JEMEDARI SAID AMCHANA JUMA MGUNDA KWENDA NAMUNGO/ SIMBA WAMELAMBA DUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 26

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 8 часов назад +7

    SASA NYIE MNATARAJIA KUONA MGUNDA ANAISUMBUA TIMU AMBAYO NDIO KIPENZI CHAKE?

    • @SaidJumanne-j1e
      @SaidJumanne-j1e 6 часов назад +3

      Kwahyo minziro nae akikutana na yanga atafungwa tu kwa kuiachia yanga sababu yanga ndyo timu ya mapenz yke

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko 5 часов назад +1

      Kwahiyo Zahara alikuwa anawaachia yanga

    • @SaidJumanne-j1e
      @SaidJumanne-j1e 18 минут назад

      Tujbu sasa

  • @josephmbiaji6625
    @josephmbiaji6625 6 часов назад +2

    Over 2.5 nampa simba .. iwe mvua iwe jua tunashinda nyingi

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 42 минуты назад

    Jemedar Hongera Unaongea kama msomi au Mwenye Akiri sio huyo sura mbaya na maneno yake ya hovyo

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 5 часов назад +1

    Nyie Muna vituko hivi mgunda mwategemea aisumbue Tim ya moyo wake kiakili inakuja

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 6 часов назад +1

    Namungo 3 simba 0

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 часа назад

    Jemedari anachambua timu kwa kuichamba 😅

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 7 часов назад +3

    PILI MMILIKI NA MLEZI WA NAMUNGO MH.WAZIRI NI MNAZI TENA LIALIA WA SIMB....HAKUNA USHINDANI WOWOTE HOAPO

    • @SelemaniMsuya-q8n
      @SelemaniMsuya-q8n 6 часов назад

      Mbona huulizi GSM kufadhili baadhi ya vilabu

    • @EliyaJelemiya
      @EliyaJelemiya 5 часов назад

      Uliza pia azamu kuwekeza ligi zima​@@SelemaniMsuya-q8n

    • @suleimansalum4049
      @suleimansalum4049 5 часов назад

      Kweli kabisaaa

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 3 часа назад +1

      Kwa hiyo Mwinyi Zahera alikuwa anawaachia Utopolooo maana alishakuwaga coacher wenu kumbe alikuwa anawaachia eeeeeh yaani danganya toto kumbe ndo mnatuambia mfanyavyo 😂😂😂😂

  • @edwardjikono
    @edwardjikono 4 часа назад +1

    NAMUNGO WAMEUZA MECHI

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 5 часов назад

    Nimefurah mgunda kwenda kule natamani jamaa awaoge simba

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 5 часов назад

    Tawi la Simba hilo

    • @JustinMwakalukila
      @JustinMwakalukila 11 минут назад

      Tawi la simba lkn mwaka jana ilikuwa sale pale uhuru stadium

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 5 часов назад

    Ningekuwa mgunda ningewaambia wachezi wote wasikabe wafungwe kumi

  • @HarunakiongoziMohamed
    @HarunakiongoziMohamed 7 часов назад

    Inabidi yanga nao wahame ligi maana namungo.timu ya wazir mkuu.nani mpenzi wa simba

    • @SelemaniMsuya-q8n
      @SelemaniMsuya-q8n 6 часов назад +2

      Singida waziri wa fedha vs Yanga hehehe

    • @deogratiusGodfrey
      @deogratiusGodfrey 6 часов назад

      Au sio

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 3 часа назад

      Namungo ilikuwa na Zahera aliewahi pia kuwa coach wa Yanga so alikuwa anawaachia Utopoloooo eeeehhh

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 5 часов назад

    Hakuna lolote hapo ni mipango tu ya kuipatia Simba points za ziada pia na mfuniko

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 3 часа назад

      Kwa hiyo ulitaka ukaifundishe wewe hiyo Namungo? Mbona mwinyi Zahera alishawahi kufanya kazi utopoloni Ina maana alipocheza na Yanga alikuwa anawaachia? Yaani Utopolooo duuuuu