Maisha la Flora Mbasha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Fahamu maisha ya Flora Mbasha. Pata nyuma ya pazia ya maisha yake.
    SUBSCRIBE: goo.gl/cR0mA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 35

  • @modestaemanuel6355
    @modestaemanuel6355 7 лет назад +6

    Huyo flora hajamkabidhi yesu maisha yake! Kwa kuwa alikulia tu kwenye dini ya wapentecostel!so hawezi kujua kusudi LA uduma ambayo Mungu ameiweka ndani yake!!Kwa hiyo hana uchaji wa Mungu ndani yake!maana Kwa maelezo tu ni bado anahitaji neema ya Mungu ili aweze kupata ufahamu juu ya Huyo yesu ambaye anamwimbia na kumtaja jina lake kwamba anaweza!na ndipo atakuwa na adabu na heshima kwenye ndoa yake na ataithamini!lakini Kwa sasa mimi namshauri emmanuel pamoja na familia yote ni wakati wa kuingia kwenye maombi ya toba Kwa ajili yao Kwa familia Kwa kukosa kufahamu! maana hapo ni ufahamu wa kimungu umekosekana na hayo yote yakapitia hapo! na mukayakubali na hadi uko na hiyo hali Leo! Kwa hiyo murudi huko nyuma ambako mulimuacha yesu wa Kweli mtakatifu! mukamtafuta yesu wenu ndiyo kawaaibisha hivyo!murudi Kwa yesu wa Kweli halafu muone kama kutakuwa na kuumizana na mauchungu! karibuni!

    • @shijamsoga2773
      @shijamsoga2773 7 лет назад

      Modesta Emanuel wewe unahukumu kama nani? pyeeee

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 5 лет назад

      Uko sawa Modeste, umesema vema.

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 7 лет назад +2

    Mr mbasha na wewe ulikosea kumuonyesha mkeo unampenda kufa dada akaota mapembe,alafu we florah tayari umeshatia jeraha kwenye ndoa yako ukaondoka Kuna umuhimu gani kurudi kuchukua mpaka vijiko?unapomuacha mtu usichange life yake kama ulikuwa tayari unamaisha umeyaandaa ungeenda tuu.Huyu mbasha nae kazidi upole ungeolewa na mkurya usingemchezea, hata talaka bado ulishaenda kuzaa nje lakini la mumeo kubaka ndio ukaona kigezo?acha kaka wa watu apumue utampausha kwa mawazo.

  • @kilala.k.5786
    @kilala.k.5786 8 лет назад +2

    hamna lolote eti mtumishi wa mungu

  • @annaracheldaniel5132
    @annaracheldaniel5132 7 лет назад +6

    flora unalisababisha jina la Yesu linatukanwa kwa ajili yako

  • @ramambongo4069
    @ramambongo4069 8 лет назад +2

    huyu dada ni kicheche amepata mume mzuri leo hii anamsingizia eti amebaka kaka acha naye MUNGU atakupa mke mwema sio hiyo gymegume amekutia aibu sana ila na ww ulimpenda sana akajua sasa ndio anakuletea nyodo hakuna mokovu style hii kuwa na babu askof sio issue kama hujatulia hujatulia pambana kaka mtu anazarau mpaka baba yako kwani una lazima naye funguka imeniuma sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 10 лет назад +3

    Mpumbavu huyu mwanamke cjawahi ona

  • @adelqueen2049
    @adelqueen2049 7 лет назад +3

    nyinyi ndio mlio msaliti yesu mnafiki mkubwa wewe wampeleka mumeo polisi shetani mkubwa kaini wafanya wakristu tudharauliwe kama wajua mungu kwanini hueshimu ndoa yako

    • @annanita3729
      @annanita3729 5 лет назад

      kama hauna makosa mtupie flora jiwe

  • @barrikd125
    @barrikd125 9 лет назад +2

    the most evil woman in the history of saints. she is an Antichrist! huyu kaka hakupata mda wa kutosha kumchunguza huyu mwanamke kisa kuamini kuwa ni mjukuu wa Askofu Kulola. Mungu hajapanga maisha ya imma yaharibike! ...Flora umeharibu tabia za wanawake watumishi wenzako utajalipa siku ya hukumu.

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад

      barrik d Je unazionaje kazi zake..?

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 лет назад +3

    Mwongo mkubwa we dada mwogope mungu

  • @victorboston4635
    @victorboston4635 8 лет назад +4

    those old days utazikumbuka ulisharibu kw tabia zako za tamaa

    • @shijamsoga2773
      @shijamsoga2773 7 лет назад +1

      Victor Boston hivi nyie mnahukumu kama nani? Mungu nyie?

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 7 лет назад +1

    Hopeless florah ukumbuke moses kulola hana mbingu ya kukupeleka wewe. utakuja juta

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 лет назад +2

    ona walikotoka!
    utakumbuka nakwambia

  • @masalidorice3402
    @masalidorice3402 7 лет назад +1

    Shetani katangulia mbele yenu masikini badala ya kurudi nyuma!

  • @portinagodson6694
    @portinagodson6694 5 лет назад

    KUSEMA KWELI KUACHANA KWENU TUMEUMIA SANA SISI WAPENZI WENU TULIOKUWA TUNAWAFATILIA

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 5 лет назад

    we Frola ww, hata kama mbasha alikukosea, ndoubebe na themos na vikombe vya chai, duuh umetia aibu

  • @clemantineful
    @clemantineful 10 лет назад +1

    Do they back together?

  • @barakaaspenus3217
    @barakaaspenus3217 7 лет назад

    Nyimbo zenu za maisha ya ndoa zinamlenga nani kama wenyewe mwatengana. Au mnatunga kutafuta ulaji.

  • @fransiscarwillaasinta6008
    @fransiscarwillaasinta6008 7 лет назад +1

    mmmmh hii ndio dunia

  • @godymakundi
    @godymakundi 7 лет назад +1

    Mmh

  • @pamelanabokolweojuma1964
    @pamelanabokolweojuma1964 5 лет назад

    flora wacha kumchezea mungu

  • @frankminga9314
    @frankminga9314 9 лет назад +1

    I like

  • @fotinata7181
    @fotinata7181 7 лет назад +1

    Mwee

  • @pamelanabokolweojuma1964
    @pamelanabokolweojuma1964 5 лет назад

    mungu anajua Kila kitu

  • @catherinealcy9176
    @catherinealcy9176 9 лет назад

    Thank God!
    Wamerudi tena pamoko.
    Bless you Guys!!!!

    • @annacarlos7925
      @annacarlos7925 7 лет назад

      Catherine Alcy hawezi kurudi kua pamoja bali anamkumbuka mbasha ndo mana katoa kitabu mungu anamjibu emanuel

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 10 лет назад +2

    Mpumbavu huyu mwanamke cjawahi ona

  • @pendoaurelia4412
    @pendoaurelia4412 7 лет назад +2

    good sana lkn duuh nikikumbuka Frola ulivyo mfanyia mwenzio namaanisha mumeo sio vizur Fanya mpango mrudiane

    • @gracenkungu452
      @gracenkungu452 4 года назад

      Kiukweli rudi frola kwenye ndoa yako kwani huyo kimbaombao wako ni mbwa aliyevaa vazi la kondoo utajajutaa mpendwa,sema ukweli usimsingizie mumeo machafu duuuu