HAMAD MASOUD KIMEMKUTA KITU WAANDISHI WAMEMUULIZA"KWANIN UNAGOMBEA UWENYEKITI UKATIBU MKUU HAUTOSHI
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- HAMAD MASOUD KIMEMKUTA KITU WAANDISHI WAMEMUULIZA"KWANIN UNAGOMBEA UWENYEKITI UKATIBU MKUU HAUTOSHI
web.
x.com/tifutvza...
www.tiktok.com...
www.instagram....
#tifutv
Kuna watu wafanya uchafu mbele za watu wala hawajihisi vibaya sijui mioyo ishapigwa muhury na Allah
Ila yule yenyu anaitwa omo nimnoma sana yupo very stable mpaka kwa face yake
Ccm wanakuogopa omo kuliko maalim seif .ila maalim seif kasaficha njia Allah amjaliye ktk wajawake wema peponi
Ww Hamad masoud, wacha kudanganya watu hichochama Chako cha C U F, kimepoteza muelekeo kikomahtuty, mbendembende kifo cha mende chaliyyyy, A C T, ni chama pekee, C C M, Inahaha, upuuziwako na uroho Na Tamaa Zako Ndio ziliokuponza,
Ukikosa naona kama unatafuta njia yakwenda ccm hakuna jengineee
Munachokifanya kweli munakijuwa ni kuwatumikia mabwana zenu CCM
Chama kimepoteza muwelekeo
Nauko ukikosa hama kama ulivo hama act
Hawa wahunitu hawana chama ni kigenge ukiwafatilia hawajafanya hata mikutano ya matawi au majibo au mikoa
Uyo analinda kijio chake lazim awe pmoj na ccm hii nch ni ya chama kimoj lkin wakae wakijua maonevu yte wkumbuke mauti tu hujui yankukut saa utaondok na ulichokivun pumz tu hizo zinawahadaa
Hapana chama hapo tusidanganyane, cuf imekufa zanzibar imezikwa imekufa imeoza yanuka vibaya sanaaa
Hhhhhh njaaa na huko ushakosa uwenye kitu
Tunakujua wewe na lipumba hamna uchungu na wananchi musingali tumika kumsambaratisha maalim Seif
Na huko utakosa iyo nafasi utaenda ccm ww
Hamad alikuwa anaheshimika sana lakini sasa wapi
Msimu wa kupiga hela ushafika
Hamna jipya
CUF kilikuwa chama cha WANANCHI,CUF sasa ni ya LIPUMBA ni CUF ya CCM na CUF ya siku hizi ni sawa na MATAPISHI tu haijalishi MATAPISHI hayo ni ya BIRIANI,PILAU,CHIPSI KUKU au PIZZA.CUF imekuwa HAWARA wa CCM sasa.
Hujijuwi.wanao.kujuwa.niwanachama.au.wapezi.wachama.unajidangaya.
Nabado hujatubu utatubu Sana laana imeanza wewe na lipumba MNAANZA kuliwa hapa Dunia ni bado hukoooo
Lipumba. Kauwa Chama
Mlafi wa madaraka ni wewe hamadi huna mpy
Umekwiha bahamafi
Mnafik tuu huna lolote ...😂😂
Huyu maaruf et😅😅😅
hamadi akiingia a c t wazalendo narudisha kadi a c t
Mimi.simwana.siyasa.ila.hamadi.masudi.hanahazi.yakuwa.mwenyekiti.wataifa.tumezoweya.kuwaona.wagombeya.huwa.wana.sifakuu.tatu.
Kutafuta.kulatu.
Tunachagua mmoja tunahama sote