Jamaa umesema ukweli wachezaji wa Simba siku ya dabi waliboa sana yaani hasa kipindi Cha pili walitumia muda mwingi kujiangusha angusha,ukihesabu dk zilizotumika kabsa kipindi Cha pili ilikuwa ni dk 35 tu dk10 pamoja na za nyongeza ziliharibiwa wa Simba kwa kupoteza muda mbaya zaidi ni vigumu refa kutoka dk za nyongeza zaidi ya dk10 ataonekana anahila,right kama Simba wangechza mpira kipindi Cha pili wakaacha kupoteza muda wakapishana kabsa na yanga na ukiangalia yanga ilivorudi na moto wake naona kulikuwa na dhahama nyingine
Huyu Jamaa anaongea vizuri Sana,kibu ni mchezaji machachari Hana hatari yeyote.msimu uliopita alifunga goli moja msimu huu dah sioni,machachari Tu ndo yake
Jamaa umesema ukweli wachezaji wa Simba siku ya dabi waliboa sana yaani hasa kipindi Cha pili walitumia muda mwingi kujiangusha angusha,ukihesabu dk zilizotumika kabsa kipindi Cha pili ilikuwa ni dk 35 tu dk10 pamoja na za nyongeza ziliharibiwa wa Simba kwa kupoteza muda mbaya zaidi ni vigumu refa kutoka dk za nyongeza zaidi ya dk10 ataonekana anahila,right kama Simba wangechza mpira kipindi Cha pili wakaacha kupoteza muda wakapishana kabsa na yanga na ukiangalia yanga ilivorudi na moto wake naona kulikuwa na dhahama nyingine
Huyu Jamaa anaongea vizuri Sana,kibu ni mchezaji machachari Hana hatari yeyote.msimu uliopita alifunga goli moja msimu huu dah sioni,machachari Tu ndo yake
Fruz ana sema ukwel hutuna wacheji wa kupambana na yanga
Asante baba
Asante. Sana. Kaka. Feruzi. Unaongea. Maneno. Kuntu. Lakini. Jiangalie. Kama. Hujatengwa. Basi. Watakufungia. Kwa. Sababu. Viongozi. Wenu. Simba. Hawataki. Ukweli
Anaye amin feruz mwamba tujuane
Mwandishi amepelea..
Hajui anachohoji
Demu mwenzenu huyo wanajulikana
Unaipambania simba unaweka kiasi gani au maneno sapoti yako kwa wachezaji waliopo uyo chama ulikuaga unajua aachane na saba ana umuhimu wowote
da ukombari ningekuwa karibu ningekuwa mkono wapongezi
Hatimaye amepatikana KOLO mwenye akili
huyo sio mshabiki wa simba huyo ni shoga wa yanga tu huyo mmbwa takataka huyo ni mshamba
Kiukweli simba inajumiwa na watu engine had huyu hana mbele wala nyumba nae eti anatafuta umaarufu lo
Pumbau zako mskilize anachoongea mtu halafu mpinge kwahoja