Profesa ni profesa tu. hata kiswahili unakipa nafasi kila mara ukiwa ktk ghafla. Hongera. Hakika Monsinyori Mbiku alikuwa ni Baba wa Kiroho na mwalimu wa kanisa. Rahaha ya Milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie apumzile kwa amani amina
Kabudi naona kama barakoa leo kavaa. Hv niyeye? Ila kaona anashindwa kupumua akalivua. Hakika Magufuli ulitumia Moyo uliojaa ujasili na Imani yenye kuwasiliana na Mungu kutuponya, hakika umetuachia donda mioyoni. Mungu akulaze mahali pema. Waliokuwa chini yako huenda wakakusaliti Ila uliwabatiza kisawasawa hivyo hautasalitiwa 100%. Kabudi nakuelewaga kwenye speech zako na zinanifanya nikufuatilie sana
Prof umeongea point sana. Halafu kumbe we ni mkatoliki! Jina lako lilikuwa linanipa shida kujua upo upande gani wa dini. Hongera sana. R,I,P Monsinyori Deogratias Mbiku.
Hadi leo mimi huwa nasema, Wewe ukisimama kuongea, huwa unaunguruma maneno yalijaa ushujaa , uzalendo wa kiuongozi na yenye nguvu na mtirririko wa kihistoria katika Taifa letu la Tanzania. Hongera kwa akili kali na kwa zawadi ya imani.
Ni kigeugeu sana huyu jamaa, yaanii natamani 'yule mwamba' wa Chato angefufuka japoo siku chache & ashuhudie vimbwanga vya hawa waliokuwa wasaidizi wake.
Nawashangaa Watanzania wanaovaa barakoa wakati mungu katupatia neema ya kuishinda corona mtu uko kanisani bado tu unaonyesha unafiki kwamba corona inamzidi mungu unavaa barakoa mnasalii au mnacheza.
Wewe na hiyo imani yako isiyo na matendo acha kuvaa barakoa. Waache wenye imani ya kweli ya matendo wavae kujilinda wao na kulinda wengine. Imani bila misingi ya sayansi ni ushirikina. Wewe ni mshirikina tu! Watu wanakufa kwa korona wewe unaleta ushirikina wako hapa!
Barakoa imemshinda kaamua kuishusha, barakoa zinatesa sana pia zinasaidia kidogo sana, na inafanya ile hewa chafu ishindwe kutoka nje maana umeziba sehem zote za kuitoa pua na mdomo hivyo inaendelea kuzunguka humo ndani, barakoa sio nzuri kuvaa zaidi ya masaa 3
Acheni siasa tupu!! Barakoa hazijakatazwa na wala hazijalazimishwa.... ndo maana Una uhuru wa kuvaa na kuiondoa! Ndo akili za kuambiwa ukachanganya na za kwako!!!
Proffessor Kabudi huwa unanikosha kwa hotuba zako.❤
Profesa ni profesa tu. hata kiswahili unakipa nafasi kila mara ukiwa ktk ghafla. Hongera.
Hakika Monsinyori Mbiku alikuwa ni Baba wa Kiroho na mwalimu wa kanisa. Rahaha ya Milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie apumzile kwa amani amina
Kabudi naona kama barakoa leo kavaa. Hv niyeye? Ila kaona anashindwa kupumua akalivua. Hakika Magufuli ulitumia Moyo uliojaa ujasili na Imani yenye kuwasiliana na Mungu kutuponya, hakika umetuachia donda mioyoni. Mungu akulaze mahali pema. Waliokuwa chini yako huenda wakakusaliti Ila uliwabatiza kisawasawa hivyo hautasalitiwa 100%. Kabudi nakuelewaga kwenye speech zako na zinanifanya nikufuatilie sana
Mungu aipokee roho ya marehemu Mon.Deogratius Hukumu Mbiku katika nuru ya uso wake. Amina.
Very strategic speaker n leader
Maneno Mataamm Sana Mzee Kabudi, Mwenyezi Mungu akutangulie
Prof Kabudi has been truthful always in everything he says and does. God bless 🙏 his family and friends in Jesus's name .
I enjoy listening to him
Hongera Prof Kwa speech Nzuri
Ooh: mungu amlaze mahari pema amuangazie nulu ya milele 🕯🕯🙏🤲
Prof umeongea point sana. Halafu kumbe we ni mkatoliki! Jina lako lilikuwa linanipa shida kujua upo upande gani wa dini. Hongera sana.
R,I,P Monsinyori Deogratias Mbiku.
Sio mkatoliki ni Anglican...ndio maana KASEMA mkatoliki wa Uingereza
@@clausemsemwa297 oooh nashukuru kwa kunielewesha. Ndo maana alisema hivo kumbe!
Ni Anglican low church ilipo dodoma
Na babake alikuwa Canon huko Mvumi na baadae rift Valley Kilimatinde na ndiko alikizikwa huyo babake.
@@clausemsemwa297 upo sahihi kabisa
Mwaka Mbaya sana huu 2021
Ujumbe mzuri. Raha ya milele umpe eeBwana.
Huyu father Ana kipaji sana
Hadi leo mimi huwa nasema, Wewe ukisimama kuongea, huwa unaunguruma maneno yalijaa ushujaa , uzalendo wa kiuongozi na yenye nguvu na mtirririko wa kihistoria katika Taifa letu la Tanzania. Hongera kwa akili kali na kwa zawadi ya imani.
Nitakukumbuuukk Daima na Kuombea upumzike kwa Amani Father
Amina
Apumzike kwa amani baba yetu
Prof.Kabudi is a very wonderful man,He doesn't deserve appreciation in his absence, He should be told how smart he is to move on
Kabudi Leo umevaa barakoa bbaa
Amekuwa hana msimamo
Ni kigeugeu sana huyu jamaa, yaanii natamani 'yule mwamba' wa Chato angefufuka japoo siku chache & ashuhudie vimbwanga vya hawa waliokuwa wasaidizi wake.
Kaanza kufaa barakoa
Nawashangaa Watanzania wanaovaa barakoa wakati mungu katupatia neema ya kuishinda corona mtu uko kanisani bado tu unaonyesha unafiki kwamba corona inamzidi mungu unavaa barakoa mnasalii au mnacheza.
Wewe na hiyo imani yako isiyo na matendo acha kuvaa barakoa.
Waache wenye imani ya kweli ya matendo wavae kujilinda wao na kulinda wengine.
Imani bila misingi ya sayansi ni ushirikina. Wewe ni mshirikina tu! Watu wanakufa kwa korona wewe unaleta ushirikina wako hapa!
🚮🚮🚮🚮
Amina barikiwa
Pumzika kwa amani father askofu
NYIE MMEVAA TUNINI MIDOMONI!,SINDILIA AU!
RIP FR MBIKU TUNA MSHUKURU MUNGU KWA ZAWADI YA UHAI WAKO
God knows everything.
Kristu tumaini letuu
R.i.p
R.IP Baba Mbiku.
Kumbe akili zipo huyu mzee
kabudi amevalia barakoa
Barakoa imemshinda kaamua kuishusha, barakoa zinatesa sana pia zinasaidia kidogo sana, na inafanya ile hewa chafu ishindwe kutoka nje maana umeziba sehem zote za kuitoa pua na mdomo hivyo inaendelea kuzunguka humo ndani, barakoa sio nzuri kuvaa zaidi ya masaa 3
Tanzania haina corona. Mbona mabarakoa?
Imani ndogo.
Kwanini ndugu zetu wa kristo kanisani nawaona wa zungu huwa wana mana hipi 🇺🇸
Wamisionari
hao ni mapadre,.
Huwa wanamwabudu kristo
Wanaletwa na mashirika yao kufanya kazi ya kanisa
Kama ilivyo kawaida kuwaona waarabu msikitini
Bado kununua chanjo tu!
Alikua mcheshi huyo padre
Leo kabudi unavaa barakoa hahahahaaaa🤸♀️
Nilikuwa na promise nae mwezi June tuonane.Alinilea sana Mungu ampokeee
Huyu professor ni wa ajabu sana leo anahutubia huku amevaa barokoa Mbona zamani alikuwa hatumii au ulikuwa ni uoga wa kutotaka kumuudhi marehemu ?
rip
Umevaa barakoa Sasa eeehhh?
Kavaa nakuvua vilevile
Acheni siasa tupu!! Barakoa hazijakatazwa na wala hazijalazimishwa.... ndo maana Una uhuru wa kuvaa na kuiondoa! Ndo akili za kuambiwa ukachanganya na za kwako!!!