HAMAD MASOUD KIMEMKUTA KITU WAANDISHI WAMEMUULIZA"KWANIN UNAGOMBEA UWENYEKITI UKATIBU MKUU HAUTOSHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • HAMAD MASOUD KIMEMKUTA KITU WAANDISHI WAMEMUULIZA"KWANIN UNAGOMBEA UWENYEKITI UKATIBU MKUU HAUTOSHI
    web.
    x.com/tifutvza...
    www.tiktok.com...
    www.instagram....
    #tifutv

Комментарии • 29

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Месяц назад +3

    Kuna watu wafanya uchafu mbele za watu wala hawajihisi vibaya sijui mioyo ishapigwa muhury na Allah

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Месяц назад +3

    Ila yule yenyu anaitwa omo nimnoma sana yupo very stable mpaka kwa face yake

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h Месяц назад +3

    Ccm wanakuogopa omo kuliko maalim seif .ila maalim seif kasaficha njia Allah amjaliye ktk wajawake wema peponi

  • @SalumAmurHamad
    @SalumAmurHamad Месяц назад +4

    Ww Hamad masoud, wacha kudanganya watu hichochama Chako cha C U F, kimepoteza muelekeo kikomahtuty, mbendembende kifo cha mende chaliyyyy, A C T, ni chama pekee, C C M, Inahaha, upuuziwako na uroho Na Tamaa Zako Ndio ziliokuponza,

  • @abdallazahran3047
    @abdallazahran3047 Месяц назад +2

    Ukikosa naona kama unatafuta njia yakwenda ccm hakuna jengineee

  • @MattarMohammed-f5v
    @MattarMohammed-f5v Месяц назад +2

    Munachokifanya kweli munakijuwa ni kuwatumikia mabwana zenu CCM

  • @HafidhiHamadi-n7q
    @HafidhiHamadi-n7q Месяц назад +2

    Chama kimepoteza muwelekeo

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk Месяц назад +2

    Nauko ukikosa hama kama ulivo hama act

  • @ShauriAli-o5y
    @ShauriAli-o5y Месяц назад +2

    Hawa wahunitu hawana chama ni kigenge ukiwafatilia hawajafanya hata mikutano ya matawi au majibo au mikoa

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m Месяц назад +2

    Uyo analinda kijio chake lazim awe pmoj na ccm hii nch ni ya chama kimoj lkin wakae wakijua maonevu yte wkumbuke mauti tu hujui yankukut saa utaondok na ulichokivun pumz tu hizo zinawahadaa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Месяц назад +1

    Hapana chama hapo tusidanganyane, cuf imekufa zanzibar imezikwa imekufa imeoza yanuka vibaya sanaaa

  • @SuolFat
    @SuolFat Месяц назад +2

    Hhhhhh njaaa na huko ushakosa uwenye kitu

  • @MbaroukAli-r6k
    @MbaroukAli-r6k Месяц назад +1

    Tunakujua wewe na lipumba hamna uchungu na wananchi musingali tumika kumsambaratisha maalim Seif

  • @ShauriAli-o5y
    @ShauriAli-o5y Месяц назад +2

    Na huko utakosa iyo nafasi utaenda ccm ww

  • @NassibAbdalla
    @NassibAbdalla Месяц назад

    Hamad alikuwa anaheshimika sana lakini sasa wapi

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Месяц назад +2

    Msimu wa kupiga hela ushafika

  • @NassibAbdalla
    @NassibAbdalla Месяц назад

    Hamna jipya

  • @SalehSaleh-uf2og
    @SalehSaleh-uf2og Месяц назад

    CUF kilikuwa chama cha WANANCHI,CUF sasa ni ya LIPUMBA ni CUF ya CCM na CUF ya siku hizi ni sawa na MATAPISHI tu haijalishi MATAPISHI hayo ni ya BIRIANI,PILAU,CHIPSI KUKU au PIZZA.CUF imekuwa HAWARA wa CCM sasa.

  • @abdalaomarsaid1465
    @abdalaomarsaid1465 Месяц назад +1

    Hujijuwi.wanao.kujuwa.niwanachama.au.wapezi.wachama.unajidangaya.

  • @KibabuJanabi-cu2bp
    @KibabuJanabi-cu2bp Месяц назад

    Nabado hujatubu utatubu Sana laana imeanza wewe na lipumba MNAANZA kuliwa hapa Dunia ni bado hukoooo

  • @SaidKarama-m1w
    @SaidKarama-m1w Месяц назад

    Lipumba. Kauwa Chama

  • @MpembaOmar
    @MpembaOmar Месяц назад +2

    Mlafi wa madaraka ni wewe hamadi huna mpy

  • @NassibAbdalla
    @NassibAbdalla Месяц назад

    Umekwiha bahamafi

  • @YusraSharif-kd7pc
    @YusraSharif-kd7pc Месяц назад +3

    Mnafik tuu huna lolote ...😂😂

  • @SumuuKijoka
    @SumuuKijoka Месяц назад +1

    hamadi akiingia a c t wazalendo narudisha kadi a c t

  • @abdalaomarsaid1465
    @abdalaomarsaid1465 Месяц назад

    Mimi.simwana.siyasa.ila.hamadi.masudi.hanahazi.yakuwa.mwenyekiti.wataifa.tumezoweya.kuwaona.wagombeya.huwa.wana.sifakuu.tatu.

  • @abdalaomarsaid1465
    @abdalaomarsaid1465 Месяц назад +1

    Kutafuta.kulatu.

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk Месяц назад

    Tunachagua mmoja tunahama sote