GEOFF LEA AMTOLEA UVIVU AHMED ALLY/ SIMBA SIO BORA KULIKO YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 73

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 14 часов назад +4

    Jeff😂 inamana hukuona kiatu juu ya kichwa cha Musonda 😅 acha mapenzi

    • @kelvinwilfred-p2e
      @kelvinwilfred-p2e 5 часов назад

      HAPAKUWA NDANI YA BOX BUT WALIKATWA MARA TATU NDANI YA BOX NA WATU WALIFAA KUPEWA YELLEW CARD INFACT YANGA WALIKUWA NA KADI MUHIMU TATU NYEKUNDU

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 4 часа назад

      @@kelvinwilfred-p2e hizo card usifikiri zinatolewa tu kama msaada,,

  • @DanielMasetta-u5u
    @DanielMasetta-u5u 19 часов назад

    Asante kwa ukweli wamuzi wameondoa utamu wa ligi

  • @mabagamendez1156
    @mabagamendez1156 3 часа назад

    Wachambuzi nyeee achan uongo simba anajenga timu toka mwaka 36 had leo anajenga hiyo timu 2024 kwel tanzania Sisi hatujui mpira

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 12 часов назад +1

    Nyie wachambuz miyeyusho kama shida magoli Simba ana magoli mengi kama dabi yanga wamebebwa shida mna mapenz

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 9 часов назад

    Kwan mnaongea nn mbna mnaenda mbele na kurid nyuma😂 mshakubal kua ahmed yko sahh kua yanga ni bora lakin sio kiasi kikubwa sana juu ya simba kwmba ni bora lakin hawapishani sana .
    Na mnakubali hlo af bado manaendelea kugeuz maneno

  • @MatokeoJoseph.Fonkol
    @MatokeoJoseph.Fonkol 12 часов назад +1

    hata yanga ngao ya jamii refa ange tenda haki zilikuwa sita

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 13 часов назад

    Kwani huyo Geoffrey hakuna Musonda hakuchezewa faulo ndani ya box? Vipi Dube hakuzuiliwa na mtu wa mwisho haikuwa red card?

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 5 часов назад

    Kwahiyo wakisajili tu watafunga Yanga?
    Ile ngao kufutwa magoli matatu vipi?
    Yanga imeshinda ushindi wake sio wakujipiga kifua?
    Huyu jamaa bhanaa mnazi wa mandunduka.

  • @ndayi7
    @ndayi7 10 часов назад

    KWELI SIMBA SIO BORA,BORA NI MAREFALII

  • @karimmakweta3530
    @karimmakweta3530 10 часов назад

    LEA shida yako ni kupenda Simba unakwana hata kuzungumzwa red card ya Hamza mbona unaona tu hizo penati Tatu tuu. Endeleeni kuwa danga ya mtajua mwisho wa msimu

  • @GumboMakulo
    @GumboMakulo 12 часов назад

    Watu waache lawama wawekeze kwenye mpira wawekeze kwenye mambo ya msingi waamuzi wetu bado lakini sio sehemu pekee ya kulalamikia timu zisajili tuache kulia Lia nyau.

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 8 часов назад

    AHAMED ALLY MUACHENI ANA MAPUNGIFU MAKUBWA SANA.. YAANI YANGA KTK MECHI 4 IMEWAPIGA SIMBA GOLI 9 BADO WANAIPIGIA YANGA KELELE ?

    • @givensikali959
      @givensikali959 8 часов назад

      Ishu sio kupigwa ishu ni unapigwaje mkuu

  • @florianrweyongeza7458
    @florianrweyongeza7458 9 часов назад

    Penalty tatu n zipi? Hawa makolo ukiwasikiliza alafu ukaangalia reply unabaki kusema mbona kama kuna uweledi umepungua Kwa walioaminiwa kupewa platform

  • @silvangabriel3592
    @silvangabriel3592 11 часов назад

    Huyu jof hewa kbisa

  • @gsplundi1327
    @gsplundi1327 7 часов назад

    Pamoja na hayo yote Simba ndo Wana vitabia vya kuwahonga wamuzi

  • @GumboMakulo
    @GumboMakulo 12 часов назад

    Huyu jamaa cjawahi kumuelewa atachelewa sana kuamka

  • @EVALINAJames
    @EVALINAJames 4 часа назад

    Hamna mchambuzi hapo wote ni yanga

  • @salamathadeusmushi504
    @salamathadeusmushi504 12 часов назад

    Chambueni mpira Athenian siasa mpira haukohivyo .journey hajui kuchambua mpla

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 12 часов назад

    Timu inatenhenezwa kwa mda gani acheni swaga wacheze mpira wamecheza shirikisho baso wanajitafuta nini wanatengeneza nini

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 10 часов назад

    Bongo hakuna wachambuzi sikwiizi wamebaki machawa tu njaa tu. Kulikuwa wachambuzi wawili tu kashasha na mgine Ali mayayi tembele. Kwahiyo kabaki Ali mayayi tembele pekee ambaye anachambua mpira bila upendeleo. Lkn nyinyi wote munangalia upepo nani anatoa mpunga ukisifia timu yake

  • @DaviMaregesi
    @DaviMaregesi 8 часов назад

    Na wew hakubaliani na ww

  • @SISTICHUWA
    @SISTICHUWA 10 часов назад

    Kuna suala, kati ya kumwima penati na kupewa redi kadi ni kipi kilicho bora? Naomba mnisaidie kuchambua kati na penalties na kadi nyekundu kipi kina athari kubwa. Chambueni kikubwa

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu 12 часов назад

    Kanyoko aliivuruga Simba kimchezo,na kuipa Hali yamotisha yanga.acheni umbea

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 6 часов назад

    Machawa kwenye ubora wenu

  • @frankshirima4029
    @frankshirima4029 8 часов назад

    Nenden mkajifunze sifa zawachambuz ninyi mnaongea kama mnawapigia sera watu fulan ,kuwen straight forward kaa kwenye position yako wewe kama professional na sio mpiga debe

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 10 часов назад

    Wandishi wote tuwajua machawa tu wa GSM

  • @hayickgeorge2704
    @hayickgeorge2704 15 часов назад

    Kwahiyo ile freekick hayakuwa makosa

  • @usercabal
    @usercabal 13 часов назад

    Kwani timu bora inapimwa ktk Daby au 😂😂

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 12 часов назад

    Leah unasema penalt tatu yani mchezaji ajiangushe tu Ile ya Diarra si alicheza mpira Acha ushabiki

  • @emmanuelnyambo1945
    @emmanuelnyambo1945 8 часов назад

    Wewe unayejibu mpumbafu ni mwana yanga tuu

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 10 часов назад

    Yanga seio bora kuliko Simba. Yanga wana shinda kwa kuhujumu kwa mgongo wa Refa. Mechi zilizo pita zote yanga wame bebwa. Golkeepa wa J.K.T. ame sema yanga wana bebwa na Refa. Kama hii Dabi ya tarhe 19. Ileyo pita Simba wame hujumeya sana Simba walisha shinda.

  • @FrankFanuel-r3k
    @FrankFanuel-r3k 6 часов назад

    We teja usiitetee timu Yako mbovu

  • @HamisiRamadhani-p2d
    @HamisiRamadhani-p2d 9 часов назад

    Geoff tatizo lako una tumia jicho moja embu fumbua jicho la pili dogo

  • @KamugishaMorice-i2i
    @KamugishaMorice-i2i 17 часов назад

    Hivi ninyi wachambuzi kwanini mtenatetea upuuzi wakayoko na gsm eb acheni uchambuzi wakikayoko

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 13 часов назад

      GSM alicheza namba ngapi?
      Kwann asicheze na Mo sasa

  • @JossephMsumeno
    @JossephMsumeno 12 часов назад

    Wakati mwingine mlipaswa kumuita Ahmed Ally pia sio kumsemea yy hayupo, tunakosa uzani WA mjadala

  • @ayoubjuma7932
    @ayoubjuma7932 12 часов назад

    Halafu hizo penalty walisema wamenyimwa 1, mara wakasema 2 na sasa wamefika 3? Wanaweza sema na red card 2 wamenyimwa sasa

    • @kelvinwilfred-p2e
      @kelvinwilfred-p2e 5 часов назад

      kaangalie siuna device yenyeuwezo wakuingia YOU TUBE mzee kaangalie bacca, boca na mudathiri

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 8 часов назад

    Nadhani haki inapaswa kutendeka hata kati ya Simba na Dodoma jiji au hata na prison,goli che Fondo Malone halikupaswa kupasishwa --- kumbekeni kuwa Yanga nao walinyimwa Pernati ya Dube --- ok Madu wanatengeneza timu -- Yanga je,wamelala ? " derby mtaonyeshwa kuwa,hakuna aliyelala "

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 2 часа назад

      Goli la kumtomba mama yako mzazi chemalone hakupaswa kupewa ila goli la mpira wa miguu tayari Simba ana point 3

  • @WISTONJOAS
    @WISTONJOAS 14 часов назад

    Acheni siasa chambuwa alichosema maana hata mtoto anaelewa

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 15 часов назад +4

    Sasa haki hiyo itendeke kwa Yanga tu ikicheza simba ama maana ata simba akicheza na timu zingine hakuna haki

    • @fatherjaybadman
      @fatherjaybadman 14 часов назад

      Yanga akicheza na Tim nyingine jee??

    • @hamiduOmar-o8r
      @hamiduOmar-o8r 11 часов назад +1

      Haki zipo ktk timu za simba & young timu zengine hazina haki na wachambuz weengi wamebez simba asifungwe cz ndio timu yao pendwa na pia wajaona ktk ngao ya jamii young hao hao walinyimwa oenant ngpi na refa na magoli pia ya creare

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 11 часов назад

      We lofa fc huna akili

    • @DIVINEPROMISE-c1n
      @DIVINEPROMISE-c1n 8 часов назад

      Uko sahihi kabisaa Dodoma jiji walinyimwa, Azam magoli yote mawili ni offside Simba walinufaika Coastal goli la tatu muamuzi hakusubiri akapuliza filimbi Hilo wao hawaoni

    • @DIVINEPROMISE-c1n
      @DIVINEPROMISE-c1n 8 часов назад

      ​@@ramadhanmahongole9293mbumbumbu FC mtatoa wapi akili mpo kulalamika km watuhumiwa

  • @MatokeoJoseph.Fonkol
    @MatokeoJoseph.Fonkol 12 часов назад

    acha uongo bhana mcha mbuzj

  • @saltechnologiesco.ltd.2377
    @saltechnologiesco.ltd.2377 16 часов назад

    Waambieni na red card ambayo hakupewa Hamza acheni kuwajaza ujinga wa penati tatu je Musonda hakuangushwa na kipa ndani ya boksi?

    • @suwedwakil4392
      @suwedwakil4392 13 часов назад

      Hata wewe kumbuka red card ya boka

  • @dhgraphix_
    @dhgraphix_ 19 часов назад +1

    Hapa hamna wachambuz mnatetea ujinga tu ila ipo siku tu ngoja tuwe wajinga ila mda ukifika mambo yote yatakuwa sawa

    • @FrankCharles-f1q
      @FrankCharles-f1q 14 часов назад

      Mchambuzi wewe apo,kaka tengeneza timu uje utambe siyo time hii,mbona ulipo kuwa Bora ulisifiwa acheni udunduka

    • @ErastoChilanza
      @ErastoChilanza 13 часов назад

      Yanga bora acha ushamba wewe simba hawana quality kama ya yanga

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 13 часов назад +1

      Wakati huo muda unafika speak current situation nani bora,we are not talking the future

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 14 часов назад

    HUO NDIO UBAYA UBWELA

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 10 часов назад

    Mimi naipenda Simba na kweli sasa hivi tuna wachezaji wazuri lakini ukweli unabaki kuwa Yanga inatuzidi ubora. Hii haina maana kuwa Simba haiwezi kuifunga Yanga la hasha. Mpira hauko hivyo naamini Simba inao uwezo wa kuifunga Yanga lakini Yanga ni bora.
    Simba bado inatakiwa kuboresha kikosi inahitaji kufanya sajili zaidi tena quality players.

  • @JustinejJohn-gg1ch
    @JustinejJohn-gg1ch 20 часов назад

    Mnaongea pumba tu siku hzi

    • @fatmabakar4140
      @fatmabakar4140 20 часов назад

      Kweli mwanzo walikuwa vizuri siku hizi wamebadilika hawako poa

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 20 часов назад

      Aina yako ya mashabiki si nzuri kwa afya ya mpira wetu. Mnaamini kwenye kusifiwa tu

    • @JustinejJohn-gg1ch
      @JustinejJohn-gg1ch 19 часов назад

      ​@@arsenalic23sio kusifiwa hawa unao watetea wengne walienda mbali mpka kujiita majina ya wachezaji wa ahl tripol

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 14 часов назад

    Mjinga sana hyu…

  • @Burange666
    @Burange666 17 часов назад

    Wajinga watupu nendeni mkanywe supu ya mapupu mbagala yanga wanauza kule maana hapo mnaongea ushuzi ushuzi