Kwan mnaongea nn mbna mnaenda mbele na kurid nyuma😂 mshakubal kua ahmed yko sahh kua yanga ni bora lakin sio kiasi kikubwa sana juu ya simba kwmba ni bora lakin hawapishani sana . Na mnakubali hlo af bado manaendelea kugeuz maneno
LEA shida yako ni kupenda Simba unakwana hata kuzungumzwa red card ya Hamza mbona unaona tu hizo penati Tatu tuu. Endeleeni kuwa danga ya mtajua mwisho wa msimu
Watu waache lawama wawekeze kwenye mpira wawekeze kwenye mambo ya msingi waamuzi wetu bado lakini sio sehemu pekee ya kulalamikia timu zisajili tuache kulia Lia nyau.
Penalty tatu n zipi? Hawa makolo ukiwasikiliza alafu ukaangalia reply unabaki kusema mbona kama kuna uweledi umepungua Kwa walioaminiwa kupewa platform
Bongo hakuna wachambuzi sikwiizi wamebaki machawa tu njaa tu. Kulikuwa wachambuzi wawili tu kashasha na mgine Ali mayayi tembele. Kwahiyo kabaki Ali mayayi tembele pekee ambaye anachambua mpira bila upendeleo. Lkn nyinyi wote munangalia upepo nani anatoa mpunga ukisifia timu yake
Kuna suala, kati ya kumwima penati na kupewa redi kadi ni kipi kilicho bora? Naomba mnisaidie kuchambua kati na penalties na kadi nyekundu kipi kina athari kubwa. Chambueni kikubwa
Nenden mkajifunze sifa zawachambuz ninyi mnaongea kama mnawapigia sera watu fulan ,kuwen straight forward kaa kwenye position yako wewe kama professional na sio mpiga debe
Yanga seio bora kuliko Simba. Yanga wana shinda kwa kuhujumu kwa mgongo wa Refa. Mechi zilizo pita zote yanga wame bebwa. Golkeepa wa J.K.T. ame sema yanga wana bebwa na Refa. Kama hii Dabi ya tarhe 19. Ileyo pita Simba wame hujumeya sana Simba walisha shinda.
Nadhani haki inapaswa kutendeka hata kati ya Simba na Dodoma jiji au hata na prison,goli che Fondo Malone halikupaswa kupasishwa --- kumbekeni kuwa Yanga nao walinyimwa Pernati ya Dube --- ok Madu wanatengeneza timu -- Yanga je,wamelala ? " derby mtaonyeshwa kuwa,hakuna aliyelala "
Haki zipo ktk timu za simba & young timu zengine hazina haki na wachambuz weengi wamebez simba asifungwe cz ndio timu yao pendwa na pia wajaona ktk ngao ya jamii young hao hao walinyimwa oenant ngpi na refa na magoli pia ya creare
Uko sahihi kabisaa Dodoma jiji walinyimwa, Azam magoli yote mawili ni offside Simba walinufaika Coastal goli la tatu muamuzi hakusubiri akapuliza filimbi Hilo wao hawaoni
Mimi naipenda Simba na kweli sasa hivi tuna wachezaji wazuri lakini ukweli unabaki kuwa Yanga inatuzidi ubora. Hii haina maana kuwa Simba haiwezi kuifunga Yanga la hasha. Mpira hauko hivyo naamini Simba inao uwezo wa kuifunga Yanga lakini Yanga ni bora. Simba bado inatakiwa kuboresha kikosi inahitaji kufanya sajili zaidi tena quality players.
Jeff😂 inamana hukuona kiatu juu ya kichwa cha Musonda 😅 acha mapenzi
HAPAKUWA NDANI YA BOX BUT WALIKATWA MARA TATU NDANI YA BOX NA WATU WALIFAA KUPEWA YELLEW CARD INFACT YANGA WALIKUWA NA KADI MUHIMU TATU NYEKUNDU
@@kelvinwilfred-p2e hizo card usifikiri zinatolewa tu kama msaada,,
Asante kwa ukweli wamuzi wameondoa utamu wa ligi
Wachambuzi nyeee achan uongo simba anajenga timu toka mwaka 36 had leo anajenga hiyo timu 2024 kwel tanzania Sisi hatujui mpira
Nyie wachambuz miyeyusho kama shida magoli Simba ana magoli mengi kama dabi yanga wamebebwa shida mna mapenz
Kwan mnaongea nn mbna mnaenda mbele na kurid nyuma😂 mshakubal kua ahmed yko sahh kua yanga ni bora lakin sio kiasi kikubwa sana juu ya simba kwmba ni bora lakin hawapishani sana .
Na mnakubali hlo af bado manaendelea kugeuz maneno
Majinga2
hata yanga ngao ya jamii refa ange tenda haki zilikuwa sita
Ngao tena kweli wewe chura
@@fightermshamu2466kumbe nn ww koloo
Kwani huyo Geoffrey hakuna Musonda hakuchezewa faulo ndani ya box? Vipi Dube hakuzuiliwa na mtu wa mwisho haikuwa red card?
Kwahiyo wakisajili tu watafunga Yanga?
Ile ngao kufutwa magoli matatu vipi?
Yanga imeshinda ushindi wake sio wakujipiga kifua?
Huyu jamaa bhanaa mnazi wa mandunduka.
KWELI SIMBA SIO BORA,BORA NI MAREFALII
LEA shida yako ni kupenda Simba unakwana hata kuzungumzwa red card ya Hamza mbona unaona tu hizo penati Tatu tuu. Endeleeni kuwa danga ya mtajua mwisho wa msimu
Watu waache lawama wawekeze kwenye mpira wawekeze kwenye mambo ya msingi waamuzi wetu bado lakini sio sehemu pekee ya kulalamikia timu zisajili tuache kulia Lia nyau.
AHAMED ALLY MUACHENI ANA MAPUNGIFU MAKUBWA SANA.. YAANI YANGA KTK MECHI 4 IMEWAPIGA SIMBA GOLI 9 BADO WANAIPIGIA YANGA KELELE ?
Ishu sio kupigwa ishu ni unapigwaje mkuu
Penalty tatu n zipi? Hawa makolo ukiwasikiliza alafu ukaangalia reply unabaki kusema mbona kama kuna uweledi umepungua Kwa walioaminiwa kupewa platform
Huyu jof hewa kbisa
Pamoja na hayo yote Simba ndo Wana vitabia vya kuwahonga wamuzi
Huyu jamaa cjawahi kumuelewa atachelewa sana kuamka
Hamna mchambuzi hapo wote ni yanga
Chambueni mpira Athenian siasa mpira haukohivyo .journey hajui kuchambua mpla
Timu inatenhenezwa kwa mda gani acheni swaga wacheze mpira wamecheza shirikisho baso wanajitafuta nini wanatengeneza nini
Bongo hakuna wachambuzi sikwiizi wamebaki machawa tu njaa tu. Kulikuwa wachambuzi wawili tu kashasha na mgine Ali mayayi tembele. Kwahiyo kabaki Ali mayayi tembele pekee ambaye anachambua mpira bila upendeleo. Lkn nyinyi wote munangalia upepo nani anatoa mpunga ukisifia timu yake
Na wew hakubaliani na ww
Kuna suala, kati ya kumwima penati na kupewa redi kadi ni kipi kilicho bora? Naomba mnisaidie kuchambua kati na penalties na kadi nyekundu kipi kina athari kubwa. Chambueni kikubwa
Kanyoko aliivuruga Simba kimchezo,na kuipa Hali yamotisha yanga.acheni umbea
Machawa kwenye ubora wenu
Nenden mkajifunze sifa zawachambuz ninyi mnaongea kama mnawapigia sera watu fulan ,kuwen straight forward kaa kwenye position yako wewe kama professional na sio mpiga debe
Wandishi wote tuwajua machawa tu wa GSM
Kwahiyo ile freekick hayakuwa makosa
Kwani timu bora inapimwa ktk Daby au 😂😂
Leah unasema penalt tatu yani mchezaji ajiangushe tu Ile ya Diarra si alicheza mpira Acha ushabiki
Wewe unayejibu mpumbafu ni mwana yanga tuu
Yanga seio bora kuliko Simba. Yanga wana shinda kwa kuhujumu kwa mgongo wa Refa. Mechi zilizo pita zote yanga wame bebwa. Golkeepa wa J.K.T. ame sema yanga wana bebwa na Refa. Kama hii Dabi ya tarhe 19. Ileyo pita Simba wame hujumeya sana Simba walisha shinda.
Polee😅😅😅
We teja usiitetee timu Yako mbovu
Geoff tatizo lako una tumia jicho moja embu fumbua jicho la pili dogo
Hivi ninyi wachambuzi kwanini mtenatetea upuuzi wakayoko na gsm eb acheni uchambuzi wakikayoko
GSM alicheza namba ngapi?
Kwann asicheze na Mo sasa
Wakati mwingine mlipaswa kumuita Ahmed Ally pia sio kumsemea yy hayupo, tunakosa uzani WA mjadala
Halafu hizo penalty walisema wamenyimwa 1, mara wakasema 2 na sasa wamefika 3? Wanaweza sema na red card 2 wamenyimwa sasa
kaangalie siuna device yenyeuwezo wakuingia YOU TUBE mzee kaangalie bacca, boca na mudathiri
Nadhani haki inapaswa kutendeka hata kati ya Simba na Dodoma jiji au hata na prison,goli che Fondo Malone halikupaswa kupasishwa --- kumbekeni kuwa Yanga nao walinyimwa Pernati ya Dube --- ok Madu wanatengeneza timu -- Yanga je,wamelala ? " derby mtaonyeshwa kuwa,hakuna aliyelala "
Goli la kumtomba mama yako mzazi chemalone hakupaswa kupewa ila goli la mpira wa miguu tayari Simba ana point 3
Acheni siasa chambuwa alichosema maana hata mtoto anaelewa
Sasa haki hiyo itendeke kwa Yanga tu ikicheza simba ama maana ata simba akicheza na timu zingine hakuna haki
Yanga akicheza na Tim nyingine jee??
Haki zipo ktk timu za simba & young timu zengine hazina haki na wachambuz weengi wamebez simba asifungwe cz ndio timu yao pendwa na pia wajaona ktk ngao ya jamii young hao hao walinyimwa oenant ngpi na refa na magoli pia ya creare
We lofa fc huna akili
Uko sahihi kabisaa Dodoma jiji walinyimwa, Azam magoli yote mawili ni offside Simba walinufaika Coastal goli la tatu muamuzi hakusubiri akapuliza filimbi Hilo wao hawaoni
@@ramadhanmahongole9293mbumbumbu FC mtatoa wapi akili mpo kulalamika km watuhumiwa
acha uongo bhana mcha mbuzj
Waambieni na red card ambayo hakupewa Hamza acheni kuwajaza ujinga wa penati tatu je Musonda hakuangushwa na kipa ndani ya boksi?
Hata wewe kumbuka red card ya boka
Hapa hamna wachambuz mnatetea ujinga tu ila ipo siku tu ngoja tuwe wajinga ila mda ukifika mambo yote yatakuwa sawa
Mchambuzi wewe apo,kaka tengeneza timu uje utambe siyo time hii,mbona ulipo kuwa Bora ulisifiwa acheni udunduka
Yanga bora acha ushamba wewe simba hawana quality kama ya yanga
Wakati huo muda unafika speak current situation nani bora,we are not talking the future
HUO NDIO UBAYA UBWELA
Mimi naipenda Simba na kweli sasa hivi tuna wachezaji wazuri lakini ukweli unabaki kuwa Yanga inatuzidi ubora. Hii haina maana kuwa Simba haiwezi kuifunga Yanga la hasha. Mpira hauko hivyo naamini Simba inao uwezo wa kuifunga Yanga lakini Yanga ni bora.
Simba bado inatakiwa kuboresha kikosi inahitaji kufanya sajili zaidi tena quality players.
Mnaongea pumba tu siku hzi
Kweli mwanzo walikuwa vizuri siku hizi wamebadilika hawako poa
Aina yako ya mashabiki si nzuri kwa afya ya mpira wetu. Mnaamini kwenye kusifiwa tu
@@arsenalic23sio kusifiwa hawa unao watetea wengne walienda mbali mpka kujiita majina ya wachezaji wa ahl tripol
Mjinga sana hyu…
Wajinga watupu nendeni mkanywe supu ya mapupu mbagala yanga wanauza kule maana hapo mnaongea ushuzi ushuzi
Lala utulie pimbi wewe