Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Matarajio Makubwa kwa Taifa Stars. Hongera kwa kuwachukua vijana wengi wa Ngorongoro Herros. Maelezo mazuri Koch. Vijana wachangamkie fursa hiyo.
Kwa watoto Hawa hatuwezi kuitoa Mauritania huyu kocha sijamuelewa hii ni timu ya majaribio
Kocha acha naneno matupu. Mazoezi ni muhimu sana.
Nanyie mtamaliza saa nane 😂😂😂 ao watoto tu tukifungwa tukatoka ujue kuwajibika ukifungwa 7 ndio utajua
Kocha umejitahidi ila tukichomolewa kwenye mashindano kwa sababu ya kujaribu wachezaji sitokaa nikuelewe.
Yanga si icheze si ndo timu ya taifa?au timu ya serikali?
Timu serikali kvp ndugu?
Kwanini tff wasiende yanga asindivyo timu yaserikali yatazania
Kwenye timu ya taifa icheze TU yanga
stupid
Yanga du
Matarajio Makubwa kwa Taifa Stars. Hongera kwa kuwachukua vijana wengi wa Ngorongoro Herros. Maelezo mazuri Koch. Vijana wachangamkie fursa hiyo.
Kwa watoto Hawa hatuwezi kuitoa Mauritania huyu kocha sijamuelewa hii ni timu ya majaribio
Kocha acha naneno matupu. Mazoezi ni muhimu sana.
Nanyie mtamaliza saa nane 😂😂😂 ao watoto tu tukifungwa tukatoka ujue kuwajibika ukifungwa 7 ndio utajua
Kocha umejitahidi ila tukichomolewa kwenye mashindano kwa sababu ya kujaribu wachezaji sitokaa nikuelewe.
Yanga si icheze si ndo timu ya taifa?au timu ya serikali?
Timu serikali kvp ndugu?
Kwanini tff wasiende yanga asindivyo timu yaserikali yatazania
Kwenye timu ya taifa icheze TU yanga
stupid
Yanga du