PROF:KABUDI AWAOMBA MAPADRE MSAMAHA/VICHEKO VYATAWALA KWENYE MSIBA WA MONSINYORI MBIKU/YUPO MBINGUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 61

  • @fridaupendomushi1081
    @fridaupendomushi1081 3 месяца назад

    Proffessor Kabudi huwa unanikosha kwa hotuba zako.❤

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +5

    Profesa ni profesa tu. hata kiswahili unakipa nafasi kila mara ukiwa ktk ghafla. Hongera.
    Hakika Monsinyori Mbiku alikuwa ni Baba wa Kiroho na mwalimu wa kanisa. Rahaha ya Milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie apumzile kwa amani amina

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 3 года назад +5

    Kabudi naona kama barakoa leo kavaa. Hv niyeye? Ila kaona anashindwa kupumua akalivua. Hakika Magufuli ulitumia Moyo uliojaa ujasili na Imani yenye kuwasiliana na Mungu kutuponya, hakika umetuachia donda mioyoni. Mungu akulaze mahali pema. Waliokuwa chini yako huenda wakakusaliti Ila uliwabatiza kisawasawa hivyo hautasalitiwa 100%. Kabudi nakuelewaga kwenye speech zako na zinanifanya nikufuatilie sana

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 3 года назад +2

    Mungu aipokee roho ya marehemu Mon.Deogratius Hukumu Mbiku katika nuru ya uso wake. Amina.

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 3 года назад +3

    Very strategic speaker n leader

  • @kessyantoy6223
    @kessyantoy6223 3 года назад

    Maneno Mataamm Sana Mzee Kabudi, Mwenyezi Mungu akutangulie

  • @aloiceoduorokoth230
    @aloiceoduorokoth230 3 года назад +4

    Prof Kabudi has been truthful always in everything he says and does. God bless 🙏 his family and friends in Jesus's name .

  • @denismatowo5627
    @denismatowo5627 3 года назад

    Hongera Prof Kwa speech Nzuri

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 3 года назад +2

    Ooh: mungu amlaze mahari pema amuangazie nulu ya milele 🕯🕯🙏🤲

  • @evanemes1567
    @evanemes1567 3 года назад +2

    Prof umeongea point sana. Halafu kumbe we ni mkatoliki! Jina lako lilikuwa linanipa shida kujua upo upande gani wa dini. Hongera sana.
    R,I,P Monsinyori Deogratias Mbiku.

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 3 года назад +1

      Sio mkatoliki ni Anglican...ndio maana KASEMA mkatoliki wa Uingereza

    • @evanemes1567
      @evanemes1567 3 года назад +2

      @@clausemsemwa297 oooh nashukuru kwa kunielewesha. Ndo maana alisema hivo kumbe!

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 3 года назад +1

      Ni Anglican low church ilipo dodoma

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 3 года назад +1

      Na babake alikuwa Canon huko Mvumi na baadae rift Valley Kilimatinde na ndiko alikizikwa huyo babake.

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 3 года назад +1

      @@clausemsemwa297 upo sahihi kabisa

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 3 года назад +2

    Mwaka Mbaya sana huu 2021

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 3 года назад +3

    Ujumbe mzuri. Raha ya milele umpe eeBwana.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +7

    Huyu father Ana kipaji sana

  • @marysona9999
    @marysona9999 3 месяца назад +1

    Hadi leo mimi huwa nasema, Wewe ukisimama kuongea, huwa unaunguruma maneno yalijaa ushujaa , uzalendo wa kiuongozi na yenye nguvu na mtirririko wa kihistoria katika Taifa letu la Tanzania. Hongera kwa akili kali na kwa zawadi ya imani.

  • @happinessmtui8571
    @happinessmtui8571 3 года назад +1

    Nitakukumbuuukk Daima na Kuombea upumzike kwa Amani Father

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Год назад

    Amina

  • @christophermbunda2172
    @christophermbunda2172 3 года назад +4

    Apumzike kwa amani baba yetu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 3 года назад

    Prof.Kabudi is a very wonderful man,He doesn't deserve appreciation in his absence, He should be told how smart he is to move on

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 3 года назад +2

    Kabudi Leo umevaa barakoa bbaa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 года назад +1

      Amekuwa hana msimamo

    • @kilapilo.kilapilo5292
      @kilapilo.kilapilo5292 3 года назад +1

      Ni kigeugeu sana huyu jamaa, yaanii natamani 'yule mwamba' wa Chato angefufuka japoo siku chache & ashuhudie vimbwanga vya hawa waliokuwa wasaidizi wake.

  • @mbarakajummadindamadinda491
    @mbarakajummadindamadinda491 3 года назад

    Kaanza kufaa barakoa

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 3 года назад

    Nawashangaa Watanzania wanaovaa barakoa wakati mungu katupatia neema ya kuishinda corona mtu uko kanisani bado tu unaonyesha unafiki kwamba corona inamzidi mungu unavaa barakoa mnasalii au mnacheza.

    • @williammasubi1114
      @williammasubi1114 3 года назад +1

      Wewe na hiyo imani yako isiyo na matendo acha kuvaa barakoa.
      Waache wenye imani ya kweli ya matendo wavae kujilinda wao na kulinda wengine.
      Imani bila misingi ya sayansi ni ushirikina. Wewe ni mshirikina tu! Watu wanakufa kwa korona wewe unaleta ushirikina wako hapa!

    • @csato9415
      @csato9415 3 года назад

      🚮🚮🚮🚮

  • @helencyprian6044
    @helencyprian6044 3 года назад

    Amina barikiwa

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 3 года назад

    Pumzika kwa amani father askofu

  • @mihayoyabhupangachannel9909
    @mihayoyabhupangachannel9909 3 года назад +2

    NYIE MMEVAA TUNINI MIDOMONI!,SINDILIA AU!

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 3 года назад +1

    RIP FR MBIKU TUNA MSHUKURU MUNGU KWA ZAWADI YA UHAI WAKO

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 3 года назад

    God knows everything.

  • @goodmorningonlinetv5637
    @goodmorningonlinetv5637 3 года назад +2

    Kristu tumaini letuu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 года назад +2

    R.i.p

  • @julianadaudi8541
    @julianadaudi8541 3 года назад +2

    R.IP Baba Mbiku.

  • @essammanyologa3934
    @essammanyologa3934 3 года назад

    Kumbe akili zipo huyu mzee

  • @babayao3791
    @babayao3791 3 года назад +1

    kabudi amevalia barakoa

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 3 года назад +3

      Barakoa imemshinda kaamua kuishusha, barakoa zinatesa sana pia zinasaidia kidogo sana, na inafanya ile hewa chafu ishindwe kutoka nje maana umeziba sehem zote za kuitoa pua na mdomo hivyo inaendelea kuzunguka humo ndani, barakoa sio nzuri kuvaa zaidi ya masaa 3

  • @nyotasingers
    @nyotasingers 3 года назад

    Tanzania haina corona. Mbona mabarakoa?

    • @kiatu
      @kiatu 3 года назад

      Imani ndogo.

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim1585 3 года назад +3

    Kwanini ndugu zetu wa kristo kanisani nawaona wa zungu huwa wana mana hipi 🇺🇸

  • @mubahamisi1075
    @mubahamisi1075 3 года назад +1

    Bado kununua chanjo tu!

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +3

    Alikua mcheshi huyo padre

    • @faridymkojera6144
      @faridymkojera6144 3 года назад

      Leo kabudi unavaa barakoa hahahahaaaa🤸‍♀️

    • @rithamsele8275
      @rithamsele8275 3 года назад

      Nilikuwa na promise nae mwezi June tuonane.Alinilea sana Mungu ampokeee

  • @ishaelkivuyo1188
    @ishaelkivuyo1188 3 года назад

    Huyu professor ni wa ajabu sana leo anahutubia huku amevaa barokoa Mbona zamani alikuwa hatumii au ulikuwa ni uoga wa kutotaka kumuudhi marehemu ?

  • @rwebangiraruta7704
    @rwebangiraruta7704 3 года назад +2

    rip

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn6564 3 года назад +2

    Umevaa barakoa Sasa eeehhh?

    • @tumahamza8972
      @tumahamza8972 3 года назад

      Kavaa nakuvua vilevile

    • @maishayakipepeo7309
      @maishayakipepeo7309 3 года назад

      Acheni siasa tupu!! Barakoa hazijakatazwa na wala hazijalazimishwa.... ndo maana Una uhuru wa kuvaa na kuiondoa! Ndo akili za kuambiwa ukachanganya na za kwako!!!