KAPOMBE,ZIMBWE,FEI TOTO, IBRA BACCA HAWAJAITWA TIMU YA TAIFA/MANULA KUINGOZA TZ SUDAN/KOCHA AFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 11

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 День назад +1

    Matarajio Makubwa kwa Taifa Stars. Hongera kwa kuwachukua vijana wengi wa Ngorongoro Herros. Maelezo mazuri Koch. Vijana wachangamkie fursa hiyo.

  • @JohanesPaul-u7k
    @JohanesPaul-u7k День назад

    Kwa watoto Hawa hatuwezi kuitoa Mauritania huyu kocha sijamuelewa hii ni timu ya majaribio

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 День назад

    Kocha acha naneno matupu. Mazoezi ni muhimu sana.

  • @almachiusemmanuel9506
    @almachiusemmanuel9506 День назад

    Nanyie mtamaliza saa nane 😂😂😂 ao watoto tu tukifungwa tukatoka ujue kuwajibika ukifungwa 7 ndio utajua

  • @sabathmnubi5033
    @sabathmnubi5033 День назад

    Kocha umejitahidi ila tukichomolewa kwenye mashindano kwa sababu ya kujaribu wachezaji sitokaa nikuelewe.

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v День назад +1

    Yanga si icheze si ndo timu ya taifa?au timu ya serikali?

  • @FabiolaTriphon
    @FabiolaTriphon День назад

    Kwanini tff wasiende yanga asindivyo timu yaserikali yatazania

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d День назад

    Kwenye timu ya taifa icheze TU yanga