WIMBO WA MSECHU WAWALIZA WANA HANANG MBELE YA RAIS SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 191

  • @TWENZETUEDEN
    @TWENZETUEDEN 9 месяцев назад +7

    Msechu ni mwamba balaaa hiki ni kipaji Cha ajabu sana, ila nakuomba njoo umwimbie MUNGU itakuwa unyama mkuu

  • @EventElias
    @EventElias 9 месяцев назад +4

    Kweli unaliza huu wimbo hapa machoz yananilenga😢😢 Poleni ndugu zetu Watanzania wenzetu TUNAWAPENDA

  • @angelsandemu2464
    @angelsandemu2464 9 месяцев назад +5

    Nimelia..Mungu nakuomba uwape faraja hawa watu wa ardhi ya babu zangu💔,waliotangulia uwapokee katika ufalme wako mbingun🕊🙏

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 9 месяцев назад +7

    Mungu Awalinde Na Kuwasaidia Ndugu Zetu Wa Hanang,😭😭😭😭😭😭😭

  • @NuruMaduru
    @NuruMaduru 9 месяцев назад +2

    Nimeumia mimi 😢 kuna clip nimeona mtu yupo kwenye tope kichwa chini miguu ndo ipo juu inacheza tu poleni wapendwa hadi tumbo la uzazi limenikata 😭

  • @nonikarani9067
    @nonikarani9067 9 месяцев назад +11

    Ee Mungu ulie mfariji tunaomba faraja yako kwa kipindi hiki kigumu wana manyara 😢

  • @michaelkulongwa1704
    @michaelkulongwa1704 9 месяцев назад +18

    Ndugu zetu Hanang-Manyara Mungu awape wepesi Ni msiba mzito sana Mnahitaji Faraja za Mungu wetu

  • @samweltadashi9405
    @samweltadashi9405 9 месяцев назад +5

    Kuna watu wanacheka hapo Cheka liko Kwa mwenzio siku likikufika ndioo utjua

    • @ngowibeatrice1701
      @ngowibeatrice1701 9 месяцев назад

      Ukiwa ujafiwa uwezi kujua uchungu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 месяцев назад +1

      Kuna mama mweupe,ushungi mweusi kichwani anacheka 3:30 wakati jirani yake amechoka kwa kulia..

    • @SwaumuRashid-nf5tj
      @SwaumuRashid-nf5tj 9 месяцев назад

      Kifo kisikie kwa mwenzio

  • @isackchilewa1232
    @isackchilewa1232 9 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana sana, Mungu ameweka nguvu ya kipekee ndani yako ili umtumikie kama hivyo na zaidi. Nimetokwa machozi!!

  • @SporaMrutu
    @SporaMrutu 9 месяцев назад

    Asante mwanangu msechu ndo mimesave hii uko juu mwanangu 2024 uwe juu mara Tano nimsilaba Mungu akuinulie kipaji chako Cha usanii

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 9 месяцев назад +1

    Huyu ndiye Msanii ,yuko tayari wakati wowote,kwa tukio lolote
    Sio hawa wa mapenzi kila siku ☹️😕

  • @evalineelia8728
    @evalineelia8728 9 месяцев назад +10

    😭😭😭😭😭pumzikeni kwa Amani sisi sote ni njia moja

  • @healinggospeltz4762
    @healinggospeltz4762 9 месяцев назад

    Mpaka kwenye mafuriko mnaweka steji?, kulikuwa na ulazima gan, waafrika mlilogwa na nan?

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 8 месяцев назад

    Duh unajua hadi kero,nakumbuka pia Wimbo Umetuacha Imara

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 9 месяцев назад

    Eeee Mungu wape faraja ndugu zetu Manyara hakika ni kilio kila Kona ya Tanzania tunalia pamoja na Wana Manyara

  • @sein.208
    @sein.208 9 месяцев назад +4

    Allah awazidishie subra wote😭😭😭

  • @IsackMnyikondo
    @IsackMnyikondo 9 месяцев назад

    Mungu awatie nguvu wana manyara poleni kwa kupoteza wapendwa wetu

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 9 месяцев назад +1

    Waambieni watu watubu Tuko nyakt za Mwisho YESU anarudi , huu Ni MDA wa Matengenezo

  • @godwimmkolomi8988
    @godwimmkolomi8988 9 месяцев назад +2

    Uyu jamaa ananikumbusha kipaji cha marehemu Capten John komba alikua anatoa wimbo mda mfupi sana baada ya tukio tu kutokea,ila Dkt samiha ajaacha vinono vingi kule ni ajatimiza malengo ya ziara yake!

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 9 месяцев назад

      Anafaa kuimba nyimbo za Ccm sauti yake inakubali kabisa.

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 9 месяцев назад

    Huyu ndio kameza puto kweli??

  • @helenahaali
    @helenahaali 9 месяцев назад

    Ndugu zetu poleni kwa majanga na mola atutangulie

  • @LEJAYMA
    @LEJAYMA 9 месяцев назад +3

    Raha ya milele uwangazie wapumzike kwa amani Ndugu zetu

  • @Massy-g9c
    @Massy-g9c 9 месяцев назад

    Nilitaka kusema Tundu Lissu ameanza kuimba lini!?

  • @SophiLevo
    @SophiLevo 9 месяцев назад

    Mungu ukawe mfariji wa Hawa watanzania wenzetu

  • @clintonarnold6291
    @clintonarnold6291 9 месяцев назад +13

    We Lijamaa unajua kuimba aisee ni 🔥🔥🔥 Bonge la Nyimbo Yan hata unene wako hapo haujaonekana unakpaj San utafka mbali san🙏🙏 hisia kaliiiiii❤❤

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 9 месяцев назад

      Duu wejamaa kiboko hata unene hajaunaonekana 🤣🤣🤣🤣

    • @mariammakotah4888
      @mariammakotah4888 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 9 месяцев назад

      Sana ....wimbo mzur

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 9 месяцев назад

      Wasanii wengine wanawaza mapenzi tu,hawana hata habari ya majanga

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 9 месяцев назад

    Hongea mrith wa kepteni komba tz

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 9 месяцев назад +1

    eti pole samia ! kama anajali 🙆🙆🙆

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 9 месяцев назад

    Huyu ndio mrithi wa jonh komba

  • @LEJAYMA
    @LEJAYMA 9 месяцев назад +1

    MUNGU AFANYIKE FARAJA KWENU , HAKIKA NI MAJONZI MAKUBWA MUNGU IBARIKI NCHI YETU PAMOJA NA VIONGOZI WOTE

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 9 месяцев назад +1

    Poleni sana wana Manyara na Hanang kwa kupoteza nguvu za family na Taifa. Ila mavazi ya chama wapi na wapi hapo siyo chama ni msiba wacheni ujinga CCM ninyi

  • @elinjeryikotikiukweliipovx5324
    @elinjeryikotikiukweliipovx5324 9 месяцев назад +2

    Inaumiza sana

  • @kissamahiki7895
    @kissamahiki7895 9 месяцев назад +7

    😭😭😭😭😭😭Wapumzike kwa amani wapendwa wetu, Mungu akubariki msechu

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 9 месяцев назад +4

    Msechu upo kanunu sana kaka.

  • @LoreenCharles-u7u
    @LoreenCharles-u7u 9 месяцев назад

    Msechu komba aliebaki

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 9 месяцев назад

    Mungu awape mwisho mwema

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 9 месяцев назад +1

    Hongera sn msechu unajua kutunga sn nyimbo za maombolezo

  • @Cutesarahor7dj7qh6d
    @Cutesarahor7dj7qh6d 9 месяцев назад +3

    😭😭😭😭🕊️🕊️🕊️eeeh mungu wangu ndugu zangu

  • @sarahmollel8458
    @sarahmollel8458 9 месяцев назад +2

    Mungu wewe ndiyo faraja yaooo

  • @StellaSimon-u7q
    @StellaSimon-u7q 9 месяцев назад +3

    Afadhali kajaliwa na hicho kipaji mungu azidi kumpa afya njema ❤

  • @GroliaGilibart
    @GroliaGilibart 9 месяцев назад

    Wanamanyala poleni sana

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 9 месяцев назад +1

    Wapumzike Kwa Amani Ndg zetu...

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 9 месяцев назад +2

    Rest in peace mungu awapunguzie adhabu ya kaburi ndugu zetu

  • @emmanuelmtui4076
    @emmanuelmtui4076 9 месяцев назад +1

    Msechu ulitakiwa umwimbie MUNGU...your a good woshiper

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 9 месяцев назад

    Nyimbo ya faraja sana, angekuwapo na Philip Mpango, INGEPENDEZA!

  • @josephmasebo6761
    @josephmasebo6761 9 месяцев назад +2

    Poleni sana. Wana Manyara Mungu awateteee katika kipindi hiki kigumu

  • @edinaedward1082
    @edinaedward1082 9 месяцев назад

    Pole ndg zetu

  • @pamphilherman3136
    @pamphilherman3136 9 месяцев назад

    Poleni sanaaaaa

  • @BEATRICEMICHAEL-y4f
    @BEATRICEMICHAEL-y4f 9 месяцев назад

    Poleni sana

  • @nestor384
    @nestor384 9 месяцев назад

    Nothing sang! hakuna art ktk uimbaji, hakuna rhythms wala melodic sound kifupi nothing sang..
    Wangemuita msanii aimbe si hili tukunyema!

  • @MohammadAdam-vo3bj
    @MohammadAdam-vo3bj 9 месяцев назад

    Allah awaitie nguvu majeruhi walobaki na walotangulia mungu awasameh makosa yao

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal7718 9 месяцев назад +3

    Naumia sana.jama zetu jamani.😂

  • @JoyceMathayo-e6t
    @JoyceMathayo-e6t 9 месяцев назад

    Poleni

  • @ZabronZacharia
    @ZabronZacharia 9 месяцев назад

    Makini

  • @HelenaManya-v4x
    @HelenaManya-v4x 9 месяцев назад +1

    Poleni Sana ndugu zangu wa hanang maana hata maneno ya kusema nakosa zaidi ya maumivu

  • @NeemaJohn-q1r
    @NeemaJohn-q1r 9 месяцев назад

    Tukumbuke agano lamungu nanuhy mungu aliweka agano akisema hataangamiza kwamaji wala kwamoto kwahito hii ghadhabu yamungu sababu mamboyanayoendelea duniani nisodoma nagomola tuombe huruma yamungu atuhurumie natubadili mienendo yetu watu wadunia hii yanayofanyika nimachukizo kwamungu kwakifupi huunimwisho wadunia mungu temchosha anataka. duniampya bawatu wapya tumsifu tesu kristo wapendwa tumuombe mungu baba atuhurmie naatusameheAMINA

  • @MejaSindio-b9c
    @MejaSindio-b9c 9 месяцев назад

    poleni sana ndungu zangu wote walio kumbwa. na mporomoko wa mlima hanag. jamani poleni sana.

  • @godikombe1319
    @godikombe1319 9 месяцев назад +2

    Hivi msechu yupo kwa ajili ya majanga tuu au😂😂

  • @JumaAlly-l5k
    @JumaAlly-l5k 9 месяцев назад

    Rede tanzania

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 9 месяцев назад +1

    M mungu atawapa subra na Imani yote hayo ni mitihan yake Allah

  • @josephmasebo6761
    @josephmasebo6761 9 месяцев назад +2

    Rest in peace ndugu zetu.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 месяцев назад +1

    Ushauri tu lakin nionavo mimi

  • @SophiaMumbe-jm6kb
    @SophiaMumbe-jm6kb 9 месяцев назад +1

    Poleni sana mbele yao nyuma yetu

  • @julianavicent4845
    @julianavicent4845 9 месяцев назад +1

    Poleni sana wanafamilia ndugu na jamaa marafiki taifa Kwa ujumla

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 9 месяцев назад +1

    Poleni Kwa mtihani nduguzetu,mungu awapatie nguvu katika kipindi hiki cha mpito.

  • @petromalkiori4013
    @petromalkiori4013 9 месяцев назад +2

    Asante pita Msechu 😭

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 9 месяцев назад

    R I P

  • @AndreaHhera
    @AndreaHhera 9 месяцев назад

    Pole hanang😢😢😢😢😢

  • @MfarijiKibinga
    @MfarijiKibinga 7 месяцев назад

    😢

  • @mgaobenedict
    @mgaobenedict 9 месяцев назад

    😢

  • @pendoHiza
    @pendoHiza 9 месяцев назад

    polenii sana manyara munguu awatie nguvu katika kpnd hiki kigumu 🙏🙏😔

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 9 месяцев назад +1

    Hanang.....poleni sana

  • @JuliasiSatoti
    @JuliasiSatoti 9 месяцев назад +1

    Watanzania wenzangu poleni sana mama Samia raisi wetu polesana mama kwa matatizo ya manyara

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 месяцев назад +1

    Kama kwqya iwe kwaya kwa wale wanaohusika na wale waislam wapewe tu miili yao wakastiri nafikiri hiyo itakuwa sawa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 месяцев назад

      Miili ya awali qameshazika tayari... wanaendelea kuibua mengine kwenye tope

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 9 месяцев назад

    Do!!! Burudani tena binaadamu bwana litapita? Mwenyezimungu anapotutia majiribu juu ya maovu yetu basi haya ndio tunayomjibu basi na tusubirie tutaonana baadae

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 9 месяцев назад

    Poleni Sana ndugu zetu, Mwenyezi awasaidie kwakipindi iki kigum.

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 9 месяцев назад

    Duuh,Hongera saana msanii wa majanga, maana ww umebaki kuwa msanii wa majanga tu unadubr misiba na vilio ndo unaimna😀😀😀

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 9 месяцев назад

    Msifanye jambo hili kuutafafuta umaarufu wa kisiasa vaeni viatu vya waathirika

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 9 месяцев назад

    We apo unataka sifa Kila Beti Samia hao wameokolewa na mungu kumbe mupokwa ajili ya matumbo yenu

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 9 месяцев назад +1

    Huu ndio usenge wa watanzani wakaombolezwa na mahubiri na madua ety wasanii wawaburudishee ushetani mtupu
    Bwana yesu tuokoeee😢

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 9 месяцев назад

      Hata mm nashangaa ujinga huu watu bado Wana majonzi mabichii wao wanaona nyimbo ndio faraja

    • @victorhabonimana9055
      @victorhabonimana9055 9 месяцев назад

      yan unatukna then unamtja yesu

  • @StellaSimon-u7q
    @StellaSimon-u7q 9 месяцев назад +1

    Mungu akusamee tu, kama kweli unaona binadamu kama Kobe

  • @raiderinfos1472
    @raiderinfos1472 9 месяцев назад

    Msechu bhna Jimbo nzuri za maombelezo ila sasa jina la Samia zaidi ya mara hamsini😅

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 9 месяцев назад

    Rest In Peace waliotangulia!
    Mwenye Enzi Mungu awa tie amani wafiwa 😢😢😢

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 9 месяцев назад

    Poleni sana ndugu zetu kwa maafa makubwa,,wapumzike kwa amani 😭😭😭

  • @EventElias
    @EventElias 9 месяцев назад

    Yaani huyu jamaa ni mrithi wa kepteni Komba kabisa😊

  • @mansixwilliamofficial5496
    @mansixwilliamofficial5496 9 месяцев назад

    Hakuna kinacho nikela kumtaja taja Samia nyimbo nzima

  • @josephchaula5544
    @josephchaula5544 9 месяцев назад

    Mungu yu pamoja nasi kila jambo linamwisho wake baraka za mungu zipo nas katika kila hatua😢😢

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 9 месяцев назад

    Poleni sana tanzania hasa watu wetu wa hanang wenzetu

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 9 месяцев назад

    Poleni san ndugu zetu hata ili itapita na mengi yamepita

  • @yusuphmsangi7191
    @yusuphmsangi7191 9 месяцев назад +3

    Daaah Ila Peter Msechu Yupo Kama Kobe😂

    • @HAIDARYMAKALO
      @HAIDARYMAKALO 9 месяцев назад

      😅😅😅

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 9 месяцев назад

      We uko kama nani kama si nyani...acha kubeza wenzako😓

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 9 месяцев назад

      Jamani Mungu aliyekuumba wewe vizuri mshukuru sana na kaa ukijua hujafa hujaumbika,pamoja na unene wake lkn yuko njema maisha yanaenda inawezekana wewe huna mbele wala nyuma

    • @nasrafadhili7408
      @nasrafadhili7408 9 месяцев назад

      Jmn tunalia wengine kwnn mnataka tucheke na kilio tena

    • @joshuamwigowe1676
      @joshuamwigowe1676 9 месяцев назад

      😅😅😢

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 9 месяцев назад

    Poleni sana

  • @renatusmichael7948
    @renatusmichael7948 9 месяцев назад +1

    😢😢 God bless wahannan

  • @MunsiCosmas-tg2df
    @MunsiCosmas-tg2df 9 месяцев назад

    Jaman ilitakiwa mchugaji au waimba mziki ya kawaida

  • @jonessalum6325
    @jonessalum6325 9 месяцев назад

    Mwenyezi mungu awalaze ndugu zetu mahala pema peponi

  • @fatmamayunga6250
    @fatmamayunga6250 9 месяцев назад

    Mungu wetu ni mwingi wa rehema ,, tunaomba faraja zako baba,,,,,

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 9 месяцев назад

    Huyu si kawekewa puto jaman au kalitoa😢 mbona yupo vilevile

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 9 месяцев назад

    Mbona bado mnene na tumbo lipo.sasa lileputo vipi

  • @samiamikongo9718
    @samiamikongo9718 9 месяцев назад

    😭😭😭😭Ya Allah tujaalie mwisho ulio mwema🤲🤲

  • @onyangowawa6060
    @onyangowawa6060 9 месяцев назад

    Mungu awasaidie ndugu zetu wa Hanang

  • @reggezawady4994
    @reggezawady4994 9 месяцев назад

    😭😭😭 poleni sana wanamanyara na watanzania wote 🙏🙏🙏

  • @RachelNgalya
    @RachelNgalya 9 месяцев назад

    Mungu awatie nguvu,hata hili litapita, inauma kwa kila mtu Poleni sana ndugu zetu wa Hanang