WIMBO WA MSECHU WAWALIZA WANA HANANG MBELE YA RAIS SAMIA
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Msechu ni mwamba balaaa hiki ni kipaji Cha ajabu sana, ila nakuomba njoo umwimbie MUNGU itakuwa unyama mkuu
Kweli unaliza huu wimbo hapa machoz yananilenga😢😢 Poleni ndugu zetu Watanzania wenzetu TUNAWAPENDA
Nimelia..Mungu nakuomba uwape faraja hawa watu wa ardhi ya babu zangu💔,waliotangulia uwapokee katika ufalme wako mbingun🕊🙏
😅
Mungu Awalinde Na Kuwasaidia Ndugu Zetu Wa Hanang,😭😭😭😭😭😭😭
Nimeumia mimi 😢 kuna clip nimeona mtu yupo kwenye tope kichwa chini miguu ndo ipo juu inacheza tu poleni wapendwa hadi tumbo la uzazi limenikata 😭
Ee Mungu ulie mfariji tunaomba faraja yako kwa kipindi hiki kigumu wana manyara 😢
Ndugu zetu Hanang-Manyara Mungu awape wepesi Ni msiba mzito sana Mnahitaji Faraja za Mungu wetu
Kuna watu wanacheka hapo Cheka liko Kwa mwenzio siku likikufika ndioo utjua
Ukiwa ujafiwa uwezi kujua uchungu
Kuna mama mweupe,ushungi mweusi kichwani anacheka 3:30 wakati jirani yake amechoka kwa kulia..
Kifo kisikie kwa mwenzio
Mungu akubariki sana sana, Mungu ameweka nguvu ya kipekee ndani yako ili umtumikie kama hivyo na zaidi. Nimetokwa machozi!!
Asante mwanangu msechu ndo mimesave hii uko juu mwanangu 2024 uwe juu mara Tano nimsilaba Mungu akuinulie kipaji chako Cha usanii
Huyu ndiye Msanii ,yuko tayari wakati wowote,kwa tukio lolote
Sio hawa wa mapenzi kila siku ☹️😕
😭😭😭😭😭pumzikeni kwa Amani sisi sote ni njia moja
Mpaka kwenye mafuriko mnaweka steji?, kulikuwa na ulazima gan, waafrika mlilogwa na nan?
Duh unajua hadi kero,nakumbuka pia Wimbo Umetuacha Imara
Eeee Mungu wape faraja ndugu zetu Manyara hakika ni kilio kila Kona ya Tanzania tunalia pamoja na Wana Manyara
Allah awazidishie subra wote😭😭😭
Mungu awatie nguvu wana manyara poleni kwa kupoteza wapendwa wetu
Waambieni watu watubu Tuko nyakt za Mwisho YESU anarudi , huu Ni MDA wa Matengenezo
Uyu jamaa ananikumbusha kipaji cha marehemu Capten John komba alikua anatoa wimbo mda mfupi sana baada ya tukio tu kutokea,ila Dkt samiha ajaacha vinono vingi kule ni ajatimiza malengo ya ziara yake!
Anafaa kuimba nyimbo za Ccm sauti yake inakubali kabisa.
Huyu ndio kameza puto kweli??
Ndugu zetu poleni kwa majanga na mola atutangulie
Raha ya milele uwangazie wapumzike kwa amani Ndugu zetu
Nilitaka kusema Tundu Lissu ameanza kuimba lini!?
Mungu ukawe mfariji wa Hawa watanzania wenzetu
We Lijamaa unajua kuimba aisee ni 🔥🔥🔥 Bonge la Nyimbo Yan hata unene wako hapo haujaonekana unakpaj San utafka mbali san🙏🙏 hisia kaliiiiii❤❤
Duu wejamaa kiboko hata unene hajaunaonekana 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Sana ....wimbo mzur
Wasanii wengine wanawaza mapenzi tu,hawana hata habari ya majanga
Hongea mrith wa kepteni komba tz
eti pole samia ! kama anajali 🙆🙆🙆
Huyu ndio mrithi wa jonh komba
MUNGU AFANYIKE FARAJA KWENU , HAKIKA NI MAJONZI MAKUBWA MUNGU IBARIKI NCHI YETU PAMOJA NA VIONGOZI WOTE
Poleni sana wana Manyara na Hanang kwa kupoteza nguvu za family na Taifa. Ila mavazi ya chama wapi na wapi hapo siyo chama ni msiba wacheni ujinga CCM ninyi
Inaumiza sana
😭😭😭😭😭😭Wapumzike kwa amani wapendwa wetu, Mungu akubariki msechu
Msechu upo kanunu sana kaka.
Ulintunguru Alikanunu naloli nkamu 🤣🤣🤣
Msechu komba aliebaki
Mungu awape mwisho mwema
Hongera sn msechu unajua kutunga sn nyimbo za maombolezo
😭😭😭😭🕊️🕊️🕊️eeeh mungu wangu ndugu zangu
Mungu wewe ndiyo faraja yaooo
Afadhali kajaliwa na hicho kipaji mungu azidi kumpa afya njema ❤
Wanamanyala poleni sana
Wapumzike Kwa Amani Ndg zetu...
Rest in peace mungu awapunguzie adhabu ya kaburi ndugu zetu
Msechu ulitakiwa umwimbie MUNGU...your a good woshiper
Nyimbo ya faraja sana, angekuwapo na Philip Mpango, INGEPENDEZA!
Poleni sana. Wana Manyara Mungu awateteee katika kipindi hiki kigumu
Pole ndg zetu
Poleni sanaaaaa
Poleni sana
Nothing sang! hakuna art ktk uimbaji, hakuna rhythms wala melodic sound kifupi nothing sang..
Wangemuita msanii aimbe si hili tukunyema!
Allah awaitie nguvu majeruhi walobaki na walotangulia mungu awasameh makosa yao
Naumia sana.jama zetu jamani.😂
Daah 😢😢nmejikuta nalia
Poleni
Makini
Poleni Sana ndugu zangu wa hanang maana hata maneno ya kusema nakosa zaidi ya maumivu
Tukumbuke agano lamungu nanuhy mungu aliweka agano akisema hataangamiza kwamaji wala kwamoto kwahito hii ghadhabu yamungu sababu mamboyanayoendelea duniani nisodoma nagomola tuombe huruma yamungu atuhurumie natubadili mienendo yetu watu wadunia hii yanayofanyika nimachukizo kwamungu kwakifupi huunimwisho wadunia mungu temchosha anataka. duniampya bawatu wapya tumsifu tesu kristo wapendwa tumuombe mungu baba atuhurmie naatusameheAMINA
poleni sana ndungu zangu wote walio kumbwa. na mporomoko wa mlima hanag. jamani poleni sana.
Hivi msechu yupo kwa ajili ya majanga tuu au😂😂
Hapana samia sii unajua Aki maliza kuimba pana posho yake hapo😂
Acheni ujinga
Leokwawenzunu keshokwenu nyiemnaoponda
@@DoreenDaniel-hd7kv ayo yasha tupata mpaka tumezoea 😏😏😏
Rede tanzania
M mungu atawapa subra na Imani yote hayo ni mitihan yake Allah
Rest in peace ndugu zetu.
Ushauri tu lakin nionavo mimi
Poleni sana mbele yao nyuma yetu
Poleni sana wanafamilia ndugu na jamaa marafiki taifa Kwa ujumla
Poleni Kwa mtihani nduguzetu,mungu awapatie nguvu katika kipindi hiki cha mpito.
Asante pita Msechu 😭
R I P
Pole hanang😢😢😢😢😢
😢
😢
polenii sana manyara munguu awatie nguvu katika kpnd hiki kigumu 🙏🙏😔
Hanang.....poleni sana
Watanzania wenzangu poleni sana mama Samia raisi wetu polesana mama kwa matatizo ya manyara
Kama kwqya iwe kwaya kwa wale wanaohusika na wale waislam wapewe tu miili yao wakastiri nafikiri hiyo itakuwa sawa
Miili ya awali qameshazika tayari... wanaendelea kuibua mengine kwenye tope
Do!!! Burudani tena binaadamu bwana litapita? Mwenyezimungu anapotutia majiribu juu ya maovu yetu basi haya ndio tunayomjibu basi na tusubirie tutaonana baadae
Poleni Sana ndugu zetu, Mwenyezi awasaidie kwakipindi iki kigum.
Duuh,Hongera saana msanii wa majanga, maana ww umebaki kuwa msanii wa majanga tu unadubr misiba na vilio ndo unaimna😀😀😀
Hata kuandika hujui😮 andika upya
@@kabonakabona8121mbwa
Msifanye jambo hili kuutafafuta umaarufu wa kisiasa vaeni viatu vya waathirika
We apo unataka sifa Kila Beti Samia hao wameokolewa na mungu kumbe mupokwa ajili ya matumbo yenu
Huu ndio usenge wa watanzani wakaombolezwa na mahubiri na madua ety wasanii wawaburudishee ushetani mtupu
Bwana yesu tuokoeee😢
Hata mm nashangaa ujinga huu watu bado Wana majonzi mabichii wao wanaona nyimbo ndio faraja
yan unatukna then unamtja yesu
Mungu akusamee tu, kama kweli unaona binadamu kama Kobe
Msechu bhna Jimbo nzuri za maombelezo ila sasa jina la Samia zaidi ya mara hamsini😅
Rest In Peace waliotangulia!
Mwenye Enzi Mungu awa tie amani wafiwa 😢😢😢
Poleni sana ndugu zetu kwa maafa makubwa,,wapumzike kwa amani 😭😭😭
Yaani huyu jamaa ni mrithi wa kepteni Komba kabisa😊
Hakuna kinacho nikela kumtaja taja Samia nyimbo nzima
Mungu yu pamoja nasi kila jambo linamwisho wake baraka za mungu zipo nas katika kila hatua😢😢
Poleni sana tanzania hasa watu wetu wa hanang wenzetu
Poleni san ndugu zetu hata ili itapita na mengi yamepita
Daaah Ila Peter Msechu Yupo Kama Kobe😂
😅😅😅
We uko kama nani kama si nyani...acha kubeza wenzako😓
Jamani Mungu aliyekuumba wewe vizuri mshukuru sana na kaa ukijua hujafa hujaumbika,pamoja na unene wake lkn yuko njema maisha yanaenda inawezekana wewe huna mbele wala nyuma
Jmn tunalia wengine kwnn mnataka tucheke na kilio tena
😅😅😢
Poleni sana
😢😢 God bless wahannan
Jaman ilitakiwa mchugaji au waimba mziki ya kawaida
Mwenyezi mungu awalaze ndugu zetu mahala pema peponi
Mungu wetu ni mwingi wa rehema ,, tunaomba faraja zako baba,,,,,
Huyu si kawekewa puto jaman au kalitoa😢 mbona yupo vilevile
Mbona bado mnene na tumbo lipo.sasa lileputo vipi
😭😭😭😭Ya Allah tujaalie mwisho ulio mwema🤲🤲
Mungu awasaidie ndugu zetu wa Hanang
😭😭😭 poleni sana wanamanyara na watanzania wote 🙏🙏🙏
Mungu awatie nguvu,hata hili litapita, inauma kwa kila mtu Poleni sana ndugu zetu wa Hanang