Ila huyu braza Nyimbo zake huwa znani bariki Sana nataman Siku nipate hata Picha nae by the way ndo aliyenifanya nianze kuimba Kwaya 🙌 Mwenyezi Mungu akubariki Braza
😢akili yangu ifikapo mwisho, wewe ndio waanzia. Nashangilia haja ya moyo wangu, hata kama bado sijaona kwa macho😭😭😭 that's what faith is, and surely God is faithful.
Have pushed for a long time And the lord told me to look at The thing's that have been weighing me down ...for I'll never see them again ... God restores... He's my confidence...
WOOW🙌🏾🔥🔥i remember the feelings i got from the very first day we sing this song ITS STILL THE SAME UP TO DATE huu wimbo haujawahi kuchuja kwangu 😔😔🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 AMEJIBU HAJA YA MOYO WANGU AM BLESSED
Kwa kweli moja ya wimbo unanibariki saana huu ni zaidi,,, nikiusikilza najikuta unanigusa katika moyo pamoja na maisha piah,,,, mungu akubariki saana kaka Paul mungu azidi kukufunulia mawazo zaidi na zaidi
Ooh wow nice job bro our God iz a very bountiful and our promise keeper Be blessed ...Ooh wow Mungu wetu ni mwema hadi nashangaaa ...moving forward forever ever.
MUNGU WANGU yupo kazini kunijibu haja ya moyo wangu, sababu hiyo NAMTUKUZA, mwisho wa kufikiri kwa akili zangu NDIO MWANZO WA MUNGU KUNITENGENEZEA NJIA YAKE ISIYO NA MAJUTO
Oh yea,,,, He's ever faithful and consistent,,, He will never forsake us,, many are times we feel like we're all alone but don't give up just yet,, He answers prayers
Amen am blessed Nashangilia maana Mungu amejibu haja za moyo wangu kwa yale nimeona kwa macho hata memgine yaliyopo kwa roho yanadhihirishwa..Asante Yesu wimbo umekuja majira sahihi.be blessed Paul
This song gives me hope that everything will be ok,8 months pregnant,my baby is breech,no money for delivery Incase it's CS delivery. I believe and trust he has changed my life 🙏🙏
Sending our prayers to you and your baby ...that verse that says he knew us while we we're still in ours mum's womb ...he already knows the baby ..it is well
My neighbours will absolutely love this song😅😅 it's been on replay since I discovered it. The peace and hope that emanates from this song is unfathomable 😊
This song came into my heart at a time when I'm so emotional and having lots of questions and feel like giving up on waiting for a marriage partner. I feel I have already prayed all sorts of prayers i could to God. But there's still that still small voice that's telling me not to give up. I only have one simple prayer "God give me a good husband that we can serve God together"
I feel its so hard but GOD knows it all. Sometimes there was i compared myself with others but we both have different Grace . I feel you because I'm in the same boat😭😭😭😭😭😭 I just love you so much Daddy😭 that I cant betray You Ooooh LORD .😭😭😭😭
Ila huyu braza Nyimbo zake huwa znani bariki Sana nataman Siku nipate hata Picha nae by the way ndo aliyenifanya nianze kuimba Kwaya 🙌 Mwenyezi Mungu akubariki Braza
Hongereni Paul na Anna naamini mmetuletea mjukuu God is good
From a failed marriage to trying to kill my self to God restoring me again with a very beautiful wife and a baby and turning my life around,😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu atakupa raha zaid In Jesus name
Bwana anakujalia mengine makuu🙏👏👏👏👏
Wow God is so faithful
amen,you are blessed
His faithful he mks everything beautiful in his own tyme
Someone please like my reply ,I want to come back and listen to this song! All praise to God!!!❤
😢akili yangu ifikapo mwisho, wewe ndio waanzia. Nashangilia haja ya moyo wangu, hata kama bado sijaona kwa macho😭😭😭
that's what faith is, and surely God is faithful.
Have pushed for a long time
And the lord told me to look at The thing's that have been weighing me down ...for I'll never see them again ... God restores... He's my confidence...
Sijaona bado ila naamini Mungu amenijibu yote hivyo nashangalia🙏🙏
Najua utanijb piaa mungu wang
Nice song nice voice barikiwa kaka
WOOW🙌🏾🔥🔥i remember the feelings i got from the very first day we sing this song ITS STILL THE SAME UP TO DATE huu wimbo haujawahi kuchuja kwangu 😔😔🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 AMEJIBU HAJA YA MOYO WANGU AM BLESSED
🔥🔥🔥🔥
Great song minister 🔥🔥
One of the best songs
I do appreciate you man may God protect you and keep on answering ol ur prayers as u need
Hongeraaaa kakaaa the baby is beautiful😍😍😍😍😍😍😍😍
nashangiliaa mungu akubariki sanaaaa poul
Heiyee Amejibu kwa wakati🙏🙏🤍kwako Kuna kila jibu la kila Swali la moyoni,akili yangu ifikapo mwisho ndipo wewe unaanzia Bwana ☺️🙏
Say if you are from tiktok......I loveee this song
Hallelujah 🙏, nice song nimebarikiwa sana, MUNGU azidi kukuinua zaidi 🙋
Amefaya njia mbele yangu 🙏 Nashangilia
Wewe nomq siku zote mungu aendelee kukuinua siku zote
wimbo wa nyakati zote,,it fits in any situation
Kwa siku naskiza zaidi ya mara 10..na bado sichoki
Pamoja bro katika kristo
umejua kunibariki kupitia wimbo huu hallelujah🙏🙏
Nashangilia sababu amejibu haja ya moyo wangu💯
Kweli Mungu anamajibu ya kila maswali ndani ya moyo
❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 amejibu kwa wakati .
Leo tuliimba ule wimbo Shangilia kwa furaha... Nadhani wiki nzima tunashangilia. Bwana Yesu ni mwema sana. Wimbo mzuri sana
😭😭😭😭😭😭😭amejibu Ila napitia kipind kigum kweli
Kaka u have made it it's very excited
Nilipoanza safari nikafika mwisho nikakutana na mwanzo wa Mungu. Kumbe akili yangu ifikapo mwisho wewe ndipo unaanzia 🙏
Nashangilia sababu mungu amejibu haja ya moyo wang
Pa 1 Kaka , Mungu Akubariki Zaid
2:52 nilipoanza Safari Nikafika mwisho Nikakutana na Mwanzo 😀 wa Mungu 🙏
Nabarikiwa na wimbo, Mungu akuzidishie 💝
Amina,ubarikiwe kaka
Kwa kweli moja ya wimbo unanibariki saana huu ni zaidi,,, nikiusikilza najikuta unanigusa katika moyo pamoja na maisha piah,,,, mungu akubariki saana kaka Paul mungu azidi kukufunulia mawazo zaidi na zaidi
Nashangilia nashangilia MUNGU amenijib
_____
This song 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
ila kababy alielewa somo, ajatuangalia ata
Ooh wow nice job bro our God iz a very bountiful and our promise keeper Be blessed ...Ooh wow Mungu wetu ni mwema hadi nashangaaa ...moving forward forever ever.
Je valide ça chers frère clément.
Going devastating situation but I do believe nitashangilia ii mwaka
Barikiwa 🙏
Nashangilia 🎉sababu Mungu amejibu haja ya moyoo wangu ❤❤❤
Nikisikiliza hii nyimbo ninakua naamani ya ajabu mungu azidi kuku bariki
Amen Mungu atujalie nguvu ya kuamini kile tunachowish kupata kwa wakati tumshangilie kila mara na kila wakati
That line.. Bwana kwako kuna kila jibu la kila swali la moyoni.. #BlessedbeHisnameforever.
Kwa Mungu Kuna Kila jibu na Kila swali.... Nashangilia maana Mungu amenijibu maombi 🙏🙏🙏
Marvelous am blessed aisee🙏🙏🙏
Nikisikiliza huu wimbo nalia sana nahisi nipo karibu na yesu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
He is Jehovah Jireh. Asante Mungu unajibu maombi. Very powerful praise thanksgiving song🙏🔥🔥🔥🔥💪
Nashangilia sababu Mungu amejibu haja ya moyo wangu,Asante yesu🙏🙏🙏
Nashangilia Mungu amejibu haja ya moyo wangu kwa kunipa mtoto na mume mzuri🙏🏽
Hongeraa
Mshukur MUNGU
Bwana kwako kuna kila jibu la swali la Moyoni...
I love you oh Lord my Strength!
Celebrating what has not happened yet is the greatest form of faith... I'm a worship leader and I thing I sing this song almost every Sunday
It's called the sacrifice of Thanksgiving, it goes straight to God's ears for our faith in Him.
I trust him he has answered every heart desires.i thank you for salvation coz is the full package of every good blessings
This is my favourite from the core of my heart🔥🔥🔥
Nashangilia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤️
Mwimbaji wangu bora wa muda wote wa nyimbo za injili .. God bless you minister
Akili yangu ifikapo mwisho wewe ndipo huanzia naamini Mungu mwema utanijibu pia haja ya moyo wangu . Ubarikiwe kaka kwa wimbo mzuri
God bless you!!Minister🙌🙌🙌🙌
MUNGU WANGU yupo kazini kunijibu haja ya moyo wangu, sababu hiyo NAMTUKUZA, mwisho wa kufikiri kwa akili zangu NDIO MWANZO WA MUNGU KUNITENGENEZEA NJIA YAKE ISIYO NA MAJUTO
Akili yangu ifikapo mwisho, ndipo Bwana anapoanzia... 🙌🙌 You are blessed Minister Paul!!
"Nilipoanza safari,nikafika mwisho nikakutana na mwanzo wa Mungu" 🙋♀️barikiwa sana kaka nyimbo zako hazijawahi kua za kawaida kwangu....
Oh yea,,,, He's ever faithful and consistent,,, He will never forsake us,, many are times we feel like we're all alone but don't give up just yet,, He answers prayers
"Who is man that you are mindful him? and the son of man that you should visit him" This song brings me to tears all the time .. am blessed😊
Oh wow,halleuyah🎉🎉🎉🎉
Amen am blessed Nashangilia maana Mungu amejibu haja za moyo wangu kwa yale nimeona kwa macho hata memgine yaliyopo kwa roho yanadhihirishwa..Asante Yesu wimbo umekuja majira sahihi.be blessed Paul
Sifa kwa Bwana kwakua jibu kwetu
This song gives me hope that everything will be ok,8 months pregnant,my baby is breech,no money for delivery Incase it's CS delivery. I believe and trust he has changed my life 🙏🙏
Keep praying and trusting..He is with you
Sending our prayers to you and your baby ...that verse that says he knew us while we we're still in ours mum's womb ...he already knows the baby ..it is well
Mungu ashajibu maombi yako dada
God will come through..
may God break through to you dear in Jesus name
My neighbours will absolutely love this song😅😅 it's been on replay since I discovered it. The peace and hope that emanates from this song is unfathomable 😊
This song is a blessing
😭😭😭😭thank you so much bro may God bless you
Waiting hellow chilambo much love from kenya 🇰🇪💖💖💖💖
God has already answered our prayers Hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏽
Such an amazing songg🙌🏿🙌🏿🙏🏿
When I discovered this song , imekuwa kwa replay mode on my working laptop, This is thanks giving on another level
Amen..
Amen nashangalia
mkuu💪💪
❤❤❤❤i feel blessed
utamu wa kumpata kipenzi cha ujana wako mkiwa wote vijana ,............mmmh so sweet twashangilia na wewe kaka ,twakupenda sana ..KE
God bless you My brother this song, being blessed from kenya
Nashangilia 🥰🥰🥰🥰
Have been watching the growth of this platform and it's growing slowly yet the minister has been doing great great work ...kindly lets support him 🙏
Hallelujah 🙏 mungu apewe sifa zote.
Oooooh hallelujah
Waaaaaoooooooouuuuuuu, let's meet
Blessed one 💯💯💯
Big up bro Paul your songs always bless me, God bless you 😊
Indeed am celebrating ...
Hongera sana kaka Poul good song indeed
Ubarikiwe Kaka Paul Clement
A song in the right season of my life and marriage..Thank you fulfilling my heart desires LORD, Glory to God
MAY JESUS KEEP YOU AND YOUR FAMILY BRO👏👏👏👏
Always am listening this song blessed 🙏 🙏
Wimbo mzuri sana God bless you MOG🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kuna yale maneno ulizungungumza kuhusu wana wa israel wakiamini Bwana amewapa na walikuwa hawajauingia, yananipa nguvu hadi leo
Wooow thanks for the song ubarikiwe minister Paul Clement 🙏💪
This song came into my heart at a time when I'm so emotional and having lots of questions and feel like giving up on waiting for a marriage partner. I feel I have already prayed all sorts of prayers i could to God. But there's still that still small voice that's telling me not to give up. I only have one simple prayer "God give me a good husband that we can serve God together"
I feel its so hard but GOD knows it all. Sometimes there was i compared myself with others but we both have different Grace . I feel you because I'm in the same boat😭😭😭😭😭😭 I just love you so much Daddy😭 that I cant betray You Ooooh LORD .😭😭😭😭
A very nice song. God is true to His word. The promise keeper
The baby is so calm:) what a great prophetic song.
This song is🔥🔥🔥🔥🔥
MUNGU alikuchagua umtumikie aisee 🙏 nabarikiwa sana
Mwisho wa jitihada zetu nimwanzo utendaji wake Mungu #nashangilia
I Love the Chord progression and the mood this melody oozes out
🔥🔥🔥🔥Beautiful melody bro! A 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪'n Love ♥️