya Huyo yesu ambaye anamwimbia na kumtaja jina lake kwamba anaweza!na ndipo atakuwa na adabu na heshima kwenye ndoa yake na ataithamini!lakini Kwa sasa mimi namshauri emmanuel pamoja na familia yote ni wakati wa kuingia kwenye maombi ya toba Kwa ajili yao Kwa familia Kwa kukosa kufahamu! maana hapo ni ufahamu wa kimungu umekosekana na hayo yote yakapitia hapo! na mukayakubali na hadi uko na hiyo hali Leo! Kwa hiyo murudi huko nyuma ambako mulimuacha yesu wa Kweli mtakatifu! mukamtafuta yesu wenu ndiyo kawaaibisha hivyo!murudi Kwa yesu wa Kweli halafu muone kama kutakuwa na kuumizana na mauchungu! karibuni!
Mr mbasha na wewe ulikosea kumuonyesha mkeo unampenda kufa dada akaota mapembe,alafu we florah tayari umeshatia jeraha kwenye ndoa yako ukaondoka Kuna umuhimu gani kurudi kuchukua mpaka vijiko?unapomuacha mtu usichange life yake kama ulikuwa tayari unamaisha umeyaandaa ungeenda tuu.Huyu mbasha nae kazidi upole ungeolewa na mkurya usingemchezea, hata talaka bado ulishaenda kuzaa nje lakini la mumeo kubaka ndio ukaona kigezo?acha kaka wa watu apumue utampausha kwa mawazo.
huyu dada ni kicheche amepata mume mzuri leo hii anamsingizia eti amebaka kaka acha naye MUNGU atakupa mke mwema sio hiyo gymegume amekutia aibu sana ila na ww ulimpenda sana akajua sasa ndio anakuletea nyodo hakuna mokovu style hii kuwa na babu askof sio issue kama hujatulia hujatulia pambana kaka mtu anazarau mpaka baba yako kwani una lazima naye funguka imeniuma sana
nyinyi ndio mlio msaliti yesu mnafiki mkubwa wewe wampeleka mumeo polisi shetani mkubwa kaini wafanya wakristu tudharauliwe kama wajua mungu kwanini hueshimu ndoa yako
the most evil woman in the history of saints. she is an Antichrist! huyu kaka hakupata mda wa kutosha kumchunguza huyu mwanamke kisa kuamini kuwa ni mjukuu wa Askofu Kulola. Mungu hajapanga maisha ya imma yaharibike! ...Flora umeharibu tabia za wanawake watumishi wenzako utajalipa siku ya hukumu.
Huyo flora hajamkabidhi yesu maisha yake! Kwa kuwa alikulia tu kwenye dini ya wapentecostel!so hawezi kujua kusudi LA uduma ambayo Mungu ameiweka ndani yake!!Kwa hiyo hana uchaji wa Mungu ndani yake!maana Kwa maelezo tu ni bado anahitaji neema ya Mungu ili aweze kupata ufahamu juu ya Huyo yesu ambaye anamwimbia na kumtaja jina lake kwamba anaweza!na ndipo atakuwa na adabu na heshima kwenye ndoa yake na ataithamini!lakini Kwa sasa mimi namshauri emmanuel pamoja na familia yote ni wakati wa kuingia kwenye maombi ya toba Kwa ajili yao Kwa familia Kwa kukosa kufahamu! maana hapo ni ufahamu wa kimungu umekosekana na hayo yote yakapitia hapo! na mukayakubali na hadi uko na hiyo hali Leo! Kwa hiyo murudi huko nyuma ambako mulimuacha yesu wa Kweli mtakatifu! mukamtafuta yesu wenu ndiyo kawaaibisha hivyo!murudi Kwa yesu wa Kweli halafu muone kama kutakuwa na kuumizana na mauchungu! karibuni!
Modesta Emanuel wewe unahukumu kama nani? pyeeee
Uko sawa Modeste, umesema vema.
Mr mbasha na wewe ulikosea kumuonyesha mkeo unampenda kufa dada akaota mapembe,alafu we florah tayari umeshatia jeraha kwenye ndoa yako ukaondoka Kuna umuhimu gani kurudi kuchukua mpaka vijiko?unapomuacha mtu usichange life yake kama ulikuwa tayari unamaisha umeyaandaa ungeenda tuu.Huyu mbasha nae kazidi upole ungeolewa na mkurya usingemchezea, hata talaka bado ulishaenda kuzaa nje lakini la mumeo kubaka ndio ukaona kigezo?acha kaka wa watu apumue utampausha kwa mawazo.
hamna lolote eti mtumishi wa mungu
flora unalisababisha jina la Yesu linatukanwa kwa ajili yako
Mmh
huyu dada ni kicheche amepata mume mzuri leo hii anamsingizia eti amebaka kaka acha naye MUNGU atakupa mke mwema sio hiyo gymegume amekutia aibu sana ila na ww ulimpenda sana akajua sasa ndio anakuletea nyodo hakuna mokovu style hii kuwa na babu askof sio issue kama hujatulia hujatulia pambana kaka mtu anazarau mpaka baba yako kwani una lazima naye funguka imeniuma sana
Mpumbavu huyu mwanamke cjawahi ona
nyinyi ndio mlio msaliti yesu mnafiki mkubwa wewe wampeleka mumeo polisi shetani mkubwa kaini wafanya wakristu tudharauliwe kama wajua mungu kwanini hueshimu ndoa yako
kama hauna makosa mtupie flora jiwe
the most evil woman in the history of saints. she is an Antichrist! huyu kaka hakupata mda wa kutosha kumchunguza huyu mwanamke kisa kuamini kuwa ni mjukuu wa Askofu Kulola. Mungu hajapanga maisha ya imma yaharibike! ...Flora umeharibu tabia za wanawake watumishi wenzako utajalipa siku ya hukumu.
barrik d Je unazionaje kazi zake..?
Mwongo mkubwa we dada mwogope mungu
those old days utazikumbuka ulisharibu kw tabia zako za tamaa
Victor Boston hivi nyie mnahukumu kama nani? Mungu nyie?
Hopeless florah ukumbuke moses kulola hana mbingu ya kukupeleka wewe. utakuja juta
ona walikotoka!
utakumbuka nakwambia
Shetani katangulia mbele yenu masikini badala ya kurudi nyuma!
KUSEMA KWELI KUACHANA KWENU TUMEUMIA SANA SISI WAPENZI WENU TULIOKUWA TUNAWAFATILIA
we Frola ww, hata kama mbasha alikukosea, ndoubebe na themos na vikombe vya chai, duuh umetia aibu
Do they back together?
Nyimbo zenu za maisha ya ndoa zinamlenga nani kama wenyewe mwatengana. Au mnatunga kutafuta ulaji.
mmmmh hii ndio dunia
Mmh
flora wacha kumchezea mungu
I like
Mwee
mungu anajua Kila kitu
Thank God!
Wamerudi tena pamoko.
Bless you Guys!!!!
Catherine Alcy hawezi kurudi kua pamoja bali anamkumbuka mbasha ndo mana katoa kitabu mungu anamjibu emanuel
Mpumbavu huyu mwanamke cjawahi ona
good sana lkn duuh nikikumbuka Frola ulivyo mfanyia mwenzio namaanisha mumeo sio vizur Fanya mpango mrudiane
Kiukweli rudi frola kwenye ndoa yako kwani huyo kimbaombao wako ni mbwa aliyevaa vazi la kondoo utajajutaa mpendwa,sema ukweli usimsingizie mumeo machafu duuuu