NYIEE!! FERUZI WA SIMBA ACHARUKA MAREFA HAWATUONEI, AMKUMBUKA CHAMA/ AWAPA MAKAVU WAZEE WA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 15

  • @JosephNgasa-j7l
    @JosephNgasa-j7l 2 часа назад +4

    Jamaa umesema ukweli wachezaji wa Simba siku ya dabi waliboa sana yaani hasa kipindi Cha pili walitumia muda mwingi kujiangusha angusha,ukihesabu dk zilizotumika kabsa kipindi Cha pili ilikuwa ni dk 35 tu dk10 pamoja na za nyongeza ziliharibiwa wa Simba kwa kupoteza muda mbaya zaidi ni vigumu refa kutoka dk za nyongeza zaidi ya dk10 ataonekana anahila,right kama Simba wangechza mpira kipindi Cha pili wakaacha kupoteza muda wakapishana kabsa na yanga na ukiangalia yanga ilivorudi na moto wake naona kulikuwa na dhahama nyingine

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Час назад +1

    Huyu Jamaa anaongea vizuri Sana,kibu ni mchezaji machachari Hana hatari yeyote.msimu uliopita alifunga goli moja msimu huu dah sioni,machachari Tu ndo yake

  • @BoziMponda
    @BoziMponda 16 минут назад

    Fruz ana sema ukwel hutuna wacheji wa kupambana na yanga

  • @ZaliyaSaid
    @ZaliyaSaid 3 часа назад

    Asante baba

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 4 часа назад

    Asante. Sana. Kaka. Feruzi. Unaongea. Maneno. Kuntu. Lakini. Jiangalie. Kama. Hujatengwa. Basi. Watakufungia. Kwa. Sababu. Viongozi. Wenu. Simba. Hawataki. Ukweli

  • @allenabiud3273
    @allenabiud3273 2 часа назад +1

    Anaye amin feruz mwamba tujuane

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Час назад

    Mwandishi amepelea..
    Hajui anachohoji

  • @MussaRqjqbu
    @MussaRqjqbu 2 часа назад

    Demu mwenzenu huyo wanajulikana

  • @GeorgeAlfredy-g3u
    @GeorgeAlfredy-g3u 3 часа назад

    Unaipambania simba unaweka kiasi gani au maneno sapoti yako kwa wachezaji waliopo uyo chama ulikuaga unajua aachane na saba ana umuhimu wowote

  • @Fatma-jt6zn
    @Fatma-jt6zn 2 часа назад

    da ukombari ningekuwa karibu ningekuwa mkono wapongezi

  • @odiahguya4244
    @odiahguya4244 2 часа назад

    Hatimaye amepatikana KOLO mwenye akili

  • @HemedMjema
    @HemedMjema 41 минуту назад

    huyo sio mshabiki wa simba huyo ni shoga wa yanga tu huyo mmbwa takataka huyo ni mshamba

  • @MwajumaMsogoti
    @MwajumaMsogoti 4 часа назад

    Kiukweli simba inajumiwa na watu engine had huyu hana mbele wala nyumba nae eti anatafuta umaarufu lo

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 3 часа назад

      Pumbau zako mskilize anachoongea mtu halafu mpinge kwahoja